Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile Banner
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Profile
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

@wizara_afyatz

231,860
Followers
134
Following
4,993
Media
5,845
Statuses

Ukurasa Rasmi wa Wizara ya Afya Tanzania. Ukurasa huu unaendeshwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini - AFYA

Dodoma, Tanzania
Joined February 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 hours
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI; MPANGO KABAMBE WA HUDUMA ZA KIBINGWA ZA MKOBA KARIBU NA WANANCHI KUTOKA TAREHE 29 APRILI HADI TAREHE 11 MEI,2024 (DKT SAMIA SPECIALIASED OUTREACH PROGRAM) โ€œMadaktari Bingwa wa Rais, Dkt. Samia Tumekufikia, Karibu Tukuhudumieโ€
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
7
21
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
COVID-19. Changia kutokomeza Corona, kupitia Banki Kuu ya Taifa (BoT), Namba 9921159801. Jina la Akaunti "National Relief Fund Electronic" Jikinge, wakinge wengine Corona inazuilika.
Tweet media one
475
200
1K
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kwa kipindi cha masaa 24 tangu jana Alhamis Machi 27, 2020 jumla ya sampuli 26 zimewasilishwa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na zote zimethibitishwa hazina maambukizi (Negative), hivyo bado waliothibitika kuwa Positive ni 13 mpaka sasa" @umwalimu
Tweet media one
84
84
803
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI Wizara ya Afya inathibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 29 wa COVID-19 nchini. Hadi sasa Tanzania idadi ya Wagonjwa imefikia 88 na wote wanaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa wataalam afya. #ChukuaTahadhari #Covid19Tanzania
Tweet media one
105
161
686
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Serikali kupitia taasisi ya Benjamin Mkapa imeajiri watumishi wa kada ya Afya 307 ambao wamepangiwa mikoa mbalimbali kwa ajili ya kuongeza nguvukazi ktk sekta ya afya ili kuimarisha jitihada za kupambana na maradhi ikiwemo ya milipuko kama kipindupindu na COVID19.
Tweet media one
60
57
646
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
6 months
TANGAZO LA AJIRA 289 ZA WATUMISHI KADA ZA AFYA KUTOKA WIZARA YA AFYA Wizara ya Afya kupitia Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/โ€ Bโ€/75 cha tarehe 04 Mei, 2023 na Kumb. Na FA.97/128/01โ€Bโ€/78 cha tarehe 09โ€ฆ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
47
158
634
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
COVID-19 MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA NCHINI. WIZARA inatoa taarifa juu ya uwepo wa wagonjwa wapya watano (5) wa Corona nchini, ambao ni Watanzania na ni wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Tweet media one
88
135
607
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Tuepuke mikusanyiko na kuhakikisha tunakaa umbali usiopungua mita moja kati ya mtu na mtu..., waendesha ibada wawakumbushe wananchi mara kwa mara kuzingatia taratibu za kujikinga dhidi ya maambukizi kama inavyoelekezwa na Wataalamu wa Afya ", Prof. Makubi
Tweet media one
58
82
578
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
โ€œWakati tunaendelea kukabiliana na janga la Corona tukumbuke kuwa kuna magonjwa mengine kama ya moyo, kisukari, maralia, figo na ya kuambukiza ikiwemo Ukimwi na TB. Hivyo basi mgonjwa wa aina hii akifika katika kituo cha afya anatakiwa kutibiwa na siyo kukimbiwa.โ€ @umwalimu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
39
64
544
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
10 months
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA KUJITOLEA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MARA
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
113
91
556
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Waziri @ummymwalimu amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya METL Mohammed Dewji @moodewji kwa kuahidi kufadhili masomo kwa madaktari wawili watakaosomea masomo ya ubingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu nje ya nchi.
