Trojan Horse🎭 Profile Banner
Trojan Horse🎭 Profile
Trojan Horse🎭

@anon_codex

9,960
Followers
938
Following
2,407
Media
39,401
Statuses

💎Multi-talented Proficient and creative WordPress Expert | Front End Dev | Mobile App dev🎭

Joined June 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
I will Never be broke in my life. 01/01/2024🔐
8
53
310
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 month
Wewe kama kijana unayejitafuta mshaharaka wako au biashara zako kwa mwezi haufiki 2M achana na hizi gari 1. Crown 2. Bmw 3. subaru 4. Mercedes 5. Brevis Chaguo sahihi ✅IST ✅ALLION ✅VITZ ✅AXIO ✅SPACIO ✅PREMIO ✅ALLEX ✅RUMION ✅RACTIS
184
143
1K
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
😁😁Vijana kuweni Inspired BEFORE. .AFTER
Tweet media one
Tweet media two
73
97
1K
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Kuna gari kama huna pesa za kutosha sio za kununua na usithubutu kununua ata used 1. Bmw x5 2. Bmw 3 series 3. Audi A4 4. Mercedez Benz C class Ongeza zako 🫵🏾
147
46
1K
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
When employers want you to have 10 years of work experience before the age of 22 😂😂😂
Tweet media one
31
78
688
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Yani unaweza kwenda jela kwa pesa zako mwenyewe 🙌🏿🙌🏿😅 12M unahojiwa masaa 5 na ukileta mchezo unaeza enda lala Centro 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿 🫵🏾Pesa ya kuweka bank ni pesa ya matumizi madogo madogo tu
60
45
681
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Tuishi na watu vizuri humu ndani kuna watu wana hela na connection Jamaa wa humu ndani kanicheki anataka Mobile App (ios & android) nikampa price akatoa advance 2000$ 🙌🏿 Sjapost kuwaonesha hela nimepost muwe inspired nakuendelea kupambana bila kuchoka kila kitu kinawezekana💪🏿
Tweet media one
Tweet media two
89
85
660
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Kuna washkaji zangu wawili since 2018 nilikuwa napiga nao madeal 2022 wakapata deal 1 wakapiga wenyewe hawajanishirikisha wakanunua subaru 2 starehe kila siku huwa sjawahi watafta tena wala kwenda kwao leo wananitafta wamekwama hawana pesa tena 😅😅 nashindwa niwajibu nini 🙌🏿🙌🏿
Tweet media one
113
58
645
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Mfumo mzuri wa watoto bila kupoteza mdaa Baby class Pre unit Middle class Primary School Secondary School Certificate Diploma Atanza kujitafta hapo atakuwa na miaka 20 hivi mpaka afike miaka 23 atakuwa tayari ashanza kujipata ✅ Money is more Important than Education
34
87
624
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Yani Air Tanzania nimeangalia ndegee saa 1 ilikuwa bei 222k nimenda kwa wakala kuweka hela narudi sahivi nakuta laki 399k 🙌🏾 HOW 😰
Tweet media one
Tweet media two
33
14
580
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Mjerumani atabaki kuwa mjerumani tu Mabati ya Japan Vs Chuma cha Mjerumani 😂😂
79
99
547
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Mimi nimeajiriwa na nalipwa almost 2m+ per month nana ishi nyuma ya 150k Ila vijana hamna ajira mnaishi nyumba 300k per month 🤔🤔🤔 Huyu kijana kodi ikisha aende vikindu akatfte nyumba ya 50k 🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
49
25
548
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Humu watu wanasemaga kiutani utani kama kijana ni muhimu kuwa na hivi vitu Nida Passport Driving licence ATM card Birth certificate Bima ya afya Unaweza puzia hivi vitu 😅😅 ila kuna wakati unafika unahitajika uwe na hivi vitu ndani ya week 1 akili lazima ikae sawa 😅😅🙌🏿
57
66
484
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Duuuh Yani Mwizi sio mtuu wa kumsamehe kabisaa 🫵🏾
152
75
487
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Mwanaume uliokamilika hutakiwi kukosa Passport Driving License Bima Bank Account🫵🏿🫵🏿 Ongeza kingine
Tweet media one
163
39
483
