gee Profile Banner
gee Profile
gee

@gee_mramba

6,809
Followers
3,777
Following
251
Media
14,715
Statuses

Jobless// Mrs @jitumaji1 //call me mama💚💛💚 //Gabriella🌹//

Kyela, Mbeya
Joined August 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@gee_mramba
gee
10 months
Wasipokutafuta jitafute usifosi ushkaji!!!
15
49
161
@gee_mramba
gee
6 months
Baba yangu aliwahi nambia mama ako ni bora kuliko mimi ila mimi ni muhimu sana kuliko mama yako. Baba cjui alikuwa n maan gan..?
5
35
139
@gee_mramba
gee
2 years
Naomba comment handle yako 👇 nikufollow now
11
16
82
@gee_mramba
gee
2 years
Ukweli ni kwamba U. T. I tunazipata kwa malaya, mwaka sasa toka nimeoa sijaumwa UTI
10
21
77
@gee_mramba
gee
5 months
Ikifika muda ukaona upo tayari kupanda gari lolote ilimradi ufike basi ujue safari imekushinda
11
22
68
@gee_mramba
gee
6 months
ukubwa Ni pamoja na kutunza siri za mtu ambae hamuongei Tena Kama awali
7
21
63
@gee_mramba
gee
2 years
Follow for follow Let's grow together This morning 💥💥💥 #HatuelewekiHQ
23
21
54
@gee_mramba
gee
5 months
Dada ukiona umefika level ambayo unataka mwanaume wako awe na gari fanya ununue mawili umpe moja📌📌
14
23
59
@gee_mramba
gee
6 months
Omba sana Mungu akupe mwanamke ambaye Hata siku ukikwama atamkimbili Mungu kukuombea, Nasio kukimbilia kwa wanaume Wengine. 🙏🙏🙏🙏
6
14
56
@gee_mramba
gee
10 months
Hakuna raha ninayoipata kama hii ya kuamka asubuhi na kula kiporo cha wali maharage kwenye kasufuria😋😋❤
13
16
52
@gee_mramba
gee
10 months
Mwanaume bora hapimwi kwa wingi wa pesa zake wala uzur wake bali n kwa uwezo wake wa kumfanya mwenza wake atabasam na uwezo wa kumjali na kumthamini
8
18
53
@gee_mramba
gee
6 months
tuacheni utani mapenzi bila kugombana hayanogi 😂 😂
10
14
51
@gee_mramba
gee
6 months
Heshimu sana mwili wako,ndio sehem pekee unayo itegemea ili uendelee kuishi
8
14
52
@gee_mramba
gee
6 months
Shida ya kusikiliza redio Mbeya ikifika sa mbili ad sa nne usiku ni matangazo ya location za waganga tu.😏😏
18
13
53
@gee_mramba
gee
2 years
Mungu ametuamsha salama sio kwa uwezo wetu bali ni kwa matakwa yake, toka bed Ukapambane CHAMP 🙏
5
17
47
@gee_mramba
gee
1 year
Imagine upo kwa dala dala then unampata mpenzi wako ako kwa wallpaper ya mtu😂😂😂
9
24
49
@gee_mramba
gee
6 months
Unao uhuru wa kumdanganya mtu yeyote yule kwenye haya maiaha lakini hakikisha unakuwa mkweli siku zote kwa hisia zako
7
15
50
@gee_mramba
gee
6 months
wanawake Ni waaminifu kwa wanaume wanaowapenda Ukiona anaku cheat juwa wewe sio chaguo lake alikuja kwako kutimiza Shida zake tu....... gm
9
15
50
@gee_mramba
gee
6 months
bro mwanamke akikupenda Na akikuheshimu kabisa 1. Hawezi cheat 2. Arguments zinapungua 3. Atakutaja popote bila aibu 4. Anakubali kuwa under control 5. Upendo ni 100% Bros Sex sio determinant ya kupendwa but Respect is.
13
17
44
@gee_mramba
gee
6 months
Ukipata wasaa wa kulia kwa sababu ya moyo kujeruhiwa na baadhi ya mambo lia lia sana....wakati mwingine machozi huondoka hupunguza machungu kuliko kukaa nayo ndani kwa ndani Gmornng guys
3
16
43
@gee_mramba
gee
6 months
Just imagine mtu anaview status haonekan unadhan akikucheat utamkamata???🤔😂😂
5
7
44
@gee_mramba
gee
4 months
Usimkosee mwanaume wako kwa sababu una idadi ya wanaume wengi wanao kufuata kwa maana unaweza kuwa mzuri wa kuchezewa ila sio mzuri wa kuifadhiwa..... gmornng
4
17
44
@gee_mramba
gee
1 year
Mwisho wa mwezi huu mtaona naanza kuposti tumikono tuwili 🥰 tukiwa tumeshikakna 🤝🏻 nyie tulini tu!!😂😂😂
4
12
41
@gee_mramba
gee
6 months
Mimba changa huwa inapelekesha jamani 😓😓 mimi ni wa kuona pilau nipate kichefu chefu kweli😏😏😏😏
9
7
39
@gee_mramba
gee
5 months
Akunyimaye hasemi "SIKUPI/SINA" utaona tu anakupa swaga nyingi mara ngoj badae tuone...atajidai anakuonea huruma ila...😂😂😂🙌🏻 Sitawafundisha kila kitu📌📌
6
13
36
@gee_mramba
gee
2 years
@ze_mandevu Jamaa anajua na kwa upepo wa wale washkaji wanavyojua promotion barnaba atakuwa mpyaa ambaye ujawah waza na nyimbo moja tu akitoa inafunika mauzo yake yote ya maisha yake ya mziki
2
1
35
@gee_mramba
gee
9 months
Muogope sana mwanamke anayelalamika sana siku akinyamaza ujue mapenzi yameisha👋🏻😎😂
7
8
37
@gee_mramba
gee
8 months
wanaume warefu wembamba 🥰🥰🥰🥰😍
12
9
35
@gee_mramba
gee
5 months
Kama hujawi kutapeliwa hela na mama yako au baba yako Basi we wakishua😎
6
12
35
@gee_mramba
gee
1 year
Ukichoka na hao wababa usirudi kwa vijana,mtu husonga mbele tafuta baba yake na huyo MUBABA yako😂😂😂
9
12
32
@gee_mramba
gee
4 months
mlio serious na maisha hamkeni muda umeshawadia
6
13
32
@gee_mramba
gee
10 months
Yan unavaa unapendeza kabisa akati unadaiwa na MUHA iyo nguvu unaitoa wapi??🤣🤣
5
6
33
@gee_mramba
gee
3 months
Zingatia sana kuweka mipaka kwenye maisha yako, Usipofanya hivyo kuheshimika itakua ni ngumu sana, Wataendelea kukuchukulia poa hadi siku unakufa.
6
13
32