Necta Tanzania Profile Banner
Necta Tanzania Profile
Necta Tanzania

@NectaTz

5,656
Followers
4
Following
168
Media
230
Statuses

NECTA conducts Primary, Secondary and Teachers' Examinations. It also issues Secondary and Teachers' certificates.

Joined April 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Baraza la Mitihani la Tanzania linatarajia kutangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) 2022 leo tarehe 29 Januari, 2023. Matangazo hayo yatakuwa mubashara (live) kupitia youtube channel ya NECTA (nectaonline) kuanzia saa 4 asubuhi.
26
63
667
@NectaTz
Necta Tanzania
24 days
Ratiba
Tweet media one
15
76
564
@NectaTz
Necta Tanzania
4 years
Baraza la Mitihani la Tanzania limetoa ratiba za Mitihani ya Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) na Kidato cha Sita (ACSEE) 2020.
9
38
287
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Katibu Mtendaji wa NECTA kesho tarehe 07/01/2024 atatangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili mwaka 2023. Matangazo hayo yatarushwa mubashara (live) kupitia YouTube ya NECTA (Necta Online) kuanzia saa 7:00 mchana.
21
37
199
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Tangazo
Tweet media one
16
35
185
@NectaTz
Necta Tanzania
8 months
Tarehe 13 na 14 Septemba, 2023 jumla ya watahiniwa 1,397,370 watafanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2023
17
38
176
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne na Maarifa (QT) 2022 leo tarehe 29/01/2023. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
11
21
172
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 23 Novemba, 2023 atatangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2023. Matangazo hayo yatarushwa mubashara (live) kupitia YouTube ya NECTA (Necta online) kuanzia saa 5:00 asubuhi.
7
25
125
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
ACSEE EXAM TIMETABLE MAY 2024
Tweet media one
15
29
118
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Baraza la Mitihani la Tanzania linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2022 leo tarehe 4/01/2023. Matangazo hayo yatarushwa (Live) kupitia youtube ya nectaonline kuanzia saa 4:00 asubuhi.
7
11
96
@NectaTz
Necta Tanzania
11 days
WATAHINIWA 113,504 KUFANYA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA 2024
6
13
84
@NectaTz
Necta Tanzania
4 years
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde anatangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, Maarifa (QT) na Upimaji wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili iliyofanyika 2019 sasa hivi. Baada ya muda mfupi matokeo hayo yatapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
2
23
81
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 15/1/2022 linatarajia kutangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani wa Kidato cha Nne 2022. Unaweza kutazama tukio hilo kupitia youtube channel ya NECTA (Nectaonline) kuanzia saa 4:00 asubuhi.
19
15
73
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Baraza la Mitihani la Tanzania limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2022. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
17
2
72
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Kukanusha
Tweet media one
19
13
71
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
FTNA
Tweet media one
7
6
67
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said A. Mohamed leo tarehe 7/01/2024 ametangaza matokeo ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili 2023. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA:
Tweet media one
2
6
65
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Success
Tweet media one
3
9
63
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Kila la kheri Kidato cha Nne
Tweet media one
7
8
64
@NectaTz
Necta Tanzania
7 months
Kila la Kheri Form Two 2023
Tweet media one
2
11
64
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said A Mohamed leo tarehe 25/01/2024 ametangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) 2023. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
Tweet media one
7
4
61
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Kila la Kheri Kidato cha Pili
Tweet media one
1
5
60
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Kila la kheri
Tweet media one
2
6
54
@NectaTz
Necta Tanzania
11 days
Kila la Heri
Tweet media one
0
13
52
@NectaTz
Necta Tanzania
10 months
Baraza la Mitihani la Tanzania linatarajia kutangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu 2023 leo tarehe 13/07/2023. Matangazo hayo yatarushwa live kupitia youtube ya NECTA (Nectaonline) kuanzia saa 6:45 mchana.