Tweet media one
25
57
522
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Katibu Mkuu Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya Prof. Mabele Mchembe amewasili kwenye ofisi ndogo ya wizara iliyopo jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Waziri wa wizara hiyo Mh. @umwalimu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
24
43
515
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Mwenendo wa ugonjwa wa COVID-19 katika baadhi ya mikoa hapa nchini kwa siku ya jana kwenye vituo vya umma pekee ilikua kama ifuatavyo: Tanga wagonjwa - 0 Amana - 3 Mloganzila - 1 Kibaha - 0 Mwanza - 0 @ummymwalimu #ZiaraYaWaziriMkuuTanga #JikingeWakingeWengineCoronaInazuirika
Tweet media one
102
36
521
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @ummymwalimu amesema ugonjwa wa Corona unaelekea kuisha nchini Tanzania ambapo zaidi ya Mikoa 15 haina mgonjwa wa Corona ikiwemo Dodoma. Na Mikoa yenye wagonjwa imethibitisha kuwa wanaendelea vizuri lkn ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuchukua tahadhari.
Tweet media one
Tweet media two
50
36
529
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Watanzania tusifanye mzaha, huu ugonjwa wa Corona sio wakufanyiwa mzaha, wenzetu wa nchi zilizoendelea pamoja na uchumi wao kuwa mkubwa na sayansi yao kubwa, lakini wamefika mahali wameshindwa, hizi tahadhari za msingi ambazo tunaelekeza ni muhimu kuzizingatia " @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
58
80
511
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
63
66
496
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
M/kiti Baraza la Madaktari Tanganyika Prof. D. Ngassapa amesema watahiniwa wa utarajali wa Udaktari waliofaulu wako 845 ambao ni 72.8% waliofeli ni 316 ambao ni 27.2%, Udaktari wa Meno waliofaulu ni 28 (77.8%) na waliofeli ni 8 ambao ni 22.7%, Fiziotherapia alikua 1 na alifeli.
Tweet media one
Tweet media two
56
66
479
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
42
63
480
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Ukweli ni kwamba Mkurugenzi wa @TaasisiMoyoJKCI Prof. Janabi amewapangia watumishi wake majukumu ya vitengo kwenye taasisi yake ikiwa ni sehemu ya jitihada katika kuboresha utoaji huduma bora kwa wananchi. Na sio kujiuzulu kama baadhi ya watu wengine walivyopotosha umma.
Tweet media one
50
65
481
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Kumradhi, kurasa rasmi ya Wizara ya Afya Tanzania @wizara_afyatz ilihujumiwa na watu wenye nia mbaya. Sasa imerudishwa kweny hali ya kawaida na kuongezwa taarifa za usalama zaidi. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.
Tweet media one
63
34
477
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Public Announcement
Tweet media one
Tweet media two
43
115
474
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa ya kuwepo wagonjwa wapya 14 nchini wa Corona (Covid-19) kama ilivyotolewa leo 13.04.2020 na Waziri Mhe. @umwalimu . #chukuatahadhari #coronainazulika
Tweet media one
48
73
468
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
11 months
TANGAZO LA KAZI YA MKATABA (Sehemu ya 1) โคต๏ธ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
55
96
460
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
TAMKO LA KATAZO LA MISONGAMANO ISIYOKUWA YA LAZIMA.
Tweet media one
Tweet media two
140
83
421
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa ya kuongezeka kwa wagonjwa wapya 84 wa Corona nchini. #JikingeWakingeWengine
Tweet media one
40
75
425
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Zaidi ya watu 1,900,000 Duniani wameambukizwa na virusi hatari vya Corona, na kati ya hao watu 121,000 wamepoteza maisha, huu ni ugonjwa unaoua kwa idadi kubwa sana, toka tuanze karne ya hii ya 21 hakuna ugonjwa ambao umeua watu wengi kwa muda mfupi kama Corona," @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
30
53
422
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe, na Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini wa Chama hicho God bless Lema pamoja na viongozi wengine wa chama hicho wametembelea majeruhi wa maafa ya mafuriko waliolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoaโ€ฆ
59
77
432
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona chathibitika nchini Tanzania" @umwalimu . Ni ya msafiri Mtanzania aliyetembelea nchi za Sweden, Denmark na Ubelgiji.
