Nawashukuru nyote, kwa umakhsusi: familia na marafiki, mwajiri wangu (LHRC), wanaharakati, wanazuoni, wanasheria, watumishi wa Mungu, wanahabari, asasi za kiraia, wanasiasa, na jumuiya za kimataifa. Jitihada na sauti zenu zilikuwa na maana kubwa sana kwangu.