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Hela ya pombe unayo ila hela ya sahani nzuri hauna
@raphyrodrick
m.s.a.k.i †
5 months
Mzigo umetoka bhana, sema nyama zimepungua kadri Nyagi na Value zilivyokua zinapungua 😅
Tweet media one
Tweet media two
51
18
236
112
33
466
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 month
Sema huyu jamaa ana moyo sanaa Mademu wa chuo ni NYOKA 😅
186
50
466
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Nauza Vocha ya 5k unanitumia 4k M-Pesa
Tweet media one
Tweet media two
28
56
452
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Nimetoka kazini na njaaa Nikasema nitoe kitu chap chap 😅😅
Tweet media one
Tweet media two
85
14
438
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Hapo anafanya kazi Mbezi Beach Akija Masaki tutahema humu kweli 😂
Tweet media one
26
14
435
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Ushajiona hujajipata Unajitafta Huna maisha Achana na wanawake utakuja kuwaona wabaya buree kumbe kosa sio lao kosa ni lako wewe Mwanamke matunzo bro haijalishi ana hela au hana hizo ni zake sio zako
78
78
440
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Kwaiyo 7 digits ni pesa ya kuvimba unalipwa 😂😂
Tweet media one
29
18
431
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 month
Kati ya gari unanunua bei kubwaa unauza kwa hasara 🫵🏿🫵🏿 usithubutu kununua hii chuma used DON’T Bmw 3 Series
Tweet media one
47
21
435
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Ushauri ipi ni gari nzuri kwa ajili ya mishe za hapa na pale kati ya hizi gari 6 hapa 1. Crown Royal Queen 2. Bmw X1 Series 3. Bmw 3 Series 4. Toyota Premio new model 5. Subaru Impreza 6. Aud A4
99
35
431
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Unataka kujifunza Mobile App Development hujui pakuanzia ? Kila mtuu ana njia yake ya kujifunza right ? Nataka nikupe njia rahisi ambayo haitokuchosha na ukiweka mdaa wako nakupa 5 months usipojua bac una kichwa cha panzi 😀
Tweet media one
30
155
420
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Hey toyota passo, turn on the radio 😭 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿 Ahhaa
45
90
421
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
“Wala sivurugi ndoa yako Judy” 😳🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
39
28
414
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Wewe ushaona ajira kwenye nchi yako ni tatizo huna ata uncle Serikalini baadala utafte alternative ya kulearn new skills zitakazo kusaidia kukuingizia kipato njee na career yako Wewe unakoma na kusoma miaka 6 At the end umri umenda huna hela huna ajira Familia inakutegemea 🚶
43
75
401
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Bongo kodi ingekuwa chini kidogo Tungekuwa na vitu vizuri sanaaa kwenye nchi yetu N.B. Ukiwa una agiza mzigo Aliexpress make sure unaweka zip code sahihi na eneo unalopatikana na linajulikana Njee na hapo mzigo ukienda Posta utafekwa kodi vibaya mnoo😅😅
16
31
401
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
Dear HR Manager, Before Rejecting Freshers, just remember one thing. Once you were also a fresher and someone Trusted you.✅
13
61
383
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
Dear HR, Offering LOW Salary to Freshers in the name of Learning & Training is Not a Fair Deal at all. Good Morning 👊🏾
14
60
373
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Tatizo vijana wengi hamtaki kujipa mdaa kujifunza kitu mnataka mjue leo leo mpate hela leo leo mambo hayaendi hivo Mpaka ujipate Utafanya project za bure Utatumiwa Utapitia magumu mengi yote hayo yanakujenga kiakili na fikra Mafanikio ni process
37
90
378
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 years
#Pichazasimu Phone: Iphone 12 pro F2.8 Location: Morogoro Time: 17:36
Tweet media one
28
29
374
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Nataka kutoa kituu Hapo kimepelea nini ??
Tweet media one
81
18
369
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
kuna mdada nilikutana naye gym tulipiga story 2,3 nikampa business card yangu anajua mimi ni developer Jana akanicheki akaniambia kuna rafik yake anahitaji website nikamuambia 1000$ Leo kaja ofisin katoa 790$ Jichangange na watu, jifunze kuwambia watu unachofanya #thinkinusd
Tweet media one
Tweet media two
46
47
369
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Vitu vya muhimu vya kutoka navyo leo 😅🫱🏿‍🫲🏿
Tweet media one
51
18
364
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Msaki alikuwa anaishi kwa demu wake Manzi Kamfukuza jamaa toka mwezi uliopita sahivi anapata tabu kununua vitu vya ndani😂 Msaidieni daah😅🙌🏿
13
14
364
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Wazee muheshimu sanaaaaa mwanamke aliyekuzalia mtoto🙌🏿🫵🏾🫵🏾🫵🏾 Haijalishi ana visirani vyake mmezinguana kila mtuu yupo na maisha yake ila make sure unamkumbuka na kumuheshimu 🫵🏾
29
43
338
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Yani kuna wadada nimewapa lift tumetoka kanisani tunaenda mtaa mmojaa Wamenibia perfume yangu ( Dark Night) mpyaa ilikuwa nyuma ya seat daah 🥲🥲🙌🏿🙌🏿
45
20
330
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Wazee mnatuvimbia na mageto makali kumbe kuna mkono wa lishangazi hapo 😂 Unazani kumiliki tv inch 50 mchezo🤣🤣🫵🏿🫵🏿🫵🏿 Gabby na ma usdt yake hadi leo hana
Tweet media one
23
14
333
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Usicheke sanaa zamuu yako ya kupikwa haiko mbalii 🤣 ni swala la mdaa tu
Tweet media one
47
20
323
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Bado nini hapa ? 😹😹 💰💵 hela tuu
Tweet media one
67
20
324
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Mnataka wanawake wazuri na hamtaki hudumia 😅😅☺️ Anyway nimetoka kutuma 70k
Tweet media one
159
30
307
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Jitahidi uwezavyo upange nyumba ambayo mwenye nyumba haishi hapo pia jitahidi asiwe mswahili 🫵🏾 Jitahidi sana unavolipa hela kodi uwe na record zote za miamala 🫵🏾
13
34
312
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Tatizo watu hamsomagi sheria za betting kwa watu kama sisi ambao tunampango wakumpiga muhindi pesa ndefu huwa tukogo makini sana kuna bet company sheria zao zinabana sana mfano 1. mkila mkeka unaofanana watu 500+ hamlipwi 2. ukiwa na account 2 za kubet kwenye company 1 hulipwi
10
14
302
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Kama unamini Yanga bingwa Gonga like 💚💛
Tweet media one
4
8
295
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
kukimbia kote Marathon bado unaka chumba kimoja ?? 🙂
@Carotherunner
Caroline J
10 months
Karibuni tungalie movie.💚💛
Tweet media one
284
47
1K
58
6
292
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
Maarafiki zangu wanapozungumzia vijana ambao hawana time na wanawake huwa wananitumia mimi kama mfano najivunia kwa hiloo 🙌🏿🙌🏿
34
15
286
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Sema mimi ata ukiwa na tako ukishakuwa mweusi wewe sio type yangu tenaa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
38
14
286
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Semaa pesa zipo online Pesa zipo online Jifunze Web Development Jifunze App Development Kumbuka mambo magumu wanajua wachache Jitume kaza buti Usisahau kumuomba mungu pia
14
46
285
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Leo nataka niwake Hadi nikiendesha gar nihisi napaa 🤣🤣🤣😂😂😂
Tweet media one
67
21
276
@anon_codex
Trojan Horse🎭
7 days
Asilimia 70% ya watanzania wanatumia “2580” kama password yao ya siri
46
11
309
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Humu ndani vijana wenye maisha magumu ndowanapush ajenda za kijinga jinga sasa cjui zitabadilisha maisha yao Umaskin mbayaa sanaa
24
29
269
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Kuna Mama nilikutana naye Gym tukapiga story akaniambia anabishara ya vyombo nikamshauri nimtengeneze E-commerce website kwa ajili ya kuza bidha zake mama akakubali now anauza through online anapokea order + hela anafanya deliver leo kanitumia zawadi ya air fryer kama asante 😍
Tweet media one
Tweet media two
26
23
261
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Remote jobs hazihitaji uwe na 1. Certificate 2. Haijalishi una umri gani Kinachohitajika only ni your skills je unakwama wapi kwenye kufanya remote jobs ?
14
37
258
@anon_codex
Trojan Horse🎭
16 days
Kuna mdada nilionana naye alikuwa na idea yake tukadiscus hadi saa 4 usiku Akaona mdaa umenda tukaenda kwangu tumelala hadi asubuhi sikumfanya chochote Mchana akaishia Kuna sikuu rafiki yake anakuja Dar na yeye yuko mbali 🙌🏿 rafiki yake akashukia kwangu akaka 4 days bila tatzo
@amprincess9
TricyLove🦁
17 days
Wewe kama kijana wa kiume umewahi msaidia mwanamke na usitake kulipwa kingono? Je! Ulijisikiaje?
