Think Different Profile Banner
Think Different Profile
Think Different

@lifeofmshaba

422,902
Followers
3,031
Following
38,732
Media
201,429
Statuses

#ChangeTanzania | #KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi | for activism contact via WhatssApp and Telegram +1 (862) 438-3337 |Personal Views| like Not upholding |

Tanzania
Joined February 2011
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@lifeofmshaba
Think Different
1 year
Kwa ufupi sana mambo yako hivi CCM wako kwenye attack model kuhakikisha uchumi wa nchi unakufa kabisa ndio pona yao , shughuli yao kubwa ni kufirisi wananchi Hiyo silaha tunaweza ishinda kama tukiamua kuwatenga hawa watu na kuacha kushirikiana nao kwa namna zote, Nguvu ya Umma
Tweet media one
121
199
429
@lifeofmshaba
Think Different
6 months
Hii ni wapi
Tweet media one
146
99
2K
@lifeofmshaba
Think Different
5 months
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
48
122
2K
@lifeofmshaba
Think Different
13 days
Lugha ya picha
Tweet media one
56
43
2K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Huyu awe IGP mpya Sirro angepumzika tu
133
437
2K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Nyumba za watetezi wa wanyonge, waliojitoa kafara kwa ajili yetu
Tweet media one
153
167
2K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
54
136
2K
@lifeofmshaba
Think Different
2 months
Huko Malinyi hospital imejengwa mtoni Tuna serikali kweli?
Tweet media one
219
164
2K
@lifeofmshaba
Think Different
5 years
CAG akikagua fenesi. Kuwa mtu wa watu raha sana,
Tweet media one
81
79
2K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Msitudharau tunaokoa nyuma jamani
Tweet media one
17
74
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Kwani @kigogo2014 ume hack laptop ya CAG !! Mbona anaimba ule wimbo wako !!πŸ˜‚πŸ˜‚
25
47
1K
@lifeofmshaba
Think Different
1 year
Tanzaniaaaaaaaaaaaa Tanzaniaaaa Nakupenda kwa moyo wote
Tweet media one
161
132
1K
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Mwanza na Bukoba ni wazi zimekwenda, Geita nayo kama imekwenda, Ukipata kanda ya ziwa , mbeya, Arusha na Dar ... Hapo wakurya wana msemo wao " Amang'ana ghasarikire" cc @HecheJohn ina maana gani hiyo braza
55
92
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Naona tuna ugeni
Tweet media one
115
54
1K
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
MATAGA Hotuba ya @jmkikwete - Wananchi walisikilizwe na kupewa majibu ya changamoto - Washindani wa kisiasa sio maadui - Kusifiwa sio uimara - Mkuu achukue ushauri kwa waliomtangulia afanye wepesi - Kiongozi mzuri ujenga sera kuondoa wananchi katika ufukara #RIPMzeeMkapa
Tweet media one
36
127
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Makonda aliyetuambia tusifike posta, tusiooga tusikanyage mjini na kutukana wanaume tunaotumia IST Leo anasema habari za Utu ? Maisha haya
45
59
1K
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Idadi ya wagombea wanawake majimboni @ChademaTz imejitahidi sana ili kukuza usawa, lakini pia inatoa fursa kwa wanawake wenye uwezo kuchangamsha wenzao ambayo wanasubiria viti maalumu kuingia kwenye majimbo... Tukiwa na idadi kubwa ya wanawake kwenye majimbo tutafuta viti maalumu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
44
127
1K
@lifeofmshaba
Think Different
5 months
Kipaji
Tweet media one
6
58
1K
@lifeofmshaba
Think Different
19 days
Mkwe, mtoto wa mama na JK Wala nchi
Tweet media one
56
70
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Corona ina utaratibu wake wa ajabu sana, ina Wivu na inapenda kutawala. It started in Burundi
26
74
1K
@lifeofmshaba
Think Different
5 months
Shule za wenzetu hawana mchezo
Tweet media one
57
81
1K
@lifeofmshaba
Think Different
17 days
Hivi ndio mjinga utukanwa
Tweet media one
77
129
1K
@lifeofmshaba
Think Different
11 months
Network imeanza kusoma Sasa siku zote mlikuwa mnatubishia nini
105
256
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Leo kwa mara ya kwanza i feel bad kuwa Mtanzania, so bad and painful My Message Serikali achaneni na Mbowe, acheni hizi nonsense , kwa nini mnatuchafulia nchi namna hii , why ?!!!
