Sophia Mfaume Kizigo, PhD Profile Banner
Sophia Mfaume Kizigo, PhD Profile
Sophia Mfaume Kizigo, PhD

@SophiaMfaume

4,113
Followers
90
Following
192
Media
2,955
Statuses

Mpwapwa District Commissioner | PhD: Climate Change & Sustainable Development | Project Manager & Planner | Founder: Gifted Nature

Tanzania
Joined October 2013
Don't wanna be here? Send us removal request.
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
PhD: Climate Change and Sustainable Development Master: MSc. Project Planning and Management Bachelor: BSc. Information Communication Technology with Business HighSchool: Physics, Geography and Mathematics #GodDid
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
161
86
1K
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Wilaya ya Mpwapwa tumepokea jumla ya Tsh. Bilioni 2.3 kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya elimu. Kati ya hizo, Bilioni 1.573 ni kutoka mradi wa BOOST..! Miradi hii italeta mageuzi makubwa katika miundombinu ya elimu na hivyo kupelekea kuinua elimu wilayani kwetu
Tweet media one
100
50
745
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
National Defence College: 14 Capstone Course, 2023
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
49
35
688
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
Doctor of Philosophy, Sophia Mfaume Kizigo πŸ™πŸ½ @UdsmOfficial
71
49
555
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
11 months
"People do not decide their future; they decide their habits and their habits decide their future."
Tweet media one
34
51
532
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
Maswali ni mengi... nimetoa majibu wakati wa mahojiano na gazeti la mwananchi... linatoka kesho tarehe 3 Disemba 2023. Pata nakala yako! @MwananchiNews
Tweet media one
79
42
497
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
5 months
Kwa sasa nimebanwa na majukumu lakini nikipata nafasi nipo tayari kufanya mahojiano kwa njia yoyote kwa ajili ya kuelimisha kuhusu hili (kujibu maswali na kutoa maelezo zaidi) kwasababu mimi pia nilikua mwenyekiti wa Chipukizi Taifa 2002-2006.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
@rollymsouth
Madenge
5 months
What is this?
66
10
323
64
25
358
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Mahafali ya 100 katika Chuo Cha Ualimu Mpwapwa (Mpwapwa TTC)
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
18
21
346
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Watu wana mambo yao mengi sana mioyoni, ambayo kwa lugha isiyopendeza unaweza kuita 'pile of garbage' au 'rundo la takataka'. Kadiri rundo linavyokua kubwa ndivyo ambavyo watu wanahitaji kuyatupa mahali 'dumping the garbage'. 1/2
Tweet media one
20
35
259
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 months
Ngarenaro primary school... maisha ni safari!
Tweet media one
16
11
171
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Kipande cha hotuba niliyotoa wakati wa kufunga mafunzo ya vijana JKT kwa mujibu wa sheria, OP-Miaka 60 ya JKT, 826KJ, tarehe 11.9.2023
13
14
155
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Tumeifungia shule ya sekondari Nelson Memorial mpaka hapo watakarekebisha mapungufu yaliyopo ili kuweza kutoa elimu bora na kuhakikisha usalama wa walimu na wanafunzi katika shule hiyo. Shule ina mapungufu mengi yakiwemo.... (1/3)
57
31
140
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
3 years
TANZANIA Peaberry Coffee is THE BEST COFFEE IN THE WORLD according to !
