Who’s to blame if repression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise to his feet! Whoever is lost must fight
UWANAHARAKATI wa Haki za binadamu, UHURU wa Mahakama, UTAWALA wa Sheria si mapambano dhidi ya Serikali.
Serikali inayopenda HAKI itawakumbatia wanaharakati wa aina hii. Serikali inayopenda DHULMA itawaona ni ADUI.
Sijasahau maneno haya. Nilishangaa walivyomshangilia mtu anayesema angepoteza watu. You people are not SERIOUS
@CCMTanzania
. Endeleeni kucheka na kupiga makofi!!!
Nancy Pelosi ana miaka 80 na bado anapiga SPANA 🔧 🔧 nyingi tu. Mimi nina miaka 51, Mungu akinipa uhai nina miaka zaidi ya 30 ya kupiga SPANA. Siendi popote.🤣🤣
Innalillah wainnaillahy rajioun Leo nimeamka na huzuni. Aunty yangu Mpendwa Amne Rifay, mke wa Salim Ahmed Salim, amefariki dunia. She only ever showed me love. I will miss her loads.
Ahsanteni nyote mlionitakia siku njema ya kuzaliwa. I celebrated it yesterday in the company of people I 💕 and for that I am grateful. Nakutakieni siku njema.
Ninataka kuwashukuru:
1. Peter Kibatala
2.Rugamaleza Nshala
3. Prof Shivji
4.Mike Ngalo
Na wote mlionisimamia kesi yangu mbele ya jopo la Majaji wa Mahakama Kuu
🙏🏾
Naona picha yangu na Mwalimu imependwa sana. Wacha nitoe background. Mwalimu alikuwa kama Babu yangu. Siku moja nikiwa kwake Msasani 1986 kasema: “Huna picha na mimi. Wacha niite wapiga picha watupige.”
Baada ya lunch akaelezwa wapiga picha wamefika.
Sijaelewa bado. Mbowe anavunjwa mguu usiku wa J3 baada ya Tundu kutangaza NIA ya kugombea URAIS. Ina maana Tundu anapelekewa UJUMBE? Na mtavunja miguu ya watu wangapi? Mtapiga risasi watu wangapi? Mtapiga visu watu wangapi? Na MPAKA LINI? Maana mwisho UTAFIKA tu!
Ninamjua Balozi Katanga personally. Alikuwa Chief Administrator wa Mahakama. Ni mtu mwema sana. Ni mstaarabu na mwenye busara na anaheshimiwa na Civil Service na anakidhi matakwa ya SHERIA kuwa Chief Secretary wa Rais. Mnamuombea kila la Kheri.
Hamjambo? Mnaomjua Cyprian Musiba mwambieni Mahakama Kuu ya Zanzibar, ndio pale VUGA, yametoa HUKUMU leo. Yamesema ni yeye na GAZETI lake wameandika UONGO dhidi yangu.
Sasa anatafute 7.5 billion za kunilipa!
Hii Tweet ni kwa WAMBEYA WOTE wanaotaka kujuwa Chama changu cha SIASA - kinaitwa “NONE OF YOUR BUSINESS” na hakijasajiliwa na Francis Mutungi. Rangi zake ni
#88Nyeupe
na Dira yake ni
#TumeHuruYaUchaguzi
Nadhani Tumeelewana. Nawatakia WAMBEYA wote siku NJEMA! 🤣
Makonda ndugu yangu, Mimi ni MJUKUU wa RAIS na MTOTO wa RAIS. Wache nikufundishe Newton’s LAW: WHAT GOES UP MUST COME DOWN! 🤣🤣 - KINACHOPAA LAZIM KISHUKE! Hakuna anayepaa MILELE! Kuna siku utashuka tu.
Picha hii ya tatu na mimi nikajifanya STATESWOMAN nikaanza kutembea huku naongea nae. 😂😂 Hii ndio picha iliyopendwa na Mwalimu akaweka sahihi yake na kusema “For Fatma. With love from Julius K. Nyerere”. Nina Bahati sana kupendwa na mashujaa: I miss u JKN!
Mwanaume MPUMBAVU akitaka kupambana na MWANAMKE SHUJAA hatumii HOJA maana hana AKILI za HOJA. Atasema maneno yakiSHENZI kama: Mimi naweza kukuoa wewe! Kama vile NDOA ni USHINDANO wa KIJINSIA anaoushinda ME! Sitaki MASKHARA ya UBAGUZI wa KINJINSIA! Mpumbavu WAHEED!
Suad Al Lemky mwanamke wa kwanza kutoka
#Zanzibar
kuitwa kwenye Bar ya England and Wales. Ninafaraja kuwa nimefuata nyayo zake na mimi nilivyokuwa Barrister wa Middle Temple mwaka 1998.