90
144
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
β€œHakuna taifa lililowahi kufanikiwa sana kwa kuwatoza kodi nyingi raia wake zaidi ya uwezo wao wa kulipa.” Margreth Thatcher #ChangeTanzania
Tweet media one
17
171
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Huyu Sabaya sijui ni kazi gani kubwa anawafanyia watawala lakini huyu sio kiongozi , hakuna kiongozi kabisa hapa, kama kuambiwa maneno mzuri hivi na RC Anna amemvulia miwani na kumwangalia kwa jicho baya hivi hakuna kitu kichwani huyu ni hatari kuwa na madaraka #ChangeTanzania
242
206
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 months
Kigoma kumetokea Land sliding i hope mkandarasi sio mtanzania hii hasara labda bima ilipe
Tweet media one
Tweet media two
103
94
1K
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
No comment
Tweet media one
123
49
1K
@lifeofmshaba
Think Different
8 months
Kuna namna ya ku edit hii !!πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
157
116
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Leo @masoudkipanya amesaidia sana mama, mama amelala na minyoka tena usingizi mkali wala hana habari , mshuka wake wa kijani
20
75
1K
@lifeofmshaba
Think Different
7 months
Makonda amehojiwa na mwandishi wa habari kwamba Lissu amesema ulihusika na shambulia lake Dodoma Jibu amepewa kamhoji MAMA YAKO Bashite ameshindwa hata kukana kwamba hakufanya lile tukio, ni wazi jibu la kwanza ilikuwa ni kukataa kuhusika Damu ya mtu ni nzito bana
79
130
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Nimepata picha zote mpaka sasa sijaona kasoro kwa vazi la Huyu mbunge , spika alisema Tuwe na heshima na wanawake lakini yeye Leo amefeli sana
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
203
76
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mbowe sio Gaidi
Tweet media one
16
133
1K
@lifeofmshaba
Think Different
5 years
Leo nimeamini @kigogo2014 akisema tusilale hatulali hakuna account iliwahi kuwa na nguvu hivi toka nimejua social media miaka 11 sasa...tulikesha sana Darhot wire sasa tunakesha Twitter tunajaza mabando tu ... asikudanganye mtu hakuna siyeyumba na kigogo kama Babu wa samunge tu
37
52
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mwezi umevurugika huu
Tweet media one
125
64
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Hii pic imeleta maneno mengi kweli kweli Kwa tulikosa kabisa mtu mwingine anayefanana kidogo na kazi yake ?
Tweet media one
184
69
1K
@lifeofmshaba
Think Different
4 months
Petition imesoma UN Mtu anashabikia South Afrika kupeleka Israel ICC Lakini hapo hapo aelewi uzito wa hii petition kwa UN Ngoja nikufafanulie β€” Balozi wote wa kudumu UN watakula huu mzigo na kupeleka nchini kwao β€” Wawekezaji wakubwa wote watakula huu mzigo na kujua hali ya
Tweet media one
129
160
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Zamani shule zilikuwa na magari , siku hizi Shule hazina vyoo wala maji safi na Salama Tunaenda kwa kurudi nyuma
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
146
153
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mazishi ya baba VS Leo Chato
Tweet media one
Tweet media two
126
67
1K
@lifeofmshaba
Think Different
17 days
Mtoto wa mama ambayoni DED anavyotesa raia Kilwa ni kama tuko kuzimu No government
Tweet media one
65
69
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Makerere University Graduation: Honorary procession, July 1970: Presidents: Julius Nyerere (Tanzania), Mzee Jomo Kenyatta (Kenya), Kenneth Kaunda (Zambia) & Milton Obote (Uganda) in procession. Carrying the mace is incumbent Kisumu Governor Prof. Anyang Nyong (father of Lupita)
Tweet media one
20
180
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mbowe sio Gaidi
Tweet media one
40
118
1K
@lifeofmshaba
Think Different
13 days
Nchi inaelekea kugumu John Walker
Tweet media one
68
48
1K
@lifeofmshaba
Think Different
8 months
Ukonga leo jioni
Tweet media one
112
72
1K
@lifeofmshaba
Think Different
11 months
Tuanzie hapa
Tweet media one
160
146
1K
@lifeofmshaba
Think Different
6 months
BASATA itauwa hivi vipaji very soon kupitia usajili wa kazi
63
344
1K
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Hatua ya Spika wa Bunge Mh. Job Ndungai kuendelea kutambua wabunge waliovuliwa uanachama na CHADEMA kwa tafsiri ya moja kwa moja ni sawa na kuvunja Ibara ya 71(1)(e) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 kama ilivyoainishwa. #LindaKatiba #KatibaMpya #ChangeTanzania
Tweet media one
42
99
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Makonda si aonyesha namna alivyolipa hii plot !! au ukiwa na document hivi tu inakuwa mali yako ? Proof of payment hapa ni muhimu au sababu za kuamisha hiyo ownership Tuma ya maadili ya uongozi inajua kuhusu umiliki wa hii mali?
