Issa Shivji Profile Banner
Issa Shivji Profile
Issa Shivji

@IssaShivji

164,256
Followers
67
Following
300
Media
6,461
Statuses

Professor Emeritus of Public Law & First Julius Nyerere University Prof, Uni of Dar es Salaam. THE ART OF KNOWING IS KNOWING WHAT TO IGNORE -Rumi

Dar es Salaam, Tanzania
Joined December 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
@IssaShivji
Issa Shivji
9 months
Mlikuwa wapi? Enyi wasomi Mlikuwa wapi? Uhuru wetu ukiminywa Mlikuwa wapi? Mliosoma kwa jasho letu Mliopanda ngazi kupitia mabega zetu Mlikuwa wapi? Ardhi yetu ikiporwa Maliasili zetu yakimnadishwa Unyonywaji wetu ukihalalishwa Uhai wetu ukizimia Mlikuwa wapi? IssaBinMariam 9/‘23
138
755
3K
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo.
250
255
2K
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
He exited with honour, Integrity and candour. With disarming humility, And unscarred credibility. Stay well Prof, You have saved the honour of profs, With your humble red IST, Where others have tarred it, With their intimidating SUVs.
@JamiiForums
Jamii Forums
5 years
Prof. Assad akiondoka baada ya kukabidhi ofisi kwa CAG mpya, Charles Kichere leo jijini Dar > Prof. Assad amemaliza kipindi chake kimoja akihudumu kama CAG na ameondoka huku ukiibuka mjadala mkali juu ya kuondoka kwake #JFLeo
259
220
2K
92
452
2K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Thinking aloud on #endofthinking . I’m amazed at the huge no of Drs& Profs taking nomination forms for Parliament in the forthcoming Tanzania general elections. What is the reason behind this exodus from the academy? Material benefits?Power?Privilege?Positions?PolSecurity?Fear?
192
288
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Corona ni ugonjwa Haina heshima wala utii Haidekezi wala kujipendekeza Haina ubaguzi wala ustaarabu Haipendi wala kuchukia Huwezi kuifunga wala kuifukuza Huwezi kuitisha wala kuihonga Haina uongo wala unafiki Ukweli wake ni moja tu INAUA INAUA INAUA
36
260
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
What a dignified and decent leader we had - and now we are frittering away his great legacy.
83
452
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Kwani uchifu ni utamaduni wetu? Makabila mengi hawakuwa na wachifu. Waliwekwa na wakoloni kwa maslahi yao (km Wazanaki). Uchifu ulipigwa marufuku na sheria mnamo 1962. Machifu waliyokuwepo (km Adam Sapi, Fundikira, Kunambi nk) waliingizwa Serikalini katika nyadhifa mbalimbali.
144
219
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Wasome ili iweje!Siasa haihitaji usomi. Biashara haihitaji usomi.Uelewa wa jamii/duniya hauthaminiki.Huna haja ya kujua historia au hatma kwa sababu unaishi kwa sasa(in the present). Maendeleo hayahitaji usomi;busara inatosha.Chuo hakihitaji usomi-kujipendekeza au kudesa inatosha
@Eric__Bernard
MR BEN
4 years
UDSM Wana Library Nzuri Mno kila ukipita inavutia Sana Changamoto kila ukichungulia wanafunzi Hamna Watoto hawasomi kabisa kama Zamani!
143
41
1K
117
240
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Enyi WatuWema Mnijibu kwa dhati. Kwa nini Tusisherehekee Uhuru Kwa maua, michezo na marashi? Kwa nini Tusisherehekee Uhuru Kwa mikongamano, mikutano na mihadhara? Kwa nini Tunasherehekea Uhuru Kwa gwaride, vifaru na ndege za kivita Kwa mabomu ya machozi na mabunduki ya kutisha?
