Dr. Fadhili (MD) Profile Banner
Dr. Fadhili (MD) Profile
Dr. Fadhili (MD)

@JrFadiga

410
Followers
783
Following
219
Media
8,817
Statuses

Medical doctor (MD)❣💉🏥|SJUIT-ALUMNI|| #GetVaccinated |ProtectOthers. #YourLifeIsWealth | #YourHealthMatters . #SimbaSCTanzania | #ManUtd | #RealMadrid Democracy

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
5 months
Asante sana 2023❤
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
2
1
4
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@mdudechadematz @Tigo_TZZ @Mwabuk2Boniface Hizi angezipata bihemo au Ben wallah wangeshona vitenge vyenye sura ya ODO 😁😁
25
11
203
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Adventure_36 Unakodi bus kutoka dar hadi kahama zaidi ya >1M Tsh alaf unatumia masaa >15, wakati angepanda zake precision Air hadi mwanza laki 3, kwa lisaa na dakika 45, alaf unafika MWNZ unalipia Police escort na unakodi Vogue 5 unakuwa rais wa kahama, Simple! BUS tena for motion sickness?
25
4
183
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@medsoneleven @CAFCLCC @BennyKisarooney @SimbaSCTanzania @ESTunis1919 Cjui hawajifunzi kila uchwao...yaan hata wakiweka golie bora duniani mtz atashinda....maan watu wanamilik a/c 5 humu🤣🤣
9
0
100
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@vee__victoria Sisi wasukuma tukienda ukweni huwa tunalala nyumba tofauti na ile ya wakwe. Moto unawaka kama kawaida #mwanawane
3
2
89
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@amprincess9 Kwamba dada alilewa hadi channels zikakata mpaka ikapelekea kujamiiana hadi asubuhi; hivyo hawakutumia kondomu. Kama jamaa angekuwa mhuni angeweza hata kumuingilia kinyume na maumbile. Huyo dada anajamiiana kizembe na inaonesha hiyo ni TABIA yako, akilewa tu wahuni wanaweka.
18
2
84
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@CAFCLCC Myarabu ni mengi sana kwny TL, sema tujithd tuyashinde
6
3
78
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@godbless_lema Nishawaambia wapinzani wa Tz ni kikundi cha wahuni hamtaki kuelewa😀😀. Wakiguswa BAWACHA wanakimbilia unyanyasaji wa wanawake, lkn wao sasa... vijana wa cdm ni kikundi cha wahuni, tena ni wahuni hasa hata uvccm wakasome
29
1
69
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@eggy_eggie Sasa kujizungushazungusha ili iweje?? Hakn jipya ambalo "Tukijizungusha" hamjui tunataka/tunaelekea wapi. Mwamba kaamua awe too open na "theme" yake ifike chaaapu😀😀
1
0
67
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@CAFCLCC Naona caf wanatuchokoza, ngoja tuwaoneshe sasa🤣🤣🤣🤣🤣
4
0
61
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@godbless_lema Based on that conscience, do you mean he was right? Mm nafikiri kosa haliwezi kuhalalishwa kwa kosa lingine.
6
1
55
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
6 months
@IAMartin_ Oyaaaaa Acha kufananisha ng'ombe na vitu vya ajabu. Hili nalo tuliite "BUMUNDA Jr" ita-sound vizuri. Ng'ombe apewe heshima yake bana...tunakunywa maziwa na nyama😁😁😁🤣🤣🤣
7
1
56
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@HescoKabunda @Nnauye_Nape Anajikuta anakosoa sisiemu mwenzie, ukimuuliza yy kawa mbunge kwa miaka mingp na kafanua nn zaid ya kuiba kura ??🤣🤣
1
0
46
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Paulmwinamila2 @Nnauye_Nape Lete ile alirekodiwa anajifuta jasho na mkono hakuwa na kitambaa, akiwa anatembea kuingia magogoni🤣🤣
7
3
48
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Chahali @diamondplatnumz Chuki haijawahi kushinda haki. Petition ya ICC sijui iliishia wapi, leo hii diamond kafika hapo kwa juhudi zake sio rhc wahuni wawili watatu wamshushe. Mungu sio Martin wala hassan, Mungu ni Mungu na hawawezi kumwangusha.
