SARATANI ZA MAENEO YA KINYWA (ORAL CANCERS)
1/5
Hizi ni saratani zinazoweza kutokea kwenye lips za mdomo, ulimi, mashavu, kuta za mdomo (juu na chini), taya na maungio ya nyuma ya kinywa.
Vichochezi vyake hasa ni kutokana na mitindo ya maisha.
Msanii/mbunifu wa maudhui mitandaoni na mchekeshaji maarufu kwa jina la Mwaisa/Nyonyoma ameonesha kutofurahishwa na club ya
@SimbaSCTanzania
kutumia ubunifu wake kwenye kaulimbiu ya
#unyamamwingi
bila idhini yake/kushirikishwa kwa kuandaa maudhui ya namna hiyo kwenye post yake.
Kwa kulinda hadhi ya soccer, tunaomba uchambuzi wa michezo unaohusisha club ya
@yangasc1935
ufanyike kwa kibali maalumu kutoka wizara ya michezo. Kama mchambuzi hana kibali asiizungumzie Yanga.
Hii week ilikuwa ni ya Haji Manara, wala kusingehitajika vikundi vya ngoma, vispika, joggings au nguvu ya dola; lakini Jmos &Jpili Mkapa Stadium ingetapika na hamasa ingekuwa kubwa sana. Kuna namna wenye dola ya soccer walipaswa kuwaza soccer zaidi kuliko persona
Nimekutana na watu wawili wanabishana juu ya masuala ya afya na lishe, nikasikia mmoja akisema โProf Janabi muongoโ. Kauli hiyo imeniuma sana ikabidi niingilie. Nikamuomba biography yake (ana elimu ya shahada moja) kisha nikamuuliza unaelewa gharama ya kuitwa โProfessorโ kwenye
Blennder ya 30K unauziwa kwa 120K, ametokea MZALENDO mmoja akajiongeza yeye anahitaji 45K, Mabepari wanamjia juu kwa sababu wao ndio wenye haki ya kuwanyonya wateja pekee. Uchumi wa ubepari ni wa kinyonyaji sana!๐
Mseminari kutoka Maua seminary kuanzia kidato cha 1-4, kisha sekondari ya upili akajiunga Mtakatifu Anthony High School kwa mchepuo wa sayansi PCM. Baadae aliendelea na chuo kikuu cha teknolojia DIT shahada ya uandisi wa umeme wakati akifanya kazi kama mkutubi Makumbusho ya
Nina furaha kubwa kuchaguliwa kushiriki Program ya Uongozi ya YALI, inayohusisha vijana wa nchi 14 za Afrika na inayofanyikia Nairobi Kenya. Program hii iko chini ya Serikali ya Marekani na ilianzishwa na Rais Obama. Maarifa nitakayo yapata nitayatumia kwa Manufaaa ya Tanzania.
Ukiacha furaha niliyo nayo juu ya mashabiki wa TP Mazembe waliofika uwanjani The Estรกdio 11 de Novembro Stadium Talatona Luanda, bado nawaza maisha ya goalkeeper Hugo Marques ndani ya Petro kutokana na maamuzi yake ya kwenda kushambulia.
It was a pleasure and honor to be back to MUHAS today for a seminar on Breast cancer screening as a moderator. Cancer rise among NCDโs is consistent and significant. I pledged my support and would like to urge everyone to support initiatives on health promotions and preventions.
Hakuna jambo jepesi kama kulaumu. Lakini bila amani na utulivu hata nafasi na muda wa lawama unaweza usiwepo.
Appreciation tweet to this man IGP Sirro.๐น๐ฟ
He was a first-world-brain-man in Tanzania. RIP Sir
IPP Automobiles Ltd
IPP Pharmaceutical Ltd
IPP Agro Ltd
IPP Cement Ltd
IPP Touchmate Ltd
IPP Infocom Technologies Ltd
IPP Energy Ltd
IPP Resources Ltd
Independent Television Ltd
East Africa Television Ltd
The Guardian Ltd
@darmpya_
Team aliyoijenga Patric Ausem (Uchebe) ndio kizazi kinachoibeba Simba. Ni project ambayo kama utakosa muendelezo Simba itaanguka kwa miaka 5 kujijenga. Kikosi cha Manula, Kapombe, Hussein, Wawa, Nyoni, Chama, Bocco, Kagere.
