elyneema yuda🇹🇿🇹🇿 Profile Banner
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿 Profile
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿

@elyneema

5,879
Followers
4,779
Following
2,400
Media
18,795
Statuses

#Combatant ,teacher by professional(BAED),Analyst,adovocate(a voice to the voiceless),political figure,young Marxist,Next Mp, Father, mhazini Bavicha Ukonga

Lushoto,Tanzania
Joined February 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 days
KWANINI KUMCHANGIA MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA TAIFA MH. @TunduALissu ni lazima na si hiari kwa Wapiganaji? Historia ya mapambano ya kudai haki katika nchi hii haiwezi kuandikwa na kukamilika bila kulitaja jina la Tundu Antipas Mughwai Lissu.Mchango wa gwiji huyu katika siasa
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
3
22
69
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
For the love of H.E @TunduALissu
Tweet media one
33
73
741
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Tayari makamanda tuko barabarani kwa ajili ya kuandamana kupinga mkataba wa kinyonyaji ambao kwa tafsiri yake hauna tofauti na mkataba aliowahi kusaini Chief Mangungo wa Msovero zaidi ya miaka 100 iliyopita dhidi ya muwakilishi wa Ujerumani Sir Karl Peters.
Tweet media one
20
72
510
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
From Magere town in Wakiso district to Mityana municipality I present to you the @NUP_Ug flag bearers. From Dar es salaam 🇹🇿 we realize your struggle. @ZaakeFrancis @HEBobiwine @brucenahabwe1 @SeraTheActivist @JuliusKizito10
Tweet media one
13
40
440
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Good morning to our sister party in Uganda @NUP_Ug we are all preaching the same gospel. People's power #our power @brucenahabwe1 @SeraTheActivist @AMufumbiro @ZaakeFrancis @John_Pambalu @Twaha_Mwaipaya @HildaNewton21
Tweet media one
18
83
399
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Wanaotukataza tusiandamane tunataka watambue mambo haya. 1.Tunaadamana kwa Amani kulinda maslahi mapana ya Taifa letu mama 🇹🇿 2.Tunaandamana kwakuwa katiba yetu imetupa hiyo haki ya maandamàno. 3.Tutaandamana kwakuwa sisi wananchi ndio wenye mamlaka yote ya nchi. 4.Hatuandamani
Tweet media one
9
73
375
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 month
We start the day like. Good morning to everybody around the world.
Tweet media one
6
44
360
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Moja kati ya wanasiasa Bora sana Karne ya 21 kwa ustawi wa demokrasia hapa nyumbani 🇹🇿 huwezi kuacha kumtaja mh. @TunduALissu .Anaoja, anajiamini,ana misimamo isiyoshaka wala kuyumba na pia ni mbobevu wa sheria. Tumtakie weekend njema yeye na mke wake mama @aliciamagabe
Tweet media one
13
56
342
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
"Mageuzi yoyote duniani yalianzia kwenye miji mikuu.Mageuzi ya Kenya yaliazia Nairobi, mageuzi ya Zambia yalianzia Lusaka, mageuzi ya Malawi yalianzia Lilongwe.Mageui ya hapa nyumbani🇹🇿 lazima yaanzie Dar es salaam"Freeman Aikael Mbowe
Tweet media one
16
38
335
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Good morning everywhere around the world
Tweet media one
7
19
300
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Nape Nnauye kauli ambazo umezitoa bungeni Leo wakati ukichangia kuhusu kuridhia mkataba wa TPA na DP world sio za kiuungwana.Rejea katika mapito yako unaotaka washughulikiwe walikuwa mstarinwa mbele kukupazia sauti wakati ulitaka kusgughulikiwa. Wema ni hakiba kaka.
Tweet media one
44
36
304
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
From Dar es salaam 🇹🇿 I greeting you H.E @TunduALissu from Loven Brussels,Belgium I wish you a very welcome as you are on your way back home for party job.
