@Twaweza_NiSisi
Twaweza - ni sisi
1 year
"Walimu shuleni hapo hawana moyo wa kufundisha, kutokana na wanafunzi kuwa watukutu, tukio la kusisimua analosimulia mwalimu huyo lililotokea mwaka jana, ni mwalimu kuchomwa kisu cha tumbo na mwanafunzi wa kidato cha pili" via @MwananchiNews #ElimuYetu
20
37
176

Replies

@Buza_man22
Zombizo
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Sijui inaweza isha vp ila kunahitajika ktu cha ziada kiwaelewesha vijana maisha yalivyo.. shule za kata zinaongoza kwa vijana watukutu.. Masela wapya ni wengii bangi inavutwa mnooo pombe ndo kabisa watoto wanapagawa sana
0
0
0
@temba_45
SONDA MNO β™ˆ
1 year
@Twaweza_NiSisi @iHumphreyz @MwananchiNews Hapo sipo tu nikubadili shule ifundishwe na waalimu wa jeshi chap unaua mchezo
0
0
5
@JohnKeneth4
John Keneth
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Idadi kubwa ya wanafunzi zaidi ya wanafunzi 4000 kufundishwa na walimu 68 ni changamoto.....kwwnye 68 unaweza kukuta wapo walimu walioko masomoni...likizo....na wengine kwnye utawala kwwnye kufundisha upungufu ni mkubwa saaana
1
0
1
@KumbushoDawson
Kumbusho Dawson Kagine
1 year
0
0
1
@JafariOmari15
Jasaram_
1 year
@Twaweza_NiSisi @MarekaMalili @MwananchiNews Hii shule yang. Nmesom apo. Ni mtihan aise.
0
0
0
@GideonLulabuka
GIDEON LULABUKA
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Walipanda mbegu ipi kwa wanafunzi? Mwanafunzi akikosea anachapwa viboko kama mwizi, unategemea wanao kuja nyuma na wanaona hayo watakuaje?
1
0
0
@peterchainz
Peter Chainz
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Hawa Wakuchapwa Mnawatetea Lets See Matokeo Yake
0
0
0
@JohanesWambura
Eagle πŸ¦…
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Kuadhibiwa mtoto kwa karne ya sasa ni kuharibu haki za watoto. Walimu wanafundisha ilimradi wapate mshahara na hawezi kuona umuhimu wa kurekebisha nidhamu ya mtoto. So,wazazi wanachangia sana wanafunzi kuwa na nidhamu mbaya kwa waalimu shuleni
0
0
3
@JojiBonus
George
1 year
1
0
0
@mshanga_j
Mshanga P J
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Nimeisoma Hadi mwisho ,kwa Hali hii Elimu yetu umefikia mwisho. Wanafunzi 4000 Hawa walipaswa wawe kwenye shule 4. Wazazi wametelekeza watoto wao wanawatupia walimu MZIGO ,huku serikali nayo ikiwalaumu walimu. Waalimu wanapitia magumu mno, TUWAOMBEE
2
1
5
@mshanga_j
Mshanga P J
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Hii inanikumbusha binti mmoja alimpiga second master wake akamchania shati ,mzazi alipoitwa shuleni akamuuliza binti tatizo Ni nini ,yule bint akampiga shoka baba yake mzazi.
0
0
1
@Amocity2
Amocity
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Duuuuhhhhh.......yaaani walimu wametolewa kafara kwa watoto watukutu. Apo hakuna kesi wala adhabu itakayo tolewa kwa huyo kijana. Kwni hakuna sheria mathubuti ya kumfukuza mtoto shulen..... 😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫😫
0
1
1
@TinaGra72377276
Tina Grace
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Mbagala sec ni bad news hawana Muda wa kusoma kutwa utawaona mtaani wanazurura, mabinti wadogo wanagombania mabwana.
0
0
0
@AbuTwalha4
Abu Twalha
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Tatizo uhuru unaotukuzwa na demokrasia kazi yake kuondosha maadili ktk jamii. Ukilikologa utalinywa mwenyewe tu. Nyinyi simnadai uhuru wa wananchi? Uhuru wa mtu binafsi kufanya atakavyo? Pamoja na sheria ya mtoto inayodaiwa kuwa inalinda mtoto? Mpaka kufikia kuwa kuna adhabmbad
1
0
1
@JohnSeb29822307
Mtokambali Mugusuhi Otimweno Otulia πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΈπŸ‡³
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Bado shida ipo kwa walimu na uongozi wa shule kwa ujumla. Nilichobaini hapo ni tatizo la usimamizi mpaka utukutu huo unafikia hapo ni dhahiri kwamba kuna watu hawakuwajibika ipasavo
3
0
0
@BrainSwax
SISU
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Maagizo mengi ya serikali kwa walimu yamejaa siasa ndani yake ila kiuhalisia walimu wanapitia changamoto kubwa kulea wanafunzi watukutu.
0
0
0
@BrainSwax
SISU
1 year
@Twaweza_NiSisi @Adventure_36 @MwananchiNews Watu wengi wanaokosoa ufanisi wa walimu kusimamia nidhamu ya wanafunzi ni wale ambao hawajui walimu wanapitia mangapi katika kulea wanafunzi mashuleni. Kiukweli siku hizi baada ya siasa kuingilia malezi ya watoto shuleni hatari sana kwa usalama wa walimu.
0
0
0
@AmosMwanga12
Amos Mwanga
1 year
@Twaweza_NiSisi @MwananchiNews Haki Elimu walipokuwa wanaonesha mapungufu ili tujirekebishe tuliwakataza kuzuia mafuriko kwa mikono Psychomotor ina mapungufu tukubali Cognitive
0
0
0