Muhimbili National Hospital
3 years
Hospitali ina kawaida ya kupuliza dawa ya kuua wadudu mbalimbali wodini, maofisini , na maeneo mengine ya nje mara mbili kwa mwaka. Wakati zoezi likifanyika, wagonjwa hutolewa nje na kuwekwa chini ya mahema huku huduma nyingine zikiendelea. Hili ni zoezi la kawaida na endelevu