Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais -Ikulu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania/Director of Presidential Communications
@SuluhuSamia
, President of Tanzania.
Ningependa kutoa shukran zangu kwa kila aloniandika ujumbe mwema, kwa kusifia kazi zangu wakati wote niliokuwepo BBC pamoja na kunitakia kheri, nimeguswa sana. Naomba radhi sitoweza kumjibu kila mmoja ila nasema SHUKRAN.
Mwaka 2019 nilipata fursa adhimu ya kukutuna na mwanamke maarufu sana hasa kwa umahiri wake wa utangazaji 'the legend' Oumilkheir Hamidou wa Idhaa ya Kiswahili ya DW nchini Ujerumani nilipowatembelea.
Inshallah mwakani uwe na zaidi. Nakutakieni nyote Kheri ya Mwaka Mpya 2020.
Trailblazers: Tanzania's first female President, Samia Suluhu Hassan, and Kamala Harris, the first female vice president and woman of colour to serve as Vice President of the United States, share a laugh at the White House during a press briefing.
#Mwanamkemwanamapinduzi
Nilipomwalika Bibi Maria Nyerere kuja kwenye uzinduzi alisema nguvu za kuja huko hana lakini sharti moja alitoa, anaomba nakala ya kitabu nimkabidhi mwenyewe. Nami nikatekeleza.
Kiongozi ambaye hata kama kuna jambo zito kiasi gani basi hakatai kufanya mahojiano nasi, alikuwa na busara, mcheshi, muungwana. Akizungumza nami akiniita 'Bi Zuhra' Nimeguswa mno na kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad. Allah amsamehe makosa yake. Innalilahi wa inna illaihi rajiun
Tafakuri, Changamoto, Ndio hivyo yaani, Alhamdulillah kwa tulojaaliwa kushuhudia Mwaka Mpya wa 2021. Inshallah uwe mwaka wa kheri licha ya mitihani tele ya 2020. Happy New Year to all.
Nikimkabidhi Mheshimiwa Dr. Hussein Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ikulu ya Zanzibar Jumatano 03 Novemba 2021 nakala ya kitabu changu kipya cha Biubwa Amour Zahor: Mwanamke Mwanamapinduzi kitakachozinduliwa Unguja Jumamosi 6 Novemba katika hoteli ya Golden Tulip
Leo tumeamka tukipata habari za huzuni, mwenzetu tuliyefanya naye kazi kwa miaka mingi BBC, Idd Seif Lubega ametutoka. Ni miongoni mwa watu walionipokea BBC.
Idd alikuwa mmoja wa waasisi wa michezo tangu Redio na baadaye alijiunga na TV na pia alikuwa mtayarishaji mkuu wa Sanaa
EID MUBARAK.
Jilinde na mlinde kila unayemjali kwa 1) Kuvaa barakoa
2) Osha mikono yako
3) EPUKA misongamano
Tuombeane kheri tuvuke salama na janga hili la Corona. Enjoy & Stay Safe.
Leo nimemwunga mkono swahiba wangu ktk matembezi/mbio ya kuchangia fedha za watoto wagonjwa wa hospitali ya Great Ormond hapa London. Watoto nao hushiriki. Safari bado ndefu
UK to merge aid department with foreign ministry
"We give 10 times as much aid to Tanzania as we do to the six countries of the western Balkans, who are acutely vulnerable to Russian meddling." Mr Boris Johnson
via
@BBCNews
Hivi zamani ilikuwa kama 'fashion' kuweka picha za harusi gazetini? Nimezipata British National Library, kwenye magazeti ya miaka 70 ya Sunday News. Kwako mwanahistoria
@Udadisi
Businessmen have never felt at risk of being kidnapped and they often move around on their own in Tanzania. So Mr Dewji's abduction has come as a huge shock
Tanzania 'using Twitter's copyright policy to silence activists'
Critics have accused 'Kigogo' of embellishing incidents and sometimes getting things wrong.
Baada ya kurejea London, leo hii nimefanyiwa mahojiano na BBC
@bbcswahili
kupitia mtangazaji wao mahiri na mcheshi, Zuhura Yunus
@venusnyota
aliyekuja hotelini nilikofikia kwa ajili ya mahojiano hayo. Tumezungumza kuhusu hali ya kisiasa na mustkabali wa Upinzani nchini
#Tanzania
.