Kusema kijana aliyetoka chuo akazalishe ajira ni muujiza, hata chumba cha laki kulipa kitamtesa, muhim apate taasisi, kiwanda, au kampuni afanye hapo, apate ujuzi, experiences, Mtaji,network..miaka kadhaa baadae anaweza na yeye akaanzisha cha kwake akaajiri wengine, Ajira kwanza