Tweet media one
172
88
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Rais Samia akikabidhiwa black diary 😎😎
Tweet media one
43
66
1K
@lifeofmshaba
Think Different
5 years
Tatizo bongo kila mtu anafanyakazi sio yake, MC Pilipili anafaa kwa bongo movie zaidi, ange dramatize mambo huko tukapata burudani kali na kuweka kimataifa kama Nigeria
345
72
984
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Huko Cameroon Mabasi 89 yaliyotumika kusafirisha team za AFCON 2021 yamepotea
82
24
980
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Ila @kigogo2014 ni mpambo wa gass ukifumuka ni mabalaa tu, hapa nimeshindwa nianze na tweet ipi, Yaani na njaa yote hii kuna watu wanapiga 23milioni kwa vikao vya miezi mitatu mfululizo,? na msharaha juu? Unufaike hivi utakubali kukosolewa kiongozi kweli?
25
50
1K
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Classic
Tweet media one
107
86
987
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
😎😎😎
Tweet media one
39
23
989
@lifeofmshaba
Think Different
4 months
CDF ni mama amemwambia Samia we are tired Kosa ni Samia kumtoa, maana CDF awezi kuwa pekee yake kwenye kauli ya Wakimbizi kuteuliwa nafasi na Maamuzi neno kuteuliwa nafasi za Maamuzi ni direct kwa Samia yeye ndiye anayefanya hayo Samia anatakiwa kuelewa Jeshi aliko Happy na
Tweet media one
89
196
995
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Madai ya katiba mpya ni madai ya kurudisha nchi kwa wananchi, kwa sasa nchi iko mikoni mwa wanasiasa , maendeleo na mafanikio ya nchini yamekuwa kiduchu. #KatibaMpya #ChangeTanzania
Tweet media one
15
113
959
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Wanageria wakataa udikteta #June12thProtest
Tweet media one
Tweet media two
24
104
946
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Hata ningekuwa mimi nisingekubali debate na @TunduALissu ukizingatia hizi line - Mwanasheria mbobezi - Human Right abuse nchini - Idea yake kwa wafanyakazi and TRA - Sheria mbaya tulizotunga hivi karibuni - Yeye kupiga risasi - Ujasiri wake wa kuongea SASA TUSIDANGANYANE
33
97
968
@lifeofmshaba
Think Different
29 days
Wenye kumbukumbu zao tunaomba tusaidieni hii kitu ? alisema kweli haya maneno? Pamoja sikuwa ninaamini huyu mzee, kama ilisema hii kitu ina maana kunauwezekano saa mbovu ilisoma wakati sahihi
Tweet media one
132
128
975
@lifeofmshaba
Think Different
2 months
ISSUE YA BWAWA LA NYERERE NA MAFURIKO -- Bwawa limelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje n maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa -- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa -- UNECO waonya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
214
156
967
@lifeofmshaba
Think Different
24 days
Kuna sababu gani za kuijenga Upya Muhimbili? Badala ya kujenga Hospital nyingine kabisa ku replace Muhimbili ili iwe Hospotal ya Mkoa wa Kinondoni ? Hiyo 500 bn mngepeta hospital mpya tusonge
Tweet media one
102
54
965
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
PLO Lumumba anaongea kama vile yuko Buguruni!!! Kwamba anajua sana the heart beat of Tanzania, huyu ni msomi anayependa Pombe, matokeo yake amekuwa kipofu
41
41
915
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Kwenye maombolezo mtuache kila mtu aliye style yake, Tanzania ina tamaduni nyingi, kuna makabila misiba na sherehe vinafanana
38
54
922
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Hii pumzika kwa Amani shujaa wa Dunia ina maana gani ? Shujaa wa Dunia !!