Alifanya vyema sana wizara ya afya kama Naibu waziri, huyu ndiye Dr. Faustine Ndugulile daktari kutoka Chuo kikuu Dar es salaam (MUHAS) shahada ya pili Mmed Microbiology and Immunology na baadae MPH Western Cape RSA.
Pia amewahi kuwa mkuu wa kitengo cha uchunguzi wa magonjwa MOH
Parokia gani leo wameimba Halleluyah kuu kitaalamu zaidi?
St. Peters Oysterbay, kuna muda sauti ya kwanza walipanda mpaka nikajiona nipo mawinguni na Yesu.
Ally Salum Happi msomi mwanasheria kutoka
@UdsmOfficial
aliyepikwa katika nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia chuo kikuu na ndani ya chama chake CCM kwa sasa ni mkulima na mjasiriamali. Alifika hatua ya RC kwa mikoa tofauti katika umri mdogo. Bado ana deni kubwa kwenye siasa
PM anatoa maagizo kwa wizara ya michezo itoe haraka taarifa ya lini mchezo huo utachezwa, hivi mnawajua FIFA vizuri kweli?
Haya ngoja na yeye aje asikitike FIFA wakishusha rungu lao kwa serikali kuingilia TFF
NI KWELI AU MANARA ANADANGANYA?
Haji Manara amefafanua michuano ambayo ilihusisha team ya Tanzania (Simba) 1993, ilikuwa ni michuano ya iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mashood Abiola (kama bonanza) na sio CAF CHAMPIONS LEAGUE.
Son if you want to marry, always think of teachers/nurses they make good mothers of your home, think of lawyers they make you a reputable man, mary a doctor makes you a responsible father, marry a business woman to build your family and finally donโt marry the CAREER!
Nimekuwa na team ya marafiki kutoka Ipswich, England kwa ajili ya mafunzo ya matibabu ya Cancer hapa
#ORCI
na baada ya mafunzo yao niliwapatia zawadi. Katika zote mojawapo ilikuwa jersey ya
@YoungAfricansSC
Congratulations to Prof. Abel Makubi for the incredible work at the ministry for the time as a Permanent secretary MOH. Your achievement will be celebrated and perpetuated.
Muda wanaotumia wabunge aina ya kina Sanga na Mtaalamu wa โBuilding n financeโ speaker aone busara wapewe kina Mwijage waishauri serikali mambo ya msingi juu ya uchumi na viwanda, wao wasubiri kupiga makofi inatosha
September 28, 2018. Niliandika kumpatia tuzo Mhe.
@umwalimu
tuzo ya Waziri bora katika baraza la mawaziri SJMT ya
@MagufuliJP
Naomba kusema, tuzo ile sio tena ya mwezi bali ndiye Waziri bora wa muda wote katika awamu ya kwanza ya JPM.
Kila kheri mama, endelea vyema.
Mwijaku anatafuta hela kwa namna yoyote aipate kwa ajili ya familia yake. Labda watoto wake wakikua wanaweza wakamjadili baba yao, wengine tukubali na kuheshimu maamuzi ya mtu katika utafutaji.
Imekuwa faraja sana kwa wagonjwa, watumishi wa ORCI na mashujaa wa Saratani nchini kusheherekea birthday ya Mr. GSM kwa hafla ya kukabidhi mchango wake wa vifaa vya Tsh. 137M kwa ORCI.
Pongezi za kipekee kwa
@Caamil8
na management yote ya
@YoungAfricansSC
#HappybirthdayGSM
Unaambiwa toka nizaliwe, sijawahi kuona watanzania wengi namna hii wam-engage โspaceโ kama hii ya Waziri mawasiliano, teknolojia na habari Dkt Faustine Ndugulile.
Watu wanachangia kistaarabu, hoja za msingi mno halafu waziri anajibu kisomi.