Tweet media one
48
81
412
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
TAARIFA KWA UMMA
Tweet media one
45
90
409
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 year
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akiwa anaingia Bungeni na mkoba wenye bajeti ya Wizara ya Afya mwaka 2023/24 tayari kwa kuwasilisha mapema leo.
Tweet media one
18
45
416
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Tunawashukuru Wakunga wote watanzania kwa kazi kubwa na nzuri ambayo wanaifanya katika kuwahudumia akina mama wajawazito na watoto wachanga". @umwalimu #SikuYaWakungaDuniani
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
17
38
380
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
0
100
371
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
123 VACANCIES ANNOUNCMENT The Ministry of Health (MOH) through Global Fund (GF) Grants is looking for enthusiastic, creative and energetic individuals whom will work under a three years (1st January, 2024 to 31st December, 2026) contractual agreement to fill the 123 vacantโ€ฆ
Tweet media one
18
126
381
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
โ€œKupitia umoja wenu wa TPMA, naomba tujikite katika kuzalisha vifaa kinga ili kukabiliana dhidi ya Corona, tukizalisha hapa nchini tutaokoa fedha nyingi, tutazalisha ajira na kuwa na uhakika wa ubora na usalama unaohitajika kupitia mamlaka zetu za ndani kwa urahisiโ€ @umwalimu
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
35
358
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Mwenendo wa ugonjwa wa Corona nchini. #JikingeWakingeWengine #Coronainazuilika
Tweet media one
26
55
357
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Prof. Makubi akishiriki katika Kambi ya Mabingwa katika Hospitali ya Sekou Toure kwa kufanya vipimo vya kisasa vya Moyo (Trans Thoracic Echocardiography). Prof. Makubi ni Daktari bingwa wa Moyo na damu na amebobea katika magonjwa ya Moyo kupanuka na kushindwa kufanya kazi.
Tweet media one
Tweet media two
16
41
357
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
24 days
TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
14
98
348
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kumekuwa na upotoshaji wa taarifa juu ya maambukizi ya Virusi vya Corona , wito wangu kwenu ni kupata taarifa hizi kupitia vyanzo vinavyotambulika, wakiwemo Wataalamu walioteuliwa na Wizara ya Afya, tovuti ya Wizara ya Afya na mitandao ya kijamii ya Wizara ya Afya " @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
36
337
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kifo cha kwanza cha mgonjwa wa COVID-19, kimetokea leo machi 31, 2020, marehemu akiwa ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 49, ambae pia alikuwa akisumbuliwa na maradhi mengine " @umwalimu
Tweet media one
23
78
329
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kwa wanaotaka kwenda kuwatembelea Wazee kijijini, wasubiri Corona iishe, kwasababu tunaona watu watatoka kwenye miji ambayo inamaambukizi wanaenda vijijini kuwatembelea wazazi ambao umri wao umeenda, inawezekana wana magonjwa ya uzeeni, kunauwezekano wakuwaambukiza" Dkt. Subi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
30
51
332
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
Jikinge, wakinge wengine.
Tweet media one
64
45
334
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Sio kila homa ni Corona, Jikinge na uwakinge wengine, Corona inazuilika, chukua hatua.
Tweet media one
13
52
328
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Wizara ya Afya imemfutia deni la milioni 9 mwanafunzi Lightnes Shurima ambalo alikua akidaiwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kutokana na matibabu ya Marehemu Baba yake aliyekua anatibiwa hospitalini hapo. @ummymwalimu
Tweet media one
42
19
334
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
10 months
Nani kuibuka kidedea leo kati ya Timu @jobdick05 na Timu @KibwanaShomar15 leo katika Uwanja wa Jamhuri Morogoro ๐Ÿค”. @wizara_afyatz tunawapongeza wachezaji hawa wazalendo kuja na Kampeni hii #WapeTabasamu inayolenga kuboresha huduma za afya kwa wenye uhitaji. @ummymwalimu โ€ฆ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
6
17
329
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
TAARIFA KWA UMMA Tangazo la ajira 1650 za watumishi Wizara ya Afya. Bofya kiunganishi kupakua tangazo la ajira kutoka tovuti ya Wizara ya Afya.
