"Dear Simon Msenga, as you journey through life, remember that every challenge you face is an opportunity to grow stronger and wiser. Embrace each moment with courage and perseverance, for within every setback lies the seed of a greater success. Keep believing in yourself………
Leo asubuhi kuna mtu kutoka Kilwa huko amekosea kutuma muamala na kunitumia 75,000/= kwa namba yangu ya tigo!!
Ki uungwana tu imenibidi nimrudishie Japoo niko Broke kimtindo.
Muda mwingine Mungu anatujaribu kwa vitu vidogo tu sana kupima imani uaminifu wetu!!
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana Mungu. Siku niliyoingojea kwa hamu na shauku kubwa.
Wakati wa Mungu ni Wakati Sahihi. Nitalihimidi jina lake milele!
New Telecom Enginner 2022 in Town!
Anaitwa Halima James Mdee (
@halimamdee
):
Pale Jimbo la Kawe:👇
2010: Aliwaaangusha wanaume nguli akiwemo James Mbatia mzee wa mama Tanzania.
2015: Akampiga chini Kippi Warioba mtoto wa Judge Warioba.
Sasa 2020: Anakutana na Gwajima.
Je unadhani Gwajima atafua dafu pale?
Bwana TITO ni Shujaa, tulikuwa naye CoET akisomea Mechanical, alipofika mwaka wa pili 2018, Course haikumuendea fresh ikabidi aanze upya B.A in Statistics na leo amehitimu kwa. GPA ya 4.8 na kuwa BEST STUDENT!
Kwenye maisha ukianguka usikate tamaa, INUKA
Huyu kwangu ndo shujaa!
Nilikuwa namsikiliza leo
@BenMembe
akihojiwa na Idhaa ya kiswahili ya DW:
👉Anasema dhamira yake ya kugombea Urais ipo pale pale, iwe kupitia CCM au vinginevyo.
👉Na anasema kwenye dhamira hii hayupo peke yake, wapo watu sita CCM, yeye ni wa Saba. Anasema akiwataja watafukuzwa.
Nimeona watu wanashangaa kuona kabla Mwili wa Dr Mahiga haujamaliza saa 24 ndani ya kaburi, tayari mamlaka imeshamteua mtu mwingine kushika nafasi yake!
Niwakumbushe Ndugu zangu, Thamani ya Mwanadamu ni wakati ukiwa na pumzi tu!
So vyeo na mali tutaviacha duniani. Be humble!
KAULI YA ANTONY DIALO LEO😂👇👇
"Huko nyuma tulishawahi chagua watu waliowahi kwenda kwenye hospitali za vichaa...mtu ana track record ya Milembe alafu mnamuachia achukue Nchi..."~Antony Diallo (Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza)
cc:
@kigogo2014
@MariaSTsehai
@franklin_tissa
JE, KUNA UKWELI JUU YA MDUDE KUTEGEWA MWANAMKE?-(THREAD)
Na Malisa GJ
Wiki jana ndugu Mpaluka Saidi Nyagali maarufu kama ‘Mdude Chadema’ alikamatwa na jeshi la polisi mkoani Mbeya bila kuwekwa wazi sababu za kukamatwa kwake.(1)
Leo mchana nilipata wasaa mzuri wa kupita kununua Perfume kwenye ofisi mpya ya ndugu
@kalage_jr
iliyopo hapa Bamaga Nyuma ya Kebbs Hotel!
Nimemkuta Kalage yupo anaendelea kuiboresha ofisi yake hii mpya!
Ninamtakia kila la kheri katika biashara yake.
Karibuni wote!
Ndugu yangu
@LusakoWaKwanza
nazidi kukusisitiza tuvuke Boarder namna hii....😀😂
Hawa wa Abroad hawavujishi DMs, na nilikuambiaga hawali kilo moja ya Nyama Peke yao kama Wabongo...
We endelea na hao Wabongo wenye Maringo Mengi na Kuabisha...
Anaandika Malisa GJ
Mbunge wa Iringa mjini, Mchungaji Peter Msigwa amekataa kupanda gari la serikali lililopelekwa gerezani Segerea ili kumchukua baada ya kulipiwa faini.
HATIMAYE BAADA YA KUMALIZA KIFUNGO CHA SIKU 7 ILE RATIBA YA KAMPENI YA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UBUNGO INAENDELEA....
Leo 01/10/2020 Boniface Jacob anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Manzese
Leo tarehe Kuanzia
Saa 7:00 Mchana.
NAOMBA UGUSE MAISHA YA KIELIMU KIJANA HUYU ATIMIZE NDOTO YAKE YA KUWA DAKTARI.
(Naomba usome Uzi huu👇)
Nawasalimu Ndugu watanzania
Ninakuja mbele yenu kwa heshima na tahadhima tuweze kuguswa na maisha ya kijana huyu
Kijana huyu anaitwa Paul Temba.(picha yake iko chini) 1/11
Hatimaye kesi imemalizika, nimetimiza kiu yangu ya kuja kumtia moyo Mheshimiwa
@freemanmbowetz
na washitakiwa wengine.
Leo hii nikiwa na Mpambanaji Alphonce Lusako ndani ya ukumbi wa Mahakama wakati wa kesi.
Aluta Continua!✊
Naendelea kukagua nakala za fomu ya matokeo jimbo la Kibamba...huu ni moja ya ushahidi ya mchezo uliochezeka.
Just imagine ukijumlisha kura za kila mgombea aliyopata jumla ni 93.