Tweet media one
12
30
290
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
23 days
Kwa jinsi nimeona comment za upendo dhidi ya kiongozi wa upinzani MH. @TunduALissu baada ya kukabidhiwa gari yake nadhani Watanzania wapo tayari kwa kumchangia anunue gari lingine jipya. @MariaSTsehai
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
50
275
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Huyu mwamba anaitwa Elias Rukwago ndiye Peter Kibatala wa Uganda kwenye kuwatetea wanasiasa wa upinzani mahakama za juu za nchi hiyo hasa zaidi wa chama kikuu cha upinzani cha meya wa jiji la Kampala. Tumtakie kila lakheri kwenye siku yake ya kuzaliwa.
Tweet media one
3
13
244
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Tumeanza na Mungu tuendelee na Mungu tutamaliza na Mungu. Silaha yoyote ilitumwa kinyume nasi haitafaulu @HecheJohn HASTA LA VICTORIE SIEMPRE
Tweet media one
1
27
235
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Breaking News. Tunajulishwa kwamba kuna baadhi ya wanaandamanaji wamekatwa maeneo ya Mnazi mmoja.Tutawajulisha kadiri tutakavyoelezwa idadi yao. Hatutarudi nyuma.
Tweet media one
17
50
241
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
From Dar es salaam 🇹🇿 greeting you @NUP_Ug supporters and all flag bearers. @brucenahabwe1 @haba_jackson @HEBobiwine
Tweet media one
10
29
231
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 month
We start the day like this. Mwenyekiti wa @ChademaTz taifa @freemanmbowetz akiwa amezungukwa na maelfu ya watz waliokuja kusikiliza hotuba yake kwenye mkutano wa hadhara.Hawa hawajalipwa hata senti moja.
Tweet media one
7
26
239
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
Confidence, intelligent and well dressed is what shape a women politician.Keep it up @SheilaMchamba
8
38
222
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Huyu ofisa wa jeshi letu la polisi @tanpol anahitaji tuzo hivi ndivyo jeshi la polisi linapaswa kuwa.
Tweet media one
10
26
220
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
14 days
"Vyombo vya habari vimenunuliwa haviandiki habari za ukweli na kuaminika"Tundu Lissu
Tweet media one
6
36
214
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
Nitaunguruma mchana wa Leo katika viwanja vya Mambo sokoni Kata ya Sunga Kijiji Cha Mambo tarafa ya MTAE Jimbo la Mlalo wilayani Lushoto. @SaidiJumaa10
Tweet media one
16
39
205
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Mwenyekiti wa @ChademaTz mh. @freemanmbowetz akipita katika mitaa mbalimbali kata ya Kunduchi,Kinondoni jijini Dar es salaam leo baaada ya uzinduzi wa kampeni ya join the chain. #Shilingimoja #Nguvumoja @JamesMbowe4 @Twaha_Mwaipaya @HildaNewton21 @Rubibiidrisa
Tweet media one
4
29
201
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
4 months
Kaka @HEBobiwine ninataarifiwa kuwa leo unatimiza miaka 42 tangu kuzaliwa🇺🇬 iliyoangushwa kisiasa na familia moja.Mapambano yako dhidi ya utawala wa kidhalimu yamekuunganisha&familia kubwa ya wa🇺🇬 wakakuamini uwaongoze katika mapambano haya.Hongera pokea salamu hizi kutoka DSM🇹🇿
Tweet media one
10
17
202
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Salaam kutoka Jiji la Berlin
Tweet media one
2
27
195
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Kaka @HecheJohn hakika wewe statesman nimesikiliza press yako hakika nimejikuta nakuwa na spirit ya changes mno mana nikweli hili tabaka tawala linatunyonya kupitiliza.Limeshindwa kutendea haki Kodi zetu zaidi ya kuzitumbua na kugawana mafungu kwa mafungu.Lakini kama aishivyo
2
22
192
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Get well soon madam Hon. @ShamimMalende t is my hope that you will be stronger,Bette and prouder than before. @NUP_Ug
Tweet media one
11
36
187
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 month
MH.Tundu Lissu @TunduALissu katika bunge la 11 ampapo spika alikuwa MH. Anna Makinda. @yahayaomary @fatma_karume @HKigwangalla @CarolNdosi @
4
31
183
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
15 days
Muda huu wakazi wa Temeke wakiandamana kumpokea makamu mwenyekiti wa @ChademaTz mh. @TunduALissu kuelekea viwanja vya Mwembe Yanga ambapo atahutubia maelfu ya Watanzania.
