Aneth Profile Banner
Aneth Profile
Aneth

@AnethSissya

3,788
Followers
343
Following
312
Media
19,498
Statuses

#KonaYaMwalimu

DIA Tanzania
Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
@AnethSissya
Aneth
1 year
dada pichani anaitwa VANESA anaishi mkundi mtaa mmoja amefariki toka Jtatu mwili upo mochwari morogoro hospital atujui NDUGU ZAKE wakati anaumwa alihojiwa akasema hana wazazi ila ANATOKEA ARUSHA KIMANDORO ameacha watoto wawili mmoja miaka7 mwingine mchanga wa miezi3 TUNAOMBA
Tweet media one
277
732
2K
@AnethSissya
Aneth
1 year
Kesho mchana mwili wa mama yangu mzazi utaingia kwenye nyumba yake ya milele. Mungu mwenye enzi ampe kupumzika kwa amani
Tweet media one
320
48
2K
@AnethSissya
Aneth
11 months
Mimi kama mwl wala hainisumbui hata kidogo. Ameprove ujinga wake. Kwake dream ilikuwa kupanda ndege. Kwangu dream ni kuona natengeneza wanafunzi ambao wanakuwa ma CEO, MD, managers, research scientists wakuaminiwa, engineers wanaotengeneza hizi ndege. Ndio wanaonipa heshima
@lifeofmshaba
Think Different
11 months
Huyu ni Mtangazaji wa @CloudsMediaLive ambaye anatweza walimu namna hii bila sababu , Hii video inatuma ujumbe mbaya kwa vijana kuhusu Elimu, watu wanaposema hapo ni wapi hakuna anayetukana walimu namna hii, Mwijaku amefuka mipaka @wizara_elimuTz
359
97
628
237
229
2K
@AnethSissya
Aneth
2 years
⚠️⚠️⚠️⚠️ Hii ni picha ya mwanangu mdogo. Alizaliwa tarehe 24/7 kabla ya siku kwasabb mama nilikuwa na tatizo la gestational diabetes. Yaan sukari wakati wa ujauzito.
Tweet media one
137
125
1K
@AnethSissya
Aneth
1 year
Mwali kumbe wewe mwenzetu mtoko wako na mafuta unajiwekea mwenyewe?? Wenzio siye tuko financially independent lkn mafuta tunawekewa na nguo tunanunuliwa kwenda kwenye mitoko yetu. Hao ndo wanaume. Hatuishi nao kuvimbishana misuli tunaishi nao kwa heshima
@HildaNewton21
Hilda Newton
1 year
Aiseeeeee 😳
1K
288
2K
179
103
1K
@AnethSissya
Aneth
10 months
Haya ni maoni na mtazamo wangu. Muslim brothers wako trustworthy na committed to meet client requirements to perfection unlike my Christian brothers. Sijui shida ni nini.
170
63
817
@AnethSissya
Aneth
2 years
Nikiwa na furaha basi najipigishaga picha kama hivi. Af sinaga filter
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
67
21
785
@AnethSissya
Aneth
2 years
TRUE STORY Kuna muda najiogopa mwenyewe. Nani anaweza kunisaidia, ninajiogopa kabisa muda mwingine. Niko hivi: nikienda kumuona mgonjwa huwa ninaweza kuskia sauti na naona Hali ya mauti. Yaan kitu kinaongea ndani yangu kbs. Atakufa. Na kweli inatokea hivyo hivyo
182
87
730
@AnethSissya
Aneth
4 years
@lifeofmshaba @kigogo2014 @ChademaTz Ukweli CDM umenifanya niipende kwasababu imeweza kuzalisha wanawake wanasiasa wenye uthubutu, maarifa na wanaweza kuongea wakaeleweka. Hongera sana the @halimamdee . Ombi langu kwako naombeni card ya uanachama na nipokeeni #bawacha cc @BawachaTaifa
20
52
673
@AnethSissya
Aneth
1 year
Am saddened to tell you that I have lost my lovely mom today.
235
18
538
@AnethSissya
Aneth
2 years
Huyu ndio binti mwenyewe. Niseme ukweli Neonatal kwa IRRH ni the best. Siwez kupost picha zake akiwa mle ndani lakni yule aliyetoa mchango wa ujenzi wa Ile wodi akaweka vifaa tiba vya kisasa vizuri Mungu ambariki sana
Tweet media one
46
43
515
@AnethSissya
Aneth
4 years
Mimi nimeshachangia kufanikisha kampeni za mhe @HecheJohn . Wewe je??
