Shinyanga tuna jambo letu
Mgombea wa CCM Ndg
@MagufuliJP
atazungumza na wananchi wa Shinyanga ktk Uwanja wa Sabasaba, Kata ya Kambarage.
Atasindikizwa jukwaani na Linah Sanga, Young Dee, Msechu, Bob Haisa, Mrisho Mpoto, Banana Zorro, Chege na Sholo Mwamba
Kambarage ni moto🔥✅