MASHUJAA FC Profile Banner
MASHUJAA FC Profile
MASHUJAA FC

@MASHUJAA_FC

27,801
Followers
4,815
Following
449
Media
6,072
Statuses

Official Twitter Account of Mashujaa Fc💪 #MapigoNaMwendo

Kigoma, Tanzania
Joined July 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 days
NI MUDA WA KUUPA MOYO POLE 😍🦍 KWANI KUNA TEAM INATESEKA ETI SISI KUPATA RAHA KAMA IZI😂
Tweet media one
65
75
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Huu ndiyo ukurasa wetu maalumu wa Twitter, Tunaomba mtu-follow ❤️
Tweet media one
150
168
5K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
KOMBE WATAKALO BEBA MSIMU HUU NI LAKUFA KIUME KILA MASHINDANO😂😂
Tweet media one
199
270
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
ASANTE GEITA🙏🦍 Watanganyika tunashukuru kwa sapoti yenu kipindi chote ambacho tulikuwa migodini, hakika TUMEFURAHI 😍⚽🦍
Tweet media one
118
197
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Korosho tamu sana jamaniiii na watanganyika tumefurahi
Tweet media one
80
160
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
19 days
SHUGHULI IMEKWISHA 😍🦍💪 Mnasemaje Sasa 😂
Tweet media one
131
153
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Chakushukuru atuna jezi nyekundu🤭maana yale majini🙌
Tweet media one
140
176
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Watanganyika tunaungana na dunia kuadhimisha Kheri ya siku ya wanawake duniani 😍🦍 Msisahau kutu follow team bora na yenye mashabiki wengi kwa sasa👋 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
77
184
4K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tulizihataji Alama tatu lakini tumepata moja ⚽🦍
Tweet media one
73
113
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mhh🤔 sasa afadhali wapi kule kwa majini au huku kwa bwana kisasi mwakarobo
Tweet media one
75
114
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
😂😂😂muoneeni huruma jamani sasa mwakani atacheza kombe gani na shirikisho wamefuta🤣🤣🤣
Tweet media one
166
97
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Ubwabwa ujaiva umegoma kupita mdomoni🙆‍♂️😭😭
Tweet media one
69
103
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tumevuna alama moja ⚽🦍 Wametuwekea sumu kwenye miwa
Tweet media one
144
126
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Kheri ya siku ya wapendanao kwa Watanganyika wote ❤️🦍 Ila nyinyi wafuga majini lolote liwakute😂
Tweet media one
148
165
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mashujaa Fc tunawatakia Watanganyika wote Kheri ya Kwaresma🙏
Tweet media one
54
109
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Mpenzi Mtazamaji Bado Tunashambukiwa Sana Ila Chamuhimu Atuna Jezi Nyekundu
Tweet media one
99
53
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
18 days
MWAMBA ANARUDI NYUMBANI 😍🦍 Baada ya panda shuka na mapambano makali ya msimu wa #NBCPremierLeague 2023/2024, Mwamba anarudi nyumbani kwenye viunga vya @gombe .nationalpark na @mahalemountains_nationalpark kupumzika. Tukutane msimu ujao wa #NBCPremierLea Nb: BADO TUPO SANA 🦍
Tweet media one
108
149
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Msijidai mko bize na matokeo ya Simba na Yanga, mmeona Msimamo wa ligi kuu lakini. 😂
Tweet media one
231
139
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tunapata goal la tatu hapa tuliwaambia shujaa asaliti chama aya twendeni
Tweet media one
29
86