Tweet media one
10
30
382
@AnethSissya
Aneth
4 years
Guys afu kuna mtu anasema eti hawa wanapewa hizi nafasi kwa namna. Kweli kichwa kama hiki utaacha kukipa nafasi ya kugombea? #Mataga mmeona CDM
13
46
370
@AnethSissya
Aneth
2 months
Naomba niseme binti jifunze kuchezesha maungo mateke. Kukaa kama gogo mwenzio akishughulika ni mwiko. Haipendezi na inachosha.
83
65
338
@AnethSissya
Aneth
1 year
Naombeni kuuliza wanasheria humu ndani. Hivi ikiwa raia ukienda kukopa kwenye taasis ya fedha lazima uweke rehani mali yako. Je serikali inavokopa huko nje huweka rehani? Kama ndio ni mali zipi ndizo huwekwa rehani?
47
23
248
@AnethSissya
Aneth
1 month
Your prayers, guys, Ninaumwa sana. Nimeshakula drips za kutosha. Ila sukari imegoma. Naombeni mtu anayejua wapi naweza pata chromium tablet kwa DSM anicheki.
87
23
226
@AnethSissya
Aneth
9 months
Natafuta housekeeper. aliyesoma veta ama ustawi ni kipaumbele. Sifa -atalala nyumbani - atapata 2 x 2 days off per month. -akubali kuishi kama mwanafamilia na sio kama mdada tu. -awe msafi na ajue usafi wa nyumba na mazingira -kituo cha kazi Dar salary 200K Call 0688538972
12
38
219
@AnethSissya
Aneth
3 years
@AD_Abinallah How and where do people get time for this? Yaan sijawah kununa. silaha kubwa ni unyenyekevu. Kwangu ime work out. Huenda kwako is work. Ukiwa very submissive basi moyo wa mwanaume unayeyuka kama mshumaa.
33
23
209
@AnethSissya
Aneth
9 months
@rollymsouth Nafikir nchi haiwez kuongeza thaman ya fedha yake kwa kuprint hela. Ikifanya hivyo thaman ya sarafu yake itashuka. Kitu pekee kitakachoongeza $ ni kuuza bidhaa nje. Yaan korosho, kahawa, mkonge, madini yauzwe nje kuwe na fedha nyingi ya kutrade. Kwasasa tunanunua tu
17
3
198
@AnethSissya
Aneth
3 years
For English speakers how should I address Madam present's husband?
22
7
179
@AnethSissya
Aneth
10 months
Kama wewe ni mwl mzoefu na kiingereza kinapanda vizuri ni cheki DM. Nahitaji waalimu 2 wa primary school ambao ni degree holders. Female teachers are highly encouraged.
17
32
178
@AnethSissya
Aneth
1 month
@MarekaMalili Lubasha mimo ni mhanga wa kudondoka bafuni na kwa neema y Mungu nilinusurika. But huwez amini nilikuwa na mimba ya miezi8 bafu la.hosp nikagonga tumbo kwenye ndoo iliyokuwa na maji naogea. Isingalikuwa ni huruma za Mungu ningekufa na mtoto wangu tumboni
29
0
180
@AnethSissya
Aneth
3 years
Ukiskia waalimu hatuzeeki, this is the reason. You can have hundred hugs in a day while others are struggling to get one in a week. Thank you so much my kids. I love you so much. I can't stop praying for you my Lito ones. @JoyceMwalimu ulijua kutupa shughuli @OnePlanetInt
Tweet media one
Tweet media two
7
13
161
@AnethSissya
Aneth
4 years
@MariaSTsehai @hpolepole @esteramosbulaya Maria hope you are getting it clear now that women in politics are being tortured purposeful by men with authority. But trust me this wont set us back we will not be intimidated either by their power or strength. The end has come
7
10
154
@AnethSissya
Aneth
3 years
Ninaomba kama kuna mwenye kujua mtu ambaye anafanya biashara ya kuuza nyama za kuku nje ya nchi please naomba uniunganibshe naye RT ili wengi waione
6
51
148
@AnethSissya
Aneth
4 years
@wizara_afyatz kuna ugonjwa mpya umeingia na hakuna maelezo juu yake. Homa+kuhara+kutapika +mafua makali ukipima malaria typhoid UTI bado unasomeka nil. Shida ni nini? Tunaomba maelezo
31
13
149
@AnethSissya
Aneth
4 years
Goodluck hivi haya MARIDHIANO unayohubiri yatatibia vijana wa Hai ambao mpaka sasa wanataka vitandani kwasabb wamevunjwa viungo kisa tu walikuwawanamuunga mkono mbowe?? Watawala mama na wake zao pesa ZA kuhukumu? Hebu tuache bhanaa bora tuchapane ila that simple talk no
@RealHauleGluck
The Magna Carta 同理心 人性
4 years
Wasiwasi wangu kuhusu hali ya sasa ni jinsi inavyoathiri maisha ya watu na mustakabali wa nchi yetu. #MARIDHIANO hayahusu siasa bali ni uponyaji na kuunganisha nchi. Swala la 1. Katiba Mpya 2. Tume Huru 3. Uchaguzi Mpya 4. Haki na 5. Demokrasia viwe ni ajenda kuu ya #MARIDHIANO
37
16
256
9
11
142
@AnethSissya
Aneth
2 years
Lakini pia ninaweza kuona hatima ya mtu especially pale jambo baya linapotaka kumpata. Naona Kam picha kabisa akilini mwangu. Na nisipo ikataa Ile Hali basi itatokea kwa magnitude na extent Ile ile. Nikikataa basi haitokei.