13
9
45
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@25date9 @joblessforsure Aseee ebu nipe exact location ya m/nyamala nitinge, kuna mtoto wa watu Ameniacha mwez wa 7 huu nakomaa na MO 29 tu
6
0
44
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Kisamiyo @fbuyobe @JMakamba Sio kwamba yule dr hajui, bali huenda hofu na uoga mbele ya Rais, ilimfanya akose ujasiri. Hii hutokea, lkn Prof kwa kuwa alikuwa amezoea kukaa na Rais na wasaidiz wake, aliona kawaida. Anyway, Janabi ni mtu na nusu.
3
1
39
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@robbybling @deohugo Hujaelewa wewe🤣🤣🤣🚮🚮 kuna madini yanatemwa huko sio level ya manara.
3
0
38
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@shokakazini @MpondaSabinus Tatizo mnakaza vichwa sana. Kijijini kwetu matofali ya kuchoma ni 100 hadi 200tsh, hapo unaletewa hadi home. Mafundi ni wa vjjn na tuna kasumba ya kiushikaji, hadi hapo cement unadhn ni mifuko mngp? Yaani undhn amedangny?? Ww ndo unadngny
9
0
38
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@fbuyobe Angalia facial expressions, body language and standing models!!! Anyway huyo jamaa mwenye Kofia nilimuacha KANEMBWA 😄😄😄
2
1
39
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@jr_twaah @iAlfordMbwambo @ModestaZ7 @WemaKako @KamigakikuMbise @Wilbright_jr @McinikaWaLamar @athanas_pius @MarekaMalili @SadickTusia Ukiwa jeshini, kuna moment huwa "spirit na feelings" fulani hivi inakuja, hususani pale unapokuwa unaambiwa kuhusu kuilinda nchi yako, machozi yakianza kutiririka ghafla uhai wako unaona si chochote zaidi ya nchi yako. Viva #jwtz 👍🙏🙏🙏
3
1
35
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@WemaKako @ClatousCC @SimbaSCTanzania Maisha mazuri+upendo yapo bongo ww....angalia post zake anazopost akiwa huko, hapat hata likes 500
2
0
39
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Mr_DavidHk @IAMartin_ Wiki nzima, timu imeshnd kufanya maandalizi ya usafiri. Km RC aliwapa motisha ya 10-15M vs simba, kashindwa nini hata kufanya fund rising ? Hata kuwahusisha maRC wenzake? Hii nchi tuna tatizo sana. Yaani sijui mpk malaika Gabriel aje atufanyie kila kitu? Aibu kwa taifa
5
2
37
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
5 months
@UhamiajiTz Point ya msingi ibaki pale pale, msiwe mnasumbua watu na #AJIRA #AjiraUhamiaji wakati tayari mno watu wenu. Mnasumbua watu wanapoteza muda na rasrimali fedha wakati mna orodha tayari. Mnakera 🚮
9
2
37
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@privaldinho Mkiambiwa simba inawafanya mfuatilie Ligi (timu za Africa) mnakataa!! Kwnd kwa Chama Barkane kumewafanya muifuatilie hiyo timu, kupangwa kundi moja Barkane na simba kumewafanya muifutalie, kama mnabisha mbona hamfuatilia Wydad ya Msuva?? Hata Priva alienda FNB S.A 7bu ya simba🤣
4
1
36
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@ExMayorUbungo Hapa sasa ndo udikteta unaonekana, this means mkishk dola mtalipiza kwa wale wote waliokuwa wanashabikia mwendazake? Mtawafungia kazi zao? Mnashangaza sana, tofaut ni nyie kutokuwa na dola tu lkn udikteta ni ule ule
2
0
35
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Dr_BNSN @diamondplatnumz Watoto wanaokaririshwa kiingereza bana😀😀😀, umeambiwa #BlackBadge ....na siyo Black coloured
6
0
33
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Lissu4change @JamiiForums Ndg yangu, we Tanzanians are extremely cowards. Sio viongozi wala raia, hakuna wa kujitokeza. Namulaumu sana mwl jk nyerere kwa kutupandikizia huu uoga. Inauma sana
2
3
35
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Icon__08 Hii ndo inaniogopesha kuwa na dressing table chumbani 🤣🤣🤣
6
0
32
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
Tweet media one
0
2
31
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Mujwanuzi @fbuyobe @BaloziMtaa Na angefia kcmc Ungehoji why not Aghakan/muhimbili. Mind you hata huko kcmc watu wanakufa. Ruge alifia South Africa, Nyerere alifia Uingereza, meko na lupaso walifia Mzena hospital.
