AJIRA MPYA ZA UALIMU NA AFYA, 2023
Mtakumbuka kuwa mwezi Aprili, 2023; Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alitoa kibali cha ajira ya watumishi 21,200 kati yao 13,130 walikuwa wa kada ya Ualimu na 8,070 wa kada za Afya.
RAIS SAMIA ATOA AJIRA 21,200 ZA ELIMU NA AFYA
“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
@SuluhuSamia
ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Vijana nane wafungua zahanati
kupitia mkopo wa halmashauri
VIJANA nane ambao ni wataalam wa afya pamoja na mwanasheria mmoja kutoka katika Jiji la Dar es Salaam wamejiajiri kwa kufungua zahanati kupitia mkopo wa halmashauri.
Tunapenda kuwajulisha wananchi wote kuwa Mhe
@samia_suluhu_hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha kiasi cha shilingi Bil. 130.5 kwa ajili ya ujenzi wa shule za Kata 214 za Sekondari na Shule 10 za Wasichana za Mikoa (Shule 1 kila Mkoa). 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ummymwalimu
LANDCRUISER PRADO TX
Wakuu wa Wilaya wanajukumu kubwa la kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ikizingatiwa kuna fedha nyingi zimepelekwa kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya Elimu, Afya…
MAELEKEZO ZUIO LA BAJAJI NA BODABODA JIJINI DAR ES SALAAM: Waziri wa Nchi
@ortamisemitz
, Mhe.
@innobash
amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Amos Makala kusimamia usitishwaji wa zuio la bodaboda na bajaji kuingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO NA VYUO VYA KATI,2023.
Wanafunzi 188,128 waliokidhi vigezo wamechaguliwa na kupangiwa kujiunga na Kidato cha Tano katika shule mbalimbali nchini pamoja na Vyuo vya fani mbalimbali.
#TUMEGUSWA
@ortamisemi
imeona video fupi inayotembea kwenye mitandao ikionesha wanafunzi wakitumia mitumbwi kwenda au kutoka shuleni. Ni kweli kwamba bado tunachangamoto ya wanafunzi wanaoishi kwenye maeneo ya visiwa vilivyopo katika bahari na vile vya kwenye mito na maziwa.
Hii ni Shule Shikizi ya Tuliza Moyo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga Mkoa wa Morogoro kupitia mpango wa ustawi na mapambano dhidi ya UVIKO-19 shule hii sasa imejengewa madarasa 4 ambapo gharama yake ni milioni 80. Wanafunzi wanasoma kwenye mazingira bora kabisa.
WALIMU WALIOKALIA MADFTARI WAPATA VITI
Shule ya Msingi Nyansalala iliyoko kata ha Bukondo Halmashauri ya Wilaya ya Geita ina Jumla ya walimu 12 wakike 6 na wakiume 6.
2.katika Ofisi ya Walimu kulikua na upungufu wa viti na meza za walimu ambapo hivi karibuni walionekana walimu…
Waziri wa Nchi
@ortamisemitz
Mhe.
@mchengerwa_m
amesema Ofisi yake imapata kibali cha ajira na katika kipindi cha mwaka huu wa Fedha 2023/24 itatangaza ajira zaidi ya elf ishirini kwenye Kada ya Ualimu na Afya.
Nimenusurika-Makongoro Nyerere
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Makongoro Nyerere amshukuru Rais
@SuluhuSamia
kwa kumuacha aendelee kuhudumu katika mkoa huo.
Waombaji 83,514 waomba ajira kupitia mfumo: Kwa sasa mfumo wa ajira unafanya kazi vizuri kwa kasi ya kutosha na mpaka tarehe 25.04.2022 saa nne usiku waombaji wa Kada ya Ualimu walikua 69,813 na Kada ya Afya ni 13,683.
SERIKALI imeanza majaribio ya mfumo wa ufundishaji mbashara ambao mwalimu mmoja anaweza kufundisha wanafunzi wa nchi nzima kwa wakati mmoja.
Mfumo huo ambao kwa sasa unafanyiwa majaribio kwa baadhi ya shule za mikoa miwili ya Pwani na Dodoma, unamwezesha mwalimu kutoka kituo…
Unajua kuwa Umoja wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA) wameshamaliza kazi ya kuchangisha fedha kwa ajili ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2025? Walimu wako Serious sana kwa hili wamekua wa kwanza na wamevunja rekodi katika…
SERIKALI INATARAJIA KUAJIRI WALIMU 12,000
DODOMA: SERIKALI inatarajia kuajiri walimu 12,000 watakaoenda kufundisha katika Shule mbalimbali hapa nchini.
Akijibu swali la mbunge wa viti Maalum, Ester matiko Naibu Waziri Tamisemi, Mhe.
@zainab_katimba
amesema Serikali inatambua…
Idadi ya Watumishi watakaoajiriwa ktk Kada za Ualimu ni 13,130 ambao watafundisha ktk shule za Msingi na Sekondari. Aidha idadi ya watumishi watakaoajiriwa kada za Afya ni 8,070 ambao watafanya kazi katika Hospitali za Halmashauro, Vituo vya Afya na Zahanati”
@AngellahKairuki
Wanafunzi watakiwa kupumzika kipindi cha likizo; WN
@ortamisemitz
Mhe.
@ummymwalimu
amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kuhakikisha wanasimamia suala la wanafunzi kupumzika wakati wa likizo ili kuwapatia watoto muda wa kujifunza masuala mengine ya Kijamii.
TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA (MARUDIO); Ofisi ya Rais,
@ortamisemitz
inawatangazia wananchi wote raia wa Tanzania wenye uwezo na sifa za kujaza nafasi za ajira za Kada za Afya 746 kwa ajili ya Hospitali za Halmashauri, Vituo vya Afya na Zahanati .
TANGAZO LA KUITWA KAZINI
Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya waliowasilisha maombi katika kipindi cha mwezi wa April, 2023 kuwa mchakato wa kuwapangia vituo vya kazi…
AJIRA ZAIDI YA ELFU 20 KUTOLEWA TAMISEMI
Waziri wa Nchi
@ortamisemitz
Mhe.
@mchengerwa_m
amesema Ofisi yake imapata kibali na katika kipindi cha mwaka huu wa Fedha itatangaza ajira zaidi ya elf ishirini kwenye Kada ya Ualimu na Afya.
Waziri Mchengerwa ameyasema hayo Wilayani…
GEREZANI - SABASABA - MBAGALA KWA DK 15 TU
SAFARI za Magari yaendayo haraka (Mwendokasi) kutoka Gerezani hadi Mbagala zinaanza rasmi keo kuelekea msimu wa Maonesho ya kimataifa ya Biashara ya 47 (Sabasaba) ambapo jumla ya magari 30 yataanza kutoa huduma.
Rais Samia atimiza ndoto ya Medical Tourisim Arusha; RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
@SuluhuSamia
ametoa Sh. bilioni Moja kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya huduma za wagonjwa wa nje, dharura, maabara, na huduma za dawa (OPD Complex) katika Hospital ya Jiji la Arusha
Hatua zilizochukuliwa dhidi ya Watumishi 2 wa Afya kwenye Zahanati ya Ishihumulwa iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora’
@AngellahKairuki
WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO 2023 KUANZA MASOMO YAO LEO.
Wanafunzi wa Kidato cha tano wapatao 130, 446 wataanza masomo yao leo kwenye shule za Sekondari 548 kati ya hao wanafunzi wa bweni ni 125,402 na wanafunzi 5,044 ni wanafunzi wa kutwa.
Kutokana na ongezeko la wanafunzi…
Shule ya Msingi Museveni iliyopo Wilayani Chato imejengwa kwa ufadhili wa Mhe.Yoweri Kaguta Mseveni, Rais wa Jamhuri ya Uganda na itachukua wanafunzi wa Awali na Darasa la kwanza hadi la Saba. Shule hii imesajiliwa kama shule ya kutwa na inatarajia kutumia mtaala wa Kiingereza
Ofisi ya Rais - TAMISEMI itawasilisha Bajeti yake leo Bungeni kuanzia saa nne asubuhi, Hii ni Bajeti ya Wananchi je mwananchi una maoni gani, ushauri au mchango katika bajeti hii? Tuandikie hapa tutasoma na kufanyia kazi!
SERIKALI YATOA KIBALI CHA KUAJIRI WATUMISHI 21,200 KADA ZA UALIMU NA AFYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ametangaza nafasi za ajira 21,200 kwa kada ya Walimu na Afya.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.
@ummymwalimu
amezindua Mpango Mkakati wa Pili wa Miaka Mitano wa Wakala wa Barabara Vijiji na Mjini(TARURA) na kaulimbiu isemayo 'TARURA tunakufungulia barabara, kufika kusipofikika
@TaruraTz
Waombaji wote wa Ajira za Elimu na Ajira hii ni kwa ajili yako tu, zimebaki siku 6 tu zoezi la uombaji wa Ajira lifike tamati hakikisha unaangalia na kufuatilia kwa makini maelekezo haya!
VIGEZO VILIVYOTUMIKA
i. Mwaka wa kuhitimu
Katika kigezo hiki, kipaumbele kimetolewa kwa waombaji wenye sifa waliotangulia kuhitimu kwa mfuatano wa mwaka, kulingana na hitaji la kada/kozi au kiwango cha Elimu, na pia mwaka wa kozi ilivyoanza kutoa wahitimu
Wanafunzi wa Kidato cha Tano tunawakumbusha kuwa Shule zinafunguliwa Tarehe 13.06.2022 na hakutakua na fursa ya kubadilisha(Kuhama) Shule uliyopangiwa ! Jiandae mapeema ukaripoti shuleni kwako.
Waziri Mchengerwa amewaelekeza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kulipa fedha za kujikimu kwa watumishi wa Ajira Mpya kabla tarehe 30 Oktoba, 2023.
🟢BUNGENI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe Zainab Katimba akiwa anaingia bungeni leo kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na kuapishwa kuwa Naibu Waziri anayeshughulikia Elimu
@ortamisemitz
MAALUM KWA WAAJIRIWA WAPYA WA TAMISEMI Mkuu wa Mkoa wa Kigoma CGF (Mst.) Thobias Andengenye amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikionesha Watu wanaotajwa kuwa ni ajira mpya za Serikali wakiwa wamechafuka baada ya kuwasili Mkoani humo.
Ajira 7,000 za Walimu wa Msingi za Sekondari Zanukia;
@ortamisemitz
imeomba kibali kwa Rais Samia Suluhu Hassan cha kuajiri Walimu 7,000 ili kupunguza upungufu wa walimu wa Shule za Msingi na Sekondari nchini’
@innobash