Fortunatus Buyobe Profile Banner
Fortunatus Buyobe Profile
Fortunatus Buyobe

@fbuyobe

95,810
Followers
831
Following
8,629
Media
19,261
Statuses

Pool of thoughts. A commander of the hand to mouth battalion. Environmental Pioneer. Social Engineer. #CertifiedMchapaUzi . Telegram:

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2021
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Uzi huu ni List ya nyuzi zangu zote nilizoandika, ninazoandika na nitakazoandika #simuliziZaBuyobe #WameibaToolboxWamesahauFundi 1. MAUAJI YA BILIONEA MSUYA
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
In Every Crime,there is always a trail of evidence that is left behind. Fatilia mkasa huu wa mauaji ya kutisha yaliyotokana na kifo cha mtu mmoja tu. "A CHAIN OF MURDER CRIMES" UZI👇 #simulizizabuyobe
Tweet media one
109
143
619
68
220
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Nani anajua kirefu na maana ya E 1 kama inavyoonekana kwenye gari ya nyuma hapo pichani. E 2 na E 3ni nani?
Tweet media one
435
218
4K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Alfred kabigu leo uuze madafu kweli? Daah!
Tweet media one
181
168
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Tulizo la Wajane
Tweet media one
176
65
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Mtangazaji mnafiki kuliko wote. Kula chuma hicho
Tweet media one
346
147
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Ilikuwa ni mara ya kwanza nchini kushuhudia tukio hili la tarehe 6 December, 2016 ambapo maiti 15 zilivuliwa mto Ruvu- Bagamoyo mkoani Pwani ikiwa imefungwa kwenye viroba. Naam!
Tweet media one
67
304
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
Jan 22, 2024 kwenye kikao cha baina ya CDF na makamanda kwa upande mmoja, na Amiri Jeshi mkuu kwa upande mwingine, Mkuu wa majeshi alitoa kauli iliyoibua udadisi "Kuna wakimbizi wameteuliwa serikalini kwenye nafasi za maamuzi" Kauli hii ilikuwa ni nzito kutoka kwa mtu mzito.
Tweet media one
135
283
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
14 days
Jana ilikuwa ni siku ngumu sana kujigawa. Huku Irani, Huku DRC Tuanze na DRC Majira ya saa 10 alfajiri, milio ya risasi ilisikika katika mji mkuu wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Kinshasha Ikasemwa kuna wavamizi wameingia kwenye makazi ya rais Felix Tshekedi
Tweet media one
49
220
3K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Thursday 15th Oct 2019 Siku hii ilimkuta rais Magufuli akiwa ziarani Ruhangwa mkoani Lindi. Akiwa anawasalimia wananchi, ulitokea moshi wa ajabu na kumzonga akiwa ametoka nje ya open roof akihutubia. Akasikika akisema “Hii ndio Ruhangwa.. Hadi moshi?” Hotuba yake ikakomea
Tweet media one
67
325
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Hawa jamaa wakiandamana kutaka bei ya sukari ishuke, haimaanishi hawamudu bei ya sukari bali ni mapenzi yao ya dhati kwa kila mtanzania.
100
291
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
"Wakati Mh. Rais anaugua, sisi tulishirikishwa kama vyombo vya ulinzi na usalama.. Mimi nikiwa kama mwenyekiti wa wakuu wa vyombo vya usalama" "Tulikuwa tukienda kumuona Ikulu, asubuhi na jioni hadi baadae tulipompeleka Mzena" Uzi👇 THE CDF UNVEILS
Tweet media one
134
246
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Umma wa watanzania bado una kiu kubwa kufahamu nini hasa kilikuwa nyuma ya mauaji ya binti Martha Ndeonasia Towo. Kinachovutia udadisi huu,kinaanzia kwenye style iliyotumika kukatisha uhai wake Kwa nini wauaji walitaka ionekane kauwawa na moto na wala sio sumu? Then👇
Tweet media one
199
300
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Baada ya Erasto Msuya, kuuwawa kwa risasi 22 mnamo tarehe 7 August 2013, mambo hayakuwa tena sawa kwa familia aliyoiacha. Hii ni baada ya kuibuka zogo kubwa ndani ya familia hiyo.. Zogo lililovutia udadisi wa wengi jijini Arusha.