4
0
33
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Lawrenc74850458 @godbless_lema Bro maan ya "Upinzani" ni kupinga. Ukiona Upinzani anasifia huyo ni snitch. Waacheni wapinzani wapinge ndo kazi yao
2
3
31
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
0
1
33
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Aziza__MA @reddielucy Dada salary yako ni milioni ngapi hadi 800k iende huko? Upo vzr sana 🙏🙏🙏
3
0
30
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@MissRashfordy @fatma_karume Huyu bibi huenda ana ka-trauma fulani hivi kanamsumbua. Au ni msaganaji🚮🚮🚮
2
0
31
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@godbless_lema Mhe juzi ulitweet kuwa ajiuzuru, ili Rais atengeneze serikali yake. So kumpiga vita sioni km ni big deal, ngoja wampige vita ili apishe maan hakuteuliwa na Samia kuwa PM
2
0
30
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@ulamaaaaa @Eric_Bernard94 Butiku ni snitch mzeee...mtoe kwa wazee wenye hekima 🤣🤣 Kwa msuya, malechela hapo sawa. Mzee karume 👍👍👍
5
0
30
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@JamiiForums Unasajili kituo kipya gani chenye hadhi bora ya huduma kama hospital tajwa hapo juu?? Hapa Tz angalau ukiondoa MNH, kuna hospital gani nyingine tofauti na Agakhan na Kairuki kwa huduma bora?? Hii nchi ni kama enzi za mwendazake, unafukuza wawekezaji kwa kiburi bila akili😅😅😅😅
12
0
31
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@watunistory Hawa ndo wanasababisha degree(s) zionekane ni UJINGA mwingine. Mtu wa level ya degree anakuwa mjinga kiasi hiki😭😭😭
0
1
29
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@MariaSTsehai Kwani shangazi, hawa mabrigedia jenerali na meja jenerali ni sahihi kuwa RC's kwa vyeo vyao?? Mbn km kushushwa vyeo?? Why wasipewe luteni kanali au kanali?? @MariaSTsehai @fatma_karume
1
3
28
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Advocate_Jebra @Roma_Mkatoliki #jebra @Advocate_Jebra nackiaga ukihukumiwa 10 yrs, means unakaa 5 yrs tu kuwa mahakama/magereza zinahesabu 12 hrs kama independent day??? Nauliza sijui hii kauli, naomba ufafanuzi. Hii hukumu, siku Rais akitoa msamaha, jamaa naye atasamehewa? If yes Je, ni baad ya miaka mingp?
4
0
28
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@IrmgardSamia @millardayo @ayotv_ Umesahau kuwa hao waliopoto kwny vyombo vya ulinzi na usalama takribani 80% ni aidha walifeli darasa la 7, form4 au six? Sasa hiyo akili ya rotation inatoka wapi? Mbunge wa ilala mzee wa kodi ya uzalendo anasema magari ni machache, kamanda anakwambia yapo ya kutosha..crazy
6
0
25
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@TriciaAbou Dada, kwnz hiyo AVI mm sijaikubali..tuendelee na ile ile bana @TriciaAbou
0
0
26
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@John_Pambalu Likija suala la Tuzo mnapitisha #Petition ili ashindwe, likija suala lenye manufaa kwenu mnataka akemee...si tulikataa uTz tukasema kila mtu ale kwa urefu wa Kamba yake?? Nyooo🚮🚮🚮🚮🚮
4
1
27
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@kingzxcci @Kiganyi_ Kama serikali mwaka wa 5 hakuna kupandisha madaraja, sembuse mwamed bana
2
1
26
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@CAFCLCC @ESTunis1919 @Masandawana @SimbaSCTanzania @WACofficiel Hivi hawa Caf hawatujui vizuri kwny kupiga kura?? Kwa kweli caf watasononeka sana simba kutokuwepo, hizi amsha amsha watazimiss
1
0
26
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Tanganyikan Asee niliwah kupigwa tukio km hili, I was on duty of night shift, nikapigiwa simu mtoto wa dada anaumwa sana naenda kumuona usiku huu, nikamwambia nenda mama, huwez amini aliondoka saa 4, alaf saa 11 alfajr akarudi. Jirani angu aksm mwanangu umepigwa na kitu kizito, singida🚮🚮
1
0
26
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@OtsileNtaje4 @KaizerChiefs @SimbaSCTanzania 😀😀 Thank you for noticing that. If you don't beat them massively at your pitch, you will be doomed. Those boys have been going crazy when they play at Benjamin mkapa stadium, 🇹🇿. They become really simba (lions) and for sure they hunt 😆😆
3
0
23
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@MaticJoh @TriciaAbou Inasmj mzee....nitonye na mm
0
0
24
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@amprincess9 My dada wa nguvu...nadhn tungeanza kujua ukweni sehemu (kabila gani)?? Nawez kukushauri kikwetu kikerewe zaid kumbe unakwnd uhayani huko😋😋. So far "Overconfident" disvalues!! Quiteness matters tho 🤗🤗🤗 and avoid too much talkatives!!!