Tweet media one
5
33
182
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
"Chama kisichoweza kutatua shida na matatizo ya wananchi kinakoma kuwa chama Cha siasa"Mwl.Nyerere
Tweet media one
5
18
171
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
This is some of the photo events on the international youth day held at Shinyanga🇹🇿. Slogan: Mshikamano na utayari wa vijana kujenga jamii waitakayo @ChademaTz , @bavicha_taifa @NUP_Ug , @EFFSouthAfrica
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
26
159
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
Muda huu gari ya matangazo ikiingia mitaa mbalimbali ya Kijiji Cha Mambo kata ya Sunga.Tutawatangazia watz kwamba @ChademaTz ndio mbadala wa matatizo yao. Ajenda kuu tutakazohubiri ni Ugumu wa maisha uliosababishwa na CCM,umuhimu wa kupata katibampya na Tume huru ya uchaguzi.
Tweet media one
1
35
161
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
23 days
Changia ununuzi wa gari la kisasa kwa ajili ya shughuli za kisiasa kwa makamu mwenyekiti @ChademaTz MH. @TunduALissu .Nguvu ya buku inawez kutupatia v8 land cruiser GXR new model akafanya kazi ya kitaifa. Mimi nitachangia wewe je?
Tweet media one
15
62
162
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Miaka 42 iliyopita huko Tarime, mkoani Mara alizaliwa kijana machachari na mwenye misimamo mikali dhidi ya uminywaji wa haki muumini wa demokrasia na utawala bora .Nakutakia maisha marefu kaka @HecheJohn
Tweet media one
2
16
158
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 months
We start the day like this. Kutoka Arusha huyu ni Baba Boni moja kati ya wazee wenye misimamo isiyotia shaka katika siasa za upinzani .Leo anaupamba ukurasa wangu.
Tweet media one
6
19
155
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
4 months
MH. Wakili msomi na mwenyekiti wa CHAUMA Hashimu Spunda Rungwe kwenye dakika 45 za @ITVTANZANIA ametiririkana kutema nyongo.
4
52
154
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Heri ya siku yako ya kuzaliwa mh. @TunduALissu mpiganaji wa siku zote.Tunakukaribisha kwa moyo mkuu urudipo nyumbani hapo 25/1/23.Ni matuamini yetu kwamba utatuvusha.
Tweet media one
1
23
149
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Jana limepigwa bonge la mazungumzo magumu na Baba Raila Odinga kiongozinwa Azimio nchini KENYA na ndugu @chiefodemba hakika Star TV na Tanzania Kuna kila sababu ya kujivunia watu kama Odemba.