3
10
49
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Usajili
Tweet media one
7
5
45
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Tweet media one
3
6
45
@NectaTz
Necta Tanzania
21 days
Tweet media one
1
2
44
@NectaTz
Necta Tanzania
16 days
Tweet media one
1
2
42
@NectaTz
Necta Tanzania
8 months
Kila la Kheri Darasa la Saba
Tweet media one
1
3
40
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Ratiba ya Marudio PSLE 2022
Tweet media one
2
7
38
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Watahiniwa wa Kidato cha Nne wanatarajia kuanza mtihani kesho tarehe 13/11/2023
Tweet media one
3
5
35
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Kila la kheri Darasa la Saba
Tweet media one
1
2
34
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Tweet media one
5
1
33
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
RIP
Tweet media one
0
1
34
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Mtihani wa Kidato cha Nne na Maarifa (QT) 2022, kuanza kesho tarehe 14/11/2022
Tweet media one
2
6
34
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
Usajili
Tweet media one
3
4
34
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
RIP
Tweet media one
0
1
33
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 15/01/2022 limetangaza matokeo ya Upimaji wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na Mtihani Kidato cha Nne. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
5
0
31
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Afisa wa Baraza la Mitihani la Tanzania Ndg. John Duah akiwaeleza wanachuo wa Chuo cha Ualimu Kigogo (DSM) jinsi mfumo wa Usahihishaji wa Kidigitali (Electronic Marking) unavyofanya kazi walipotembelea banda la NECTA kwenye Maonesho ya Sabasaba, Dar es Salaam.
Tweet media one
3
3
31
@NectaTz
Necta Tanzania
1 month
Ratiba
Tweet media one
4
3
33
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Mapinduzi Day
Tweet media one
3
0
31
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Katibu Mkuu wa WyEST Prof. Carolyne Nombo amekabidhi magari 3 kwa Taasisi 3 zilizopo chini ya WyEST ambazo zinatekeleza mradi wa BOOST. Lengo la kupewa magari hayo ni kuongeza ufanisi katika kipindi cha utekelezaji wa Mradi huo. Miongoni mwa Taasisi hizo ni pamoja na NECTA.
Tweet media one
3
1
30
@NectaTz
Necta Tanzania
1 month
Tweet media one
2
2
29
@NectaTz
Necta Tanzania
3 years
Kila la Kheri Form Four 2021
Tweet media one
1
3
25
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Ada
Tweet media one
4
5
26
@NectaTz
Necta Tanzania
8 months
Barua za PC
Tweet media one
2
3
28
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Watahiniwa 95,955 wa Kidato cha Sita kuanza mitihani kesho tarehe 9/05/2022.
3
4
28
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
NECTA @50
Tweet media one
3
1
25
@NectaTz
Necta Tanzania
3 years
Kila la Kheri Form Two
Tweet media one
0
4
25
@NectaTz
Necta Tanzania
2 months
Tweet media one
0
0
26
@NectaTz
Necta Tanzania
9 days
Wakuu wa Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wakisikiliza uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo leo 7 Mei, 2024.
Tweet media one
Tweet media two
3
5
28
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said A. Mohamed akitoa taarifa ya maandalizi ya mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu itakayofanyika tarehe 2 hadi 22 Mei, 2023
Tweet media one
3
4
24
@NectaTz
Necta Tanzania
1 month
Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said A. Mohamed leo tarehe 8/4/2024 amefungua mkutano wa Jukwaa la Utafiti la Umoja wa Mabaraza ya Mitihani ya Nchi zilizo Kusini mwa Afrika (Southern Africa Association for Educational Assessment Research Forum) Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
2
3
25
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Ramadhani Kareem
Tweet media one
1
3
23
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Usajili Kidato cha Nne 2022
Tweet media one
9
3
22
@NectaTz
Necta Tanzania
22 days
Tume ya Mapitio ya Sera ya Elimu kutoka Jamhuri ya Uganda ilifanya ziara katika ofisi ya NECTA Dar es Salaam tarehe 23/04/2024 kujifunza kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 pamoja na Mitaala Mipya na uendeshaji wa Mitihani ya Kitaifa.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
1
23
@NectaTz
Necta Tanzania
7 months
Katibu Mtendaji wa NECTA Dkt. Said A. Mohamed amezindua zoezi la upandaji miti Mufindi, Iringa kuelekea maadhimisha ya Miaka 50 ya NECTA
Tweet media one
2
1
22
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
ACSEE 2022 TIMETABLE
Tweet media one
3
2
22
@NectaTz
Necta Tanzania
1 month
Ratiba
Tweet media one
0
5
22
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA NECTA Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda leo tarehe 30/11/2023 amezindua rasmi Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza la Mitihani la Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam.
Tweet media one
0
5
19
@NectaTz
Necta Tanzania
3 years
Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 15/01/2021 litatangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne, Kidato cha Pili na matokeo ya Kidato cha Nne 2020.