Tweet media one
51
267
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Ridhiwani: Mzee shikamoo Mzee Lowasa: Marahaba mwanangu, hujambo? Mzee Lowassa: Baba yako yupo wapi? Ridhiwani: Yupo! Anaendelea vizuri lakini kwa sasa amesafiri kwenda Ethiopia kikazi. Mzee Lowasa: Akirudi mwambie namsalimia sana Ridhiwani: Nitafikisha salamu zako. Haya ni
Tweet media one
40
217
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Koffi Olomide anahitimu chuo kikuu miaka ya 70 na kuajiriwa. Baadae anagundua hatengenezi pesa za kutosha akiwa ofisini. Hapa ndipo anaamua kukirudia kipaji chake cha muziki. Lakini ataanzia wapi?
Tweet media one
64
234
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Kabigu bwana🤣🤣🤣 Daaah, Op Kikwete hiyo, 2015 Mtabira Coy ....
Tweet media one
111
96
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
“Hapa inaonyesha ditching ilikuwa na impact kubwa sana. Sidhani kama hata hayo mawasiliano yalikuwepo. Huyo aliyesema waliwasiliana na Rubani hakika anatia shaka sana.” Bado macho makali ya TAI yako karibu kudadavua kinagaubaga Hebu soma nukuu chini👇
Tweet media one
128
191
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Anaweza kuja kuwa Rais aliyehudumu kwa muda mfupi katika historia ya Kenya. Ameanza kulazimisha wafanyakazi wa Ikulu kufunga kila J5. Chakula hakitapikwa na watumishi hawataruhusiwa kubeba vyakula vyao toka majumbani.
Tweet media one
207
91
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
8 months
KWA UFUPI chanzo kikuu cha vita isiyokwisha kati ya Israel na Parestina ipo hapo pichani Uzi
Tweet media one
136
244
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Adamoo akitoa salute ya heshima mbele ya Commander in chief kabla ya kuteuliwa kuwa gaidi.
Tweet media one
81
119
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
Muonekano wa msanii Ferooz kwa sasa kama alivyonaswa jana Leader's Club wakati wa kuaga mwili wa Gardner G Habash Time flies
Tweet media one
128
67
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
5 months
Ilikuwa ni moja ya familia ambayo kila mtu angetamani kuwa nayo nchini Rwanda. Kila mtu aliwapenda Walimiliki majumba ya kifahari, apartments, na mahoteli katikati ya jiji la Kigali. Kila jengo zuri lilisemwa linamilikiwa na familia hii. Lakini si hivyo leo
Tweet media one
63
178
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Waarabu waliambiwa wamkabe mwenye breach wanafika uwanjani wamekutana na breach kama milioni 😂😂😂
Tweet media one
63
104
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
MAKONDA RASMI MAHAKAMANI Mahakama ya Kinondoni imemwandikia Christian Makonda kufika mahakamani tarehe 3 February 2022 kujibu Miscellaneous Criminal Application Na. 1 ya mwaka 2022 na imepangwa kusikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi, Aron Lyamuya. 👇
Tweet media one
143
195
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Dinner ya Ikulu imekuwa mwiba kwa Yanga, Mapesa ya MAMA yanaanza kutokea puani Feisal lazima aachiwe kuwa mchezaji huru hata kama bado anabanwa na mkataba. Tena anaweza kuachiwa bila kutakiwa kuilipa Yanga Chochote. This is a Sad Truth
Tweet media one
274
74
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Huyu mwanamke maarufu kama Evelina aliimbwa hadi kwenye nyimbo, lakini akamtelekeza mwanetu Aurlus Mabele akiwa mgonjwa hospitalini
Tweet media one
165
107
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Msiba wa Edward Lowasa umetuachia mafunzo yafuatayo 1. Ili uwe mwanasiasa Tanzania unapaswa uwe na sifa zifuatazo (a)Usiwe na aibu (b)usiwe na hasira 2. Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka akiba ya maneno Lowasa ndiye mwanasiasa aliyetukanwa zaidi kuliko mwanasiasa yeyote
Tweet media one
102
316
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Retweet bila sababu yoyote
Tweet media one
19
864
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Kitendo cha Serikali ya Afrika kusini kushikamana na Urusi, kimeanza kumtokea puani rais Ramaphosa. Jana usiku akiwa safarini kwenda kwenye mkutano kutafuta ufumbuzi wa mgogoro kati ya Ukraine na Urusi lakini ndege yake ikiwa angani ilizuiwa kupita kwenye anga la nchini Italy
Tweet media one
87
72
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Naomba “Nipikwe” na Mohamed Salah, Hivi kuna kosa lolote for a muslim sending Christmas wishes for non Muslims? Pia ni kosa kwa waislam kusherehekea pamoja Christmas na non muslims? Angalia coments alizopata Mo baada ya kupost picha hii hapo chini
Tweet media one
374
109
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
“Uke unaonuka ni bora kuliko mkundu nadhifu”
Tweet media one
323
212
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
5 months
Hili jamaa liliuza timu inayoshiriki ligi kuu uingeleza kwa dola milioni 124 wakati hakuwa hata mmiliki wa timu hiyo.