2016 Magufuli alisema ikifikapo 2020 Upinzani utakuwa umekufa. Na kweli CDM na CUF walikiona cha mtema kuni. Lakini kuna watu wachache tulisama tukaanza HARAKATI za kupigania DEMOKRASIA. Tumekomeshwa kweli lakini ni 2020, na UPINZANI uko HAI. Hapiti bila ya KUPINGWA! 🙏🏾🙏🏾
Naomba nisema hivi:
Sipendi anachokihubiri Gwajiboy kuhusu Covid 19; lakini ana HAKI ya Kikatiba ya kuyasema hayo, na nitatetea HAKI yake ya msingi ya FREEDOM OF SPEECH.
Hii helikopta ni Airbus H225 lifting power about 5 tons. Kazi yake: SEARCH and RESCUE.
Jana imetumiliwa kumpeleka Majiliwa kutoka Mwanza mpaka Bukoba wakati wananchi wanavuta ndege kwa kamba.
Allahamdullilah
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Nimealikwa lunch na Rafiki yangu. Ni mtu private sana lakini anajijua na ninataka kumshukuru
I know it’s going to be a wonderful lunch. Thank you
Wakenya naomba ni mwambieni nyinyi ni watu WEMA sana! Ahsanteni kwa UUGWANA wenu mnaoneshea COUSINS wenu waTZ. Maana kila wakipiga risasi, wakipiga mabuti YOU WELCOME US AND THEN SEW US BACK TOGETHER.
🙏🏾🙏🏾🤗🥰 Cousins forever Jamani! 🤣🤣
Ninataka kuwashukuru WOTE waliyehakikisha siku aliyeuliwa Babu yangu inakumbukwa
#Tanzania
hususan Benjamin Mkapa. Mechukuwa siku HASI mkaifeuza CHANYA kwa kusheherekea maisha ya Abeid Amani Karume. Ahsanteni 🙏🏾na nakutakieni nyote a WONDERFUL KARUME DAY.
Jamani kuna watu wamepata misukosuko nchi hii lakini wamesimama na wametupa HOPE sote:
Ahsanteni nyote mliosimama baada ya mapigo.
Mmeonesha WaTZ si woga. Ni watu KAREEM tu. 👏👏👏
Leo nilivyokuwa narudi kutoka kazini nimekutana na Shangingi la Hussein Mwinyi namba plates W UL. Lilikuwa likokwenur foleni kama wananchi wengine. Dereva kafuata sheria za barabara. Huu ndio UUNGWANA na KUHESHIMU UTAWALA WA SHERIA! 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ummy alikuwa Waziri na akatunga hii SHERIA ya pharmacy kuwekwa 500m kutoka hospitali.
Swali kwa Ummy:
Mganga gani alikwambia 500m ni special number inayozuia WIZI?
🤣
Mnatesa wagonjwa tu maana dawa hamuweki hospitali na sasa mnataka watembee zaidi ya 500m kuzinunua.
Nataka kuwashukuru NYOTE mnaonifollow. Nimefika followers 700k. Thank you to ALL. Mmeruhusu FIKRA na MAWAZO yangu yakufikieni. It’s a true HONOUR!
❤️❤️❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Eti wanataka kuidhibiti BBC? 🤣 Hebu nicheke mie. Mugabe alijaribu: alivyopinduliwa WALIRIPOTI kwa video. ALIVYOFARIKI, wakaripoti. Nkurunziza pia alijaribu. Alivyokufa BBC wakaripoti kafa kwa CORONA. Abbasi anacheza na PROFESSIONALS. Ataondoka yeye BBC ataiacha! Mark my words🤣
BREAKING NEWS:KIKAO CHA KAMATI YA MAADILI YA MAWAKILI KILICHOKAA LEO TAREHE 23/9/2020. KIMEMKUTA NA HATIA YA KUKIUKA MAADILI KWA KIWANGO CHA JUU, WAKILI
@fatma_karume
(ROLL 848) NA HIVYO KUAMURU JINA LAKE LIONDOLEWA (PARMANENT REMOVAL) KATIKA ORODHA YA MAWAKILI TANGANYIKA.
Naomba niulize swali:
1. Je Diamond alimpigia debe Magufuli?
2. Je alimfanya Makonda MLEZI wa Wasafi?
3. Je alitusii tukae kimya wakati watu wanapotea?
Kuto kumpa support
#betawards2021
si CHUKI ni kuonesha kutokubaliana na SIASA na HARAKATI zake.
Tukumbushane: Hakuna MAPOKEZI ya CCM yaliyekosa ULINZI wa POLISI. Kwanini MAPOKEZI ya CDM hayajalindwa? Walidhani WANANCHI watafanya VURUGU ili wailaumu CDM? Maana haya yote yamepita AKILINI mwangu. Siku imeisha kwa SALAMA. Allahamdullilah Hakuna aliyeumia. Usiku Mwema
Leo Magu katuma message kubwa kwa mababa. Thubutuni na mtaona kama watoto wenu watabaki kuwa mawaziri; wabunge; makatibu wakuu! 🤣🤣😉😉 Message sent and delivered kwa WAZEE!
