Our Objective is to Save
#Tanzania
Public from the Chronic Corruption and miss management. We are welcoming any document or news that will expose those vises. Be assured that your privacy is of Paramount importance. Submit Leaks inbox or: tanzanialeaks
@iCloud
.com
#TanzaniaLeaks
BREAKING: JWTZ limemtaka Rais Samia kutoa tamko Juu ya mkataba wa bandari. Sababu kubwa ni kwamba Rais hajatoa tamko lolote licha ya kelele kuzidi kuhusu DP World. Jeshi limechafukwa sana baada ya kupata uelewa kuwa ni swala la kiusalama wa mipaka yetu ya majini na nchi kavu.
Mama yetu Rais Samia yupo wapi? Ikulu na TISS tuambieni Rais
@SuluhuSamia
yupo wapi? Kama anaumwa tuambieni. Ni zaidi ya siku kumi Mama yetu hajulikani aliko. Mama yetu yupo wapi?
“Nashangaa mtu leo marehemu kila kona anashambuliwa. Wengine wanasema tukazikwe naye. Huko Marekani wanatengeneza filamu feki kusema alikufa na COVID. Hivi huyu Greenberg alikuwa ni Daktari wa Magufuli? Tunataka kifo cha Magufuli kichunguze ili tujue kilichotekea” Askofu Gwajima
“Tanzania inapitia wakati mgumu sana. Changamoto ya Uongozi uliopo kwa sasa, inaonyesha wazi kwamba Katiba Mpya inahitajika haraka sana. Kwa hali ya sasa ni kama nchi inajiendesha yenyewe kwa autopilot.” Hamisi Kigwangalla
#TanzaniaLeaks
Rais Samia yuko Oman tangu 28 July. Aliondoka na Ndege ya Serikali 5H-ONE kwenda Dubai. Baada ya kumaliza vikao na DP World, alienda Saudia na kuacha ndege ya serikali kisha kupanda ndege za raia (Public) kwenda Oman. Hatujui kuna shida gani! Kuna taarifa ana matatizo ya kupumua.
BREAKING: Spika Tulia katuma mtu kumuhonga Wakili Mwabukusi Tsh 100M ili aindoe kesi ya bandari. Mwabukusi kagoma na kaweka wazi hakuna pesa inayoweza kununua uzalendo wake. Baada ya msimamo mkali wa Mwabukusi, Tulia amefanya kikao na AG Feleshi kumnyang’anya Mwabukusi leseni.
WaTanzania jiandaeni kisaikolojia, kuna issue nzito sana ya kitaifa na ya kuogopesha tunaifanyia kazi katika saa 48 yajayo. Either Watanzania wataingia barabarani au Rais atajiuzulu. Ufisadi Tanesco na Wizara ya nishati unaogopesha sana. Ifike sehemu tuseme basi, hii haikubaliki.
Jakaya, wewe ni wa kumuumiza Freeman kiasi hiki? Umesikika ukisema Freeman alikusumbua sana 2010 - 2015 na kama atakua nje, uchaguzi wa mama utakua mgumu sana 2025. Najua unaongoza nchi na Sirro anaonngoza TISS kwa sasa. Usiipasue nchi.
#TanzaniaLeaks
BREAKING: Salim Kikeke, Kila la kheri bwana mdogo. Siwezi kuandika mengi mambo yakaharibika. Maana Wanasubiria
#TanzaniaLeaks
iandike kisha wakane au watumbue. Hata andiko hili linaweza kuwa limekuharibia, lakini lazima tufanye kazi yetu,
#TanzaniaLeaks
“Kila siku wapigakura wangu wananiomba hela ya kula kutokana na ugumu wa maisha. Hali ni mbaya sana mtaani. Kama serikali haiwezi kuondoa hizi kodi za kipuuzi ndani ya siku 7, mimi ntaingia mtaani kuandamana bila kikomo hadi kodi zote kandamizi kwenye mafuta ziondolewe” Lusinde
BREAKING: Baada ya kutoa taarifa kuhusu Rais kuwa Dubai kwa matibabu, tumepenyezewa taarifa mpya kwamba, Ndege ya Tanzania imeonekana Terminal 3 (VIP) Dubai, ikiwa na ulinzi mkali; inaashiria kuwepo Kiongozi wa Nchi anayeondoka.Bila Shaka, Rais atawasili Dar leo usiku kimya kimya
BREAKING: Taarifa tuliyopenyezewa ni kuwa UHAI wa Tundu Lissu upo hatarini. Tumetonywa kwamba kuna mpango mchafu wa kumuwekea Tundu Lissu sumu au kumchoma sindano. Lissu, tafadhali, usile chochote huko polis.