126
192
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Naumia sana nikishuhudia nchi yangu iliyokuwa mstari wa mbele kupinga ubaguzi na udhalilishwaji wa utu wa binadamu-ambao ulikuwa msingi wa mtazamo wa kifalsafa/kisiasa wa Mwa-ikiteleza ktk dimbwi ya lugha ya kibaguzi ya kikabila,kidini, kijinsia na udhalilishwaji wa utu bila aibu
77
195
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Taharuki ya siasa, Sio wakati wake sasa Tuwe wamoja, tupambane pamoja Corona haichaguwi chama wala siasa, Haibaguwi jinsia wala dini, Haina hoja wala walakini, Haina huruma wala samaha, Haihoji wala haidadisi, Haiulizi wala haijibu, Haina dawa wala kinga Haina nchi wala mipaka
53
185
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Uhuru wa kujieleza ni haki ya msingi kwa sababu ni msingi wa uhuru wa binadamu. Ukimyamazisha mtu kujieleza ni kudharau utu wa binadamu. Kama kupumua ni dalili ya uhai Basi kujieleza ni dalili ya utu.
37
260
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Haya hii hapa biographia ya Mwalimu iliyoandikwa na Watanzania na kuchapishwa na Mchapishaji wa Kitanzania. Kuna mengi, mengi ya kujifunza. Sisi tumejitahidi sasa kazi kwenu kutafakari. Kinapatikana TPH bookshop Samora Avenue. #NyerereBiography #MwalimuBiography
Tweet media one
150
314
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Rafiki yangu dereva wa teksi Akanikemea:acha kudadisi Siasa ni mchezo wa sarakasi Imejaa uzushi Mie mwananchi Sio mwenyenchi Haki yangu ni kupiga kura Sio kumchagua atakayeenda kula Wenyenchi huchaguana Wao kwa wao na vipenzi vyao Wananchi hubaguana Wao kwa wao kwa makabila yao
42
205
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Utotoni niliambiwa kuuliza sio ujinga, Ujanani nilifundishwa kudadisi sio usaliti, Mwalimu Nyerere kanilea kuthubutu, Vijana tukahamasishwa kuwa wajeuri. *** Uzeeni nikiuliza nakaripiwa, Nikidadisi natishwa, Nikithubutu nafungiwa mdomo, Nikiwa jeuri, natengwa kwa kukosa adabu.
53
223
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
1 year
A Pan-African picture - amazing.
Tweet media one
116
189
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Nchi isiyona uhuru haina maendeleo asema Mwalimu.
46
175
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
utu wetu umedhalilishwa heshima zetu zimeshushwa uzazi wetu umedharaulika. mlinzi kakasirika muuzagazeti kahuzunika MamaNtilie kaaibika. ‘msituzaalie watoto wabovu’ amri katolewa Watanzania wapole mtii bila shuruti. IssaBinMariam kafedheheka kajizamisha baharini bahari ya fedheha
56
283
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Pamoja na kushirikiana na sekta binafsi, huwezi kuwaingiza wafanyabiashara jikoni wakupikie chakula cha umma! Sekta ya umma na sekta binafsi hazilinganiki. Ni kweli huwezi kuendesha biashara kama idara ya serikali; pia ni kweli huwezi kuendesha serikali kama kitengo cha biashara.
102
204
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Kinyume cha HAKI ni MABAVU MABAVU yakifurika, hakuna ya kuzuia HAKI ina zikwa UTU una zama REHEMA inaibika HURUMA inayeyuka UBABE unatamba UNYAMA unafarajika.
37
227
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
1 year
Kujipendekeza ni taaluma ya kipekee Inahitaji ujasiri wa aina yake Mazoea ya hali ya juu Kurudiarudia jina la bosi Kumsifu bila ukomo. Uweke uhalisia kando Utafune ukweli, utapike uongo Uwe mnafiki, ukandamize nafsi. Naam, kujipendekeza ni taaluma. Issa Bin Mariam 11/06/2003
52
324
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
mara nalia mara nacheka mara nahuzunika mara nafarajika mara naota mara nawaza mara nafurahi mara najuta mara nashangiliwa mara nazomewa wahenga mnisaidie niko wapi, nchi gani baharini au barani ardhini au mbinguni wahenga mnieleze nasumbuliwa na nani majambazi au majamedari?
79
217
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
That’s for sure.