Ila msimamizi chini kaweka waliopiga kura ni 283 na kura halali ni 283...hakuna kura iliyoharibika
Martin Anastahili kupewa mkono wa hongera
Ikipendeza
@IAMartin_
weka Namba yako Wadau waku boost Voucher na Pesa ya KVANT kidogo ulegeze koo...
Kazi yako ni tukufu sana
NAOMBA UCHUKUE DAKIKA CHACHE USOME UZI HUU, TUUNGANE TENA KUGUSA ELIMU YA BINTI HUYU NA MUNGU AKUBARIKI!
Nawasalimu wana Twitter,
Pichani chini anaitwa Rachel Njau, ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo kikuu Dar es salaam, anasoma BSc. in computer science...
#1
UZINDUZI WA KAMPENI ZA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA KIBAMBA NDUGU ERNEST MGAWE (
@ErnestMgawe
)
👉SIKU: KESHO JUMAPILI
👉TAREHE:13/09/2020
👉MAHALI:STOP OVER KIMARA
👉MUDA: SAA12:00 MCHANA MPAKA 18:00 JIONI
Tunawakaribisha sana watu wote mje kusikia Sera bora za CHADEMA.
Jana tulipokea taarifa za Msiba wa Mchungaji Peter Mitimingi!
Kiufupi, Mitimingi pia alishawahi kufundisha chuo kikuu cha Daresalaam miaka ya 2016, ambapo alifundisha somo linaitwa Psychology in the School (PY107) ktk idara ya Sociology na Anthropology ktk Unit ya Psychology.
Nichukue Fursa hii kumpongeza ndugu
@TunduALissu
kwa kuweza kufanikiwa kupendekezwa na baraza kuu la
@ChademaTz
kuwa mgombea urais 2020.
Pia niwapongeze wana CHADEMA kwa kuzidi kuwa wamoja katika kipindi hiki.
LEO NI SEPTEMBER 7, 2020::
👉NI KUMBUKIZI YA MH LISSU KUSHAMBULIWA KWA RISASI!
Yeah leo imetimia rasmi miaka mitatu tokea ndugu Lissu ashambuliwe vibaya sana kwa Risasi na watu wanaodaiwa kutojulikana pale Area D, Dodoma katika makazi ya viongozi wa Serikali.
Tunazidi kukumbuka ule ushauri alioutoa Kocha
@PatrickAussems
alio utoa wakati akiondoka, ambapo alisema:👇👇
"To grow Simba must absolutely get rid of the liars and uneducated people of the board."
Ndugu
@moodewji
badala kutuwekea watu wenye professional unatujazia wanasiasa.
Namshukuru Mwenyezi Mungu hapo jana nilikamilisha safari yangu ya Uongozi na Uanachama ndani ya
@ChasoUdsm
na kupokea cheti ya heshima kutoka kwa Naibu katibu mkuu wa
@ChademaTz
bara Mh Benson Kigaila katika sherehe za Mahafali.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi!
Nchi ngumu sana hii!
Leo ulitakiwa usafirishwe mwili wa ndugu yetu kwenda kuzikwa Moshi, ila kufika Muhimbili kumekutwa l mwili ulishakabidhiwa kimakosa kwa watu wengine na wameshafika nao Songea!
So hapa zinafanywa jitihada mwili urudi Dar kwa ndege kesho then uende Moshi!
Nilikuwa natazama kipindi cha Clouds 360 cha
@CloudsMediaLive
wakimuhoji
@LazaroNyalandu
.
Ama hakika wale wakina
@Hassanngoma3
na
@babbiekabae
wamekutana na mtu imara kweli kweli.
Nyalandu yupo cool, smart na Focused.
Kila wakijaribu kuleta maswali yao ya umbea anawatoka
Jioni hii ya leo, nimefika na Viongozi wenzangu wa
@ChasoUdsm
Msibani kwa Prof.Mwesiga Baregu Mjumbe Mstaafu wa kamati kuu ya chama chetu
@ChademaTz
kutoa salamu za pole na kusaini kitabu cha Maombolezo.
Mungu amlaze mahali pema peponi.
SUALA LA MEDIA ZA HABARI KUBAGUA CHADEMA.
Anaandika Malisa GJ
Nimekuwa nikisoma kwenye vitabu na sasa nashuhudia kwa macho. Uhuru wa habari unakanyagwa na watu hawathubutu kukemea kwa sababu ya HOFU.
"Jela si mahali pa kumuweka mwenzako,na ukiwa unajua kabisa hana hilo kosa. Unaamua kutumia kwa mabavu nguvu uliyopewa na Umma kumdhalilisha mwenzako na kumyima uhuru wake. Suala la Mbowe sio dogo, ana watu wengi nyuma."-Mzee wa Upako.
#MboweSioGaidi
cc:
@SuluhuSamia
Naona baadhi ya watu wanalipongeza jeshi la polisi, yeah its fine!
Ila kwa uhalisia niliouona nikiwa maeneo yale ya Airport kuanzia asubuhi, ni Kwamba Polisi walijikuta hawana namna ya kufanya zaidi ya kutulia tu maana Wafuasi na wananchi waliomiminika pale Airpot ni balaaa!
Baada ya tafakuri nzito kuhusu hali ya siasa Nchini hasa kwa upande wa upinzani. Nimeona Nitoe ushauri huu::
"Vyama Vya Upinzani viungane kwa pamoja na Visishiriki Uchaguzi wowote Nchini mpaka kuundwe Tume ya Uchaguzi Huru na Katiba ibadilishwe ipatikane katiba ya wananchi."~01