Tweet media one
10
42
126
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
I passed my VIVA πŸ₯³ @PhDForum @Nkololotz @MayengoDr
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
4
112
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
PhD will humble you!!! #phdlife
Tweet media one
13
3
100
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
11 months
'Local Government Management and Economic Development' Nashukuru kwa fursa ya kupata mafunzo kuhusiana na Menejmenti ya serikali za mitaa na Maendeleo ya Kiuchumi... yaliyofanyika Academy for International Business Officials (AIBO), Beijing, China.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
13
99
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tbt 2018 nikiwa nimemaliza kukusanya data kwenye madodoso. Jumla ya madodoso 200, Dar na Morogoro kuhusu Mtizamo wa wanakaya kuhusu uhifadhi wa umeme (Household perceptions on electricity conservation in urban Tanzania). Nitajitahidi niPublish paper kuhusu hii research
Tweet media one
9
10
86
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji - Kata ya Pwaga, Kijiji cha Pwaga (06/4/2023)
10
13
82
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
11 months
Mnakumbuka mradi wetu wa ujenzi wa madarasa 9, mabweni 4 na matundu ya vyoo 14 katika shule ya sekondari Mazae kwa gharama ya Tsh. 730.8M? Ujenzi huu tumefikia hatua ya kupiga kenchi...tunatarajia kuukabidhi mradi mwishoni mwa mwezi huu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
11
80
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Wilaya ya Mpwapwa tulipokea Milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la wagonjwa mahututi (ICU), lenye uwezo wa kuhudumia wagonjwa 10 kwa mpigo, katika hospitali ya wilaya. Jengo limekamilika, tunaishukuru serikali kwa kutuletea vifaa... na sasa jengo lipo tayari kwa matumizi!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
16
72
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
5 months
Heri ya maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika/Tanzania Bara. Leo pia ni siku tunayofanya mkutano wa kwanza wa kitaifa wa DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO kwa miaka 25 ijayo (Vision 2050)
Tweet media one
5
7
73
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tarehe 29 Julai 2023 wilaya ya Mpwapwa tulizindua mradi unaoitwa STAWISHA MPWAPWA (SM2). Mradi huu umelenga kumuinua na kumuimarisha mwananchi anayeishi Mpwapwa kiuchumi.... Mradi huu umelenga maeneo makubwa matatu, 1. Kilimo Biashara 2. Ufugaji wa Kisasa 3. Utunzaji Mazingira
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
5
8
72
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
@rollymsouth Tusichanganye kati ya TEACHERS na LECTURERS, hawa ni watu wawili tofauti kabisa. A teacher is an educator while a Lecturer is an expert! Mmoja anaishi na wanafunzi na kuwafundisha, mwingine anaongea kwenye settings tofautitofauti kuhusu eneo lake alilobobea!
23
7
72
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Uchaguzi wa Chipukizi wa CCM Taifa, 2002! Tukiwa katika msimu wa chaguzi za chipukizi ndani ya chama, nami kama muandamizi wa chipukizi (nilikua mwenyekiti wa chipukizi wa Taifa, 2002-2006), nawatakia kila la heri wagombea wote wa nafasi mbalimbali nchi nzima!
13
10
72
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Mgawanyo wa miundombinu kupitia mradi wa BOOST mkoa wa Dodoma!
Tweet media one
10
13
70
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Juzi tulipotambulisha mradi wa Tsh. 730.8M katika shule ya sekondari Mazae. Tutajenga madarasa 9, mabweni 4 na matundu ya vyoo 14... Tunakiri kupokea fedha yote kwa ukamilifu. Kazi yetu ni kuhakikisha mradi unakamilika kwa ubora, vigezo na wakati (value for money)!
12
9
70
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Usichukulie personal sana ukiona mtu anaku 'attack' kwa mambo yasiyo na maana... au ana 'react' sana kwa mambo hata hayaeleweki. Ni njia mojawapo ya kutupa rundo la takataka alizonazo moyoni/kichwani. Tuombeane na kuoneana huruma tu... hasa humu mitandaoni. Kindness over hate!
Tweet media one
8
6
69
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
My Viva voce exam is scheduled in two months.... I welcome any tip for a great Viva! #phdlife #phdtips
Tweet media one
Tweet media two
16
4
67
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 years
Pongezi nyingi sana kwa dada yetu, mhe. waziri @umwalimu kwa kupewa tuzo maalum iliyokabidhiwa na mhe. Mama yetu makamu wa Rais @SuluhuSamia kwa kutekeleza majukumu yake ya kazi vizuri na kutuwakilisha vizuri…
3
6
64
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Tumekubaliana kuhakikisha shule zote za Msingi na Sekondari wilaya ya Mpwapwa kuhakikisha zinakua na PATRON kama ambavyo zinakua na matron kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa watoto wetu wanapokua shuleni... WATOTO WOTE WANAHITAJI ULINZI KUWAEPUSHA NA VITENDO VYA UKATILI!
