Mambo mengi yametokea ambayo sikuwaza kama yangetokea, nimefanya vitu ambavyo niliwahi kuapa sitokuja kufanya kamwe that's why I will never judge anyone for their choices or their mistakes. Life has no manual. We are all doing the best we can and learning a lot along the way!
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Malinyi Mkoani Morogoro Joan Faith Katarahiya ambaye amesifiwa na Rais Samia Suluhu Hadharani kwa kukusanya Mapato. "Kale Kabinti Kangu Kameweza"
Neno Moja kwake Tafadhali
Mwana FA : "Hatumtaki Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Shirikisho tunampa masaa 48 ajiuzulu"
Steve Nyerere :"Mwana FA akampe Bibi yake hayo masaa 48, kwanza Ubunge wake ni wa Kupewa tu"
Ikulu : Rais amemteua Mwana FA kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Steve..
Nina Mwanangu mmoja huyo nikiona sms yake ya "Kaka Kaa kimkakati hapo nakupgia uniokoe" ujue yupo na Demu anamuingiza King
Akipiga simu utaskia"Ben Mzigo wangu Bandarini unashuka lini? Nilikupa maelekezo tangu last week, na zile pesa Benki umepeleka?".Najibu ndiyo Mkuu wangu. 😂
Legends nikumbusheni jina la Movie moja ya Steven Kanumba mwamba aliigiza kama mwanafalsafa fulani hivi alikuwa anawapiga mno Spana wanawake hadharani na ofisini. Huku kwa Ground anawatumia kama Chombo cha Starehe! Naitafuta😂
Matajiri, Mabilionea, Wafanyabiashara na watu wenye Vyeo wanakimbizana kupata Chanjo halafu upo wewe usiye hata na Mia kwenye account benki eti they want to kill me, Kill you Over what? 😂
Msanii anaitwa Zuhura Othman Soud(Zuchu) na Mwingine ni Nasibu Abdul Juma(Diamond)
Hivyo wangeenda Msikitini Kushoot ile Video Ingependeza na Kuleta Uhalisia Zaidi.!
Jamaa anaulizwa kipi kilimfanya aache kuvuta Bangi anasema ni siku amerudi home akaanza kumgombeza Mama yake why haolewi umri unakwenda yupo yupo tu na Watoto hana! 😂
Hii Nchi haiwezekani mtu mmoja ana maoni kwenye kila Jambo, kuhusu Mpira ana maoni, Siasa ana maoni, Kilimo ana maoni, mapenzi ana maoni, Mziki ana maoni, Diplomasia ana maoni, Uchumi ana maoni hadi Kuhusu Sensa ana Maoni. Haijakaa sawa!
Simba Haitokaa ipate Msemaji aina ya Hajji Manara kamwe! Manara kile ni Kipaji cha kuzaliwa nacho na sio Kila mtu amejaliwa! Simba kujaza uwanja tena Taifa labda Tiketi wazigawe Bure 😂
Dogo yupo Chuo hana biashara wala mishe tofauti na Chuo WhatsApp ameset business Account ukimtext inakuja sms "Thank you for contacting.. Please let us know how we can help you" muda huo unamtext kumtumia hela ya Kula Mchana! 😂
Haiwezekani wewe Vocha Huna, Hela ya Kucha Huna, hela ya Saloon Huna, hela ya Nguo Huna, hela ya Msosi Huna, hela ya viatu Huna, hela ya simu huna.. Yaani vyote unataka upewe na Mwanaume!
Haya sio Matunzo sasa ni Utumwa! 😂
Nimewafatilia wagombea wote wa watatu wa Urais Chadema Wakijinadi Mbele ya Wajumbe Baraza Kuu Taifa. So Far Lazaro Nyalandu Kajieleza na kujibu Maswali Vizuri Mno. Lissu ni Good Orator ila Nyalandu ni Presidential Material kabisa.
Siku Mtu amepost Tiketi ya Ndege humu watu wakachukua reference number wakapiga simu kucancel safari kwa niaba
Ndo Nilijua hii Mitaa sio Poa, Tuwachanganye wapwa joined 2021 na 2022 kidogo! 😂
Kitendo cha Katibu Mkuu wa CCM na Katibu Mwenezi Ndugu Shaka kufika Muhimbili kumuona Kamanda wa CHADEMA Prof. Jay ni cha kiungwana sana! Huu ndo Utanzania wetu na Hakika CCM inafanya Siasa za Kuigwa!
"Najua una mwanaume wako na unampenda lakini naomba unipe nafasi na mimi, tuache tushindane mshindi atajulikana huko mbeleni"
Hapa Kanumba alitisha Sana 😂
Ukikaa kijiweni washkaji wengi waliooa wana huzuni sana, hawachangamki, hawachangii mada, hawana nuru, wana mawazo sana na hata story za kuchekesha wao hawacheki!