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Bado hamja sema, yaani mpaka mseme..!! 😂
Tweet media one
91
77
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
10 months
Amuogopi nyie💪💪 na pale juu atushukii mtaisoma namba
Tweet media one
124
81
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
🚨 VICTORY 🦍💪 KISASI KIMELIPWA, WATANGANYIKA TUMEFURAHI 😍 WATANGANYIKA MNATAKA NANI MWINGINE TUMLIPIZIE KISASI😂
Tweet media one
63
117
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
🚨 CHUMA KIMEFIKA😋🦍 Timu aina hata gari ya kusafiria alafu usipigwe tano👋 Nb: Usi-left group mambo mazuri yatakupita #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
54
117
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
HAWA TUNAHAMA NAO 👜🦍⚽KAMA TULIVYOSEMA NDO TUMEANZA LIGI🤭 #NextMatch Ihefu fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️28.02.2024 🕓Saa 8 Mchana 🏟️Ccm Liti Nb: Utaratibu ni uleule, Mapigo ni yaleyale na Mwendo ni uleule "Shujaa hasaliti chama" 🦍💪 #mapigonamwendo
Tweet media one
136
153
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
HALMASHAURI ZETU ZINAFANYA KAZI KUBWA SANA KUWEKA MIJI YETU SAFI 😜🦍 Tumeanza Ligi Sasa Tunataka Kurudi Kileleni
Tweet media one
73
104
3K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mchezo umemalizika ⚽🦍 Tunaramba ivyo ivyo japo wameponea tundu la sindano🥲
Tweet media one
71
91
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Huku migodini usiku huu vicheko vimetawala kwani kumetokea nini?🤔😎🦍 Kumbe kushinda rahaa ivi na amsemi😂
Tweet media one
52
86
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
DHAHABU NI MALI YA MASHUJAA 😍🦍💪 TUMEANZA LIGI SASA Geita Gold fc 1-3 Mashujaa fc ⚽Adam Adam ⚽Ally Ramadhan ⚽David Ulomi
Tweet media one
111
132
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
🚨 TULIWAAMBIA UNYONGE BASI HAWAKUELEWA😍😂🦍 Nb: LAKE TANGANYIKA KUNATISHA KIGOMA KULE MLIPOTOKA TU 😂
Tweet media one
96
177
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tunawatakia Waislamu wote Duniani mfungo mwema wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan 🌙 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
27
93
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Tunawatakia Eid Mubarak Watanganyika wote 🌙 NATUMAINI LEO MMEFURAHI👋
Tweet media one
89
97
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tumepoteza usalama wa golikipa na kupoteza mchezo ⚽🦍 ILA TUTAKUTANA TENA #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #fahariyakigoma #lekadutigite
Tweet media one
85
104
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Bora leo mbili kuliko tano ata lakuongea ntapata😂😂ila tumekoma kusema lile la UBUNTU sio goli
Tweet media one
66
85
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Najaribu kuwaeleza kuwa mimi sikuwa na jezi nyekundu wala sina ubaya nao ndo mana 👋 ukaniepuka poleni ndugu zetu wa 👋bora kipindi cha pili msingerudi😂
Tweet media one
63
108
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Nawatakia Eid Mubarak Njema Mashabiki Wote Wa Mashujaa FC Ila Mashabiki Wengine Wa Mwakarobo Lolote Liwakute👋
Tweet media one
56
107
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
12 days
🚨 MWAMBA ANATOA MREJESHO 😍🦍 Baada ya Mwamba kurudi nyumbani sasa ni muda wa kutoa mrejesho wa kile alichovuna kwa msimu wote wa 2023/2024. Familia baada ya kuona mrejesho imedhamilia kuongeza nguvu kwa Mwamba kuelekea msimu ujao wa #NBCPremierLeague 24/25.