56
27
896
@lifeofmshaba
Think Different
1 year
Gen David Masuguri 104 Mwamba
Tweet media one
40
40
921
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Sirro yuko Dar hapo ni USA
Tweet media one
51
72
900
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mama yetu naona anaendeea vizuri , Mungu amtangulie
Tweet media one
88
40
880
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Ukitaka kujua wabunge 19 ni wa Job hata suala la kukamatwa mwenyekiti wa chama ambacho wanadai wanakiwakilisha wamekaa kimya Kuna ushahidi gani zaidi ya huu kwamba hao wabunge ni wa serikali 19 !??
50
89
879
@lifeofmshaba
Think Different
5 months
Huyu mdau ndiye anayedhalilisha Jeshi Mpaka sasa yuko Kimya kutokana na Amri aliyopewa na CHALAMILA Hakuna wakati tumekuwa na CDF mnyonge kama huyu You must resign umeshindwa kulinda Heshima ya jeshi na wanajeshi
Tweet media one
116
100
910
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
DC Sabaya na RC Chalamila ni jaribu jepesi kwa mama @SuluhuSamia kuhusu utawala bora. Raisi mwenye kutambua utawala bora hawa sio watu wa kuwa ofisini Mpaka sasa
32
69
886
@lifeofmshaba
Think Different
6 months
Huyu jamaa kwenye tuta ndio ana overtake mabisa nini maana ya tuta sasa Polisi Moshi kazi kwenu
Tweet media one
187
39
903
@lifeofmshaba
Think Different
10 months
Watumishi wa umma wawe makini sana na Aweso Huyo sio tu waziri kuna ya ziada, Aweso akilalamika uponi , ameshikilia penyewe kabisa Kuweni makini sana na huyu mbunge waziri, wakubwa tunaelewana Engineer kutupa kikaratasi amefukuzwa kazi , it is personal alishika waya
Tweet media one
93
45
904
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mbunge yamemtoa machozi Nchi ina mambo mengi hayako sawa mengi sana Ubaya tumekataa kugatua madaraka kwa kubadilisha katiba Lakini huyu jamaa likuwaje Mbunge bila kujua hii hali ? Aligombea ili afanye nini ? Hakujua hali ya Shule jimboni kwake ?
286
158
873
@lifeofmshaba
Think Different
17 days
Kwaya ya Machawa
Tweet media one
26
66
901
@lifeofmshaba
Think Different
5 months
Mtaalamu anapiga chai
Tweet media one
23
27
893
@lifeofmshaba
Think Different
15 days
SGR Fedha imekata kabisa, ilikata kitambo sasa imekauka YAPE Merkezi imeondoa wafanyakazi wote kazini Suala kubwa ni kutokana na serikali kushindwa mradi Juzi Serikali imeomba Kampuni la kichina kutafuta hela ya Tabora To Kigoma na Pia Isaka to Mwanza Wakati huo
Tweet media one
115
115
899
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Anayeendesha kwa sasa Sio mwanamke ni mwanaume, please who is this man !!?
Tweet media one
99
83
860
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Mh Majaliwa (PM) , Amesema hali ni mbaya, lakini pia Msando amesema hali ni mbaya, ila Msando amekamatwa, !!!!