Tweet media one
Tweet media two
29
127
322
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
Travel Advisory No.6 of 3rd MAY, 2021.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
32
135
320
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Dereva na kondakta hakikisheni kila anaepanda gari lako amenawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka au ametakasa mikono yake kwa Sanitizer ndio aruhusiwe kuingia kwenye gari, huu ugonjwa jamani ni hatari na umeua watu wengi" @anyitike_pm . #MikonoSafiTanzaniaSalama
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
59
318
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Katika kupambana na ugonjwa wa Corona Serikali kupitia Wizara ya Afya inakabidhi vifaa vya kunawa mikono (sanitizer) lita 150 , Dispensa 30 na vifaa maalum vya kunawia mikono Mkoa wa Songwe na mikoa yote ya mipakani kama sehemu ya kupambana na maambukizi ya hayo" @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
16
48
311
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
โ€œTunakubali kuwa ugonjwa wa corona upo lakini tunawataka wataalam wetu wa afya kufanya vipimo zaidi na kujiridhisha kuwa ni ugonjwa wa corona au ni matatizo tuu ya kawaida ya upumuajiโ€ Dkt. Godwin Mollel, Naibu Waziri wa Afya
Tweet media one
Tweet media two
140
22
316
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Tumeanza kupata malalamiko ya baadhi ya Hospitali kushindwa kutoa mafunzo stahiki kwa interns na kujikuta wanamaliza mafunzo bila umahiri unaotegemewa katika kutoa huduma. Tunachunguza hizo hospitali, wakishindwa kusimamia hilo, tutazifutia kibali cha kuwapokea" Prof. Makubi
Tweet media one
15
26
305
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
TAARIFA YA MWENENDO WA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI Wizara inathibitisha ongezeko la wagongwa wapya 53 wenye maambukizi ya Virusi vya Corona (COVID-19). Wagonjwa wote ni watanzania na wanaendelea na matibabu chini ya uangalizi wa wataalam wa afya.
Tweet media one
Tweet media two
47
91
302
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Picha hizi sii za hapa nchini, tunawaomba Watanzania kuendelea kujilinda na Virusi vya Corona kwa kufuata maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya. Aidha, unapohifaji barakoa au vifaa vingine vya afya tafadhali tumia maduka rasmi ya dawa na vifaa tiba yaliyopo kote nchini.
Tweet media one
Tweet media two
28
52
303
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
UPDATE ON CORONA VIRUS DISEASE (COVID-19) IN TANZANIA TRAVEL ADVISORY NO.1 OF 23rd March 2020. @umwalimu @WHO
Tweet media one
21
99
308
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Leo tarehe 30 Machi 2020 tumethibitisha kuwepo wagonjwa wapya watano wa COVID-19, hivyo jumla ya wagonjwa sasa ni 19, huku kati ya wagonjwa 19, watatu wanatoka Dar es Salaam na wawili watoka Zanzibar," @umwalimu .
