Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
8 months
Muziki umenipeleka Malawi, SA, Naija, Kenya, Majimbo 10 ya Marekani. Nimeshirikiana na Wasanii wa Kimataifa zaidi ya 20, Umenipa nomination za Local na Kimataifa, nime-manage Wasanii wakubwa na wadogo, na pia nimekuwa mentored na TZ OGs… Kweli Chapo anaujua kuliko mimi? 🤔🤔