2
5
132
@AnethSissya
Aneth
2 years
Katika yote niliuona mkono wa Bwana ukiwa pamoja na Mimi. Sijui ilikuwaje but we both made it na Leo hii tumeona my only daughter akifunga 4 years. Sitaacha kuwashukuru Dana madr was hosp ya mkoa wa Iringa na interns wake chini ya chief wao Dr mwakalebela
1
8
134
@AnethSissya
Aneth
1 year
@Africanxon Kaka haya usiseme. Na kama kuna kitu mwanamke anatakiwa kujilinda ni kubeba mimba ya mwanaume asiye kuwa na future naye
12
3
133
@AnethSissya
Aneth
1 year
Hao wanaonyeshewa na mvua ndo waume zetu mwali, wanatutunza bila masimango. Wako tayar kunyeshewa lkn familia iko ndani hata tope ama mvua haijui. Watoto wanasoma best schools na milo 3 ya maana tunapata. Sijui wako anayelala kwenye gar.
@Kinubi2
Nauza Gadgets Original
1 year
Nikiona mwanaume anyeshewa mvua nikiwa kwenye daladala uwa najiuliza mengi 😂😂😂😂 Hivi hawa wanani uwa ana wadate😟
65
5
95
15
5
133
@AnethSissya
Aneth
6 months
Yuko sahihi Sanaa. Nilijifungua mtoto kg 5.5 alikaa neonatal wiki nzima. Akawekewa oxygen na kuchomwa masindano na kupewa glucose kwasabb macrosomia babies wanakujaga na complications nyingi sana. Guess what ile mimba imenidumbukiza kwenye pre diabetic stage
@jwise017
NYANI MZEE
6 months
Huyu jamaa kitu kizuri kwake ni kipi?
Tweet media one
106
27
572
18
18
131
@AnethSissya
Aneth
5 months
Wana X huyu mtoto amekutwa ametupwa vichakani na kafunikwa na nyasi. Kichaka kipo karibu na shule ya sekondari ya Chatembo. Hii namba hapa ni ya kaka ambaye anamaelezo zaidi juu ya huyu mtoto. +255657785278 Nimeskitika kwasabb kuna mwanaume hapo kauli yake inatia mashaka
62
44
130
@AnethSissya
Aneth
3 months
Chadema.kaama.kuna kitu mtawasaidia vijana wa mkoa wa kilimanjaro ni pamoja na kuwakumbusha kuacha pombe. Jamani vijana sio wa machame ama uru ama kilema ama old moshi ama kibosho ama rombo. Wameisha kwa pombe. Ni huruma sijui nini kimewapata
@ChademaTz
CHADEMA Tanzania
3 months
Leo tarehe 26 Machi 2024 Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini Mhe. Godbless Lema akizungumza na Wananchi wa Moshi mjini katika mkutano wa hadhara uluofanyika eneo la posta katika Kata ya Mawenzi.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
26
126
764
46
17
124
@AnethSissya
Aneth
2 years
Dr Nyabusani, Dr France Dr Deus na wengine woteee pamoja na manesi wao wote. Above all mama ukibeba mimba tafadhali sana wahi hosp mapema na fuata zaid ushauri wa Dr. Akina baba muwe tuu mnaelewa kuwa uzazi sio jambo dogo linahitaji sana ufuatiliaji wa wote wawili
2
7
124
@AnethSissya
Aneth
2 years
Cha ajabu zaidi ninaona mambo mazuri kwa uchache sana ila yale mabaya nayaona Sana. Mimi naweza kabisa kupishana na mtu nikasema huyu sio mtu nafsini ama naenda kununua kitu nafsi inagoma kabsa nikizingatia na kuiuliza kwann basi naonyeshwa vitu ambavyo sio vzr
3
6
121
@AnethSissya
Aneth
4 years
Hapa hakuna msanii, hakuna aliyelipwa hela aje, hakuna aliyesombwa na gari la bure kuja. No mapenzi ya wananchi kupenda mabadiliko. Wanataka uhuru wao wanataka maisha bora na yenye furaha na amani #UzinduziWaKampeniChadema #NiYeye2020 #SasaBasi
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
13
120
@AnethSissya
Aneth
2 years
Pia kwa watoto wadogo. Naweza kumuona mtoto hivi nikajua huyu Mungu anataka awe nani. Kwa maana kikazi ama kitaaluma. Halafu huwaga nikisema na wazazi wao huwa wanaona utani.