Nampongeza ndugu
@HajiManara
kwa kutumia siku hii ya wapendanao yeye pamoja na familia yake kuonesha upendo kwa wagonjwa wanaotibiwa Saratani, ORCI kwa kuwatembelea na kula nao chakula cha mchana. Wagonjwa wanahitaji Upendo, faraja
#happyvalentinesday
โค๏ธ
Hatimaye mtoto wa Mashood Abiola aitwa Mahmood Abiola ametangaza kurejesha michuano aliyoiasisi baba yake ya Mashood Abiola CAF Cup itakayoshirikisha team 12 kutoka Africa. Kila la kheri
#mnyama
#NipeDili
Hii ni ultrasound machine for Gynaecology, Obstretics, Abdominalpelvic, Cardiac and small parts scan. LOGIQ C5 refubished bei nzuri sana.
DM for business
Its okay to campaign but to implicate children in political movements out of their consciousness is unfair and against childrensโ rights (no.36)
โchildren have the right to be protected from all kinds of exploitation (being taken advantage of) even ifโฆ.
Nimepitia tweets zaidi ya 500 kwa leo; kwa ufupi sana, na kwa maneno machache mno, nikiwa na akili timamu bila kushawishiwa na mtu yeyote niseme kwamba โKatibu
@Eric_Bernard94
miโ๐พ tena.โ
Hii nchi kuna watu wakiamka wanawaza malalamiko tu!
Mnataka idadi sawa katika kila teuzi! Walianza kulalamika Wazee, bado vijana wanasaga kunguni utasikia na Misimbe nao wataanza kelele.
Kinachohitajika ni Equality and Not Equity.
Leo mchongo ni birthday ya Mjukuu wa "BABA WA TAIFA" Mwl. JK Nyerere
@Julianyerere
. Kama wapwa naomba zawadi iwe moja tu! RT za kutosha, haiwezekani mjukuu wa Taifa hajafikisha 100K followers mpaka Leo. Tufanye jambo tafadhali!
#WapwaTuinuane
@abdulazackabdul
@YusuphMbilinyi8
Tuna kila sababu ya kuonesha upendo kwa Dr. Abdul Mogela. Anapambana arejee kwenye afya yake aendelee kuokoa afya za Watanzania. Naomba tuungane kwa pamoja tumpe sababu ya kuendeleza upendo wake kwetu. Pls RETWEET ๐๐ฝ
#LoveLife
#fightcancer
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Here we go only for Dar Young African fans kama wewe ni
#Kolo
usi like hii post๐
#DaimaMbeleNyumaMwiko
@ReganTesha_
Huu sio mkutano wa nchi za Africa, USA anajenga mahusiano na nchi za Africa hivyo anaandaa summit kuwaalika viongozi wa Africa kujadiliana na kukubaliana juu ya fursa mbalimbali za maendeleo na kuimarisha ushirikiano kama ilivyo kwa China.
Kuna yule mwana alikuwa ndio reference yao ya journalists na pundit wa soka la Afrika alikuwa ameandaa posts zake zipo kwenye โdraftโ muda huu anateseka mno!๐
Dear
@MagufuliJP
you have fought the good fight, fineshed the race and kept the faith. Weโll celebrate your legacy.
I am sypathetically extending my sorrowful condolence to Her Excellence Madame
@SuluhuSamia
for the loss of the former President
May his soul R.I.P
Nimemsikia mwandhishi wa habari
@azamtvtz
akimuhoji Afisa habari wa Simba baada ya game jana, anasema timu 2 za Tanzania zimepoteza akilenga Azam na Yanga. Je, ni kweli Yanga alipoteza mchezo au tuna shida kwenye tasnia ya uandishi wa habari?
Watuhumiwa wa wizi wa ng'ombe nchini Kenya wamesijalimisha kituo cha polisi wakiwa na lundo la nyuki kwenye viganja vyao. Baada ya kujisalimisha mganga wa kienyeji aliwaondoa nyuki hao.
@CAFCLCC
Congratulations to the referees for win against
@YoungAfricansSC
today. Weโre getting used to them now that for every game our players should realize theyโre playing against 12 players in the pitch.
Top5 best new football kits in East African clubs for 2021/2022
This includes all team from Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda and Burundi (premier leagues)
5. Simba Sc (Tanzania)- Third Kit