Tweet media one
3
14
149
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Ungana nami katika maombi ya kumuombea gwiji wa hip hope na jabali la siasa za upinzani nchini Tanzania #Josefu Haule a.k.a @profJay katika kipindi ambacho anapigania afya yake.Mungu endelea kuipa faraja familia ya mzee Haule watie moyo wawe na tumaini. Zab:23:1-8
Tweet media one
2
15
143
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Sunday blesses be to the true son of the soil. Psalm:126:1-5 @ChademaTz @TunduALissu
Tweet media one
3
23
143
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Nimetoa neno hapa Bulyaga,Temeke Dar es salaam
5
39
139
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 month
Hasira tulizo nazo dhidi ya maisha magumu zinatupa nguvu na morali ya kuandamana kuushinikiza utawala kutafuta jitihada za haraka na za makusudi kututoa kwenye mkwamo wa kiuchumi. Kama mimi pamoja na miguu yangu kutokuwa mizima lakini ninaandamana wewe mwenzangu ardhi yako l
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
25
136
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
"If you find happiness people may be happy anyway"Mother Theresa Have a blessed happy birthday combatant and iron lady @HildaNewton21
Tweet media one
2
6
136
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
One men army in the fight against dictatorship in Uganda Mr. president @HEBobiwine is live performing and singing a song with lyrics 🇹🇿🇺🇬.This is very interesting to be a musician and a the same time being freedom fighter. @One_PiusJadwar @SeraTheActivist @brucenahabwe1
2
23
136
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
7 months
Na wakili msomi @PMadeleka
7
42
137
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
6 months
@KakwenzaRukira I from Dar es salaam ,Tanzania suggesting you to resend that money to the family of Olivia Lutaaya a mother of two children who is still in the dungeons of military detention.Thank you very much sir.
7
3
136
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
@ayubu_madenge Twaibu¡Amejawa na tajamala zenye ihsani na ni mjuvi wa tamathali za semi zenye tungo sanifu na fikirishi hasa ukirubaa kwa fikra tunduizi🤣🤣🤣
12
3
130
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Anaitwa Freeman Aikael Mbowe a.k.a Baba wa demokrasia Tanzania. Juhudi zake na misimamo ndiyo imenifanya niamue kumpa zawadi ya kumuita kijana wangu FREEMAN @ChademaTz
Tweet media one
6
17
131
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Hali ya maisha inatisha huu mkate mkubwa na huo mdogo bei yake hapa Dar ni Sh.3300 kwa mkate mkubwa Sh.1700 kwa mkate mdogo Familia nyingi zina watu wanne mpaka nane. Tuende wapi kama wabunge wanagonga meza tu Bunngeni? @HecheJohn @MariaSTsehai
Tweet media one
Tweet media two
24
32
130
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Seven years down in our memory. R.i.p Alphonse Mawazo A.K.A Jonas Tsavimbi.
Tweet media one
3
17
129
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
7 months
My best photo of the day.This is group of VIP leaders of the @NUP_Ug led by @HEBobiwine today at the #NUP headquarters in Kamwokya Kampala after the security agencies blocked them to attend the event of inaguration if their new office in Kavule,Makerere.
Tweet media one
2
16
131
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Siku ya tar 19/6/2023 haitasahaulika katika historia ya maisha ya watanzania walio wengi maelfu kwa maelfu.Vijana wa Tanzania kwa mapenzi na uzalendo uliotukuka waliamua kusimama katika zamu yao kuhesabiwa pamoja na wazalendo waliolala kuelezea fikra zao kwa kufanya maandamano ya
Tweet media one
9
28
128
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 month
Na ukome kuongea mambo ya kijinga.
Tweet media one
36
16
129
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 months
We start the day like this. The family of the chief opposition leader on the 11th parliament,former MP at Hai constituency,chairman of the largest opposition party in Tanzania HE. FAM
Tweet media one
3
9
126
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Kazi iliyofanywa na viongozi wa CHADEMA mkoani Kigoma imetukuka.Ndani ya siku sita tangu kuzinduliwa kwa operation +255 #Katibampya Tumeuona mkono wa BWANA.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
0
26
126
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Maisha marefu Kaka mkubwa @ExMayorUbungo nikiona hayo madevu naikumba historia ya mpiganaji wa UNITA Jonas Tsavimbi miaka ya 1975 kule kusini mwa Angola na kaskazini mwa Namibia. Happy birthday bro Boni yai
Tweet media one
2
5
121
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Baada ya MAHAKAMA YA JUU MBINGUNI ambayo hakimu wake ni MUNGU,MAHAKAMA inayofuata ni mahakama ya WATU hii haizuiliwi Wala kushindwa na mahakama yoyote. People's power,our people
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
4
12
124
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
@JohnMallya the defendant
Tweet media one
1
15
116
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
Let's close the day with this picture in our store. Deputy chairman of @ChademaTz HE.Tundu Antipas Mughwai Lissu @TunduALissu a.k.a survivor.