Tweet media one
78
122
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Familia ya watu wa Twitter(X) inazidi kuongezeka😍🦍Ahsanteni sana🙏 🚨 Mwendo ni uleule na Mapigo ni yaleyale, hakuna ku-left Group 💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
63
92
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
27 days
HESABU ZINAKUBALI 😍🦍
Tweet media one
59
62
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Natamani mastaa wengine waige mfano mzuri wa malezi kutoka kwa msanii mwenzao shetta kwa jinsi anavyotumia nguvu na umaarufu wake katika kumtengenezea maisha mtoto wake wa kike na sio kama wengine wanavyowatumia watoto wao kama kitega uchumi, Mungu ampe afya njema shetta 🙏🙏
Tweet media one
41
87
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Kuna timu inalipiziwa kisasi huko😂au ni wezi kweli maana sio kwa magereza kuwapiga hivi🙌
Tweet media one
53
85
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
🚨 TAKWIMU ZA MICHEZO YETU MINNE YA MZUNGUKO WA PILI #NBCPREMIERLEAGUE ⚽MICHEZO - 4 -Ushindi - 2 -Sare - 2 -Kufungwa - 0 ⚽USHINDI - Geita Gold Fc - Namungo Fc ⚽SARE - Kagera Sugar Fc - Ihefu Sc
Tweet media one
54
113
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Leo watatuambia kwanini wanaitwa singida na wanaishi mwanza😂
Tweet media one
25
41
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Sisimizi kaangusha tembo 🥲
Tweet media one
104
71
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Siku hizi atuongei sana n mwendo wa kipondo tu 💪
Tweet media one
26
48
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Sisi ndio kigoma mwisho wa reli nani mwingine anafuatia kumtia tatu💪
Tweet media one
75
55
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tukisema tunaanza ligi muwe mnaelewa
Tweet media one
41
61
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Kwani leo hakuna taulo golini jamani wakatoe😂😂😂😂
Tweet media one
42
67
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Simba wanapata goli la pili hapa mpenzi mtazamaji naona mambo yameanza kuharibika bora tusingerudi🤔
Tweet media one
60
51
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
22 days
HESABU ZINAENDA SAWA 😍🦍 WATOTO WATAMU HAWA AYA WASALIMIENI MBEYA😂
Tweet media one
50
51
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
🚨 KISASI KITALIPWA 🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 JKT Tanzania 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️O6.03.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Lake Tanganyika Nb: (HAWA TUNA KISASI NAO NA KISASI KITALIPWA ) Usi-left group, Shujaa hasaliti chama 🦍💪
Tweet media one
47
93
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Mchezo umemalizika ⚽🦍 Baada Muombe Tusishuke Au Kuna Sehemu Nyingine Mtapata Vionjo Vya Sokwe😔
Tweet media one
93
63
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mchezo wetu unaofuata tunawakaribisha walima Korosho kwenye himaya ya Gombe na Mahale maskani kwa Watanganyika🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 Namungo fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️O2.03.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Lake Tanganyika Nb: Ni wakati wa kurudisha heshima ya Lake Tanganyika,
Tweet media one
41
113
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Leo naomba nijibu maswali yenu wote mliokuwa mnataka kumuuliza mr admin😊
Tweet media one
98
72
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
VITA INAENDELEA 🦍💪 #NextMatch Simba Sc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️15.03.2024 🕓Saa mbili na robo usiku 🏟️Azam Complex Nb: Usi-left group, Shujaa hasaliti chama 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
60
94
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
🚨 KANASA 🦍💪 #NextMatch Mashujaa fc 🆚 Yanga Sc 🏆 #NBCPremierLeague 🕒 Saa 10 Jioni 🗓️ 05.05.2024 🏟️ Lake Tanganyika Usi-left group, Shujaa hasaliti chama Nb: PICHA HAINA UHUSIANO WOWOTE NA MCHEZO WA TAREHE 05.05.2024
Tweet media one
125
105
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
TUMEWAFIKIA WACHIMBA DHAHABU 🪙🦍 #NextMatch Geita Gold fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️25.02.2024 🕓Saa 10 Jioni 🏟️Nyankumbu Stadium Nb: Utaratibu ni uleule, Shujaa hasaliti chama 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
112
114
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
7 months
Huu ndiyo ukurasa wetu maalumu wa Twitter, Tunaomba mtu-follow ❤️ kama kweli wewe ni shabiiki wetu na unatokea kigoma follow ukurasa wetu huu💪
Tweet media one
60
77
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mashabiki zetu wa tanzania yote tunawapenda sana na tunawa hakikishia mazuri💪
Tweet media one
13
41
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
CHURA ANAPENDA MAJI ILA SIYO YA MOTO BASI ACHA TUMCHEMSHE
Tweet media one
82
58
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
WAMEBAHATISHA TU NAJUA WAMETUMWA KULIPA KISASI🤔🤔
Tweet media one
50
45
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Jana Ilibidi Tuwakaange Samaki Zao Na Mafuta yao Ila Bahati Ilikuwa Kwao Wametuomba Tuwasamehe😂
Tweet media one
32
47
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Mtatukumbuka Nyie Shangilieni Sisi Kufungwa Wakati Tunawafanya Mnafurahi
Tweet media one
52
51
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
#100kfollowers 😍🦍 Asanteni sana Watanganyika kwa kuweka imani yenu kwa timu na kuiunga mkono siku zote katika safari hii ya 100k. Ni matumaini yetu kuendelea kuwaletea maudhui bora na kuwapa thamani katika kila post. Asanteni tena kwa upendo wenu na uaminifu wenu.
