Mzee Simon Yosia Malogo,. Umri wake miaka 65,mwenye Namba 0757 724522.
Anaomba msaada wa kifaa Cha kumuwezesha kumove (Wheel Chair) itamfaa zaidi.
Anaishi Kijiji cha Wilunze,wilaya ya Chamwino mkoa Dodoma.
Unaweza ukampigia aluelekeze namna ya kumfikishia msaada wako.