4
4
120
@AnethSissya
Aneth
1 year
Mume wangu ww sio mtaalam wa madaraja ya barabarani tuu. Ila wewe ni mtaalam wa daraja la maisha yangu toka ubinti hadi kuwa mama. Umekuwa nguzo muhimu sana kwa watoto wetu. Giiiii!! tunakupenda sana. Mume wangu acha nikeshe nikikuombea unastahili baba. Happy Fathers Day 2023
Tweet media one
19
0
120
@AnethSissya
Aneth
4 years
@Vanessa_tzmw Mbwa ni wa uko o wako wewe mwenyewe. Wa kwangu mimi ni watu na nusu. Nawapenda sana baba zangu, kaka zangu, mume wangu mpenzi, wanangu wapendwa, mashemeji zangu, marafiki zetu wa kiume na jamaa zangu wote wa kiume. Ninyi ni wa muhimu sana kwangu
10
5
114
@AnethSissya
Aneth
2 years
Naombeni misaidie kunipa jina la mwanasheria mzuri sana. Atakayeweza kunisaidia kusimamia mashtaka yangu dhidi ya @aitrel_tanzania . Nakereka Sana na utendaji mbovu wa huu mtandao. Gb 4 zinaisha ndani ya 30 minutes na hujaweza kuaccess hata documents unazotaka??
29
10
116
@AnethSissya
Aneth
3 years
We are looking for a competent Primary School Science Teacher to be part of OPIS team. Not only academic qualifications matters to us but proven creative and innovative abilities. If you are interested DM me ASAP
7
23
105
@AnethSissya
Aneth
2 years
Pale unapogundua kuwa umesamehewa sanaaaaa!!!! Mwl Niko tayari nasubiria wanafunzi darasani.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
10
105
@AnethSissya
Aneth
4 years
Nimejikuta kama mwl ninawaza hivi. Vijana walio mwaka wa mwisho vyuoni hasa kozi za biochem, biotech engineering ama material science wasitafutwe wale ambao wako innovative kisha washirikiane na #nimr kufanya tafit kuhusu dawa, chanjo, vipimo na ventilators?+
19
16
106
@AnethSissya
Aneth
2 years
Toka ujauzito ukiwa na wiki 24 nilazimika kulazwa hosp kwasab. Sukari ilikuwa inapanda juu sana. Hadi nilizoea kitanda na wodi kabisaaa nikawa balozi. Nilikuwa nalia na kucheka Kwa wakati mmoja. Nacheka kwasabb sikuwa naelewa hatari iliyoko mbele yangu
2
3
105
@AnethSissya
Aneth
2 years
Mtoto anapelekwa neonatal jaman kumbe sukari kwake inashuka. Wamamuweka kwenye mashine hadi ya kupumulia Kwan kiwango Cha oxygen kilishuka Santa. Na mtoto alikuwa na mwili mkubwa sana. Mimi mama mtu sijielewi Kwan sikiwa na hali nzuri bado
1
4
103
@AnethSissya
Aneth
3 years
Wanatafutwa vijana 3. Jinsia yeyote Awe ni mchapa kazi, mwepesi kujifunza msafi na mwenye kumudu customer care vizuri. Kazi ipo nzuri ni ya kwenda kuuza maandazi. Njoo DM Ukiwa na picha yako, Marefaree wawili pamoja na utambulisho toka serikali ya mtaa unakoishi
11
12
96
@AnethSissya
Aneth
2 years
Dr mkuu wa wodi ya akina mama. Dr mwakalebela (Mungu azidi kumbariki sana) akaidhinisha mtoto azaliwe siku hiyo hiyo mengine yatafuata. Kweli niliandaliwa kufanyiwa upasuaji na mida ya saa tatu asbh tayari moto alishatolewa tumboni
2
3
96
@AnethSissya
Aneth
2 years
Nalia kwasabb sikujua Nini hatima yangu na ujauzito nilio nao. Nilipodondoka bafuni nilipiga kelele wakaja wasamaria.kuniokota. kumbuka ni bafu la hosp. Wakaniogesha na kunibeba Kwa wheel chair kwenda Kwa ajili ya uchunguzi
1
3
94
@AnethSissya
Aneth
4 years
@godbless_lema @kigogo2014 Amen amen. Tunaifunga roho ya mauti juu yako kwa jina la Yesu. Kama ilivyoandikwa kwamba lolote mtakalo lifunga duniani na mbinguni litakuwa limefungwa. Nami kwa neno hilo ninaifunga roho ya mauti juu yako wewe ma familia yako. Kwa jina la Yesu Kristo na kwa damu ya Yesu
4
5
91
@AnethSissya
Aneth
10 months
@chamalozo Jaribu kununua bidhaa ama kutaka huduma hasa ufundi. Kazi kama ujenzi halafu mpe fundi mkristo na mpe muslim. Imani yao juu ya dhuluma inawafanya wawe waaminifu sana kwenye majukumu yao
34
10
90
@AnethSissya
Aneth
3 years
sina hofu na MUNGU najua yuko na Mbowe, kama alivyo kuwa n Yusuph gerezan. Ninamtukuza Mungu bse hii ni njia ya ukombozi
@rollymsouth
Madenge
3 years
Imagine unaomba upelekwe hospital unapelekwa jela😭
148
203
3K
1
3
87
@AnethSissya
Aneth
4 years
Wewe umastajili kufungiwa ac yako. Kindly report this handle to @TwitterSupport .