Tweet media one
51
248
1K
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
#Ngorongoro Itakuwa vema kwa Wizara husika kusitisha mchakato wa kuwahamisha wakazi wa Ngorongoro kuepuka madhara yanayoweza kutokea kijamii, kisiasa na kimazingira. Hakunabudi kukaa na kuwashirikisha wakazi wenyewe, kijiji hadi kijiji kupata maoni yao, hoja zao, manunguniko yao.
73
272
996
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Amani sio wimbo Amani sio ibada Amani sio imani Amani sio igizo Amani haihubiriki Amani haitangaziki Amani haisukiwi na wajanja Amani haipendezi midomoni wa wanafiki Amani hujengwa Amani huegemea Haki Utu na Usawa Mwalimu kasema Wafuasi wakaibeza Haki kazikwa Amani kahuzunika
39
249
958
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
I sincerely apologize. I’m wrong. Sub-section 3 of Act seems to say that if the appt authority doesn’t want to renew he has to follow the procedure of 144(3) of const.This means renewal is automatic unless CAG is disqualified by age. My apologies. I overlooked ss (3).
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
reading together const&law:(1)CAG’s term of office is fixed @5 yrs.he’s eligible for renewal but appt authority not compelled to do so.(2)If he reaches 65 b4 expiry of 5 yr term, he has to vacate office.(3)appt authority cannot remove him b4 5 yr or age 65 whichever is applicable.
76
148
629
86
247
933
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
“Chama cha kijamaa kama CCM ni chombo cha uongozi, si chombo cha amri na utawala wa mabavu. Kinaongoza kwa kuelimisha, kuelewesha, kushiriki, kushawishi, kushirikisha na kuelekeza na nguvu yake kubwa inatokana na kukubalika kwake na umma, ... “ Mwongozo wa CCM,1981,uk 40,ibara 53
76
244
904
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Kuna lugha na lugha Lugha ya kutusi Lugha ya kusifu Lugha ya kupendeza Lugha ya kujipendekeza Lugha ya kuimba Lugha ya kuvinda Lugha ya kuchambua Lugha ya kutumbua Lugha ya kifumbo Lugha ya kitumbo Lugha ya kufarajisha Lugha ya kutisha Mfumbo unakufikirisha Tumbo inakudhalalisha
33
189
886
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Njoo 2019 njoo Uhuru kolea Haki tandia Usawa karibia Ubaguzi torokea Udikteta fokea Demokrasia furahia *** Nawatakia kila la heri Muepuke na shari Furahieni samaki ya bahari Ya nini kutamani kontena ya bandari? *** Issa Bin Mariam anawaombea Afya jema Usomaji mwema
46
199
884
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Tweet media one
33
183
881
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
Angalia, tafakari, chambua undani wake na sambaza. Absolutely fantastic. Ujumuisho juu ya uhusiano wa Uhuru wa binadamu na maendeleo yake hauna kifani.
52
404
864
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
Vijana wajisiri wanaoweza kupinga mfumo kandamizi wako wapi siku hizi?
Tweet media one
109
221
849
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Read politicians’ autobio with a pinch of salt. They’re often self-justifications. Mwalimu didn’t write one. He didn’t want to judge himself. He left it to the posterity. He only wished they would be fair. Intellectual that he was, I guess, he wouldn’t have liked a hagiography.
61
177
862
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
LIVING AS REBELLION What do I write,when writing is a curse What do I speak,when speaking is a scourge What do I sing,when singing is a sin What do I think,when thinking is censored! Why do I live,if living is fearful. I live to rebel and rebel to live.
27
311
863
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
watu wasiojulikana hawatajulikana kwa sababu wanajulikana asiyejulikana sio mtu ni jitu
@MabalaMakengeza
Richard Mabala
4 years
ni mategemeo yangu kwamba, safari hii, watu wasiojulikana watajulikana na kukamatwa
70
62
879
34
123
839
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
Afrika,Mamang’u Afrika Unadhalilishwa kila dakika Unakashifiwa kila siku Ninahuzunika, nina sononeka Ujasiri ninao Ari ninayo, nia ninayo Uwezo sina Nimeachwa upweke Wenzangu wamesalimu amri Marafiki wamenisaliti Ukimya umetanda, hofu umetawala Mwanga umejificha Giza limefichuka
51
162
788
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
Maendeleo na demokrasia ni kama mkuki na ngao.Huwezi kuingia vitani bila zana hizo.Hata ukishinda bila ngao, utajikuta umepoteza watu wengi.