#TanzaniaLeaks
Ripoti ya uchunguzi wa fedha BoT kutokea Januari hadi Machi 2021, ilikua ilitingishe Taifa. Ripoti ilikua inaondoka na Makamu wa Rais- Mpango, Waziri Mkuu, Bashiru na wenzao. Fedha nyingi iliibiwa BoT kwa muda mfupi. Rais
@SuluhuSamia
amekuta Hazina hakuna kitu.
#TanzaniaLeaks
Tumemaliza kusikiliza wimbo wa unaoitwa “NIPENI MAUA YANGU” mida hii. Tumesikiliza zaidi ya mara saba. Roma ana stahili kupewa PhD ya heshima.
@Roma_Mkatoliki
, vyanzo vyetu nyeti vimetutonya kuwa Rais
@SuluhuSamia
kasikiliza wimbo wako. Ameupenda.
BREAKING: PM Kassim, umedharauliwa. Endelea kuwa mvumilivu, usibwage manyanga, maana wanataka uwe frustrated ujiuzulu. DON'T. Zengwe lingine wanatafuta watu wa karibu wakudanganye kwamba utautwaa Uongozi kupitia Zambarau, maana wafuasi wa shujaa wako nyuma yako. Kataa
#Wahuni
.
BREAKING: Mlinzi wa Majaliwa- PM (Pichani) ametekwa, kateswa sana. Mlinzi mwingine, Maftah Kaswaka, yupo Mzena ameshambuliwa na watu wasiojulikana. Amefanyiwa upasuaji kwa masaa mengi.
Majaliwa na Mwinyi walikua wameandaliwa na Magufuli. Vita ya Urais 2025 ni kubwa sana
#TzLeaks
BREAKING: Chanzo chetu kimetutaarifu kuwa Majaji wote watatu kwenye kesi ya Bandari iliuofunguliwa Mbeya wameitwa Ikulu ndogo Mbeya muda huu kwenda kuonana na Rais Samia.
BREAKING: Mwanasheria
@PMadeleka
ametekwa na watu wasiojulikana Serena hotel muda mfupi uliopita.
Watu hao wametokomea kusikojulikana na wakili Peter Madeleka.
#FreeMadelekaNOW
#TanzaniaLeaks
Zitto aliwadanganya TISS kwamba anammudu Mbowe na viongozi wakuu wa CHADEMA. Akapewa hela ili awasaidie kufanya lobbying ya kuzungumza na viongozi wa CHADEMA awambie Rais anataka kumwachia ila kwa sharti mmoja tu: akitoka asizungumze kabisa kuhusu Katiba Mpya.
#TanzaniaLeaks
Ugomvi mkubwa wa Rais
@SuluhuSamia
na Ndugai ni kitendo cha Samia akishirikiana na Rais
@DrHmwinyi
kupeleka hela nyingi za mkopo Zanzibar
Kuna fukuto kubwa wabunge wa Tanganyika wanam-support Ndugai. Mpasuko ni mkubwa sana, hadi Idara ya Usalama imegawanyika sana
#TanzaniaLeaks
THREAD: Mama Regina Lowassa mme wake alikuwa waziri Mkuu. Akiwa Chadema alipewa fursa ya kuwa Mbunge viti Maalumu. Akakataa na kusema yeye atamaliza maisha yake na familia. Mama Salma Kikwete mme wake Jakaya alikuwa Waziri na Rais term mbili…
BREAKING: Usiku huu mida ya saa 4, Tulia Ackson akiwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni Usalama, wakiwa na V8 mbili, wameenda nyumbani kwa Jaji mmoja na kumchukua. Ingawa wamejaribu kuzuga, wameonekana wakielekea upande wa Ikulu ndogo ya Mbeya. Tunaendelea kufuatilia kwa ukaribu.