@slivesterkai
Slivesterkai
4 years
@MariaSTsehai Ila wewe Malaya ningekuwa unapoishi ningemalizana nawewe kitambo. Yaani unataka uiingize nchi yetu matatizoni kwa tamaa ya vihela vidogo mjinga wewe. Natutakupeleleza tujue unapoishi.
69
0
14
6
8
84
@AnethSissya
Aneth
3 years
@MariaSTsehai Maria ukweli sikutegemea kuwa uponyaji wa nchi ungekuwa wa aina hii. ZZK kakaa kimya kabisa ae if siyo yeye wakati 2019 alitusimamia navifungu vya sheria Leo hii kamtuma Nondo aje atuambie kuteswa, kutekwa nimaisha ya kawaida ya wapinzani. sisi raia hatuwaombei hayo
4
7
83
@AnethSissya
Aneth
4 years
@cw_pedro Ikiwa aliweza kupona risasi 16 hivi unafikir nini zaid la kumshinda Mungu?? Mungu hatendi sawa na wanadamu njia zake wala hazichunguziki. Hapangi sawa na sisi. Na hakuna ajuaye njia atakayoitumia
3
7
77
@AnethSissya
Aneth
2 years
Kuanzia Leo this will be my fav #. #SayNoTozo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
5
5
84
@AnethSissya
Aneth
4 years
@koncept_tv Yusufu alifungwa kwa kosa la kusingiziwa mwisho wa siku alikuwa kuwa waziri mkuu. Daniel alishtakiwa akatupwa kwenye makanwa ya simba wenye mama mwisho alikuja kutawala na Mungu wake alianza kuabudiwa. Hata sasa MUNGU yule yule bado anatawala kwa nguvu zile zile
8
4
85
@AnethSissya
Aneth
2 years
Siku ya kuzaliwa kwake ilikuwa ni kwa dharura. Kwan asbh ya siku hiyo niliamka mapema Sana kwenda maliwato kuoga. Nilianguka bafuni kwasabb nilipata blackout. Process ya kuinama kuchota maji haikuwa rafiki na hivi nilitoka tuu kitandani
Tweet media one
2
3
85
@AnethSissya
Aneth
1 year
Guys don't be offended when I say I prayed and it worked. If you are faithless in prayers its you, but don't come into my TL and start embarrassing me with your ye ye yeee. Some of us we know we can't do a damn thing without praying. Live your life and let us live ours.
4
13
84
@AnethSissya
Aneth
7 months
People are missing alot about prophet Lovy Elias. Huyu alizaliwa.kwenye familia ya musician. Na Mungu alimchagua kumtumikia toka.akiwa na 6 years. Nywele ,tatuu na vipini ni toka akiwa mwanamziki. Na hata baada ya kumtumikia Mungu hajawah kubadili mwonekaano wake.
@iamcleopatricia
Ms Bee🌹
7 months
Hawa ni ma- prophet😎 Watumishi wa Mungu
Tweet media one
Tweet media two
156
30
1K
75
5
83
@AnethSissya
Aneth
3 years
Karibuni One Planet Schools. Shule bora inayotoa elimu kwa ngazi ya pre primary to primary level kwa mitaala ya Necta na cambridge. Shule zipo mikoa ya Dar na Dodoma
Tweet media one
9
7
81
@AnethSissya
Aneth
2 years
Hatred ya wazazi Kwa waalimu ni kubwa sana. Hata hivyo nyie wazazmejisahaulisha. Aren't you the one ambao mnataka watoto wenu wafaulu? Sio nyie ambao mnapigania.shule ambazo ufaulu wa mtoto uko juu? Sio nyie mkiambiwa shule Haina home work mnaona hawafundishi?