52
223
733
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
MheZitto. Hotuba yako Bungeni imetufarajisha sana, sisi wana wa Tanzania tuliyolelewa na Mwalimu Nyerere. Tulifundishwa kuthamani utu sio kitu, kusimama pamoja na wanyonge popote pale walipo na kutokuuza heshima zetu kwa uchu wa visenti. Umelinda utu na heshima zetu. Shukran.
28
198
748
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
SAMAKI NYAVUNI samaki nyavuni uhuru gerezani akili pinguni matumaini rehani hoja pembezoni hoihoi jukwani uadilifu sokoni taaluma mnadani usomi fichoni ugeugeu hadharani ukweli kabatini uongo magazetini ukombozi peponi mateso duniyani mawasaliano mashairini burudani mpirani
53
156
734
@IssaShivji
Issa Shivji
6 months
Maandamano ya amani kuonyesha mshikamano na watu wa Palestina - marufuku! Mbio za mshikamano - marufuku! Ubebaji wa bendera ya Palestina - marufuku! Sasa pigeni marufuku hisia na fikra zetu za utu na ubinadamu na binadadamu wenzetu!!
96
168
729
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
#UtuMjamzito Elimu haibaguwi Rashida wala Rashidi Pili wala Zitto Mzazi wala mjamzito Elimu ni utu Wa kila Mtu Ni ubinadamu Wa MwanaWaAdamu
67
299
708
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
41
157
699
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
KtkKijiweni: Wenye vyetifeki wamefukuzwa/shtakiwa. Wenye vyeti halali lakini elimufeki, je?Mfumo unaotoa elimu chini ya viwango utashtakiwa?
68
265
698
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
Jamii inayomzuia mjamzito Elimu inamdhalalisha kila mama na mtoto.Mjamzito ni mamatarajiwa.Anastahili heshima ya mama na huduma ya mjamzito.
115
254
701
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
nimechoka nimechoka na ubaguzi nimechoka na unyayasaji nimechoka na ukandamizaji popote nikienda nakutana nazo nimechoka Subra pia amechoka
43
171
686
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
Natamani ShabanR wa leo aandike riwaya juu ya nchi iitwayo SIOKUFIKIRIKA"nchi ambayo haifikiriki kwa mawazo"bali hutambulika kwa matukio.2/2
30
255
679
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
SMARTSIMU hakuna kutazamana hakuna kusalimiana hakuna kusemana hakuna kuamkiana hakuna kufarakana hakuna kuzozana simu ni rafiki simu ni jirani simu ni msemaji simu ni ndugu duniya gani hii!
32
159
647
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
TAFAKURI YA LEO (29/06/2022) ‘Utawala wa Sheria’ ina thamani gani kama utawala wenyewe unavunja sheria na baadai kupitisha sheria nyengine kuhalalisha uvunjaji wake wa sheria?
27
171
649
@IssaShivji
Issa Shivji
7 months
“Pamoja na kulaani ukatili wa Israel na washirika wake, tunatoa wito kwa Serikali yetu kusimama kidete na kuchukua msimamo thabiti wa kuvunja mahusiano yote na mamlaka katili ya Uzayuni wa Israel.”
173
174
655
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
HESHIMA KWA VIONGOZI haina maana UHASAMA KWA WENGI UZALENDO WA NCHI sio UTIIFU KWA SERIKALI UTAWALA WA SHERIA hainmaana UTELEKEZAJI WA HAKI UWEZO WAKO WA UAMUZI hm UBEZAJI WA HAKI YANGU YA KUJIELEZA NGUVU ZAKO ZA UTAWALA hm UVUAJI WA UTU WANGU VITISHO VYAKO si VIBURUDISHO VYANGU
24
107
640
@IssaShivji
Issa Shivji
1 year
Tweet media one
44
163
643
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
reading together const&law:(1)CAG’s term of office is fixed @5 yrs.he’s eligible for renewal but appt authority not compelled to do so.(2)If he reaches 65 b4 expiry of 5 yr term, he has to vacate office.(3)appt authority cannot remove him b4 5 yr or age 65 whichever is applicable.
@zittokabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
5 years
Rais hana Mamlaka ya Kikatiba kumwondoa CAG kama hajatimiza miaka 65.Sheria ipo wazi. CAG aliyepo madarakani ataondoka kwenye nafasi hiyo iwapo tu ametimiza miaka 65 au utaratibu wa nidhamu umefuatwa.Rais Magufuli amemteua CAG mpya ili kuficha maovu ya Matumizi mabaya Serikalini
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
125
105
629
76
148
629
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Kama huu ndio uchochezi, basi wananchi wengi ni wachochezi. Huundo wimbo unaotumika kutaka kumuangamiza Vitali Maembe,pamoja na "nyimbo nyingine". Sambaza Link ya Wimbo huu ili umma uamue kama anastahiki kuhukumiwa au kutuzwa. #MuachieniVitaliSasa
60
270
618
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
(1) Lengo haliwezi likawa kujenga uchumi wa viwanda. Lengo liwe kujenga uchumi wa kitaifa utakao simama juu ya miguu miwili - KILIMO na VIWANDA - sekta za uzalishaji ambazo zitegemeane bila kuwa tegemezi. Na kilimo maana yake ni wazalishaji wadogo-wakulima na wafugaji.
Tweet media one
29
195
608
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
KITENDAWILI Uzalendo sio vazi Uzalendo sio bendera Uzalendo sio wimbo Uzalendo sio hotuba Uzalendo haupo damuni Uzalendo haupo kichwani Uzalendo haupo katibani Uzalendo haupo vitabuni Uza’ hauuzwi dukani Uza’ hauokotwi mitaani Uza’ haufichwi mkokoteni Uza’ haufichuliwi gazetini
32
197
611
@IssaShivji
Issa Shivji
11 months
Nawashukuru sana. Na kwa dua zenu nasema Amina. Amina tena na tena.
@RoseMakei
Rose Moshi Makei Meli
11 months
Happy birthday Baba yetu, Jemedari wetu @IssaShivji MUNGU aendelee kukubariki na kukupa maisha marefu yenye HERI na BARAKA tele Uendelee kumwaibisha shetani
Tweet media one
6
51
351
44
83
615
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Uongozi haufundishwi darasani Uongozi haupikwi jikoni Uongozi hauandaliwi vyuoni Uongozi huzaliwa pambanoni Uongozi hukuwa mitaani Uongozi hukomaa majiweni Uongo’ hautafutwi Uongo’ haufuatwi Uongo’ haufichuliwi Uongo’ haufichwi Uongo’ hautangazwi Muda ukiwadia,uongozi hutambuliwa
@mabula_wasele
Mabula Wasele
5 years
@IssaShivji Mzee Issa wengine hawajui hiyo lugha.samahani kwa usumbufu.
1
1
11
39
129
600
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
jiji langu limejaa foleni kuna foleni na foleni hospitalini kuna foleni la kutibiwa chuoni foleni la kuteuliwa kuna foleni la kutuziwa foleni la kutimuliwa matatatizo yamejipanga foleni matumaini yamejipanga foleni foleni zinashindana hakuna mshindi wala mshindwa sote tumeshindwa
32
131
567
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
“According to development theories, a country cannot develop without generating debates on how that country can pave the way for its development. One of the main roles of intellectuals in Tanzania is to lead such debates...” Edward Sokoine, 12/10/1983, TAAMULI Vol 13. See below👇
Tweet media one
Tweet media two
30
211
571
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Malenga mashuhuri wa Chile huko Marekani ya Kusini , Pablo Neruda alisema , “Hata kama ukikata maua yote yatachanua upya majira ya vuli “. ( Even if you cut all the flowers , they will bloom again in Spring ).
14
134
570
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
Kwani Dubai ndio kipimo cha maendeleo. Tunataka kuendeleza mtindo ule ule wa Kikoloni kutumia tusichozalisha na kuzalisha tusichotumia?!
