In Loving Memory of Herbert Harold Humphrey 💜
It is with deep sorrow that we announce the passing of our admired colleague, Herbert Harold Humphrey, on Sunday, May 19, 2024. Herbert's departure has left a deep void within the Twaweza East Africa family.
He was so much more
Kutana na Mary Joseph, mwalimu wa kujitolea katika shule ya msingi Nhungwiza, wilayani Mbogwe. Shule hii ndio iliyomkuza Mary tangu mwaka 2007 hadi 2012 alipohitimu. Wakati akiwa mwanafunzi kulikuwa na mwalimu mmoja tu wa kike kwa shule nzima ya Nhungizwa.
Aliporudi kutoka chuo,
Muswada wa marekebisho ya sheria na. 3 ya 2020 kukusudia kuwawekea kinga za kutokushtakiwa kwa baadhi ya raia kwa sababu ya nyadhifa zao ni ukiukwaji wa Katiba ya JMT. Tunaomba kushirikiana nawe kusaini azimio hili kupinga kupitishwa kwa Muswada huu:
"Huwezi kuendesha nchi bila utaratibu wa sheria. Watu hawatajua kesho kutatokea nini" - J.K. Nyerere, Muungano na dhambi ya ubaguzi - 1995.
#ChangeNiSisi
...Ushindani wa kisiasa si lazima uwe na chuki ndani yake, la muhimu ni kila mmoja kuweka maslahi ya taifa na jamii mbele...
#DemokrasiaYetu
#RuleOfLaw
Tunawaomba ndugu jamaa na marafiki kuungana nasi kuliomba Bunge la JMT kutangaza rasmi Siku ya Taifa ya Wanawake wenye Ulemavu. Uwepo wa siku hii utasaidia kuongeza ujuzi wa jamii kuhusu haki za watu wenye ulemavu. Weka sahihi yako hapa:
#UlemavuSiUdhaifu
Wazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%);
wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
#DemokrasiaYetu
#SautiZaWananchi
2018
..."Madikteta wengi sasa hivi ni wa kwetu. Wamo katika Afrika, Asia na Latin Amerika. Na sasa kusema ukweli wanaanza kubakia Afrika zaidi. Kupuuza puuza tu maisha ya watu hivi, kuoneaonea watu tu"...
#DemokrasiaYetu
Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa, 2018 unabadilisha jukumu la msingi la Msajili wa vyama vya siasa kutoka kuwa “msajili” mpaka kuwa “mdhibiti”.
#DemokrasiaYetu
#PoliticalPartiesBill
64% ya wananchi wanasema uhuru wa vyama vya upinzani vyombo vya habari (62%) na asasi za kiraia (58%) umepungua. Pia 54% ya wananchi wanasema uhuru wao binafsi umepungua, ikiwemo uhuru wa maoni kuhusu masuala ya kisiasa.
#SautiZaWananchi
#DemokrasiaYetu
Kitu ambacho kitafanya mambo yetu kuwa mazuri ni uwazi. Si uwazi tu katika mikataba, bali uwazi kwa kila kitu - Prof Mussa Assad.
#DemokrasiaYetu
#CSOWeek2021
Twaweza imeona taarifa za uongo kwenye gazeti mojawapo la Agosti 13, 2018. Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza sio mwanachama na hajawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa nchini Tanzania.
Soma hapa:
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi” - Edward Moringe Sokoine.
#ChangeNiSisi
Matatizo makubwa matatu yaliyotajwa kuwasumbua zaidi wananchi kwenye kaya zao yote ni matatizo ya kiuchumi. Kati ya hayo, tatizo kubwa zaidi ni kupanda kwa bei za bidhaa na gharama za maisha (48%).
#SautiZaWananchi
Prof. Baregu: miaka ya 60/70 ujinga, umasikini na hofu vilikuwa maadui wa
#Elimu
lakini kwasasa; ujinga, umasikini na hofu ni mitaji ya kisiasa.
#Tanzania
inahitaji mjadala mkubwa wa elimu. Je, ni wapi tunaelekea?
#ChangeTanzania
#ElimuYetu
"Zamani tulikuwa tunaangalia
#BungeLive
. Mambo mengi tulikuwa tunayajua, lakini sahizi hatuwezi kujua wabunge wetu wanatutetea vipi, yaani hatujui kitu chochote"-
#SautiZaMtaani
. Je, unafatilia vipi kujua kama mbunge wako anawajibika?
#Funguka
"Walimu shuleni hapo hawana moyo wa kufundisha, kutokana na wanafunzi kuwa watukutu, tukio la kusisimua analosimulia mwalimu huyo lililotokea mwaka jana, ni mwalimu kuchomwa kisu cha tumbo na mwanafunzi wa kidato cha pili" via
@MwananchiNews
#ElimuYetu
80% ya wananchi wanasema kazi kubwa ya vyama vya upinzani baada ya uchaguzi ni kuchochea shughuli za kimaendeleo. Kwa maoni yako, je unadhani ni zipi kazi za vyama vya upinzani baada ya chaguzi?
#DemokrasiaYetu
#Funguka
Wazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%);
wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
(
#SautiZaWananchi
2018)
...Ni vizuri sana kuwa na 'strong institutions' kwasababu hata kama kiongozi si mzuri sana, zile taasisi zina uwezo wa 'kumcheck' yule kiongozi...