Tweet media one
3
23
122
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Tar.25-1-2023 nitawasili nchini katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere nikitokea Brussels,Ubelgiji Kuupitia Addis Ababa, Ethiopia.Nitashukuru kwa mapokezi yoyote mtakayoyafanya"Mh.Tundu Lissu
Tweet media one
1
19
115
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Tayari Watanganyika huru tumeshatua kwenye viwanja vya Buriaga,Temeke kwa ajili ya kusikiliza nondo kutoka kwa magwiji ya siasa za upinzani nchini. #Katibampya #Okoabandarizetu
Tweet media one
3
16
117
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
The crowd
Tweet media one
0
16
112
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Nawapongeza sana wanachama wa M4C Kanda ya magharibi Kigoma,Tabora,Katavi,Simiyu na Kagera kwa kujitokeza kwa wingi kwenye kikao cha viongozi Kanda ya magharibi.. @Rubibiidrisa , @KangetaIsmal , @ShundoGaston
Tweet media one
3
15
114
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Je Sirro kuondolewa kwenye nafasi ya IGP na kutupwa ubalozini Zimbabwe bila kuagwa kijeshi (kipolisi) ni ishara gani hii kwamba tulikuwa tumekosa mtu wa kutuwakilisha mjini Harare kiasicha kuharakisha uteuzi?Juzi CDF Meja jenerali Venance Mabeyo alimaliza muda wake na kuagwa
20
15
104
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Tuesday are blessed when we have people with the ability to stand and say big No! When others try to infring justice. @TunduALissu @ChademaTz @NUP_Ug
Tweet media one
2
22
109
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Kama uliweza kupita mapito ambayo nawewe unakiri ni magumu.Mbona unataka uwapitishe wengine hukohuko?
@Nnauye_Nape
Nape Moses Nnauye
1 year
Miaka 6 iliyopita tarehe 23/3/2017! 🙏🏾🙏🏾 Kila PITO lina sababu yake, shida huwa ni kujua kusudi la PITO!
29
90
636
15
17
109
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
Hii picha ilipigwa miaka mitatu Sasa katika viunga vya mahakama kuu ya Tanzania masijala ya Dar es salaam. Tukiwa na MH. @jjmnyika katibu mkuu @ChademaTz . Siku zinakimbia harakati zinatudai. Aluta continue @TitoMagoti @MariaSTsehai @LusakoAlphonce @duahamud @Lumola_Steven
Tweet media one
1
16
107
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
"Wherever there is human right violation conflict and justice ,justice may prevail"
Tweet media one
0
17
110
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Baadhi ya viongozi wa kamati kuu ya chama cha demokrasia na maendeleo CDM wakiwa kwenye kikao cha ufunguzi kilichofanyika leo jijini Dar es salaam kikiongozwa na mwenyekiti wa chama taifa mh. @freemanmbowetz
Tweet media one
2
15
105
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
8 months
@IAMartin_ Martin Maranja Masese hii ndio tafsiri sahihi ya kijana msomi katika ardhi ya wasomi wengi waliolala.Umeweza kuonyesha uhalisia wengi wasiouelewa.Tupate vijana 500 tu aina yako kidha tusome maandiko ya Yakoub Sano,Ibn Al Khadun,Steve Biko,Janan Luwum,Bishop Tutu na wengineo.