13
16
65
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
Nawakaribisha nyote katika mbio zijulikanazo kama NAMTUMBO SELOUS MARATHON zitakazofanyika tarehe 10/11/2018 wilayani Namtumbo. Dhumuni la mbio hizi ni uchangiaji wa ujenzi wa majengo mawili katika hospitali ya wilaya ya Namtumbo. PAMOJA TUNAWEZA! #NamtumboSelousMarathon
Tweet media one
8
7
65
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
7 months
Ujenzi wa bwawa la umwagiliaji la Msagali umefikia 65%. Thamani ya mradi ni Tsh. Bil 27.9 #StawishaMpwapwa #SM2
14
8
63
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Ufunguzi wa mafunzo ya ufugaji nyuki kwa wanavikundi 80 kutoka Mpwapwa, chini ya mradi wa EBARR (Ecosystem Based Adaptation for Rural Resilience)
3
20
61
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 months
Juzi mkoa wa Dodoma tumezindua mpango mkakati wa kuinua ubora wa elimu na ufaulu. Serikali chini ya Mhe. Rais @samia_suluhu_hassan imefanya sehemu yake tayari kwa kuhakikisha tunapata miundombinu bora mashuleni, pia kuhakikisha wanafunzi hawatembei umbali mrefu kufuata shule.
Tweet media one
6
9
61
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@bwaya Gari sio yangu ni ya ofisi... na ofisini hakuna DC peke yake, kuna watumishi wengi.
21
2
59
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Kuna kada zina uhaba mkubwa sana... course kama Natural Resources and Environmental economics wahadhiri wanahesabika ndani ya nchi. Kuna sehemu (tunaifahamu) tunakosea katika kuandaa na kuajiri wahadhiri...
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
1 year
Ubora wa elimu vyuoni shakani, wahadhiri tatizo
0
4
64
10
4
54
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Jana tumetoa mikopo kwa makundi ya vijana, wanawake na wenye ulemavu, yenye thamani ya shilingi milioni 90, na kufanya jumla ya mikopo tuliyotoa kwa mwaka huu wa fedha kuwa milioni 134. Nawapongeza sana Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa kwa kazi nzuri! 1/3
9
14
53
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 months
Ahsanteni sana @NMBTanzania Mpwapwa kwa zawadi nzuri ya kuanzia mwaka mpya! Siku zote mmekua karibu na jamii yetu, nami kama mmoja wa wanajamii nawashukuru kwa kunigusa kwa zawadi. Shukran! #nmbkaribuyako
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
10
53
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
Ninamshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kunipa kibali kupitia mhe. Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli kuwatumikia wananchi wa wilaya ya Namtumbo. Namshukuru sana mhe. Rais Dr. John Pombe Magufuli kwa kuniamini na...
4
7
50
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 years
Jahazi la lugha ya kiswahili linazidi kuzama. Mwanzo shida ilikua kwenye L na R, lakini sasa hadi HELA inaitwa ELA😀😒. Wahusika okoeni jahazi
8
17
48
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
7 months
Hello fellows... our paper has been published. Kindly go read it at Journal of Geographical Assosiation of Tanzania
Tweet media one
14
9
51
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
11 months
After many rejection emails... today I received some good news! Publishing a manuscript is not for faint hearted... nimejifunza! Bado paper mbili zinanisumbua sana πŸ™ŒπŸ½
Tweet media one
13
5
51
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
Recently I watched a movie called DON'T LOOK UP... eversince, I have so many questions running around my head! But one thing is for sure, we must choose well when it comes to leaders. Directly or indirectly, such choices affect our lives
1
5
47
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
Natambulisha rasmi FURSA ya uwekezaji katika kilimo cha zao la KOROSHO wilayani Mkalama. Sifa moja kubwa ya kuwekeza Mkalama ni URAHISI WA KUFIKIKA kwani wilaya ipo KATIKATI ya Tanzania. Huduma na miundombinu yote muhimu inapatikana.