BREAKING: Taarifa za uhakika toka ngazi ya juu ndani ya jeshi la polisi ni kwamba, Chuo Cha Polisi, Kilwa Road Kurasini wamepewa DP World. Pale patakuwa container terminal au ICD yao ya kuhifadhi baadhi ya Mizigo. DP World hawarudi nyuma. Kanusheni na hii habari. Tutawaumbua.
TAHADHARI. Rais Samia, tunapokea taarifa za kuogopesha ambazo hatuwezi kuanika hapa kwa maslahi ya nchi. Tunakusihi sana, tumieni busara na siyo nguvu. Achana na DP-World. Wape wananchi KATIBA mpya. Utatushukuru baadae, kuna mambo mazito yanapangwa na watu wanaokuzunguka chamani.
Nadhani kwenye mambo ya kitaifa tusiweke mzaa. Watu ndani ya chama wanakuwa waoga kuuliza Rais yuko wapi? Wachache tukihoji tunaonekana wapinzani. Je, Rais Samia yuko wapi? Na Ndege yetu kwa nini imepakiwa Saudia?
Chanzo chetu ndani ya TISS kimetueleza, Dr. Slaa atakamatwa muda wowote kuanzia sasa. Moto wa press alizofanya umeivuruga sana serikali. Alikuwa akamatwe tokea majuzi- Jumanne. Hili la mkutano wa Temeke limeivuruga serikali zaidi. Polis wamepewa maagizo wazuie huo mkutano.
BREAKING NEWS: Taarifa za uhakika toka Idarani ni kwamba, Tarehe 29 April Usiku Rais Samia akiwa Nairobi Kenya, aliugua Ghafla ugonjwa wa Moyo. Madaktari wake wakishirikiana na wakenya, walijaribu kumuokoa Nairobi Hospital, ila baadae alikimbizwa UAE kwa matibabu zaidi.
Mama, tunakupa salamu za pole na kheri ya Christmas & Mwaka Mpya. Tunafahamu umewekewa vizuizi vingi vya watu kukutembelea kwa sababu ya mazingira ya kifo cha mmeo. Mfumo hautaki na unazuia watu wengi wasije kukusalimia/kukupa pole. Jiulize kwa nini mfumo hautaki uje upewe pole?
Jaji Tiganga na Jaji Kiongozi Siami WAMERIDHIA agizo la Ikulu kumfunga Mbowe kwa namna yoyote. Jaji Tigana ataingiza “Detention Register” KIHUNI hata kama alishaitolea maamuzi ya kuikataa. Amekubali kuvunja dhana ya “Functus Officio” ili kuficha aibu ya Rais SSH.
#TzWikiLeaks
BREAKING: Msiri wetu ndani ya system anatutaarifu kwamba, mambo yamekuwa mabaya mno kwa Rais Samia. CCM na TISS wamekiri kwamba wameelemewa hoja kwenye swala la DP-World. Kwa hiyo, wamekubaliana TISS na Polisi, watumie mkono wa chuma kuwadhibiti wananchi. More arrests are coming.
BREAKING: Taarifa tulizo zipata asubuhi hii kuna mjadala mkali Bungeni wakitaka kushinikiza Dr. Slaa akamatwe au aitwe Dodoma kwa kulidharau Bunge. Kauli aliyoitoa Dr. Slaa jana kuwa “Hili ni Bunge la hovyoo” imewakera sana wabunge na Speaker Tulia.
Muombeeni aliyekua Spika wa Bunge, Job Ndugai. Baada ya kuwekwa kizuizini na kuzuiwa kuongea na vyombo vya habari, ameugua sana. Hali yake sio nzuri.
Alipo shinikizwa aandike barua ya kuachia ngazi, alikataa. Wala hajawahi kuandika barua ya kuachia ngazi.