Tweet media one
116
73
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
12 days
Huyu mzee atakuja kufia ulingoni
Tweet media one
76
61
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
Hawa jamaa nimejaribu kuwasa walipodai kilipo kijiwe chao bila mafanikio. Mwenye namba zao awashitue kuna tenda.
Tweet media one
67
85
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Ukimtazama jamaa unamuona nani?
Tweet media one
420
47
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
10 months
Tarehe 25 December 2017, Askofu Zakaria Kakobe akiwa kanisani kwenye ibada ya Christmas, katika kanisa la FGBF Mwenge jijini Dar es Salaam, alinukuliwa akituma salamu kwa Rais wa JMT, Dkt. John P. Magufuli. "Rais John Pombe Magufuli, nawe unatakiwa kutubu leo. Unaposherekea
Tweet media one
132
403
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Ukienda jijini London sasa hivi, ukafikia kwenye mtaa fulani usiovutia na ukafanikiwa kuona jengo moja lenye uzio mrefu sana,lenye ulinzi mkali sana, basi jua ndani yake anaishi mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 80
Tweet media one
106
243
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Rais Kagame amemteua Jenerali Patrick Nyamvumba kuwa balozi wa Rwanda nchini Tanzania. Uteuzi huu unasubiri approval ya receiving state. Jenerali Nyamvumba amepata kuhudumu kama mkuu wa majeshi majeshi ya ulinzi nchini Rwanda, Kamanda wa kikosi cha umoja baina ya AU na UN huko
Tweet media one
189
150
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
7 months
Hii picha angepiga Makonda ingesambaa dunia nzima
Tweet media one
73
177
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Majemedari yaliyovuka maji ya shingo bila kulowa mgongo
Tweet media one
31
94
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Huyu Mzungu huwa ana hasira muda wote. Yeye akipewa tu beat anaanza kufoka utahisi ndio anapambana kutoka kumbe tayari ni superstar.
Tweet media one
107
85
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
GARDNER G HABASH MSHUMAA ULIOZIMIKA UKIMULIKIA WENGINE On 20th April 2024, the cruel hand of death took you from us. Undeniably, those you left with us, celebrate each moment you shared with them in your lifetime. Naomba nikunukuu kidogo brother👇
Tweet media one
125
265
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Zuhura umejua kuniweza😭😭 Today i am being hit from both directions Left, right, Centre, within and without
Tweet media one
132
42
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Uzi👇 THE STRUGGLE (Sehemu ya 2) My sixth-gut inaniongoza kuamini kuwa rais Magufuli was in very critical condition kabla hata ya tarehe inayodaiwa alihamishiwa Mzena. “Nirudisheni nikafie nyumbani” Haya ni maneno ya kukata tamaa aliyoyatamka mwenyewe rais Magufuli baada tu
Tweet media one
58
270
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Retweet bila sababu yoyote
Tweet media one
13
612
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Mtoto wa waziri kayakanyaga
290
402
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Wiki mbili Kabla ya tukio, Mbunge mtundu alienda kwenye Msiba kijijini kwao Ikongo Mkoani Sidangi. Kikawaida hakuwa mtu wa kuelezea masaibu yake anayopitia kwa ndugu zake, Alikuwa ni mtu jasiri kila tazizo akipambana nalo. Lakini hapa msibani akavunja ukimya.
Tweet media one
105
325
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
ASKARI MSTAAFU ALIYEKUWA ANANYONGA WATU GEREZA LA ISANGA -DODOMA. Kifo kinatisha; kifo hakina huruma; kifo hutenganisha wapendanao, lakini kwa bahati mbaya, siku ikifika hakuna anayeweza kukikwepa.
Tweet media one
121
252
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Niliamua kujipa muda wa kutosha kabla ya kukiingilia kisa hiki ninachotaka kukichambua leo hii. Sina shaka hata kidogo kuwa wewe ndugu msomaji, umeshakisoma mitandaoni au kukisikia kisa cha binti mwanafunzi aliyepotea tangu tarehe 18 May mwaka huu.