Tweet media one
Tweet media two
6
8
46
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Aisee Sikilizeni.....
9
9
46
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Wazazi/walezi wana nafasi kubwa katika kumuongoza mtoto katika kufikia ndoto zake! #ChipukiziUVCCM
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
6
43
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
Kila mtu anataka MAENDELEO... Lakini si kila mmoja anaelewa na kukubali mahitaji ya kupata hayo maendeleo. Hitaji kubwa kabisa la kupata maendeleo ni KUCHAPA KAZI!!
2
2
43
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Moja ya changamoto tunayopokea kwenye ziara zetu ni malalamiko ya wananchi hasa wazee kukosa DAWA kwenye vituo vyetu vya kutolea huduma za afya. Inapotokea kiongozi akasimama na kusema upatikanaji wa dawa upo 98% wananchi huwa hawamuelewi kabisa kabisa! 1/3
8
9
41
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@bwaya Bila usafiri atatimizaje majukumu yake uwandani/site? Magari ya halmashauri yana matumizi pia. Ni changamoto sana sema kama huiishi huwezi kujua. Movement ndani na nje ya wilaya inakua issue sana, hapo unahitaji kuzunguka vijijini kuwafikia wananchi
92
2
41
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
Habari njema: Tarehe 5 Oktoba 2022 kutafanyika uzinduzi wa Msimu wa KILIMO kwa mkoa mzima wa Singida. Nawataarifu wadau wote wa kilimo kwamba shughuli ya uzinduzi kiwilaya tumeifuta na kuifanya kimkoa ili kuongeza ufanisi wa zoezi hilo. Wote mnakaribishwa!
Tweet media one
3
9
38
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Mbio za Mwenge wa Uhuru wilayani Mpwapwa zimekimbizwa umbali wa 196.4kms! Sisi tumekwisha uwasha mwenge, na kuuweka mlima kilimanjaro... Ulete MATUMAINI pale pasipo matumaini, ulete UPENDO pale penye chuki, na ulete HESHIMA palipo na dharau!
9
5
39
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tumepokea Tsh 1,088,451,252 kwa ajili ya ujenzi wa SHULE MPYA za sekondari katika kata za Malolo na Kimaghai (544,225,626 kwa kila shule). Tunaishukuru serikali kwa pesa hizi katika jitihada za kuboresha mazingira ya elimu nchini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
7
4
38
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Wilaya ya Mkalama tumejenga madarasa 18 kati ya haya, shukrani nyingi kwa mhe. Rais kuipa elimu kipaombele namba 1! Tupo tayari kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza 2023!
Tweet media one
Tweet media two
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
1 year
Katika siku 100 zilizopita nchi yetu imefanikiwa kujenga madarasa ya sekondari 8,000 na samani zake nchi nzima. Tunaanza kuyatumia juma lijalo. Hatua hii ya kihistoria ni ukombozi kwa wanafunzi zaidi ya 400,000. Hakuna mwanafunzi atayekosa nafasi ya shule kwa uhaba wa madarasa.
