"Kikubwa kwa sasa ni kuwatoa hofu Watanzania juu ya ugonjwa wa corona, tulianza kuandaa uwanja wa sabasaba na kuweka vitanda 1000, lakini kwa sasa tumerudisha kwani maambukizi yanaendelea kupungua kwa kasi"
@umwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto