“Si rahisi kuwa kama Mzee Mwinyi, Mzee alitoa usia alituita siku moja akatuambia nyinyi vijana wangu, siku zilizobaki kwangu si nyingi, kwa hivyo nakuombeni muunge udugu na akanitaka mimi kwa jina, kasema Hussein nakuagiza, wewe utakuwa msaidizi wa familia, sio kwa sababu wewe…