196
61
825
58
14
255
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 month
Sio kila kitu kitu utambiwa Jifunze App Development 🫡 Jifunze Web Development Jifunze Digital Marketing Jifunze Ui/Ux Jifunze Cybersecurity Tafuta kitu chako kimoja koma nacho yani ishi nacho mpaka ujulikane wewe ni Master kwenye hiyo sector
Tweet media one
17
45
253
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Utamrudia ex wako ama bora kufa 😂😂
Tweet media one
53
10
248
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Code is Hard, i can’t code Nilianza kujifunza kucode kwakutumia PHP mdaa huo ndo Python ilikuwa iko introduced na ikanza kufundishwa chuoni so nikataka kujifunza pia Python pamoja na PHP kwa pamoja baada ya kuzimaliza hizo language 2 nikanza kujifunza web development
Tweet media one
27
37
245
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Utofauti wa kalynda na cousin Ni kwamba cousin ni mtuu mmoja kalynda ni company 🤣🤣 😂😂
Tweet media one
28
13
245
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Karibu Mbezi Beach Judy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Tweet media one
16
9
246
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 years
Watoto wa filed wanakuwaga na mapepo 😑😑😑😑😑😑😑😑😑😑
Tweet media one
@YourFrenchFry
CoCo🍫💦
2 years
Serious question, kwanini mnakataa wanafunzi wa field huko maofisini?
273
143
3K
79
24
237
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
🌱 🤗
Tweet media one
Tweet media two
22
14
237
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Unataka Kula hela za Elon alafu bado una bando za kupimaa ? Hiyo ni kazi kamą kazi nyingine hamna Biashara ambayo haitaki mtaji nunua Router itakusaidia kufanya mishe zako kwa uhuru bila kuwaza bando linaisha mda gani.
Tweet media one
31
27
235
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Aiseee kuwa na mahusiano ndo gharama hivi 😳😳😳 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿 #atasiomengi 😂
Tweet media one
89
22
236
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Always mambo magumu huwa yana hela na pia wanajua watu wachache 🤙🏾🤙🏾🤙🏾 ⚠️
Tweet media one
22
24
235
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Dada zeta mnavoitwa sehemu na rafik zenu/mpenzi jitahidini kubeba ata hela ya nauli Jana saa 9 usikuu nimekutana na dada wawatu mkali mno kaitwa sehemu amefikaa jama hapokei cm boda anamdai buku 7 😹 demu hana hela yoyote nikamlipa boda na yeye nikampa hela ya kurudu home 🙌🏾🙌🏾
Tweet media one
64
10
234
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Hivi ni kwamba nina matumizi mabaya ya pesa au maisha yamepanda Nimefikia hatua 150k haimalizi siku 5 na cna familia😂😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
30
7
230
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Weekend safii 🤗 Alone but happy 🌧️
Tweet media one
28
17
228
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Hivi inakuaje mtuu unakuwa mlevi 🙂najivunia sanaa kutokuwa mlevi🙌🏿au kuto kunywa pombe 🙏🏿
Tweet media one
53
11
223
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Kuna jirani yangu hapa mdada kaniomba password za Wi-Fi yangu nimempa gaflaa internet yangu imeanzaa kuwa slow nangalia user yupi anamatumizi makubwa na anfanya nini nakuta ana download porn0 za gb 5 😭 😭 😭 😭 😭
Tweet media one
Tweet media two
46
9
224
@anon_codex
Trojan Horse🎭
6 months
Tafta hizi document kabla hujanza chochote BIRTH CERTIFICATE unatakiwa uwe na cheti kimoja hapa 1. Cheti cha ubatizo 2. Cheti cha form 4 au result slip 3. Kadi ya Kliniki 5. Kitambulisho cha mzazi mmoja sana sana nida au cha kura Siku 3 umepata cheti chako fees 20k
13
28
224
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
🥞breakfast 😁😁
Tweet media one
Tweet media two
34
15
223
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Maisha ya Cousin baada ya kodi kuisha 😂😂
Tweet media one
33
14
222
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Unataka Good Internet na yenye speed Wachukue hawa jamaa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 Nilikuwa naskia kwa watu nimejionea mwenyewe Router 650k 120k Per month 5G Unlimited 64 User Mcheki @DejohB
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
26
54
214
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Mdaa wa kukesha umefika 🙌🏿😅
Tweet media one
26
22
214
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Natamani kua single ila nnaupwiru unanikaba kooh😭😭😂🤣
Tweet media one
59
11
216
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Gari ambayo sijawahi kuwa na ushawishi nayo wala kuiwazaa Nii hii hapaa 👇🏿
Tweet media one
36
8
217
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Nyie mnaoenda Gym Asubuhi mnawezaje 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 Nimeamka nimevaa nikarudi lala 😂
13
14
215
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 month
Wazee nipo mbezi beach hapa nataka kwenda Posta na kurudi sinatoboa ?
