Msemaji Mkuu wa Serikali Profile Banner
Msemaji Mkuu wa Serikali Profile
Msemaji Mkuu wa Serikali

@TZMsemajiMkuu

735,422
Followers
10
Following
9,876
Media
27,276
Statuses

The Official Account of the Chief Spokesman of the Government of Tanzania I Ukurasa Rasmi wa Msemaji Mkuu wa Serikali ya Tanzania 🇹🇿

Dodoma, Tanzania
Joined August 2016
Don't wanna be here? Send us removal request.
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Tutafanya kila namna wananchi wapate habari
1
3
15
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Kuhusu uhuru wa vyombo vya habari nchini
0
0
5
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Pongezi kwa Idara ya Habari - Maelezo
0
0
4
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Tweet media one
0
0
6
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Tweet media one
0
0
2
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
5 hours
Tweet media one
0
0
4
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Ndugu Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Aprili, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
3
17
141
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia Mhe. Dkt. Hassan Sheikh Mohamud akisaini kitabu cha wageni mbele ya mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Aprili 2024.
Tweet media one
Tweet media two
2
32
192
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mgeni wake Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia Mhe. Dkt. Hassan Sheikh Mohamud wakati alipowasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Aprili 2024.
Tweet media one
Tweet media two
1
27
175
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
13 hours
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) Jijini Nairobi, Kenya ili kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA.21 wa IDA
2
20
76
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
14 hours
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Viongozi mbalimbali wakati wa Wimbo wa Taifa wa Kenya pamoja na ule wa Umoja wa Afrika (AU) ukiimbwa kabla ya kuanza Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
Tweet media one
Tweet media two
4
33
199
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
12 hours
Asubuhi njema katika kazi jijini Nairobi nchini Kenya kwenye Mkutano wa Shirikisho la Maendeleo la Kimataifa (IDA), mshirika wa Benki ya Dunia. Nchi yetu inashirikiana na IDA katika miradi mikubwa na ya kimkakati 25 katika sekta za uchukuzi, maendeleo ya kijamii, nishati, elimu,…
Tweet media one
183
196
2K
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 28 Aprili, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
9
40
250
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali waliofika kumpokea baada ya kuwasili Nairobi, Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA
Tweet media one
3
23
127
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Ua mara baada ya kupokelewa na Watanzania Waishio Jijini Nairobi nchini Kenya tarehe 28 Aprili, 2024.
Tweet media one
0
25
169
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na baadhi ya Watanzania waliofika kumpokea Jijini Nairobi baada ya kuwasili kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA
Tweet media one
Tweet media two
5
28
233
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
1 day
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Jijini Nairobi nchini Kenya kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA
11
49
230
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@SuluhuSamia
Samia Suluhu
1 day
Nimewasili jijini Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na kazi ya diplomasia ya kudumisha uhusiano wetu hasa kibiashara na kiuchumi, pia ninahudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Maendeleo (IDA21). Nchi yetu inashirikiana na Benki ya Dunia katika mpango wa IDA…
Tweet media one
556
340
4K
@TZMsemajiMkuu
Msemaji Mkuu wa Serikali
2 days
📌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
0
0
3
Msemaji Mkuu wa Serikali Retweeted
@ikulumawasliano
ikulu_Tanzania
2 days
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Tweet media one
6
29
127