Luteni wa JWTZ anasema Mbowe kamuomba amtafutie makomandoo wa JWTZ kufanya UGAIDI, na huyo luteni kakubali kumtafutia Mbowe magaidi wa JWTZ.
CDF do you not see there is a problem here?
Maana JWTZ sasa imekuwa TRAINING CAMP ya MAGAIDI! Kuna watu wana AKILI ndogo sana!🤣🤣
Leo Mahakama Kuu imeamuru Wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi ni uvunjifu wa Katiba yetu. Ahsante Bob Chacha kwa kunichagua kukuwakilisha kwenye hii Kesi muhimu kwa wa TZ sote.
Hamisi, hata ungekuwa mwanaume wa mwisho duniani nisingekubali kuolewa na mtu DEODORANT hajui kutumia; Hebu shika adabu zaku na jifunze kutumia akili badala maumbile mengine! Ulivyokuwa MJINGA hata huelewi kwamba hayo maneno yanamdhalilisha MKEO na WATOTO wako! Ijumaa Kareem
Naomba niulize:
Kwanini Masheikh wakiislamu wanakamatwa na kuwekwa ndani na kesi haziendi lakini wachungaji kama Gwajima wanafika hadi ya kusema watageuza miskiti Sunday Schools na wanapewa FOMU za UCHAGUZI za CCM? Maneno ya Gwajima si UCHOCHEZI?
Samia Suluhu kasema Magufuli alikuwa mgonjwa kwa muda.
Swali:
1.Wale WaTZ ndugu na jamaa zetu waliyekamatwa na kufungwa kwa kusema Magufuli mgonjwa watatolewa?
2. Tumejifunza kwamba Rais ni binadam, na anaumwa na anaweza kufa au bado tutaendelea kuumizana?
Eti niamuwe kuingia kwenye SIASA halafu nisekuambieni NYINYI, FOLLOWERS wangu? AMA kweli nitakuwa sina SHUKRANI! 🤣🤣🤣 I can assure you! YOU WILL BE THE FIRST TO KNOW!! 👍🤝🤝
Kwa kifupi sana maana nimebanwa!
👉Waraka wa TISS political Desk kwenda kwa DGIS juu ya maofisa wa TISS waliogombea ubunge CCM
👉Vicent Mbogo ni mlinzi wa Meko- yaani katoka TISS kaenda kugombea ubunge CCM
👉Ighondu ndiye alimteka Dr Ulimboka
👉Katambi mnajua sasa why kateuliwa
Kuna shortage ya Helium duniani. Guess what? Inapatikana Rukwa! Serikali ianze kuchacharika na kuhakikisha investors wanaanza kuchimba huko. Waache siasa za kwasakwasa na wafanye siasa za maendeleo. Good morning everyone.
Jamani CDM na ACT kuna kitu kwenye SIASA kinachoitwa TARGETTED unseating. Mnaona CCM wanavyo TARGET kiti cha Mbowe HAI? Kelele NYINGI: ANZENI KU TARGET VITI vya watu wao pia e.g
1. Ndugai
2. Kabudi
3. Tulia Ackson
4.Chato
Pigeni KAMBI huko. Wekeni MAHEMA kabisa🤣🤣👏 TIT FOR TAT
#Tanzania
has woken up to the news that Pres. Benjamin W. Mkapa passed away last night. I will remember him as the man who took our economy from the ICU to recuperation ward and set the foundation for economic growth. I wish him peace on his final journey.
Leo MUSIBA asingetoka kitandani kabisaaaaa! Maana kapigwa tofali na CC ya CCM na huko VUGA Preliminary Objection yake imetupiliwa mbali. Namsubiri September aliteushahidi nimetiwa mimba na muuza UNGA wa GHANA! 🤣🤣🤣
It has been a horrendous 5 years in
#Tanzania
but I am grateful and proud that I kept my HUMANITY even when evil was the order of the day. Thank you to all who made these 5 years bearable.
Sipendi kabisa kutizama nyuma kwa kutoa lawama. 2015 kulijitokeza wanaCCM 48 kugombea URAISI. CC wakachaguwa 5 BORA kati yao, Magufuli. NEC wakatoa mCCM BORA kuliko wote kumkabidhi NCHI ya watu 55m: MAGUFULI! Swali langu: is this the BEST you had to offer us?
Nimetoka kusoma WARAKA wa Mzee Makamba na Kinana ulioandikwa kwenye karatasi za CCM. Kumbe CCM sio ya wakina Polepole pekee? Ama kweli “HAKUNA CHA PEKE YAKO”! Nakunywa gahwa yangu mie. 🤣🤣