#TanzaniaLeaks
BREAKING: Ufisadi wa Bandari ni mkubwa zaidi tujuavyo. Prof. Mbarawa alikusanya wabunge wa kamati ya miundo mbinu na kuwapeleka kukutana na Watawala wa Dubai.Wakapewa fedha nyingi sana, baadhi yao kama Msukuma alipewa V8 na pesa Taslimu. Kashfa ni kubwa zaidi ya Richmond, IPTL nk
BREAKING: Tumedokezwa kwamba Mh. Mbowe na Lissu wanaweza kukamatwa muda wowote. Sababu kubwa ni DP World. Dr. Slaa, Mwabukusi, Madeleka, Mdude Nyagali wako mikononi mwa polisi. Dr. Nshala yupo EXILE. Samia usiwatese Watanganyika kwa maslahi ya Waarabu. Angalia Afrika Magharibi.
BREAKING: Chanzo chetu ndani ya System kinatutaarifu kwamba, Baada ya Rais kumaliza shuguli zake na mtawala wa Dubai kule Ngorongoro na Loliondo, wanaelekea Kizimkazi Zanzibar ambako Bwana AL Maktoum amemjengea Rais Samia hoteli ya kifahari.
Tukio la leo linahitaji Tume Huru ya Uchunguzi. Yule kijana amedhulumiwa na Polisi. Jeshi la polisi linajua na halitaweza kujichunguza.
#TanzaniaWikiLeaks
tumetaarifiwa na family member: “Tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ni sababu ya kisasi”
#TanzaniaWikiLeaks
BREAKING: Mwanaye Samia aitwaye Abdul, ndio kiungo kikubwa kwenye Sakata la DP World. Dogo kafungua ofisi Sharja kwa ajili ya deals zake huko Emirate. Abdul ana jumba la kifahari Dubai aliyopewa na watawala wa Emirate. Mchongo wa DP World alipewa na Rostam Aziz.
UFISADI: SSH alifanya kikao na mmiliki wa Gran Melia Hotel siku alipofungua hotel hiyo Arusha. Sasa SSH yuko Ngorongoro kumalizia deal na Albwardy Investment kumiliki hotel ya Ngorongoro Crater Lodge. MPANGO: Albwardy Investment kumiliki Ngorongoro Crater Lodge na SSH kupewa hisa
BREAKING: Chanzo cha kuaminika inatutaarifu kwamba Speaker wa Bunge, Tulia Ackson alikutana na viongozi wa DP World Nchini Morocco. Kikao kilifanyika usiku wa Tarehe 12 June 2023. Kilichozungumzwa bado ni siri. Ikumbukwe kuwa, Tulia amekuwa ni mmoja wa wapiga DEBE wa DP World.
BREAKING: Taarifa tulizo zipokea muda mfupi uliopita ni kwamba, Ndege kubwa ya Mizigo imeondoka toka Loliondo kuelekea UAE jana usiku. Ndege hiyo imebeba Sheena kubwa sana ya wanyama pori. TISS na JWTZ wako wapi?
BREAKING: Maandalizi yanaendelea Ngorongoro kwa sasa. Maafisa wa usalama wengi wamemwagwa. Wamo pia watu wanaosadikiwa kuwa ni wanajeshi wa kiarabu wanaofanya maandalizi ya kuja kwa mfalme wa Dubai. Samia anakuja kukutana na DP World Loliondo.
#TanzaniaLeaks
Dr. Slaa na mkewe walikubaliana na Magufuli walipwe 250M ili waondoke CHADEMA. Walipewa 150M mkononi, cash. Ahadi 100M wakifika Canada.
Walipo fika Canada Magufuli akawaambia wawasiliane na Katibu Mkuu Kinana ili walipwe zilizo baki. Dr. Slaa akamtuma mkewe aongee na Kinana…
TAHADHARI! Tulia Ackson, chochote kikitokea kwa Judge, Wakili au yeyote anayepinga DP World Mahakamani Mbeya, utajibu. Mipango ya kumtengenezea ajali itakuja kukutafuna. Hizo $2.5million za Rushwa utatapika tu. Sura kama Kenge.
