Yani Dr Slaa, Balozi mstaafu, Mwenyekiti wa bodi na mwanzilishi wa CCBRT, Katibu mkuu wa zamani wa TEC, Mbunge, Mwenyekiti wa Kamati za Bunge nk anaandamana kwa ajili ya reforms tena kwenye mvua wewe mtu ambaye kitu unamiliki ni pair ya matako unamcheka. Mungu anakuona.