4
0
25
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@BongeLaAfya Wameambiwa waende mwanayamala kaka, kwamba mama ameboresha huduma za afya zinapatikana bila usumbufu 😅😅. Alaf NHIF wamesema wanasajili vituo vipya ambavyo ni Ben medics, bihemo hospital na zack medical center zinatoa huduma za dialysis na uchunguzi wa kibingwa bobezi😅
10
1
25
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@MusaNdoka @AdamIssara @Hakingowi @tonytogolani Kidato cha pili unastaajabu?? Mm nilikuwa darasa la 7 sasa 🙏🙏🙏
2
0
24
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Deogr_thomas @Adventure_36 Mastermind wa mwendazake na ccm ya awamu ya 5 in general. Mtu m-bad sana huyo mwamba usimuone hivo. Kumbk sherehe imehudhuriwa na mama wa Taifa, mama wa Royal tour
4
0
25
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@ChediOfficial @rollymsouth Mamae advance pa kichoko sana. Yaani Ni Elimu ya bongo sielewi...unaweza chomoka kote huko lkn pia ukafika chuo ukaanza kuchezea sup kila semester tena zile course za credit kubwa ww unakula sup tu mamae...😂😂😂
4
0
23
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
6 months
@nulphin @ummymwalimu @MariaSTsehai @IAMartin_ @lifeofmshaba @ExMayorUbungo @VitusNkuna @OleMtetezi @PatricOleSosopi @fatma_karume @DrCyrilo Dr @nulphin hapo ikitokea maternal death tume zinaundwa, anatafutwa mbuzi wa kafala! Na huyo mbuzi wa kafala ni huyo anayefanya kazi mazingira magumu, anayelipwa laki 5-8. Wale wazee wa ma-VX hawajali wala nini....
2
1
23
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@HescoKabunda @AnethStanley Huko umeenda mbali, ungemuuliza waislamu wangapi wameenda kutoa ushahidi wa michongo? Rais ambaye alisema ushahidi umekamilika via #BBC tena na kilemba kichwani ni dini gani? Hawa watu sijui hawajuagi kufikiria??🚮🚮
3
0
24
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@taarinka @kigogo2014 Ndg typing error zipo tu, hapo km ni kukosea si wanaprint tu? Msingi ni wanadaiwa au hawadaiwi?
16
0
24
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@abdulMnyoti @GIVENALITY Hkn mwanaharakati mweusi kwny hiki kizazi, zaidi ni chuki, fitna, roho mbaya zilzojaa visasi.
2
0
23
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@kalage_jr Yaani mimi sielewagi asee...unakuta mtu kahitimu form 4 2010 lkn cheti kinaonesha kazaliwa 1995 au kahitimu form 4 2011 lkn birth certificate ni 1996......kwan ukisema tu ukweli kuna shida gani??
5
0
21
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
Tweet media one
1
1
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@BongeLaAfya @Eric__Bernard Shida yetu bana sijui tupoje, umemtajia majina ya vituo husika ambavyo havipokei bima completely, bado ana-critisize, sasa na mimi namwongezea, Aje mwanza kuna Royal hospital mwezi wa pili huu nhif haigusi pua pale.