@salim_alkhasas
Salim Alkhasas
2 years
Last week mwalimu kampa mtoto wangu wa Class 3 homework ya kuandika nahau 30, methali 30, vitendawili 30, nikamtext its too much, 4days later mwanangu akila usiku anatapika, kumbe mwalimu been starving him, muda wa Lunch anamuweka Darasani afanye homework, anakula usiku tu
275
214
2K
46
9
80
@AnethSissya
Aneth
1 year
@Wilbright_jr Huyo hajaolewa bhanaa! Kajioa. Umewah kumuona wakuolewa anajigharamia?? Nini maana ya kuwa mke?? Mama ndani ya nyumba? If you are huzzy cant spoil you?? Afu unajitapa mbele za. watu. Am proud the way this man spoils me wallah!!
4
1
81
@AnethSissya
Aneth
2 years
@funjojr hongera Sana. Hapo mamaa mtoto anakazi. Asifikir mtoto kabebwa tuu. Anaangaliwa je ni wangu kweli? Unaona alivyomfunua uso? Ma legend tunajua. Akitoka hapo mama.mkwe, baba mkwe sijui makaka. Yaan DNA ya macho inahusikaga Sana tuu
Tweet media one
9
1
81
@AnethSissya
Aneth
3 years
@funjojr Gone too far. There are beautiful girls here. Well built than them. Na chochote kinachotokea kwenye mitandao hapa bongo huko kwao nao ni hivyo hivyo. Ishu ni kwamba wewe unapata coverage ya bongo tuu.
13
0
76
@AnethSissya
Aneth
2 years
@eastafricatv Nilifikiri Yale ya Lucky Vincent yalitupa funzo kiasi fulan. Kumbe bado. Hizi ni nyakati za kutuambia chnzo Cha ajali ni nini na hatua Gani zinachukuliwa Ili kuepusha ajali kama hizi. Kuna namna hizi school buses hazipewi uchunguzi was kiusalama unaostahili
2
2
76
@AnethSissya
Aneth
1 year
Tunaomba mtusaidie kusambaza kwa anaye mjua tafadhali!
8
12
74
@AnethSissya
Aneth
4 years
@Oraibtz MOBEYO kwani kuna vita nchininTZ? Kwann askari wa JWTZ wanaonekana mtaani tena kisharishari? Nani mnayetaka awe rais?? Nani msiye mpenda? Mko tayari kuua wangapi? Kikwete akiwa kusema anafurahi uchaguzi as 2015 haikulia risasi hata moja
3
2
75
@AnethSissya
Aneth
3 years
@AD_Abinallah Sijui nikoje, but the myth about shoo mbovu and all that, unless ni mchepuko na just hit and run. That siwez kumshaur mtu. But kama ni wako as wako, ukiona kuna shida basi jua mwili hauko sawa. Njia mpe muda wa kupumzika, ale vzr, na anywe maji. Atakaa sawa
8
2
72
@AnethSissya
Aneth
2 years
Mamlaka ya mawasilino Tz, pamoja na waziri mwenye dhamana @Nnauye_Nape angalieni upya swala la vifurushi vya simu, gharama zake na upatikanaji wake. Inaumiza unafanya online course halafu network inakata. Mbona mnakata Hela kubwa kwenye mabando??
15
13
72
@AnethSissya
Aneth
4 years
@marytan64 @MariaSTsehai You need to congratulate her. Hajashindwa. Na hata walioiba wanajua kabisa kwamba kawashida. Lakin kwasabb ya kiburi, jeuri na uchu wa madaraka wataamua kukaa kimya na kusherekea ushindi wa wizi. Mungu ni mwamuzi wa haki sana atatupa nguvu na nafasi ya kuthibisha hili.
1
8
71
@AnethSissya
Aneth
7 months
Mbowe katoka familia tajiri sana. Baba yake ndiye mtu wa kwanza kumiliki 504 ambayo ilimbeba nyerere wakati wa harakati za kudai uhuru. Ni familiar ya kwanza kumiliki 5stars hotel macrame miaka ya late 90's. Na mpaka leo protea aish inapokea wagen
@LilianLevelian
..Mercedes✨
7 months
Ingekuwa ni Kiongozi wa CCM amepost huu mjengo pangewaka humu.