@MwananchiNews
Mwananchi Newspapers
7 years
Wachina kujenga Dubai ndogo ya Tanzania Ubungo - Habari | Mwananchi Tanzania
31
25
257
65
199
550
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
“The U.S. military emits more carbon than 140 of the world’s individual countries” Pentagon is the single largest institutional consumer of crude oil on the planet.Together,US and UK have around 900 military bases in foreign countries leaving behind carbon imprint.Jan’22, MReview
9
223
539
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Ufutaji wa uchifu ulitusaidia sana kujenga umoja wa kitaifa.Nchi zingine Za Afrika (kmNigeria, Ghana nk) wamepata shida kujenga umoja wa kitaifa. Sababu mojawapo ni machifu kulinda himaya zao kwa kukuuza ukabila badala ya utaifa. Tunachotakiwa kusisitiza ni utamaduni wa kitaifa.
30
96
551
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
I get heartaches witnessing how my country(known for its progressive outlook,&even credited w/ developing an alternative worldview of universal values beyond bourgeois universalism)is fast slipping into racist,sexist,tribalist,religious&homophobic discourse in the public sphere
25
112
538
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Taarifa hii ya wawikilishi wa wananchi wa Loliondo wakiwemo Mhe Mbunge, Wah Madiwani, wazee wa mila, ya Mei 2022 haikufanyiwa kazi. Badala yake wakapelekewa jeshi wenye silaha za moto. Hii je ni sawa na haki kwa serikali inayodai kuwa ya wananchi kuwatendea wananchi wake?
Tweet media one
37
186
543
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
Samaki akifungiwa mdomo,anakosa hewa,anakufa kimwili. Binadamu akifungiwa njia za kutoa/pokea mawazo,anakufa kiakili.Inazaa taifa la majuha.
61
364
532
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
#freemaxencemelo Panda hofu, vuna hasira. Kandamiza uhuru, pata ukimya. Hasira na ukimya zikichanganyika, zinanyesha laana za mababu.
52
417
533
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
trees that are strong&steady that stand upright&unbending that weather storms&hurricanes loggers hate them most for they need many cuts from different angles&of varied depths before they fall and are chopped off branch by branch when one of them is felled indeed it’s a ssad day
19
99
523
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
umeme umezimika vikoroboi vimetupwa vibiriti vimeibiwa niko gizani msinipe pole tupeane pole nyumba ni ya sote baba, mama,shangazi, bibi marafiki na majirani wabaya na wazuri viongozi na wafuasi mapadre na matapeli tutafutane,tushirikiane tupeane mawaidha, tugawane majukumu
19
165
520
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Asubuhi mapema Rafiki yangu kijana mwema Muuza magazeti Maisha kustiri Chini ya kivuli cha mti Meza ya magazeti kufiti Mjirani MaNtilie na vyake viti Kawasha jiko bila kibiriti Anakata majani mabichi Kupeperusha bendera kijani Chaguo ngumu🤷‍♂️ Raha ya kivuli? Au Kinga ya kijani?
20
69
514
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Wakati gwiji wa Fasihi (RM) anapokutana na chipukizi (IM), ... hata Muonekano ananamisha kichwa kwa haya kana kwamba mwari amekutana na mpenzi wake mara ya kwanza!! 😁😁😁
@SomaMkahawani
Soma
5 years
Pichani ni mwandishi wa kitabu cha mashairi 'Poems For The Penniless' @IssaShivji na mwandishi wa kitabu cha hadithi 'Love B💣mbs' @MabalaMakengeza wakifurahia jambo 😀 #SomaBookBazaar
Tweet media one
12
74
430
13
62
500
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
hoja ni hoja hoja hugongana na hoja hoja hujenga mjadala mijadala hujenga muafaka hoja ni hoja hakuna mbadala wa hoja kinyume cha hoja ni jazba kinyume cha muafaka ni misuguano amri haijengi hoja amri ni hulka ya utumwa amri ni zao la mabavu mabavu huzaa uhasama
38
167
508
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Kwa wananchi demokrasia = ardhi + ushirikishwaji + Uhuru, haki na uwezo wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Mahojiano na Kajubi/Shivji 1992. Does it make sense today?