Tweet media one
150
173
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Watoto wa juzi unaweza ukakuta hawamjui huyu lakini ni ukakuta wanasema wao ndio pioneers wa Bongo Flavor.
Tweet media one
203
105
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Daddy's daughter
Tweet media one
163
76
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
It is a tradition that we start with a greeting. UMUOFIA KWENU....! Yes, ule muda ambao nilikuwa nikiusubiri kuliko mlinzi asubirivyo asubuhi umewadia. Yes, nilisubiri Kesi maarufu kama “kesi ya Mbowe” iishe nitoe yangu ya moyoni.
Tweet media one
177
438
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
7 months
Ukifika jijini Mwanza na ukafanikiwa kufika mtaa wa Nyamuhongolo wilayani Ilemela, utaona nyumba kubwa ya kisasa. Ili nisikupoteze, wewe jua tu kuwa nyumba iliyopo mkabala na nyumba ya Albet Maliyangili, ndiyo nyumba ninayoizungumzia.
Tweet media one
95
185
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Unamaliza Chuo Mungu anakuona unapata kazi Benki. Maisha yako yanabadirika unahama kwenye nyumba ya familia Temeke Ulikokuwa unaishi na Mama,Dada na Kaka yako na Unahamia Masaki. Mungu anazidi kukuona, Unanunua gari IST ili atumie mama na kaka yako ambaye ni mlemavu.
Tweet media one
129
344
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Jamaa now kapewa Ulinzi si wa kitoto
Tweet media one
73
48
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
6 months
Naam! Aliyekuwa mke wa marehemu bilionea Msuya anayeshitakiwa kwa mauaji ya wifi yake Aneth Msuya inakaribia ukingoni. Dalili za "kutema ngeze" ziko wazi baada ya wazee wa baraza kutoa maoni haioni hatia dhidi yake. Uzi huu ni mtiririko wa matukio A-Z
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
120
229
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Wednesday,13th May 2015 Rais Nkurunzinza anaondoka Dar Es Salaam majira ya saa 12 na robo jioni kurundi nchini kwake Burundi. Anaondoka huku akiwa tayari ana taarifa ya kupinduliwa kwake
Tweet media one
58
185
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Yesterday I experienced Love. It was also a masterclass to learn, how a nice blend of leadership and parenting, emerges as a secret behind the succession plan in CHADEMA's youth wing. @freemanmbowetz is not only just a leader in his party but also a devoted parent.
Tweet media one
50
139
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Huyu anaitwa Mogire, mmoja wa majeruhi wa ajali ya helicopter iliyomuua CDF Ogola wa Kenya. Huyu aliruka nje ya ndege ati! #KenyanRambo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
138
81
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
11 months
Leo kumekuwa na mjadala mkubwa baada ya kusambaa barua ya Jaji wa mahakama ya Rufaa,JA MUGASHA ambayo amemwandikia Mtendaji mkuu wa Mahakama. Kama mnahisi jambo hili ni jipya, mwanasheria Tundu Antipas Mugwai Lissu alishafanya kitu kama hiki miaka 11 iliyopita. Uzi👇
Tweet media one
81
246
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Walisoma sheria wanajua evidential value ya "Dying declaration" Harmonize will be in and out for it
Tweet media one
115
47
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Ukienda jijini London sasa hivi, ukafikia kwenye mtaa fulani usiovutia na ukafanikiwa kuona jengo moja lenye uzio mrefu sana,lenye ulinzi mkali sana, basi jua ndani yake anaishi mzee mwenye umri wa miaka zaidi ya 80
Tweet media one
28
108
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Si wauza madafu... Haya bwana
Tweet media one
106
75
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Umemtambua Mwalimu gani?
Tweet media one
227
37
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Unaambiwa ukimfukuza chizi ondoa na makopo yake kwani ipo siku atayarudia.
Tweet media one
42
53
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Alikuwa ni mtaalamu kwenye maswala ya anga jeshini. Akiwa amehudumu kama mkufunzj kwenye chuo cha jeshi cha anga. Pia akiwa kama makamu kamanda wa jeshi la anga nchini mwake. Isingewezekana apande helicopter mbovu.
Tweet media one
77
112
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Kati kati ya mwezi January Mwaka 2012 rais Kikwete alisafiri kwenda Davos Uswisi kuudhuria mkutano wa Uchumi wa dunia (World Economic Forum)   Huku nyuma nchini mwake aliacha kukiwa na mgogoro unaofukuta chini kwa chini baina ya madaktari na mwajiri wao.