Tweet media one
95
17
434
4
9
73
@AnethSissya
Aneth
3 years
Waziri wa afya bado unaendelea na maigizo ya kunywa malimao na kupiga nyungu wakati covid inazidi kutafuna maisha ya watanzania wasio na hatia? Sasa nimepoteza rafiki alikuwa mjamzito kaacha mtoto njiti hivi kweli unanini cha kujitetea?
8
8
72
@AnethSissya
Aneth
1 month
@DanielHumbe1 Acha kukaza future, hakuna msaafumuliosema mke lazim la atongozwe. Na kumtafutia mtu mke ilikuwepo hata enz za biblia. Isaka alitafutiwa mke na mfanyakazi wa baba yake. Kaa kwa kutulia
21
2
72
@AnethSissya
Aneth
4 years
Ila sijui wakenya wanatushinda wapi. Hawanaga kumung'unya maneno
9
9
69
@AnethSissya
Aneth
1 year
Kuishi Kigamboni na Kuvuka na Ferry ni training tosha ya kukabiliana na hofu na woga. Yaan kuna muda unaona kabisa hali ni hatar lkn unasema aaah!! Hakuna shida nitavuka upande wa pili
9
4
67
@AnethSissya
Aneth
4 years
@MariaSTsehai @kigogo2014 Hivi hili jukwaa lilishawahi kutoa msimamo wake juu ya kutoweka kwa Azory Gwanda? Walivyotimuliwa juz na mbowe imekuwa ishu walipovamiwa clouds waandish kupigwa na police iyo sio ishu siyo?
3
11
68
@AnethSissya
Aneth
3 years
Jaman hakuna raha kama kuona mtoto huyu mdogo mwenye changamoto ya ujifunzaji akionesha kupenda na kutamani kujifunza. Inshallah atajua kuandika🙏 @CarolNdosi @SwahiliBible @MarekaMalili
7
13
66
@AnethSissya
Aneth
3 years
@Mwanahalisitz @Nkololotz Ninaamuunga mkono Flaviana Charles. Bado ninaimani naye toka akiwa VP Daruso
0
0
66
@AnethSissya
Aneth
2 years
A reputable school is looking for a competent Grade 1 female teacher to hire. Location Dar. Experienced in any international curriculum ie.Cambridge, IB, EdExcel or American curriculum. DM me ASAP
1
13
63
@AnethSissya
Aneth
4 years
Ninaomba kuelimishwa rais aliyeko madarakan anaitofautishaje kofia ya RAIS na Ile ya MGOMBEA nafasi ya urais? @Udadisi @MabalaMakengeza @MariaSTsehai @fatma_karume @Advocate_Jebra @RealHauleGluck Ninaombeni mnisaidie nashindwa kutofautisha ahadi za rais na za mgombea. RT
5
6
60
@AnethSissya
Aneth
2 years
Binti mdogo aache ngono utotoni. Mbinu pekee ya kumfanya aache ni kumuonyesha jinsi alivyo wa t Hamani Sana hasa katika umri huo na jinsi ambavyo anamuda wa kutimiza ndoto zake vizuri na kea ushindi zaid
4
0
63
@AnethSissya
Aneth
2 years
This time nilitaman muda wa kubond na huzzy. Yaan vacay flan kasiko na gharama kubwa. We decided to take our children to my bros. House. Nikabaki na shemeji yenu. Aisee nimejirudisha when we were at 20's. Hakuna restrictions kila ujinga tumefanya ni raha sana
5
2
64
@AnethSissya
Aneth
4 years
Mhe. Naomba nikukumbushe miaka ya mid 1990's msitu huo huo uliungua. Uliza vzr rais mkapa alifantahe mwaka1996?? Uzimaji moto ulifanyikaje? Wazimaji walipata nini kutoka wapi? Nilikuwa miongoni mwa wahamasishaji wa kuzima moto. History repeats.
@HKigwangalla
Dr. Hamisi Kigwangalla
4 years
Tunahitaji dua/maombi kutoka kwa watanzania wote kwa ajili ya wapambanaji wetu waliopo site. Tumeshinda vita/maadui wengi wagumu kwa sala na dua zetu, naamini na hili tutalishinda. Aidha, kwa yeyote anayetaka kusaidia, tunahitaji msaada wa maji na chakula kwa watu 500!
501
75
2K
9
10
60
@AnethSissya
Aneth
3 years
Bandugu I want you to be honest and realistic. Hivi kweli kabisa inawezakana mtu kukataa kazi nzuri na yenye salary nzuri kabisa. Kwasabb alipo ana amani napo?