Tweet media one
Tweet media two
20
144
501
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
This morning I came across an absolutely fantastic quote on an old woman’s T-Shirt in a video: “Prejudice is an emotional commitment to ignorance.” Nathan Rutestian
8
113
508
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
Picha hii kwangu ni most beautiful picture of the year. Ni ya mwaka. Natamani nione picha kama hii ya vijana wakienda shuleni kila kijiji na kila mji wa nchi yangu kabla sijaitwa mbele ya haki. Kwangu walimu ndio wazalendo!
Tweet media one
21
129
495
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
“When the rulers have already spoken, Then the ruled will start to speak. Who dares say ‘never’? Who’s to blame if oppression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise up! Whoever is lost must fight back!” Bertolt Bretch
12
97
491
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Unaweza kulizima wazo-pingamizi kwa mabavu na vitisho lakini kamwe huwezi kulizika. Uhai wa mwili wa binadamu ni chakula; uhai wa bongo la binadamu ni fikra. Fikra hazi shughulikiwi kwa vitisho bali kwa hoja tu. via @academia
21
145
502
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
KwaHeshima.Bunge sio darasa la kuwadhibiti wanafunzi.Hata darasani tunashauriwa turuhusu mawazo yanayopingana na ya mwalimu, sembuse Bunge.
51
196
489
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Walalahoi hutamani mabadiliko Walalaheri hupinga mabadiliko Walalahai hupigia debe wapinzani wa mabadiliko Ewe msomi mwenzangu Chaguo kundi lako
28
126
493
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
Power - -clouds judgement - deforms discretion - massages the ego -robs you of compassion - breeds contempt for the poor & the powerless -humiliates humanity It turns you into a brute When it abandons you - you have lost humanity & dignity - alone and forlorn - foresaken!
15
187
476
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
2) Hatimaye korosho zinunuliwe na ushirika wa wakulima wenyewe na kiwanda kimilikiwe na ushirika; ushirika ambao unathibitiwa na wakulima wenyewe. Na hatimaye tuwe na benki ya ushirika ambao utakuwa na hisa za serikali na ushirika. Co-operative benki ndio itakuwa inatoa mikopo.
37
90
468
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Open to everyone who cherish freedom.
Tweet media one
23
117
466
@IssaShivji
Issa Shivji
18 days
Tupaze sauti. Utwaaji wa ardhi ya vijiji kiholela au kwa fidia ndogo sio haki wala utu. Taratibu za kisheria na haki za kikatiba lazima zifuatwe. Uwekezaji hauwezi kuhalalisha uvunjaji wa haki za wananchi. Maslahi ya wananchi yana kipaumbele kuliko ya wawekezaji.
@_HAKIARDHI
HAKIARDHI
18 days
Tweet media one
2
19
31
39
212
484
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Utungo wa kuaaga rafiki yangu wa muda mrefu ulioandikwa mwaka jana (Septemba 28, 2018) kimechapishwa ktk Kitabu ‘Poems for the Penniless’, Mei mwaka huu (2019)
Tweet media one
9
127
462
@IssaShivji
Issa Shivji
4 years
1. There is so much utterly irrational demagoguery, so much empty sloganeering, so much clowning and so much misogynist prejudice - YET all of it goes unchallenged - without even a whimper of disagreement.
27
84
461
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Ukimya ukimya ukimya Ukimya umetanda Kwa nini nalalamika Kwa nini nasononeka Kwa nini? Ya nini kulalamika Ya nini kusononeka Ya nini? Kwani nina haki? Ukimya huu Ni kama ‘black hole’ Hauingiki, hautokeki Kwa mbali unakushawishi Ukikaribia unakumeza! Issa bin Mariam 12/04/2019
18
86
451
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Leo (23/04/2021/ kuanzia saa 3 asubuhi nitafanya mahojiano na Radio One juu ya Hotuba ya Mhe Rais. Karibuni tutafakari pamoja.
19
37
454
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
END OF YEAR TWEET AND WISH FOR NEW YEAR What exercise is to body, expression is to thought. Just as body becomes flabby without exercise, so thought becomes fuzzy without expression. Freedom of thought is meaningless without freedom of expression.