Tweet media one
28
40
299
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 months
@IAMartin_ Kuwa mwanaharakati kunakupa nafasi ya kuzungumza yale ambayo unaona ni sahihi na kuishauri Serikali na Viongozi wake kwa lugha ambayo ni ya staha kwa kuzingatia maadili ya Kitanzania, utu na faragha za watu. Mhe. Ummy Mwalimu ni Kiongozi na Kioo ndani ya Jamii, huku ulipofika siโ€ฆ
314
30
313
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
20 days
EID MUBARAK "Nawatakia Waislamu na Watanzania Wote Sikukuu njema ya Eidd. Iwe Sikukuu ya Furaha, amani na Baraka". @ummymwalimu
Tweet media one
14
35
301
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUSITISHA UTARATIBU MPYA WA HUDUMA YA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) @nhiftz
Tweet media one
62
62
287
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @ummymwalimu leo ametembelea ujenzi wa Hospitali mpya ya Rufaa ya kanda ya kusini iliyopo mkoani Mtwara ambayo inagharimu Bilioni 15.8 na ujenzi wake umefikia 80%. Waziri Ummy amesema Hospitali hiyo itasaidia kupunguza shida ya huduma za kibingwa kwa wakazi wa mikoa hiyo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
12
15
289
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @umwalimu ametoa Hadubini 57 zitakazotumika kama kupima Kifua kikuu (TB) katika Mkoa wa Dodoma ambapo 7 kati ya hizo zitapelekwa katika vituo vya afya mbalimbali vya Wilaya ya Chamwino. Serikali imenunua Hadubini 941 zenye thamani ya Bilioni 3.3 zitakazopelekwa nchi nzima.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
13
20
282
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Tweet media one
14
15
279
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, @umwalimu leo amemkaribisha Katibu Mkuu mpya wa wizara hiyo Prof.Mabula Mchembe na Mganga Mkuu wa Serikali Prof.Abel Makubi na kumuaga aliyekuwa Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula ambaye amehamishiwa Wizara ya Mawasiliano.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
28
276
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Tweet media one
35
48
278
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kikubwa kwa sasa ni kuwatoa hofu Watanzania juu ya ugonjwa wa corona, tulianza kuandaa uwanja wa sabasaba na kuweka vitanda 1000, lakini kwa sasa tumerudisha kwani maambukizi yanaendelea kupungua kwa kasi" @umwalimu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Tweet media one
22
22
272
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara (Kwangwa) iliyoasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere imeanza kutoa huduma ya magonjwa ya nje (OPD) na kitengo cha Mama na mtoto. Hii inafuatia baada ya Waziri @ummymwalimu kufanya ziara na kuitaka kuanza kutoa huduma kabla mwezi Agosti haujaisha.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
20
35
272
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Hii habari ni uzushi tunaomba umma uipuuze.
Tweet media one
Tweet media two
42
34
268
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Makamu wa Rais, Mama @SuluhuSamia amemtunuku tuzo maalum Waziri wa Afya, Mhe. @ummymwalimu kwa kutambua mchango wake na kuwakilisha Wanawake vizuri katika majukumu yake. Tuzo hiyo imetolewa leo ktk Mkutano wa UWT Dodoma.
Tweet media one
15
18
266
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Wapo wanatoka mijini na kwenda vijijini, viongozi wetu wa dini naomba mtusaidie, watu wanapaswa kujitafakari kama kuna ulazima wa kusafiri, ili kupunguza hatari ya kusambaza maambukizi ya Corona kwa wazee na walezi wetu. Sisi tunashauri kipindi hiki msiende vijijini.โ€ @umwalimu
Tweet media one
Tweet media two
15
26
267
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa ya kuwepo kwa kesi mpya 4 za ugonjwa wa Corona nchini kama ilivyotolewa na Waziri Mhe. @umwalimu leo 06.04.2020.
Tweet media one
32
62
264
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
18
42
256
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @umwalimu amekabidhi gari iliyotolewa na Wizara ya Afya itakayotumika kuratibu shughuli za Malaria za Mkoa wa Songwe. Gari hilo limekabidhiwa kwa Katibu Tawala wa Mkoa huo Bw. David Kafulila wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya Wilayani Chunya.