Tweet media one
293
170
1K
7
3
37
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
Nawakaribisha wadau wote wa KILIMO katika uzinduzi wa msimu mpya wa kilimo wilaya ya Mkalama mnamo tarehe 08/10/2022! Wadau wote kuanzia wakulima, wauzaji wa mbegu, mbolea, matrekta na pembejeo zingine za kilimo....pamoja na wanunuzi wa mazao ya kilimo.(1/2)
Tweet media one
2
9
35
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
Je, wajua? Wananchi na wadau wote mnaruhusiwa kutembelea Magereza na hata KUTOA MISAADA ya kibinadamu mfano vifaa vya usafi (sabuni, dawa za miswaki, miswaki, mafuta, n.k)!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
5
38
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tunawashukuru Barrick Gold @BarrickGold kwa kutupatia Tsh. 253,600,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 5, bweni na matundu 8 ya vyoo katika shule ya sekondari Mpwapwa. Hii ni moja ya namna ambavyo @BarrickGold wanashirikiana na serikali ktk maendeleo na kurudisha katika jamii/CSR
5
8
33
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@hancymachemba @bwaya Sifahamu gari gani zitanunuliwa ila sidhani kama itacost 500M. My brother kila Δ·itu kina umuhimu, afya bado tuna safari, elimu, kilimo, miundombinu ya usafiri na usafirishaji... ndio maana sekta zote zinaangaliwa kwa pamoja (at per). Huwezi kufanya hiki kwanza kingine kisubiri...
52
0
32
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Mhe. Rais wetu anafanya vizuri sana kwenye eneo la uwekezaji!
Tweet media one
4
5
31
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Huwezi kuwa kiongozi wa kuchaguliwa kama hutogombea! Women aspiring leaders should be bold enough to compete in general elections, just like other leaders! Thus, to see the diversity (we wish), more women should compete for Presidential offices!
Tweet media one
4
3
31
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
5 months
Ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa mwaka 2023. Umekua mwaka wa baraka kwangu na familia yangu, licha ya changamoto nyingi ambazo tumekumbana nazo. Namshukuru Mungu kwa watu wote aliowainua kwa ajili yangu, na ninamuomba azidi kuwainua watu wengi zaidi na kuwafanya baraka kwetu!
8
2
29
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Mti wa kumbukumbu kikosini 826 KJ, 07/03/2023!
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
4
1
27
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
Kipande kidogo cha hotuba niliyotoa wakati nikijiuzulu nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) mapema 31/8/2018 Nawashukuru sana wajumbe wote wa mkutano mkuu wa UVCCM Taifa kwa kuniamini na...
2
3
27
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tumeanza kazi kwa kujitolea kuchimba msingi ktk Kimaghai na Malolo... tunatarajia kukamilisha shule hizi kwa wakati na kiwango tarajiwa! Pia tunatarajia kuzisajili shule hizi mwaka huuhuu 2023, ili kufikia Januari mwakani tupokee na kuhamishia wanafunzi ktk shule hizi
3
4
27
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
16 days
Mkataba wa ujenzi wa daraja la Godegode wilayani Mpwapwa umesainiwa Aprili... hatimaye changamoto ya daraja hili inakwenda kuisha
7
4
27
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
9 months
@SwahiliBible Nafikiri sisi tunatumia njia ndefu sana kufikia uprofesa mwalimu... wenzetu unaweza kutoka kusoma shahada ya kwanza ukaenda moja kwa moja kusoma shahada ya tatu. Sisi huwezi kuruka hivyo! Pia namna unasota kupata hizo shahada za juu ni Mungu pekee anajua...
9
5
26
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Zamani wakati nasoma shule ya msingi na sekondari, ndoto yangu ilikua kuwa RUBANI... ndio maana nikasoma PGM. Hongera sana dada Neema
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
1 year
Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpongeza mmoja wa Marubani walioileta ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 767-300F ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Neema Swai mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam Juni 3, 2023.
Tweet media one
5
10
112
2
3
26
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
7 months
Mbio za mwenge wa uhuru wilaya ya Mpwapwa, 05.10.2023 #StawishaMpwapwa #SM2
Tweet media one
Tweet media two
3
3
25
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@Lugongam RAS pia ni mteule, tena wa ngazi ya mkoa.
3
1
24
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Building a Better Tomorrow!