5
1
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
4 months
@kalegamyeh Matikiti kudondokaaa matikiti kudondokeaaa......for more clarification, MD gross ni 1.5m jmn wale wa HESLB ukilimwa PSSSF, TRA, NHIF, take home ni 900k!! Sema hii kazi tunaipenda kutoka moyoni ila siku mkikuta tumevurugwa tunawajibu ku*******ny muwe mnatuelewa 😃
2
2
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@abaanzinza @_zackabdul @FatmaSulley @McinikaWaLamar @DosaRahma @SmartHalima @Big0047 @hmarskov_ @Aziza__MA @MarekaMalili KUSEMA KWELI HUWA NINA MASHAKA SANA NA VIJANA WA KIUME WANAOVAA MIWANI, IWE KWA EYE DEFECTS AU SHOW, HUWA NAHISI KUNA KITU HAKIPO SAWA KWAO
9
0
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@iamcleopatricia Kila mmoja aoneshe kwao... #RockCity
Tweet media one
5
1
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
4 months
@daktarimtalii Kwenye kusepa ninavojua mimi, unatoa taarifa 30 days before kama una contract, ila kama unajitolea aua upo ndani ya matazamio unatoa taarifa 7 days kabla. Lakini kama hujalipwa miezi 2 unasepa tu ghafla
3
0
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Kilastborn Hii moment ww Acha tu...alaf ukute mtoto wa mtu anajua kukizungusha na zile romantic "ride sounds "...unawez kuuza hata pancreas ili umhudumie mtoto wa mtu
3
0
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@salimosaid 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Narudia, "Target sio kufika makundi, ni kuvukaaaaa" ...Alisikika mlevi mmoja aliwa amelewa kabla hajaanza kwnd Nigeria
1
0
21
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
5 months
@daktarimtalii Ladies ukimcheat mwanaume akijua, akijifanya amekusamehe huo ni mtego. Ukiingia utanasa 🤣🤣 wanaume bana umcheat ajue eti amekusamehe, thubutu. Sasa bidada anamchukia nini jmn yeye si ndo alianza ? Jamaa kamaliza na amechukua point 3
2
0
22
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Don3174 @privaldinho Waamuzi wasaidizi wanzengua. Wanapaswa wawasaidie waamuzi wa kati, hapo mwamuzi wa kati hawez ona makosa hayo yote...sijui kazi yao ni nn
2
0
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
0
0
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@mzeewakaliua Anatoa pesa kwa kuwasajili akina makambo free agents? Akina fiston, saido na djuma ambao ni free agents? Hizo pesa za kuwasajili akina Billiat au dube mbona kakosa? Haya mawazo kawaambie wale wa Insta kule @mzeewakaliua
3
1
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@HildaNewton21 Km ulikuw hujui, sasa ndo utaelewa, yaani Epl imerudi na messi ana neymar, mbape na Ramos..utajua hujui🤣🤣🤣
0
0
21
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@DreamCh54545327 @godbless_lema Akili mkichwa!!! Muwege na reasoning kabla hamjakurupuka. Makada wangp wa CDM wanatumia hii picha?? Inamaanisha nn?? Wanapoitana MAKAMANDA, huwa wanaongoza "Platoon" gani??🤣🤣
Tweet media one
5
1
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Jovin_Mtagurwa @privaldinho Mechi moja kwny mechi 15 hiyo ni negligible mzee...Acha husda utakufa mapema
2
0
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
Tweet media one
3
1
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Iamsospete1 Hadi wale waliomaliza medicine mwaka huu wamepewa mtihn ili uende intern mpk uufaulu, leo matokeo yametoka ni KILIO tu, vichwa vimeliwa. Nchi hii saiv kusoma ni upumbavu
2
2
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@davitheempire Kuna vijana humu wanakaza mafuvu wanaishi mageto ya kupanga ya 50k-100k kwa mwezi, kila uchwao ni kushika bomba na kupakana majasho, vijna kuweni na akili timamu. Hayo magari ya sadala kwny ukoo wenu hkn hata mwenye uwezo wa kumiliki v8 moja, come on.
3
0
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Yours_Mandarin @IAMartin_ PM ametoa agizo lini kaka? Mind u hata kule Djibouti walikwnd siku ya mechi, maan yake haga wangepita hii hatua, hatua inayofuata ingekuwa majanga vile vile. Shame shame. Wanakera sana
2
0
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 months
@fbuyobe Tangu nikiwa mtoto nilikuwa naonywa kuoa mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, mpaka leo hii ukigusia kuoa hiyo mikoa miwili (kanda ya ziwa watakupinga, kusini watakupinga, kanda ya magharibi na kanda ya kati wanakupinga). In short, wanakwambia "wao kwa wao tu wanaogopana, ww utaweza?
10
0
20
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Mjumbe_2012 @abbas_tarimba @_zackabdul Mwananchi gani alimchagua huyu pimbi?? Huyu hakuchaguliwa hata kwa kura moja ndio maana anakandwa
1
1
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@godbless_lema The hx repeats itself. Kama meko aliweka ubaguzi, Samia nae km analeta ubaguzi, undhni ajaye baada ya samia hatobagua? The solution is to protest and prohibit huo ubaguzi na sio kuhubiri.