1
9
106
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
23 days
Hii picha itadumu vizazi na vizazi.Picha hii inasadifu mengi sana katika kupiginia haki na utawala .Lissu anaandika historia katika Dunia kuwahi kuwa mwanasiasa machachari aliyepigwa risasi nyingi mwilini lakini akaendelea kuishi.Hakika Lissu ni muujiza.
Tweet media one
0
27
108
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Monday are blessed when we have people to water our revolutionary struggle. Greetings and love are unaccountable
Tweet media one
4
14
103
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
4 months
1
30
103
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
Anaitwa Benson Shingo Masalamakali Kigaila Naibu katibu mkuu @ChademaTz bara wakati akichangia maoni yake kuhusu miswada ya sheria ya uchaguzi iliyowasilishwa,bungeni juzikwenye kikao cha Baraza la vyama vya siasa Jijini Dar es salaam.
2
27
104
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
4 months
Sikiliza @HKigwangalla Mimi nakufundisha sasa kwa mujibu wa katiba yetu ya 1977 ibar.8(a,b&c) serikali unapata mamlaka yake kutoka kwa wananchi,pia itawajibika kwa&tatu s/Kali ndio inajukumu la kustawisha maisha ya waajiri wake(wananchi)haya mawazo hata @Lumola_Steven amekuzidi.
Tweet media one
17
17
104
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Congratulations Mr. President @HHichilema for showing us what leadership is and what leaders are supposed to do. Bob Marley once said "in your bright future you can forget your past" Psalm:23:1-8
Tweet media one
2
12
102
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
The only way we can deal with political henchmen is to tell them the truth against their evils.
Tweet media one
2
27
101
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
Kama maandamano yaliyopangwa kufanyika 24/01/2024 yanagusa matatizo ya wananchi wa 🇹🇿&mimi ni mta🇹🇿 nitashiriki.Vilevile kama wanaoandamana wanatimiza wajibu wao kikatiba wa kushinikiza serikali iheshimu maoni yao tuwaunge mkono. #Nitashirikimaandamano @MariaSTsehai @HecheJohn
Tweet media one
1
20
102
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
9 months
Kabla ya kuingia Jumapili siku takatifu ninaomba likes za kutosha na retweet 1000 kwa hawa vigogo wa chama kikuu cha upinzani nchini @ChademaTz mh. @freemanmbowetz na mh . @TunduALissu
Tweet media one
0
21
99
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Muda huu makamanda wote tuliokamatwa tayari tumetoka central Dar es salaam ambako tumeripoti kwa takribani week nne Sasa .Wanetuambia tulipoti Tena ijumaa ijayo wakati huo bado wanashikilia simu zetu. Muda tuko kwenye daladala kuelekea makao makuu ya @ChademaTz .
Tweet media one
0
19
102
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
15 days
Wakututisha bado hajazaliwa.Ukiona tunatetemka ujue ni baridi tu Wala si binadamu.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
15
100
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
My brother @KakwenzaRukira was tortured by the MIC operation under the order of M7 he was injured in every corner of his skin and finally flees the country to Malawi and later on German.We good people from 🇹🇿 are praying for his relief.Psalm:23:1-8.
1
9
91
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
3 months
Tweet media one
6
22
98
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
We have rose bigger and better fulfilled with ideological tendencies of not stepping down to fight henchmen's of our sovereignty.
Tweet media one
1
26
98
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
@HKigwangalla Kigwangala mm nakushangaa uanatambua taasisi zetu zina matobo mengi katika utekelezaji wa Sheria kwanini huhitaji #katibampya ?kwanini hujakemea juu ya miswada mitatu ambayo iko bungeni mana haijajibu matatizo yetu ya muda mrefu kama nchi?kwanini hujaunga mkono maandamano?
