Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS) limeitangaza Ligi Kuu ya Tanzania (NBC Premier League) kuwa Ligi ya tano (5) kwa ubora barani Afrika na ya 39 duniani kwa mwaka 2022
#LigiKuuRanking
#LigiKuuToTheWorld
#IFFHS
#Top10
Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars Hemed Suleiman Morocco akielekezana jambo na Kocha Msaidizi Juma Mgunda kwenye mazoezi ya Taifa Stars kuelekea mchezo wa AFCON dhidi ya Zambia.
@TaifaStars_
Uzi wa Timu za Taifa ugenini kuelekea mchezo dhidi Niger kesho kufuzu Kombe la Dunia, jezi zinapatiikana maduka yote ya Sandaland na Yenga Classic.
#MtokoWaTaifa
@azamtvtz
@TaifaStars_
Mabenchi ya Timu na Maofisa wa mchezo yenye viti vya kisasa yaliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika mchango wake wa marekebisho ya awamu ya kwanza uwanja wa Benjamin Mkapa yakiendelea kufungwa.
@WizaraSanaa
Waamuzi wa Tanzania Arajiga Ahmed, Frank Komba, Kassim Mpanga na Ramadhan Kayoko wameteuliwa na FIFA kuwa Waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, Cameroon vs Mauritius utakaochezwa Novemba 17,2023
@CAF_Online
2016 Mbwana Samatta alikuwa mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Afrika, 2023 Winfrida Gerald anaandika historia baada ya kuwa mchezaji bora wa Afrika kwenye mashindano ya Shule Afrika ( African Schools Championship) U15
@CAF_Online
HAIPOTEI : Mohamed Hussein akimkabidhi mtoko wa Taifa mchezaji wa zamani wa Afrika Kusini Siphiwe Tshabalala ambaye ndiye mchezaji wake wa kuigwa walipokutana kwenye AFCON 2023, Ivory Coast.
@TaifaStars_
Timu ya Taifa ya wanawake U17 Serengeti Girls imefuzu hatua ya robo fainali kwenye Fainali za Kombe la Dunia 2022, India.
@azamtvtz
@serengetigirls
@FIFAWWC
AMETUA : Kapteni la Nchi, Mbwana Samatta amejiunga na kambi ya Timu ya Taifa “Taifa Star” kujiandaa na michezo ya kufuzu Kombe la Dunia vs Niger na Morocco
@TaifaStars_
@CAF_Online
@Samagoal_77
Mchezaji Charles M’muobwa kukoka klabu ya Macarthur FC ya Australia amejiunga na kambi kuelekea michezo ya kufuzu Kombe la Dunia vs Niger na Morocco.
@azamtvtz
@TaifaStars_
@CAF_Online
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia akiwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Dunia FIFA, Gianni Infantino baada ya kuwasili leo uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
@azamtvtz
@caf_online
@fifamedia
@WallaceKaria
@FIFAcom
Hillary Ismail Hassan ndio Mtanzania pekee aliyefaulu mtihani wa uwakala wa FIFA uliofanyika Septemba 2023, wale ambao hawakufaulu wanayo nafasi ya kurudia mtihani utakaofanyika Mei 22, 2024.
@CAF_Online
@fifamedia