1
0
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@OleMtetezi Kwa Elimu hiyo bado hana nyota, mkasi na bibi na bwana?? (Yaan hata cheo cha colonel tu hana?? Nimebutwaa)
9
0
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Marathonlovers @INFLUENCERjr @kipepe123 @BaloziMtaa @franklin_tissa @MiriamMkanaka @kalage_jr @chapo255 @FatmahShokat @Gaspinho15 @kapange_jr Takwimu zimefanywa na chuo cha marekani, kuhusu wanaume na wanawake wa marekani, anaulizwa mtu wa bongoland ajibu 🤣🤣. Mumeambiwa huku akina Mobetto nao wanapenda hao wafanya mazoezi??
6
0
16
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@Eric_Bernard94 Au ni yule aliyekuwa anatwambia wakazi wa dodoma kuwa atatuletea BAHARI kutok dsm I've dodoma 🤣🤣
0
0
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@GIVENALITY Ukipiga hesabu za haraka haraka, hao vyuo vyao vipo Duniani huko na sio hapa yudizimu, yudomu au sokoyine 😆😆😆
3
0
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@MissRashfordy @mhaikejohn1 Mama km ww ulizaliwa kwny maisha ya 'TAILIZI' ni wewe 🤣🤣
1
0
19
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@kigogo2014 Yaani hadi ndugai wanaemsimanga, alaf kashatoa CASH kabsa..kheeeee kweli "Politicians are siblings". I rest my ass🚮🚮🚮
0
0
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@MariaSTsehai Ila binafsi nacheka sana, MO ni ccm, MO ni m/kiti wa klabu ya simba, siku ya simba day alimpongeza magufuli uwanja wa mkapa akiwepo Zungu, kwann hamukuweka petition kwa Mo awe disqualified kuwa chairman wa board ya wakurugenzi simab au simba yenyew isishiriki Caf competitions?
7
1
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@siadevinci Ukitaka wakuue waambie kuhusu corona, yaan waambie corona ipo na wavae baraoa, wallah watakutahili mara ya pili
0
1
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@MichaelMwebe Tunaomfahamu Izuchukwu (Nigerian) anyooshe kidole juu....I guess only we legends remember the name
4
1
18
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@IAMartin_ Acheni ngojera kaaaa. Kwahyo wagonjwa pia walikuwa wamekwnd kwny kongamano? Mzee mwny pressure alikwnd kufanya nini na wakati kila uchwao tunaimba tuwalinde wazee na corona? 83 yrs like seriously? Hao wenye mtihani janaw walitakiwa wawe wanajisomea, then wakawa wazururaji
8
1
16
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Chogondizi19 @HildaNewton21 Siasa bana huwa nacheka sana. Hii tweet imenikumbusha sana, kweli bana waliwahi kusema makomandoo gani wanapasua matofali lkn leo tunasema "yuko smart"😅😅. Anyway nikikumbuka tulivyomsafisha mzee Lowassa huwa nacheka tu
2
0
16
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@Mtoka_Pabaya @iamcleopatricia Moshi wana-weupe tu lkn hkn pisi kali pale. Arusha kuna wahuni tu na pisi kali zote za Arusha ni zinazotoka Singida, na manyara
0
0
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@GIVENALITY Ndo maan nilijikataa kusheherekea mahafali yangu ya kupata ka-degree kangu, maan niliona ni kama ninajitukana tu🤣🤣🤣
4
0
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
2 years
@lifeoffifi2 @iamcleopatricia Nishirikishe hiyo dhambi...namm niitende dm iko waz dear
0
0
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
5 months
@daktarimtalii Oyaaa mwanangu @CharlieBihemo ona vijana wa dar wanavyodharirika, ebu tukawaokoe mwanangu sisi sangara + mihogo +dagaa+ ugali naamini tupo vizuri. Au unasemaje kipenzi @Happykonina 😊😊😃😃🙌🙌
2
0
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
4 months
Tweet media one
1
2
17
@JrFadiga
Dr. Fadhili (MD)
3 years
@RealHauleGluck Maria is coward and a dictator as well. Hataki mawazo ya wngn yawe opposite na yake, ninemuuliza petition ya ICC iliishia wapi km anaamini petition inaweza kumuathiri diamond, kaishia kuni-block.Where is freedom of expression aliyokuwa anatwambia enzi za meko? Maria ni dictator
7
3
16