10
9
97
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Karibuni kwenye duka kubwa la jumla la nguo maarufu kama duka la "MAMA CHADEMA" utapata nguo mbalimbali za watoto na watu wazima pamoja na uniform za shule mbalimbali. @ChademaTz @IAMartin_ @HildaNewton21 Mawasiliano ni 0789396144 Aggrey/Kongo Kariakoo,Dar es salaam.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
1
17
99
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Good morning country men and women I'm @elyneema with the party queen @ImSheilaMchamba .We are saying No turning back in the struggle @bavicha_taifa
Tweet media one
1
9
95
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
When free country is allowing ze break of D'cy principles it is where the affairs of its citizens falls into the state of agencies have directed under our laws to ensure peace&harmony &security.NotTomess with the life of'the pple through political gimmick
Tweet media one
4
24
96
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 years
Kinachoripotiwa na @HecheJohn juu ya hali ya mto mara unaomwaga maji yake kwenye ziwa Victoria na ikumbukwe kuwa samaki wa ziwa Victoria wanatumiwa kama chakula na watanzania wengi na nje ya nchi hivyo waziri mwenye dhamana anapaswa atoe ufafanuzi juu ya hali hiyo @ChademaTz
1
10
95
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
Kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 viongozi wa upinzani ambao pia ni viongozi wa juu kabisa wa #Chadema picha zao zina upamba ukurasa wangu.
Tweet media one
Tweet media two
3
19
94
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Saturday blessings is dedicated to seniors in leadership. With the member of the body of trustee for the @ChademaTz Prof. @lwaitama1 one year ago.
Tweet media one
1
7
91
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Hao vijana waliopanga kufanya maandamano kupinga mkataba wa bandari kati ya yetu na Dubai msije mkawazuia kufanya maandamano yao kwakuwa yanalindwa na sheria za Tanzania.Waacheeni waniletee maoni yao mana nilisema mwenyewe kwamba serikali ya inahitaji wakosoaji. #Maandanonilazima
Tweet media one
8
26
88
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
10 months
Siku ya Bwana ya tisa baada ya utatu. Msienende kama watu wasio na hekima bali wenye hekima. @freemanmbowetz , @JamesMbowe4 Nawatakia jumapili njema Watanzania wote🙏🙏🙏
Tweet media one
0
13
91
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
15 days
We are at Mwenge Yanga ground this time where it is going to happen. HE @TunduALissu Deputy chair of @ChademaTz is expected to be the guest of honor.
2
13
92
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
22 days
Shangazi @MariaSTsehai Machawa wamezimia huku ita madaktari mana sio kwa kununa huku. Endelea kuchangia ununuzi wa gari ya MH. @TunduALissu .Ni kazi ya kila mpenda haki kushiriki katika kampeni hii. @ChademaTz @HecheJohn @ExMayorUbungo @IAMartin_ @KumbushoDawson @HildaNewton21
Tweet media one
Tweet media two
3
22
91
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Tupo barabarani asubuhi, mchana na jioni kuhakikisha kwamba chama kinasimama mahali pake.
3
14
89
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
5 months
Tanzania number one trending. Viva💪🇹🇿
Tweet media one
3
12
89
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
12 days
We start the day like this with elected president HE @TunduALissu .
Tweet media one
3
21
134
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
11 months
Watanganyika huru ndani ya Tanganyika Iliyopata Uhuru 9/12 1961
Tweet media one
1
20
84
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
1 year
Wakikutana wote sisi tunamtambua mmoja kama kamanda wa anga na mwingine kama Simba wa aridhini😂😂😂😂😂😂
Tweet media one
6
17
86
@elyneema
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
2 months
Vita inayoendelea kati ya hawa watu @frediejustine @IAMartin_ @Ntobi_ mbaya ukizingatia ni watu wako kwenye taasisi moja inayoamini ktk mageuzi.Hatukupaswa tufikie that level of confrontation wakuu.Malizeni tofauti zenu tujenge taasisi tuchukue dola.Niko tayari kuwa third part
10
3
87