LEAK: Nabii Josephat Mwingira awe muangalifu anapo kwenda kuhojiwa na polis. Pia, aongeze ulinzi binafsi.
#TanzaniaLeaks
tumepewa taarifa kuwepo kwa nia ovu dhidi ya uhai wake. Kunampango mbaya sana wa kumpokonya haki yake ya kuishi. Lengo: kujenga hofu watu wengine wasiongee.
BREAKING: Baada ya
#Tanzanialeaks
kutoa taarifa ya mipango jana usiku. CC ya CCM imebadilisha gear angani. Wanasubiri muda muhafaka kutoa matamko yaliyoridhiwa, ambayo tulisema kuwa umma ujiandae kwa Big Announcement.
BREAKING: Watanzania, hii ni moja ya ndege Kubwa zaidi duniani na imetua KIA tangu tarehe 22 Alhamis mwezi huu. Jiuluzeni limekuja kufanya nini kwenye ardhi yetu. Wazalendo wote mlioko KIA lazima tuzuie huu ujangili wa hawa Waarabu. Tunaomba ushirikiano wenu kufichua haya maovu.
BREAKING: Kuna mnyukano mkubwa sana unaendelea ndani ya Serikali kuhusinana na dhamira ya Waarabu wa UAE ndani ya Tanzania. Wanachokifanya Loliondo la kuwatorosha wanyama imewakera sana wanajeshi. Tegeni masikio kama yatamwagika nje.
Huyu ndiye mtoto wa kigogo tunayemzungumzia. Miradi mikubwa ya Serikali, lazima apitishe yeye. Ameleta hofu kubwa ndani ya chama. Ni link kati ya Tanzania na Waarabu. Abdul amedhamiria TISS na baraza la Mawaziri livunjwe ili watu wake waingie. Soon mamake anatangaza Baraza jipya.
Kunawaka moto. Kinana hana furaha. Bashite katuvuruga. Chongolo kaamua kucheza kwa uangalifu lakini kakalia kuti kavu. Sabaya na Hapi wanarudi. Ridhiwani na January wanapasha kwaajili ya 2025. Mama hesabu haziendi. JK anataka kutimiza lengo lake la kumuweka kijana wake Magogoni.
BREAKING: RAIS Samia, na Waziri mkuu Majaliwa. Ramadhani Ntunzwe amekufa, ameuwawa alikokuwa amejificha Tabora. Inawezekana vipi mtu anawaletea kesi ya Ujambazi mkubwa wa TRA, mkampuuzia, anatishiwa, mali na fedha zake hajarudishiwa hadi anauwawa. Watanzania wakimbilie wapi?
BREAKING: Chanzo cha kuaminika ndani ya Ikulu kinatutaarifu kwamba, Rais Samia amesafiri kwa Dharura baada ya kuitwa na watawala wa DUBAI kuzungumzia moto wa Bandari zetu na DP World. Safari imefanywa siri KUBWA na Rais ametumia Ndege ya Serikali.
Kuna Jaji mzalendo jina kapuni, Amegoma kabisa kununuliwa. Tulia katumia kila njia kagoma. Samia katuma watu amegoma. Tusubirie ili tusivuruge kesi. Huyu Jaji mtamjua tu. Ni mzalendo wa hali ya juu. Vitisho vya Tulia na usalama havijamteteresha.
Rais Samia, unakosea wapi? Kosa kubwa ulilolifanya ni kumkamata Dr. Slaa na Kumpa kesi ya UHAINI. Umekuja kurudia kosa kubwa zaidi la kumvua Ubalozi. Kataa hawa washauri wako. Hili ni kosa kubwa sana la kimkakati. Umemfanya Dr. Slaa kuwa na nguvu sana. 2025 ndiye King Maker.