#ChangeNiSisi
Haki za waliotupigia kura zitalindwa sawa na zile za wale wa maeneo ambayo tumeshindwa. Wajibu wetu ni kwa taifa zima na watanzania wote - Benjamin Mkapa.
#DemokrasiaYetu
Je, unajua kwamba 48% ya wananchi wanasema kuwa njia nzuri ya kufufua mchakato wa mabadiliko ya
#Katiba
ni kuanza mchakato huo upya na tume mpya?
#DemokrasiaYetu
#SautiZawananchi
Kwa taarifa sahihi za takwimu za
#SautiZaWananchi
, tafadhali tembelea tovuti yetu: au tembelea ukurasa wetu
@Twaweza_NiSisi
.
Pia unaweza kusoma ripoti hapa:
MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA NO. 3(2020): Mapendekezo ya mabadiliko ya sheria yanaruhusu wale tu ambao wameathiriwa moja kwa moja na uvunjifu fulani wa haki kufungua mashitaka ya kudai haki zao.
#KatibaYetu
#DemokrasiaYetu
Tukifahamu barabara aina ya Taifa tunalotaka kujenga, ndipo tutakapoweza kuweka mipango ya
#Elimu
yenye kutufikisha kwenye shabaha hiyo - J.K. Nyerere.
#ElimuYetu
Where there is little or no public opinion, there is likely to be bad government, which sooner or later becomes an autocratic government - William Lyon Mackenzie.
#DemokrasiaYetu
#ChangeNisisi
"We are not against progress, but we do not want progress that is anarchic and criminally neglects the rights of others," Thomas Sankara.
#DemokrasiaYetu
Je, ungependa kujua kama Mbunge wa jimbo la Tarime Vijijini
@HecheJohn
anatimiza ahadi alizowaahidi wananchi wa jimbo lake wakati wa uchaguzi? Fuata link hii:
#ChangeNiSisi
Ubalozi wa Marekani unaungana na Watanzania katika kuomboleza kifo cha Rais Mstaafu
#BenjaminWilliamMkapa
. Akiwa Rais, Alifanya kazi bila kuchoka kuleta amani na ustawi, sio tu kwa Tanzania bali kwa kanda yote. Mchango wake hautasahaulika.
There is no greater tyranny than that which is perpetrated under the shield of the law and in the name of
#justice
- Montesquieu.
Welcome back
#TitoMagoti
and Theodory.
#RuleOfLaw
Ukweli una tabia moja nzuri sana. Haujali mkubwa wala mdogo. Haujali adui wala rafiki. Kwake wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa.
- J.K Nyerere
#DemokrasiaYetu
"Inawezekana tatizo la paka na panya lingekwisha kama paka angefungwa kengele shingoni: Tabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka watajifunga au watafungana kengele shingoni" - J.K Nyerere
#ChangeNiSisi
...Tunaposema kuwa tumenyonywa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha na tumepuuzwa kiasi cha kutosha, siyo kwamba tunayaambia mataifa ya nje tu...
#DemokrasiaYetu
#ChangeNiSisi
Kazi ya uongozi ni kujenga watu wawe kitu kimoja. Kazi ya uongozi haiwezi kuwa ni kutenga watu waliokuwa na umoja wawe mbalimbali - J.K. Nyerere.
#DemokrasiaYetu
Do you know that 6 out of 10 citizens say the freedom of opposition parties (64%), the media (62%) and civil society (58%) has declined?
#SautiZaWananchi
#DemokrasiaYetu
Often we mistake stability, in terms of security and economic activity, to mean a country is doing well. We forget the third and important pillar: rule of law and respect for human rights - Kofi Annan
#DemokrasiaYetu
#RuleOfLaw
...young people should be at the forefront of global change and innovation. Empowered, they can be key agents for development and peace...
#DemokrasiaYetu
#ChangeNiSisi
Ukweli ni kuwa, walimu ni kundi pekee katika jamii linaloamua tabia, linalotengeneza mawazo na matazamio ya Taifa – J.K Nyerere. Je, kundi hili bado lina nafasi hii katika jamii yetu?
#ElimuYetu
#ChangeTanzania
...Ukweli ni kwamba walimu ndilo kundi pekee katika jamii linaloamua tabia, linalotengeneza mawazo na matazamio ya taifa. - J.K Nyerere.
Je, vipaumbele vyetu vinaonesha kutambua umuhimu wa kundi hili muhimu katika jamii?
#ElimuYetu
#WorldTeachersDay
...maamuzi yoyote ya kidemokrasia hayana budi yatokane na mijadala. Bila mijadala, maamuzi, hata yaliyo muhimu kabisa yatafanywa kwa nguvu au kwa hila...
#ChangeNiSisi
#DemokrasiaYetu
Wananchi wengi wanaripoti kupunguza kutuma fedha kwa njia ya simu tangu Julai 2021 (44%) kuliko wale wanaoripoti kuongeza kutuma fedha kwa njia hiyo (15%).
#SautiZaWananchi
Njia pekee ambayo Uongozi unaweza kutunzwa kama Uongozi wa watu, ni pale ambapo viongozi wanakuwa na sababu ya kuogopa hukumu kutoka kwa watu—J.K Nyerere
#DemokrasiaYetu
#ChangeTanzania
#ChangeNiSisi