20
1
60
@AnethSissya
Aneth
4 years
Yale mambo ya kuzalisha muhogo wako afu unasubiria soko adi ulete Dar kwa #sasabasi . CDM inakuletea soko shambani #ChademaIlani2020
Tweet media one
2
8
61
@AnethSissya
Aneth
3 years
@AD_Abinallah Am curious to know does it mean people expects the same performance from their partners throughout their life time? Ikiwa uwezo wa kula tuu unapungua au ufanyaji kazi sembuse huo? Watu wakubali kuwa miili inachoka na priorities zinapungua
6
2
61
@AnethSissya
Aneth
4 years
Jaman kisheria imekaaje hii? Mru hajatangaza nia ya kugombea ubunge. Kakaa ofcn adi juz katenguliwa teuzi kisha Kateuliwa kugombea ubunge. Sasa je ubunge unaruhusu mtu ateuliwe tuu kugombea bila kutangaza nia na kugombea kupitia kura za maoni? @MariaSTsehai . @RealHauleGluck
@swahilitimes
Swahili Times
4 years
#UchaguziMkuuTanzania2020 Godwin Kunambi amepitishwa na Chama cha Mapinduzi kugombea Ubunge Jimbo la Mlimba mkoani Morogoro.
Tweet media one
8
6
286
8
3
55
@AnethSissya
Aneth
8 months
Bandugu huyu ni nyoka aina gani?? Je anasumu? I am afraid I am leaving Australia on TZ soil! Huyu kauwawa nyumban kwangu
Tweet media one
62
3
59
@AnethSissya
Aneth
4 months
Niombeeni tuu wapendwa. Niombeeni kadiri Roho wa Mungu atakavyowaelekeza. Nahitaji maombi yenu tuuu basi.
17
4
60
@AnethSissya
Aneth
4 years
@JrLwekamwa @GeorgeMkisi Duh!!! This isnt normal it's a spiritual thing. Haiwezekani kijana mdogo hivi afiwe na mke afu muda mfupi afariki waache mtoto mdogo hivi peke yake. Ajali ni mlango tuu umetumika kupitisha sababu ya kifo. Ila ndani zaid kuna jambo la kiroho. Guys pray for your families
3
2
56
@AnethSissya
Aneth
4 years
Wataalamu wa video conferencing. Ninaomba mniambie ni platform gani ambayo ni free, and user friendly kwa mazingira yetu ya hapa bongo? Kindly RT
17
4
53
@AnethSissya
Aneth
3 years
@kigogo2014 Rais Samia kweli kakuta sheria kandamizi. She cant change them over night. in just 20 days she has tried a lot kutoa matamko yakimamlaka. Tuamini kuwa atakuja na mabadiliko ya hizi sheria na tukiwa tunAsubiri bas matamko yafanye kazi
3
3
56
@AnethSissya
Aneth
4 years
Mimo ni swali @umwalimu hivi ukimya huu uliopa na majunzi tuu lilipitishwa bakuli la kuchangia PPE @MarekaMalili na @zittokabwe walihamasisha sana. Huoni kuwa inajengwa picha kuwa zilichangiwa bila kuwa na ulazima wakati tatizo halipo? WATU WANÀKUFA tusijidanganye
0
3
54
@AnethSissya
Aneth
4 years
@kigogo2014 @ACTwazalendo Kiukweli ACT waliandika ilani. Uzuri waliandika kwa kupoint tatizo na solution itakuwaje like watapata wapi ama resources za kufanya hayo. Nikiri kwamba @zittokabwe katutendea haki
1
6
55
@AnethSissya
Aneth
4 years
@RebecaGyumi @lifeofmshaba Rebecca unaona hizi tuhuma ni nzito lkn kupigwa na kinvunjwa mikono wabunge wanawake hakukua na uzito sio? Wanawakw wanavyodhalilishwa juzi ali hapi kadhalilisha ukatoa very simple comment. Yaan as if haina mashiko lkn hii umeona ni nzito.
3
0
56
@AnethSissya
Aneth
3 years
@mpambazi @RealMakenge Aisee ww mfanya biashara fiada yako kwa mwezi ukitoa kula kitu inafika million ngapi? Manake watu kwa salary ya 2m wamejenga Wana magari watt na dependants wengine na Bado michango ya harusi wanatoa na kujirusha wanajirusha
2
3
55
@AnethSissya
Aneth
3 years
@MarekaMalili This is very true. Na ishu ya financial freedom imekuwa ni bad spoiler to some of women Tunashindwa kuwa na hekima kwenye hili. Niueni
5
6
56
@AnethSissya
Aneth
2 years
@Roma_Mkatoliki Bro kwema? Naskia Kuna mwizi anajilia vyako
4
1
55
@AnethSissya
Aneth
3 years
@kigogo2014 Kwangu mimi Mpango anafaa unless awe na health Compromised issues. Sijamskia kuwa na makundi makundi ingawa ni mwoga sana
2
0
53