Tweet media one
58
10
217
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Sikuhizi najikuta nalipwa kwa doller tuu duuh 🙌🏿🙌🏿 💪🏿Hard work pays🙌🏿
Tweet media one
16
18
213
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Kuna mtuu ana experience na hizi air cooler Zinasaidia sanaa au kawaida ? Mtuu akinunua ni nzuri au anapoteza hela ?
Tweet media one
49
21
209
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Mim mteja akishanitafta anahitaji Service kutoka kwangu huwa hachomoki unajua why? Mjue mteja wako ni wa aina gani kwanza Mpe elimu kwanza Mpe Discount Mtengeneze mazingira ajihis yeye ni mfalme Muaminishe unajua na unaweza kufanya kazi yake Tumia lugha nzuri Kuwa mcheshi 🤙🏾
9
47
208
@anon_codex
Trojan Horse🎭
5 months
Kama wewe ni developer wa mobile application jitahidi upate mackbook hii itakusaidia sanaa kwenye safari yako ya development Pia kwa upande wa web developement jitahidi kuwa na device za kutest responsiveness ya kazi zako ambazo ni mobile, tablet etc
Tweet media one
Tweet media two
11
25
200
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
1m inakata kwa siku 1 kama laki 1 🙌🏿 Maisha ya Dar hayaa tuendeleni kupambana tu
Tweet media one
32
11
203
@anon_codex
Trojan Horse🎭
1 year
Friday is for Mandi 😇 📍Papparoti
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
25
15
200
@anon_codex
Trojan Horse🎭
28 days
Leo nimekosa iphone 15 tuu nizame nayo kwenye maji Gaby ni mtu wa maana sanaa 😂😂
Tweet media one
Tweet media two
15
8
201
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
😂 Yani mimi hadi unitapeli 😅😂😂🙌🏿🙌🏿 unaweza jikuta nimekutapeli wewe kwanza 😂😂😂 Akili yangu ina sensi sekunde 5 tuu inahisi hapa napigwa
Tweet media one
31
13
197
@anon_codex
Trojan Horse🎭
10 months
Yule jirani niliowambia juzi anadownload porn0 za gb 5 alikuja bwana nikamkopa kabeba pc ya 2m kısa 20k 🥹 na kaenda Moro 😭 😭 😭
Tweet media one
68
5
196
@anon_codex
Trojan Horse🎭
25 days
Mimi naona hii App ya Tigo ina UI/Appearance kali tuu Lakini sio User Friendly kabisa🙂
26
11
199
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Natamani nipate mwanamke anaye chapa code hapa Dar es Salaam 😅😅 Familia haiwezi lala njaa kabisa
8
10
194
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Sema napenda sanaa kudate na mwanamke aliyenizidi umrii Wakogo matured sanaa alafu sio wasumbufu pia hawana mambo ya kitoto
24
13
194
@anon_codex
Trojan Horse🎭
2 months
Sema mimi naona hawa wanaotafutwa na mashoga wamekaa kimlenda mlenda sanaa Mbona sisi wanaume wengine hatutafutwi ?
30
10
192
@anon_codex
Trojan Horse🎭
23 days
Kuna this place wanaitwa Yami food restaurant 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 Nimekula Pizza ya Kfc, Batman Pizza ila hawa jamaa pizza 🙌🏿🙌🏿🙌🏿😅 ni kwere
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
16
191
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Unambiwa Fallacy kameza script yangu kama ilivo 🤣🤣 hajaongeza neno wala kupunguza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tweet media one
6
4
190
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Wazeee Kwan yule jamaa anafanya kazi gani ? Kama ananunuliwa Feni Kapeti Cm 💔 yule manzi alikuwa na upendo wa dhatii kwa mwana sema mwana ms** naye
11
14
188
@anon_codex
Trojan Horse🎭
7 days
Fursa hiyo hapoo 🫵🏿
Tweet media one
10
26
192
@anon_codex
Trojan Horse🎭
3 months
Jeans unanuaga wapi ? T-Shirt unanunuaga wapi ? Kiatu unanunuaga wapi ? Kofia unanunuaga wapi ?
23
10
186
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Anayejua vizuri UI/UX nitumie kazi zako dm ❌Usiwe umeajiriwa ❌Usiwe mswahili ❌ Deliver kazi kwa wakati Kuna kamchongo hapaa
12
17
186
@anon_codex
Trojan Horse🎭
4 months
Sema nimeamini ukiwa na pesa unawahi kuamka automatic 😂😂😂 Huwa nikogo macho kwanzia saa 11 na nusu ata nilale saa tisa🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂😂
Tweet media one
20
13
185