Brother Kigwangalla,
Nimelima sana mpunga Lwanzari, njia ya kwenda Kipalala Tabora
Nimelima sana mpunga, mahindi, muhogo (wa baridi na wa udaga), karanga na maharage- Ngemo hii uelekeo wa Kigwa Tabora
Kilimo cha jembe la mkono, tukiwa watatu, mkipambana saana ni heka tano.