Kesi ya Mbowe, KWA SIKU, nje ya mishahara:
💵 Jaji analipwa Tsh 500,000/=, malazi Tsh 250,000/=
💵 Mawakili wa serikali wanalipwa Tsh 120,000/= kila moja
💵 Madereva wa Jaji & mawakil wanalipwa Tsh 80,000/= kila moja
Hadi sasa kesi imegharimu Taifa zaidi ya Tsh 200,000,000/=
“Kwa mwaka mmoja tumekua tunakatwa hela ya bima ya afya tukiahidiwa huduma kwenye hospitali kubwa za mikoa & Wilaya. Hadi sasa hatupewi huduma kwenye hospital za Wilaya wala Mikoa. Tukiwa likizo kwenye mkoa/Wilaya isiyo na jeshi hatupati huduma za afya.” Askari wa JWTZ
Usiku wa leo, Tulia Ackson amefanya kikao cha siri na watu wa Kitengo kwaajili ya kumshugulikia Nazir Karamagi. Mr. Karamagi, huu mwezi wote, usikutane na watu. Ikibidi, kaa nyumbani au sehemu yako ya siri kwa mwezi mzima. Huyo mla rushwa wa DP World ni hatari. $2.5M siyo mchezo.
BREAKING: Taarifa za uhakika toka kwa informer wetu ni kwamba, aliyekuwa DG wa TPA, Ndg. Eric Hamisi aliondolewa kwenye nafasi yake baada ya kutokuridhishwa na mkataba wa DP World. Mr. Hamisi aligoma kabisa kuwa sehemu ya hayo majadiliano sababu aliona uozo kwenye mkataba.
Fred Kapara yupo kwenye payroll ya TISS.
@Tigo_TZ
anafanya kazi kama shushushu, sio mwanasheria. Barua nyingi zikifika Tigo zinamfikia yeye. Akizifanyia kazi hampatii hata dereva kupeleka kwa kamishna wa makosa ya mtandao.Huwa anapeleka yeye mwenyewe kwa mkono.
#TanzaniaWikiLeaks
Kasheku Musukuma, wa DP World. Mmoja wa Wabunge aliyehongwa na DP World, alionja joto la Jiwe. Amezomewa vibaya mno na wananchi wa jimbo la Geita, kijiji cha Katoro. Naona wananchi wameanza kuamka na kuanza kuwakataa mafisadi waliokula rushwa kuuza Tanganyika. Bado Tulia Ackson.
BREAKING: DP World wanaenda mbali sana. Hapa tunapo-tweet, Chuo Cha Polisi kishauzwa kwa DP World na kinachofatia ni Ofisi za Baraza la Maaskofu kurasini. Hawa watu wamepokea fedha nyingi sana na inaonekana hawajali chochote. Chanzo chetu ni cha kuaminika ndani ya Polisi HQ.
BREAKING: Wahuni wanatenda yao kuhakikisha Rais Samia anashindwa kabisa. Taarifa za uhakika ni Kwamba,
#Wahuni
wamehujumu mitambo ya kufua umeme ya Tanesco UBUNGO unaopelekea kukosekana kwa umeme maeneo mengi nchini. Kadhalika, moja ya visima vya gesi asilia kule Mtwara kimekauka
BREAKING: Kutoka kitengo tumedokezwa usiku huu kuwa, DPP anabadili mashtaka ya Wakili Peter Madeleka kesho asubuhi na kumpa kesi isiyo na dhamana. Mnaziba huku, wanatoboa kule.
Wazee Mbeya wanaendelea na vikao vya siri kuhakikisha wanamshughulikia Tulia kabla ya 2025 kwa sababu amekosa uzalendo. Tulia kahongwa na waraabu $2.5M kisha kugeuka na kuwa dalali wa kuuza nchi. Wazee wanasema wangemsamehe kama angekuwa kaiba pesa za kodi, sio hii ya kuuza nchi.
1-2. BREAKING: Waziri wa Fedha, MWIGULU,
#Wahuni
wameshaamua wanakuondoa. Nadhani unaelewa. Unakuwa kikwazo kwenye ndoto yao kuelekea 2025. Muda wowote wanakushugulikia. Usipuuzie, angalia vifo kwa CAG wiki jana.