3
5
20
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
USAJILI WA WATAHINIWA WA KUJITEGEMEA WA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2023 UMEANZA TAREHE 1/7/2022 NA UTAFUNGWA TAREHE 30/09/2022
0
1
18
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
Usajili
Tweet media one
1
3
20
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Salamu za pongezi
Tweet media one
0
2
20
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Kila la Kheri Form Four 2023
Tweet media one
1
6
19
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
NECTA @50
Tweet media one
1
1
18
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Baraza la Mitihani la Tanzania leo tarehe 5/07/2022 limetangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu 2022. Matokeo hayo yanapatikana kwenye tovuti ya NECTA.
3
2
19
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Tweet media one
4
2
18
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA NECTA
4
5
17
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Hongera
Tweet media one
1
0
16
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Tulikotoka
Tweet media one
0
2
17
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda na Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano Mazingira Dkt. Selemani Jafo wametembelea banda la Baraza la Mitihani la Tanzania na kuona jinsi gani mfumo wa kusahihisha mitihani kidigitali (E-Marking) unavyofanya kazi.
Tweet media one
1
5
17
@NectaTz
Necta Tanzania
1 month
Tweet media one
1
2
17
@NectaTz
Necta Tanzania
3 years
Kila la Kheri SFNA 2021
Tweet media one
2
4
16
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Matokeo Form Four
0
0
17
@NectaTz
Necta Tanzania
4 years
Baraza linapenda kuwajulisha kwamba ratiba ya Mtihani wa Kidato cha Sita 2020 inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa Mtihani wa Kidato cha Sita umpangwa kufanyika kuanzia tarehe 9/10/2020 hadi 23/10/2020 ni ya Uongo. Hadi sasa ratiba ya mtihani huo bado haijatoka.
3
6
17
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Tweet media one
0
0
17
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
HUDUMA YA VYETI INATOLEWA MAONESHO YA MIAKA 50 YA NECTA
4
3
15
@NectaTz
Necta Tanzania
5 months
Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya NECTA katika Ofisi ya Baraza la Mitihani la Tanzania, Jijini Dar es Salaam tarehe 16 Desemba, 2023.
Tweet media one
2
1
15
@NectaTz
Necta Tanzania
3 months
Muda wa usajili umeongezwa hadi tarehe 31 Machi 2024
Tweet media one
1
1
15
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo (katikati) afanya ziara katika Ofisi za Baraza la Mitihani la Tanzania zilizopo Dar es Salaam
Tweet media one
0
0
16
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
NECTA @50
Tweet media one
0
2
15
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
RIP JPM
Tweet media one
0
0
14
@NectaTz
Necta Tanzania
7 months
Wanafunzi wa Darasa la Nne Tanzania Bara kufanya Upimaji wa Kitaifa tarehe 25 na 26 Oktoba, 2023
Tweet media one
1
0
15
@NectaTz
Necta Tanzania
3 years
Kila la Kheri Darasa la Saba
Tweet media one
0
4
15
@NectaTz
Necta Tanzania
6 months
NECTA @50
Tweet media one
3
3
14
@NectaTz
Necta Tanzania
4 years
Ratiba ya vipindi vya masomo kwa wanafunzi wa Kidato cha Sita kupita TBC2
Tweet media one
2
2
15
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Matokeo Form Four
1
0
14
@NectaTz
Necta Tanzania
4 months
Happy Birthday
Tweet media one
4
1
15
@NectaTz
Necta Tanzania
5 months
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akiwa amenyanyua juu tuzo ya shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa Kilele cha Maadhimisho Miaka 50 ya NECTA yaliyofanyika leo tarehe 16/12/2023 Jijini Dar es Salaam.
Tweet media one
2
1
14
@NectaTz
Necta Tanzania
10 days
Tweet media one
1
2
16
@NectaTz
Necta Tanzania
2 months
Hongera sana
Tweet media one
1
0
15
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Katibu Wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
Tweet media one
1
1
14
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
Tweet media one
0
0
14
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklin Rwezimula afanya ziara katika ofisi za NECTA
Tweet media one
1
0
14
@NectaTz
Necta Tanzania
1 year
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali - Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa ametembelea banda la NECTA kwenye Maonesho ya Pili ya Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi yanayofanyika katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid-Arusha.
Tweet media one
1
1
14
@NectaTz
Necta Tanzania
2 years
77
Tweet media one
0
1
13
@NectaTz
Necta Tanzania
7 months
Karibuni
Tweet media one
0
2
14
@NectaTz
Necta Tanzania
29 days
Watu wakiendelea kutembelea banda la NECTA na kupata huduma mbalimbali katika viwanja vya Nyamanzi, Zanzibar
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
2
14