Tweet media one
10
12
257
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU AJIRA MPYA ZA MADAKTARI 1000
Tweet media one
Tweet media two
24
35
250
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 months
WAPONA SIKOSELI BAADA YA KUPANDIKIZWA ULOTO Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma imeandika historia ya watoto watatu kupona ugonjwa wa Sikoseli baada ya kuwafanyia matibabu ya upandikizaji wa Uloto. Hayo yamebainishwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamini Mkapa,โ€ฆ
Tweet media one
25
67
250
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Mgonjwa wa ndani alipata maambukizi kutoka kwa mtu aliyekua nje ya nchi, hivyo hadi sasa hakuna maambukizi ya ndani (Local transmission). Wagonjwa wote wanaendelea vizuri na nina furaha kutangaza kuwa Isabella amepona COVID19 baada kupimwa mara 3". @umwalimu #Covid19
Tweet media one
Tweet media two
13
32
240
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa ya Serikali kwa umma kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona (Covid-19). #Jikingewakingewengine #Coronainazuilika
Tweet media one
Tweet media two
21
53
231
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
โ€œKuna wataalam mbalimbali wa afya ambao wamemaliza vyuo lakini hawana ajira, sisi kama Serikali hatupendi kuona wataalam hawa wanajazana mitaani ndiyo maana tumeamua kuwasiliana na nchi za wenzetu zenye uhitaji kuona namna gani wanaweza kwenda kufanya kazi hukoโ€. Prof. Makubi
Tweet media one
54
22
239
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa kwa umma
Tweet media one
Tweet media two
4
50
237
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
19 days
Salamu za pongezi
Tweet media one
14
33
240
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Wale ambao mmevaa Barakoa zile ambazo zinatakiwa kutupwa baada ya kutumika, ukumbuke kabla hujaitupa uitoboe ili mtu mwingine asiweze kuiokota na kuisafisha na kuirudisha katika mzunguko jambo litalosaidia kuepusha magonjwa ya mlipuko hususan ugonjwa wa Corona" @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
18
40
223
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Tahadhari ya wimbi la nne la UVIKO-19
Tweet media one
Tweet media two
20
97
231
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Breg. Jen. Nicodemus Mwangela ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Songwe kuepuka misongamano katika maeneo yote, ikiwa ni moja ya njia ya kupambana na ugonjwa wa Corona usisambae endapo utaingia Mkoani hapo.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
6
25
225
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
2 years
Taarifa kwa Umma
Tweet media one
123
79
222
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 years
"Dawa zipo, fuateni Mwongozo wa Taifa wa Matibabu, kama Dawa A hakuna Mwongozo unasema toa Dawa B. Na siyo kumwambia mgonjwa Dawa hakuna" Mhe Ummy Mwalimu @umwalimu
12
35
223
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Kumekuwepo na taarifa zinazoashiria matumizi yasiyo sahihi ya kimtandao na hivyo kuleta taharuki kwa wakazi wa Morogoro, nimefika hapa nijionee mwenyewe makaburi hayo 92, sijayaona hayo makaburi yaliyosemwa", alisema Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Makubi alipotembelea eneo hilo
Tweet media one
13
18
216
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Jikinge, wakinge wengine, Corona inazuilika.
Tweet media one
20
37
211
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 months
MTAMBO WA KUTIBU MAGONJWA ZAIDI YA 10 WAZINDULIWA MUHIMBILI Hospitali ya @muhimbili_taifa leo imezindua mtambo unaotumia hewa tiba yenye mgandamizo ya oksijeni (Hyperbaric Medicine Treatment) ambao unatibu magonjwa zaidi ya 10 na kuifanya Tanzania kuwa nchi ya kwanza katikaโ€ฆ
Tweet media one
32
46
221
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
6 months
โ€œWazazi tusiwalazimishe watoto wetu kusoma udaktari, tuwaache watoto wenyewe wapende maana udaktari ni kazi ambayo mtu anatakiwa aipende mwenyeweโ€ Waziri @ummymwalimu
25
61
224
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
"Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wadau imekamilisha mwongozo wa Kitaifa wa kujitolea unaotoa utaratibu wa namna Hospitali na Vituo vya afya kutumia wahitimu wa kada ya afya ambao hawajaajiriwa ili waweze kutumika rasmi katika utoaji wa huduma za afya kwa kujitolea." @gwajimad .