BREAKING: Kutokana na kikao kilichofanyika cha siri Ikulu kikijumuisha baadhi ya viongozi wa ulinzi na usalama, Chama, Serikali na viongozi wa Dini, kuna Tangazo kubwa litafanyika siku chache zijazo. Hakuna mwenye nguvu Zaidi ya wananchi kwenye nchi yake.
“Taifa lazima liwe na mikakati na maono ya muda mrefu. Tumekosa yote. Tumepoteza mwelekeo kuwakabidhi Waarabu bandari kwa mkataba mbovu. Tusimlaumu Rais. Tujilaumu wenyewe kwa kukosa uzalendo, vilio vya kuuzwa bandari vimesababishwa na ukosefu wa maono.” Askofu Gwajima, Bunju A
BREAKING: Habari tulizozipokea hivi punde toka Kitengo, ni Kwamba, Viongozi wa Kidini waliongea na Rais Samia kumuomba kwa Dharura afanye mabadiliko kwenye mkataba wa DPW na awaachie HURU wote anaowashikilia na kubambikiwa kesi za UHAINI. Rais Samia amewapuuza Viongozi wa Kidini.
TISS informer in Washington DC, Loveness who once boasted having received $300K from Tanzania government to silence Mange Kimambi, is on another mission to either eliminate or silence Liberatus. Libe, wherever you are, be wary of Loveness. She is on a mission.
#TanzaniaLeaks
Rais
@SuluhuSamia
akishirkiana na CCM asilia WAMEMPINDUA Spika Job Ndugai. Ndugai hakuandika barua ya kujihudhulu. Ametishwa sana na kushinikizwa aongee na Umma juu ya kuachia ngazi. Kagoma. Amewekwa chini ya ulinzi. Ameapa hatakaa kimya akiachiwa.
#FreeNdugaiNow
#TanzaniaLeaks
ALERT! Mange Kimambi au rafiki zako wakufikishie salamu. Umeingia Choo cha KIUME. Unashugulikiwa mdogo mdogo, Either kumbeba Kipara au kuangamizwa. Hao watu siyo wa kucheka nao. Ignore this at your own risk maana hii issue imesukwa Tangu Feb 2022. Umekwepa Manara, hapa hauchomoki
BREAKING: Baada ya kushindwa kumnunua Wakili Mwabukusi, serikali iliwekeza nguvu kuwanunua majaji. Jaji mmoja bado ameshikiria msimamo kitu kinachomfanya Samia kwenda mwenyewe Mbeya na kuonana na Majaji. Hili ndio imepelekea kesi kuahirishwa.
BREAKING: Waarabu kupitia serikali ya Tanzania watangaza VITA RASMI kwa Mtanzania yoyote anayepinga mkataba wa bandari. Watanzania AMKENI. Acheni kuwa mafala na watumwa kwenye nchi yenu. PUMBAVU sana nyie.
BREAKING: Kuna ufisadi wa kuogopesha tunawaanikia leo. Ni ufisadi unaohusisha:
1. Angela Kizigha,
2. Abdul (Mtoto wa Mama Samia)
3. Elvis Kilango
4. Hamad Masauni (Waziri)
5. Thania Abdula (Mke wa Masauni)
CHADEMA, shahidi, Bi Gladys Fimbari- Airtel Legal Officer atakuja kutoa mawasiliano ya M’kiti wenu. Alisoma Jangwani, Kifungilo & UDSM. Namba za simu kutuma pesa sio ugaidi. Shida kubwa ni makampuni ya simu kutokutunza siri za wateja. Hili ndio mawakili wenu wanajaribu kuonyesha.
BREAKING: Tumepokea taarifa toka chanzo chetu Magogoni kwamba Rais Samia atawasili kimya kimya toka Oman na Saudia. Atakuja na ndege za kawaida. Kwa maana hiyo ndege yetu itabakia Saudia kutuzuga. Hatujajua watasema ndege ilikuwa matengenezo au! Tunafatilia.