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo wakati Mtoto Georgina Magesa (8) akiwa ameketi kwenye Kiti cha Rais mara baada ya kukutana naye katika hafla ya uzinduzi wa Minara ya kurusha matangazo ya Televisheni Ardhini (DTT) ya Azam Media
Tweet media one
25
69
744
2
0
24
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
@zaibani_company @MwananchiNews Bachelor First Class 4.4 Master Upper Second 4 PhD by thesis (no GPA)
2
0
24
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Tiketi 5000 toka kwa mama... kila la heri Yanga katika fainali
@HabariLeo
HabariLeo
1 year
Tiketi za kuingia Benjamin Mkapa leo
7
12
88
3
4
23
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
@ummymwalimu Happy birthday mheshimiwa, odo wetu! Cheers to more years of happiness
0
1
23
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Tweet media one
1
4
23
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
10 months
Stawisha Mpwapwa (SM2) @HusseinBashe
Tweet media one
4
4
23
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 years
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki!
@jokateM
Jokate Mwegelo
4 years
Nitasimamia ujenzi huu wa msikiti mlilolitamani lifanikiwe tangia mwaka 2000. Ni Tanzania nchi ya amani unakuta tunashirikiana kwa upendo wa dhati bila kujadili dini, itikadi wala makabila. Mwenyezi Mungu atupe wepesi katika adhma yetu hii tufanikiwe, inshallah. Amin. TAKBIR! 🀲🏽
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
11
215
0
1
21
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
@bajabiri @SuphianJuma hajaniomba kura mimi kama mjumbe. Nafikiri amelenga kuombea ukumbini wakati wa kujieleza!
1
2
22
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
7 years
@HKigwangalla @ccm_tanzania Hii inaashiria mambo mawili. 1. Upana wa demokrasia CCM, haki na kutokuwepo/kupungua kwa rushwa katika uchaguzi
3
3
21
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
"Wilaya ya Namtumbo tunakaribisha uwekezaji katika viwanda vya kuongeza thamani zao la soya pamoja na viwanda vingine, vikiwemo viwanda vya mbolea. Hii itasaidia wakulima ambao ni 98% ya wana Namtumbo kuwa na...
1
2
20
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Muda huu tupo njiani tukielekea kata ya Malolo, umbali wa kilomita 184 kutoka makao makuu ya wilaya. Leo tutatembelea kata za Malolo, Mang'aliza, Ipera na Massa. Tumetumwa KAZI! #T .SSH2025 #StawishaMpwapwa #SM2
5
3
21
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
7 years
MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE! Nilipata nafasi ya kukimbiza mwenge kitaifa mwaka 2012, ilikua ni fursa adhimu...
1
1
21
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
9 months
Habari njema!!!
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Juzi tulipotambulisha mradi wa Tsh. 730.8M katika shule ya sekondari Mazae. Tutajenga madarasa 9, mabweni 4 na matundu ya vyoo 14... Tunakiri kupokea fedha yote kwa ukamilifu. Kazi yetu ni kuhakikisha mradi unakamilika kwa ubora, vigezo na wakati (value for money)!
12
9
70
3
11
20
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 months
Niseme tu, NAJIVUNIA KUHUDUMU MPWAPWA, NAJIVUNIA 'TEAM' YETU YA MPWAPWA... Tumeweza kufanya mabadiliko makubwa chanya kwa kipindi cha mwaka mmoja tu niliojiunga na 'team' hii bora kabisa. Nawapongeza wote! #StawishaMpwapwa
Tweet media one
2
2
20
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@hancymachemba @bwaya Gari ya ofisi ya DC haisomi DC inasoma STM (kwa sasa). Ofisi kwa sasa haina gari. DC wa kabla yangu aliazimwa gari na RAS, na kabla yake aliyekuwepo aliazimwa pia. Nimeambiwa hakuna gari tangu 2016
30
0
20
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 months
Take control of your life!
Tweet media one
3
4
20
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 months
Naunga mkono hoja! Isiwe upendeleo bali ujaliwe uwezo zaidi!
@mamayukokazini
Mama yuko Kazini
2 months
Mwenye uwezo ndiye anayepewa nafasi. #MiakaMitatuYaMama #MamaYukoKazini
1
53
46
3
0
19
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
The picture that speaks!