Tweet media one
67
203
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Zainab, wherever you are, receive my greetings. We have heard from you, It is now the time , the rest of the world listens what actually transpired. Stay tuned. 19th April 2022 2130HRS Venue: Here
150
206
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Wengi wetu ni kama bado tumepigwa na bumbuwazi kwa yanayotokea sasa hivi nchini Urusi. Ni kuhusu jaribio la mapinduzi,wanamapinduzi wakibakiza masaa mawili kufika Moscow na kisha kuhairisha Kinachoshitua watu ni anayetajwa kuwa kiongozi wa mapinduzi haya bwana YEVGENY PRIGOZHIN
Tweet media one
86
132
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Uzi! Video hatua kwa hatua, mashambulizi ya Crocus City Hall, Urusi. (Samahani baadhi ya video ni za kutisha) 1. Manyamera wakiwasili kwenye jengo la Crocus City Hall wakiwa ndani ya gari jeupe aina ya Renault.
Tweet media one
43
136
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
10 days
Yeyote anayemfahamu huyu dogo, awasiliane nami ili apate kitambulisho chake alichopoteza
Tweet media one
532
134
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Sihalalishi kilichotokea! La hasha! Lakini hebu tujaribu kuvaa viatu hivi. Nilikutana na wewe mke wangu akiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni. Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi.
Tweet media one
66
188
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Kuna mdau aliulizia shule alizosoma akiwa Tanzania. Nitamjibu ifuatavyo. 1.kasoma O level Sangu secondari Mbeya. 2.Kasoma A level Zanaki. Akiwa mwanafunzi pekee wa kiume.(ulikuwa ni mpango maalum wa system kwani alikuwa anaandaliwa kisiri)
Tweet media one
85
249
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 months
Sorry if I may ask. Huyu WILLY ndiye KABURU aliyekuwa mpambe wa CHUSA au mwingine? I'm working on something
Tweet media one
60
54
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Wakili wa Mchungaji Paul Mackenzie Nthege aliyewaamuru waumini wake wafunge kula hadi kufa ili kwenda Mbinguni, ameutaka upande wa mashtaka kuthibitisha kama kweli roho za marehemu hazijaenda mbinguni.
Tweet media one
208
101
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Rest in Eternal peace Kipenyo mstaafu (RSO) Lyatonga Mrema. Nimekumbuka mkasa wako mmoja ukiwa waziri wa mambo ya ndani. Kulikuwa na tabia ya wahindi kupiga picha na Viongozi kisha kuzibandika kwenye maeneo yao ya biashara au maofisini kwao.👇
Tweet media one
74
152
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Tanganyika ilirithi jeshi kutoka kwa wakoloni wa kiingereza baada ya Uhuru Dec 9 1961 likijulikana kama KING’S AFRICAN RIFLES(KAR) na baadae kuitwa TANGANYIKA RIFLES(TR) Baada ya Uhuru,ili kukidhi matarajio ya watanganyika, zilitakiwa nafasi zote za juu za utawala
Tweet media one
Tweet media two
18
212
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
10 months
Atafurukuta weee lakini mwishoni lazima amlipe mkewe mshahara.
Tweet media one
45
72
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
Angekuwa @bajabiri sijui angekipa marks ngapi kitongoji cha Mwandiga, Kigoma. I normally say this, In the entire animal kingdom, a human is a very complex animal. Kwa nini nasema haya? Just read me..
Tweet media one
53
166
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Mwijaku ndani ya mtumbwi wa Kibwengo
Tweet media one
177
53
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
8 months
"Hatukupata ishara ya aina yoyote bali shambulio hili asubuhi hii lilikuwa ni total suprise. "Haikuwa kabisa kwenye fikra zetu na hatukujua kama wana makombora ya aina hii na hatukujua kama yangetumika kwa ufanisi kiasi hiki leo hii". "Tunashuku makombora haya yaliingizwa Gaza
Tweet media one
46
212
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
17 days
Kadili unavyonunua simu mpya, ndivyo kadiri unavyowafaidisha wababe wa vita (warlords) na wabakaji wa halaiki ya wanawake wanaonufaika na madini ya magendo nchini DRC. Nina hakika hujanielewa.. Lazima utakuwa unajiuliza matumizi yako ya simu yanahusika vipi? Usihofu! Nisome👇
Tweet media one
31
225
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
7 months
Mwishoni mwa mwaka 2004 kabla hajaingia madarakani, mwishoni Mwaka 2005 akiwa Madarakani na hata miaka iliyofatia katika utawala wake, Rais Kikwete alipata Changamoto kubwa sana ya ujambazi kwenye mabenki.