51
47
860
@lifeofmshaba
Think Different
7 months
JK is very visible , kwani hatuna balozi hapo FINLAND JK ana uzito gani sasa naye ni mstaafu tu ?!!! Tuambieni cheo cha sasa cha JK serikalini
Tweet media one
125
53
891
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Kuna chance hii week yote ikawa wiki ya @TangaFresh sasa na nyie msishangae tunaomba content ya wiki nzima πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
19
101
858
@lifeofmshaba
Think Different
2 months
Wakati wa Magufuli walau unaweza sikia anasema furani ni msaliti wanajeshi mnajua cha kufanya Lakini sasa unashangaa tu umetekwa au umepigwa marisasi Ole Sendeka ameshambuliwa na watu wenye silaha, walianzia kumfuatilia kwa muda kabla ya tukio Huyu ni mbunge na mwana CCM
Tweet media one
Tweet media two
61
85
889
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
β€œNaamini dunia itajua ukweli wa kile kinachoendelea Tanzania na kile tunachokipitia watanzania.” -- @freemanmbowetz #ChangeTanzania #DemokrasiaYetu … #FactsCheck : Kuna walidhani haya mambo yamekwisha, tatizo ni sheria, dawa ni #KatibaMpya
Tweet media one
19
108
852
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Tumeshindwa kabisa kuhudumia Shule zetu , huu ni upuuzi gani ?
Tweet media one
167
75
849
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Rais Samia amepata wapi bajeti ya hii project Yake ?
100
40
840
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Genge la kwanza analotakiwa kuanza nalo mama @SuluhuSamia ni wale jamaa wanatafsiri Sheria kwa Kiswahili - Ni hatari sana kufanya haya mambo kwa kukurupuka - Wataalamu watueleze je Kiswahili kina maneno ya kutosheleza kiasi cha kutumia kwa mahakama zetu? Kuna lugha zina vikwazo
37
57
852
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Tumefika hapa πŸ˜‚πŸ˜‚
Tweet media one
38
49
854
@lifeofmshaba
Think Different
6 years
Katoto ka mwenye Nyumba wangu kana mimba na hakajasema ni ya nani....sasa mimi nafikiria kuhama maana ni kaongo sana.πŸ€”πŸ˜Ž
105
69
833
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mhe Raisi @SuluhuSamia suala la uamsho liko chini ya watumishi walichini yako, hakuna anayetaka uingilie kesi lakini waulize kwa nini hii kesi imekuwa ya muda mrefu hii. FreeUamsho #ChangeTanzania
Tweet media one
18
76
835
@lifeofmshaba
Think Different
6 months
Kumbe chaguzi za CCM ni za kimafia hivi? wana Green Gadi wanaweza kukutoa Roho kwa kuuliza Swali, Huyu kijana anastahili pongezi anazomewa na ukumbi ila akakomaa, safi sana . Awe makini hawa watu wanapenda sana damu
118
203
871
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Mzigo umeanza kurudi state house last time ulipiga kweli kweli numbers
42
51
836
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
β€œNi mzigo mzito kwa kiongozi kuwaongoza watu ambao hawakukuchagua.” #HekimaZaBagonza #ChaguziHuru #99Nyeupe #ChangeTanzania
Tweet media one
25
77
850
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Sirro angepumzishwa amechoka
71
64
828
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Maisha ni darasa
83
123
842
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
β€œTumwambie Samia Suluhu Hassan kwamba tunataka kurudi kwenye katiba ya Warioba, iwe shari, iwe kheri.” @TunduALissu #KatibaMpya #ChangeTanzania
Tweet media one
20
94
829
@lifeofmshaba
Think Different
4 years
Tanzanias former Minister of Defence Prof. Philemon Sarungi (L) and his daughter Maria enter to sign the book of condolences for former President Benjamin Mkapa at his home in Dar es Salaam, Tanzania, on July 24, 2020. - Former Tanzanian president Benjamin Mkapa,
Tweet media one
22
69
833
@lifeofmshaba
Think Different
3 years
Uchambuzi mzuri sana huu
61
163
824
@lifeofmshaba
Think Different
7 days
Wahuni wametoa copy serikali ya mama Hii video ilipelekea mtu akapelekwa Cuba
50
210
974
@lifeofmshaba
Think Different
2 years
Mahakama na Kubenea watuambie nini kinaendelea !!? Kwa nini mahakama imekubali kudhalilika vihi na haya maigizo ?
Tweet media one
51
47
822
@lifeofmshaba
Think Different
5 years
A380 ikiwa na watu 300 ya shirika la Uturuki inasemekana umeweza kwepa tukio la kigaidi kutokana na umairi wa rubani na uwezo mkubwa wa ndege hiyo kuweza kukubali kubadilisha mwelekeo kwa haraka na ufanisi
133
183
817
@lifeofmshaba
Think Different
8 months
Makonda ndiye alinipendekeza niwe makamu
60
140
851