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
1 year
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha naΒ Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman MboweΒ pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Ndugu. Abdulrahman Kinana
Tweet media one
11
11
54
2
1
18
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 years
@EmmanuelMakidi3 @millardayo Siku zote fursa inapokuja haiui fursa nyingine bali inaongeza zaidi nafasi za kazi. Kumbuka wakati computer zinaingia, maofisi mengi watu walikua na wasiwasi wa kupoteza kazi. Lakini computers zimeongeza maelfu ya kazi nchini na dunia nzima
3
0
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
8 months
Mradi wa maji kata ya Lupeta utakaohudumia vijiji viwili.... maendeleo ni mazuri sana, maji yapo ya kutosha, tunasubiri tu mradi ukamilike!!! Kazi nzuri inafanywa hapa kata ya Lupeta na serikali ya awamu ya sita! Tumeidhinishiwa Tsh. 2B kwa ajili ya kupanua mradi huu muhimu.
2
4
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@nyambitza Sina hakika ila nilisikia kwamba hizo model hamna tena. Sina hakika lakini
11
0
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
11 months
Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa hatujafikia lengo la makusanyo mwaka 2022/2023 kwasababu mbalimbali, kubwa ikiwemo kutokufanya vizuri katika chanzo cha uuzaji na upimaji wa viwanja. (1/2)
3
2
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
@DrMeku @anon_codex Kwahiyo nawewe Kiri ulikua wa hovyo enzi tunafanya field? Mimi naamini wengi wapo vizuri, wachache ndio hawapo serious. Wanachuo wanahitaji kufanya field ili kujifunza application ya wanayojifunza. Wapatiwe nafasi
3
0
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 month
@bwaya @hancymachemba @TitoMagoti Najua ni ushauri wa dhihaka, na anajua hazihitajiki! Najua unajua jinsi mitandao/social media inafanya kazi.
22
0
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
5 months
@mzalendowakweli @uvccm_tz Nilitaka kutoa experience tu kama mwenyekiti mstaafu. Waulize maswali wajibiwe... watu wanahitaji information tu, baada ya hapo kila mmoja aamue kufikiria anavyotaka kufikiria
2
4
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
1 year
Natoa wito kwa wazazi Kufuatilia mazingira ya watoto wanayosomea ikiwemo shule husika (99% ya wazazi walioleta watoto shule hii hawaijui wala hawajawahi kuiona). Malezi sio kulipa ada tu, malezi ni pamoja na kufuatilia mazingira wanayojifunzia watoto!
6
6
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 years
Uhodari na uzalendo wako katika kuwatumikia watanzania ndio dira ya sisi wasaidizi wako ya namna bora ya kufanya kazi na kujitambua. Nakuombea afya njema, furaha, amani, umri mrefu, nguvu na ujasiri katika kutimiza majukumu yako ya kila siku. Happy birthday Hon. President of URT
Tweet media one
1
1
17
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
9 days
Happy mothers' day kinamama wote!
3
0
16
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
9 months
The launch of Stawisha Mpwapwa project (SM2)
3
3
16
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
4 months
Jambo jema sana... miti mingine inatolewa bure Magereza. Wananchi wote mnakaribishwa
@IVAN20242228715
IVAN
4 months
0
0
2
3
4
15
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
6 months
@tuipingeCCM Ipo boss... from ICT-B I had a course named ICT Project planning and Management. I decided to master in it but in Economics, hence PPM. From PPM I had a course named Natural Resources and Environmental Economics, went with that in PhD (Climate Change and SD)
4
0
16
@SophiaMfaume
Sophia Mfaume Kizigo, PhD
2 years
@zittokabwe @CarolNdosi Ni kama kusoma shuleni, kisayansi mtu anaweza kuconcentrate only for 45minutes (max). Kwahiyo inashauriwa uwe na kitu karibu cha kuondoa boredom. Wengi hutafuta kitu chochote mbadala cha kufanya. Otherwise unajikuta unasoma mstari 1 mara 10 na huelewi!
0
2
16