Tweet media one
49
134
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
2 years
Hakutaka kwenda mbali.
Tweet media one
105
54
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Fear women Pamoja na Aurlus Mabele kumuimba Evelina, akaishia kumuacha kutokana na kuugua muda mrefu and being broke.
Tweet media one
63
101
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
11 months
Wazungu wawili pichani ni Joshua French na rafiki yake Tjostolv Moland. Wote ni raia na wanajeshi wa zamani wa Norway Mwaka 2009 walifungua kampuni ya SIG iliyokuwa inajihusisha na ushauri wa mambo ya kiusalama nchini Uganda. Wakaona biashara hii haiwalipi
Tweet media one
32
68
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Haikupita muda mrefu tangu kukutwa kwa gari la marehemu likiwa limeteketea kwa moto. Siku tano mbele yake, yaani tarehe 14 March, 2018 wavuvi waliokuwa wanavua samaki mto Ndabaka walivua kiroba kinachoelea mtoni
Tweet media one
71
210
2K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Zimepigwa Fix nyingi sana kuwachafua majamaa
Tweet media one
109
50
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
Mwaka 2004 kabla hajaingia madarakani, mwishoni mwa mwaka 2005 akiwa Madarakani,na hata miaka iliyofatia katika utawala wake, Rais Kikwete alipata Changamoto kubwa sana ya ujambazi kwenye mabenki.   Mwaka 2004 May 21 majambazi yalivamia NBC Moshi na kupora 5.3 billions.
Tweet media one
81
223
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
FAR Cum M23 for FDLR? A Cry from Congo... Hivi karibuni, mkuu wetu wa majeshi Jacob Mkunda alifanya ziara nchini Kongo kucheki utimamu wa askari wake ndani ya kikosi cha SAMIRDC Ziara yake hiyo ilikuwa imeambatana za uzushi mwingi wa kipropaganda
Tweet media one
48
160
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Tulipangwa! Kumbe haikuwa kweli kuhusu ile issue ya banda la kuku kuanguka kule Bagamoyo. Ukweli ni kwamba @ExMayorUbungo alikula mtaji wa kuku na pesa yake akaenda kumalizia jumba lake la tatu. Leo tulifanya ziara ya kukagua usalama wa makazi haya. Moral of the story:
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
94
87
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Issue ya afisa wa Tisi kumbandika ngumi ya koromeo muombolezaji imebifanya nimkumbuke mtisi mmoja anaenda kwa jina Isack Bwire Ungana nami..
Tweet media one
64
133
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
4 months
Ni raia wa Ghana aendaye kwa jina la Peter Mensah Ni actor mkubwa Hollywood. Kila script ikihitaji mtu mwenye roho ngumu wa kwanza kumfikiria ni Peter Mensah kuicheza.
Tweet media one
66
76
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
19 days
SARAFINA MOVIE!!!🎬🇿🇦 Leleti Khumalo & Whoopi 32 years later📸
Tweet media one
39
56
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 year
MAJIBU YA MHE MEMBE KWA ASKOFU MWAMAKULA! Baba Askofu Salaam na Asante kwa barua yako ambayo umenitaka nimsamehe Musiba kwa sababu Amesalimu Amri na kwamba hana hela hata kama atauza kijiji! 👇
Tweet media one
147
99
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
6 months
Hata kuwe na upako wa namna gani kanisani, Cameraman huwa haanguki chini
Tweet media one
105
104
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
1 month
Kati kati ya mwezi January Mwaka 2012 rais Kikwete alisafiri kwenda Davos Uswisi kuudhuria mkutano wa Uchumi wa dunia (World Economic Forum) Huku nyuma nchini mwake aliacha kukiwa na mgogoro unaofukuta chini kwa chini baina ya madaktari na mwajiri wao.
Tweet media one
36
112
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
7 months
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI: #X -Ushirikina Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makaburini bila kuzingatia au kufuata maelekezo.
Tweet media one
54
178
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
7 months
Haitakaa itokee CCM kumsahau Nyerere
Tweet media one
102
67
1K
@fbuyobe
Fortunatus Buyobe
3 months
Kunyata anyate kinyonga, akinyata kicheche mwizi wa kuku
Tweet media one
80
46
1K