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
25
25
218
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @ummymwalimu ametoa maelekezo kwa Waganga Wakuu wa Mikoa yote Nchini kupeleka Orodha ya Madaktari Walioajiriwa mwezi Mei 2020 ambao hawajaripoti katika vituo vyao ili kutoa nafasi kwa madaktari wenye shida ya ajira. Hii ni kutokana na siku 14 za kuripoti kumalizika.
Tweet media one
8
15
217
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Nawaelekeza Wakuu wa Mikoa na viongozi wengine wa mikoa yote kubainisha sehemu ambazo wasafiri watamudu gharama " @ummymwalimu
Tweet media one
26
30
207
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @umwalimu amekutana na Balozi wa Dermank-Tanzania Mette Spandet, na Balozi wa Ireland Paul Sherlock ambao waliambatana na maafisa kutoka Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza(DFID) na UNICEF jijini DSM na kujadili jinsi ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona nchini.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
24
34
207
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Tunasisitiza Matumizi ya Koki ambazo unaweza ukatumia hata kiwiko cha Mkono kufungua wakati huu ambapo tunajikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.โ€ Ni kauli ya Mkuu wa Kitengo cha maji na usafi wa mazingira, Wizara ya Afya @anyitike_pm
15
33
204
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 months
TANGAZO LA AJIRA ZA WAUGUZI SAUDIA
Tweet media one
Tweet media two
53
49
211
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
"Serikali kupitia Wizara ya Afya inatoa wito kwa wazazi na walezi kukumbuka kuwalinda watoto wetu, wakae na watulie majumbani kwa kipindi hiki shule zimefunga, msiwaruhusu waende kuzulula maeneo mbali mbali, kwani wanaweza kupata maambukizi huko wanakoenda kucheza" @anyitike_pm
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
41
192
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
1 year
TANGAZO LA AJIRA 247 KUTOKA WIZARA YA AFYA. Wizara ya Afya kupitia Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/โ€Bโ€/72 cha tarehe 20 Aprili, 2023; Inatangaza nafasi za kazi 247 za Kada za Afya. ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
58
207
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
3 years
TRAVEL ADVISORY No 7.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
19
70
205
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
7 months
Leo tarehe 21 hadi 24 Septemba, 2023 Serikali kupitia @wizara_afyatz na @ortamisemitz inaendesha zoezi la utoaji chanjo ya Polio ya Matone kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka 8 katika Mikoa sita (6) inayopakana na nchi zenye mlipuko wa Polio ambayo ni Rukwa, Kagera,โ€ฆ
Tweet media one
14
71
205
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Taarifa ya ongezeko la wagonjwa 30 wa Corona nchini kama ilivyotolewa na Waziri Mhe. @umwalimu kupitia ukurasa wake Twitter. #jikingewakingewengine
Tweet media one
10
35
197
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
10 months
TAARIFA KWA UMMA; UFAFANUZI KUHUSU HOJA ZILIZOTOLEWA KUHUSIANA NA WAOMBAJI WA AJIRA WALIOITWA KAZINI.
Tweet media one
Tweet media two
43
25
202
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
5 years
Mtanzania Dkt Askwar Hilonga wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela Arusha amepokea zawadi ya Shirika la Afya Duniani kwa ubunifu wa njia ya kusafisha maji kwa kutumia nanotechnology katika mkutano wa masuala ya Duniani unaoendelea Jijini Geneva. Anastahili pongezi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
11
27
201
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Waziri @umwalimu amesema wagonjwa 37 wa Corona wamepona na kuruhusiwa huku wengine 71 wakisubiri vipimo vya mwisho lkn hawana dalili. Waziri Ummy amesema hayo wakati akipokea msaada wa sabuni na Fedha Sh.Milioni 50 kutoka kampuni ya Azania Group kwa ajili ya mapambano ya corona.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
22
29
190
@wizara_afyatz
Wizara ya Afya Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
4 years
Bofya kiunganishi cha hapo chini kusoma MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI*l ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
Tweet media one
11
49
193