17
214
457
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
The settler colony, Israel, is massacring Gazans with impunity shielded by another powerful settler colony, US. Just as settlers in the US almost wiped off original inhabitants (so-called Indians)from the face of the earth, so are Zionist settlers bent on wiping off Palestinians.
24
160
456
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
KtkKijiweni: Ukitaka nchi bora, boresha elimu/Ukitaka Elimu bora,boresha hali ya walimu/Ukitaka Taifa linaloheshimika, heshimu walimu.(1/2)
44
213
456
@IssaShivji
Issa Shivji
8 months
ZIDUMU Mijadala ipumzishwe (Fikra zipewe likizo) Waliopotea njia waelimishwe Wapotoshaji waadhibiwe Umma uhamasishwe Wapinga maendeleo wapuuzwe. Zidumu Busara za waheshemiwa. Enyi watu wenye busara Nielimisheni: Nani atawaelimisha waelimishaji? ZIDUMU IssaBinMariam 10/7/2023
16
127
461
@IssaShivji
Issa Shivji
2 years
Kila mara nikisikia neno “private sector” (sekta binafsi), najiuliza: Kwani wakulima na wafugaji sio private sector? Sote tunajua wanaotumia neno hilo hawamaanishi wakulima/wafugaji. Wanachomaanisha ni wawekezaji, sio wazalishaji.
15
102
457
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
This is what made Mwalimu different. Mwl was secure in his intellectual prowess and therefore did not feel threatened by intellectual critiques. Source of this 👇 is: Chemchemi, April 2010, issue no 3. Chemchemi was published by Mwalimu Nyerere Chair in PanAfrican Studies, UDSM.
Tweet media one
12
170
449
@IssaShivji
Issa Shivji
5 years
Vijana wa nyakati zetu hatukuwa na identity crisis. Hatukuwa na mashaka na ubinadamu wetu na hatukutilia shaka uzalendo wetu uliojikita kwenye kusimamia/kutetea haki/maslahi ya wavujajasho. Hatukuwa na haja ya kuimba uzalendo au kupeperusha bendera. Ah! Kila zama na kitabu chake!
Tweet media one
21
112
442
@IssaShivji
Issa Shivji
7 years
KtkKijiweni: #SifaNneZaUongozi #1 : Kiongozi bora huwashawishi, sio kuwashambulia wananchi wake.
27
270
446
@IssaShivji
Issa Shivji
6 years
ninachukua nafasi hii bila kupewa ninatumia kisingizio cha mwaka mpya bila kuficha kuwatakia kila la heri maisha mema yenye afia na maadili maisha ya mapambano mapambano ya kujenga jamii bora jamii yenye haki jamii yasiyo na dhulma jamii ya usawa, ubinadamu na utu Alamsik
34
103
449
@IssaShivji
Issa Shivji
3 years
Huko nje wanatamba na economic DIPLOMACY;nyumbani wanafanya economic DESTRUCTION ya wavujajasho. Maswali:(1) Kwanini vijana wa 14-25 wanahamia mijini. Sababu vijijini wamekosa ardhi; ardhi wanapewa wawekezaji. kilimo hakilipi kwa sababu wakulima wananyonywa kupita kiasi.
@Sabatho7
Sabatho Nyamsenda
3 years
Bomoa bomoa ya vibanda vya wamachinga wa Vingunguti ni UNYAMA usiomithilika unaofanywa na Mamlaka za Mkoa wa DSM/Wilaya ya Ilala dhidi ya wavujajasho. Mkiti wa Wamachinga Vingunguti amedai kuwa watu wawili wanasemekana kufariki kutokana na kupoteza mali zao. Naulaani unyama huu.
Tweet media one
86
63
401
30
155
447
@IssaShivji
Issa Shivji
7 months
Mwalimu alituasa wakombozi wa wakulima na wafanyakazi ni wao wenyewe. Sasa tunahubiriwa wakombozi wa Tanzania (neno wakulima-wafanyakazi limefutwa) ni wawekezaji. Sasa swali langu, mimi mwanafunzi makini, ni: je wavujajasho watakuwa wanafanya shughuli gani wakati wanakombolewa?
26
139
453