“Spika kapatia kutujulisha hatari za mikopo. Atujulishe na hatari ya kulipa mishahara wasio wabunge. Amalizie kutujulisha uhalali wa sheria zinazotungwa na wasio wabunge.” Baba Askofu Bagonza
#TanzaniaLeaks
Tulia Ackson unahangaika sana huko Mbeya. Kufanya njama kwenda mahakama Kuu usiku usiku na kuchukua mafaili ya kesi mbio mbio hadi kwenda nayo Uzunguni Ikulu ndogo haitaisaidia serikali. Sana sana unaenda kuichafua mahakama. Tulia ulimponza JPM na sasa unaenda kumponza Samia.
Kassim, mosi, unaonekana ni mfuasi mtiifu wa Shujaa JPM, na nje ya Kipara, unaonekana unajipanga 2025. Lazima wakudhoofishe. Kukudhoofisha, umepewa msaidizi. Pili msaidizi wako amewekwa ili akusanye kura za Kanda ya ziwa. Ziara za Chadema zimechafua. Lissu kawavuruga balaa.
Mh. Lissu, Punguza makali. Unatuumiza sana. Najua hauna tusi, lakini lugha yako inachoma. Hatuna cha kujibu ndio maana mkakati mpya ni kudai unamtukana mama. Punguza makali kidogo. Unatuumiza. Unatuacha uchi kijana. Nikuhakikishie tu kwamba, huu Mkataba utavunjwa.
Jaji Siyami, mawasiliano yako na Jaji Joachim na TISS yametufikia
#TanzaniaWikiLeaks
. Tigo wametuwezesha kupitia number yako hii 071344*86. Jaji Joachim, usikubali uwe kiini cha kusababisha Tanzania kutikisika.
#TzWikiLeaks
Simu za Magufuli, Ndugai,
@hpolepole
nk zilirekodiwa na TISS. TISS wamemsikilizisha Rais
@SuluhuSamia
maongezi hayo. JPM & Ndugai walikua wanamuongelea vibaya sana Samia
Maongezi ya sasa yanaonyesha mipango ovu ya Ndugai na kina Polepole. Polepole hata ongea tena.
#TanzaniaLeaks
Kuna mnyukano mkubwa ndani ya familia ya Rais Mwinyi. Mzee aliandika wosia kwamba akifa azikwe nyumbani kwao Mkuranga, ila mtalii wa Zanzibar Hussen Mwinyi anataka babake akazikwe Zanzibar ili alinde urais wake. Tunasubiria kengele tu. Hatuji mshindi atakuwa mama Sitti au Hussen.
BREAKING: Taarifa za uhakika tulizozipata toka BoT ni kwamba akiba ya Dola za Kimarekani imekauka. Kadhalika hata TZS pia hakuna. Utawala wa BoT umechanganyikiwa kutokana na hali hii. Sababu kubwa ya Dola kuisha BoT haijafahamika.
Maulid Kitenge, Anza kutema hela za Propaganda ulizokula za DP World. Naona mmeanza kutajana hadi Bungeni. Na bado. Hili swala la Mkataba wa bandari na Waarabu litawatokea puani.
Mbowe anasema kila sehemu Samia akienda na Kikwete yupo. Hili ni kweli kabisa. Samia akiwa New York- Kikwete yupo, Samia akienda Dubai- yupo. Samia akienda Ethiopia- yupo. Yaani kila sehemu. Mbowe anahoji, Kikwete ni msaidizi wa Samia? Yaani Mbowe wakusema CCM tumeishiwa pumzi!
BABA Askofu Malasusa na Shoo, mmekula maharage ya wapi? Mnasikia watanzania wanalia? Inakuwaje mnaenda kula na kustarehe na upande wa dhulma? Mnakaa na kufurahia ya Mwijaku na Shilole Kizimkazi? Hata sisi waislamu, tunaona TEC ndio watumishi wa Mungu wa UKWELI. Shame on you
Shahidi wa nane wa Jamhuri, Afande Jumanne Malangahe ni mmoja ya wahusika wa kumteka na kumuua Ben Saanane kwa maelekezo ya Paul Christian Makonda.
Alihusika kumteka Tito Magoti na Erick Kabendera ambapo kama wanaharakati wasinge piga kelele mapema, wangeuawa.
#TanzaniaLeaks