Tweet media one
24
43
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Tunawatakia Watanzania wote kheri ya miaka 60 ya Muuungano wa Tanganyika na Zanzibar 🇹🇿 Hivi Hawa Team Kibegi Wakija Huko Kwenu Wanakuja Kufanya Nini Maana Lazima Wafungwe😂
Tweet media one
19
44
2K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mashabiki zetu wamaana kabisa achana na wale mashabiki wa ovyo ovyo washirikina😂wanaotumwa kuchimba chimba golini🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
68
79
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
HAPPY BIRTHDAY @rugegera255 Leo ni siku muhimu sana, siku ya kuzaliwa kwa Admin wetu Watanganyika, Simon Rugegera @rugegera255 @rugegera255
Tweet media one
52
65
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Kipenseli @officialbalama alivyowafanya vibaya ndugu zetu wa Jkt Tanzania 🫡🦍💪 Kisasi akijaisha💪
Tweet media one
Tweet media two
7
29
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Samaki(Sato) ➕ Mafuta ya Alizeti 🟰 SINGIDA FG Mchezo wetu unaofuata wa #NBCPremierLeaguetutacheza dhidi ya Singida fountain gate Fc kwenye dimba la CCM Kirumba. Singida FG 🆚 Mashujaa Fc 🏆 #NBCPremierLeague 🕒 Saa 10 Jioni 🗓️21.04.2024 🏟️CCM Kirumba TUNAWALA MPAKA MIBA 🤭
Tweet media one
38
65
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Mashujaa Fc pamoja na @amaniqueensofficial Tunawatakia Wakristo wote "IJUMAA KUU" njema ✝️🙏 "MAPIGO NA MWENDO" #mapigonamwendo #shujaahasalitichama #fahariyakigoma #mashujaawalaketanganyika
Tweet media one
17
66
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Why Between In My Ushindi Nyuki Is Passing Around I Hate Youu Ntakufungaaaa😂
Tweet media one
46
63
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Hii imeenda. 😂
Tweet media one
51
55
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Tulisema kuna mkubwa mmoja atatuachia point tatu💪 Kituo kinachofuata ni Jangwani 🏜️⚽🦍 Yanga Sc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️08.02.2024 🕑 Saa 1:00 Usiku 🏟️Azam Complex
Tweet media one
75
58
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Kama refa atachezesha ivj ivi mbona vyura tunawapika leo
Tweet media one
29
42
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
14
31
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 year
Wana Mbeya THANK YOU, sasa tunarudi Kigoma. 👋
Tweet media one
21
60
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Onyesha upendo kwaku like hii picha.❤️
Tweet media one
12
30
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Usiku mwema mashabiki zetu😂
Tweet media one
21
27
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
ASALI HALISI KUTOKA TABORA NI TAMU NA BORA KWA AFYA😋🦍 Full Time Mashujaa fc U20 4-1 Tabora United U20 Vijana wanaendelea walipoishia🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
19
56
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
13 days
Hongera sana Reliants Lusajo kwakuwa mchezaji bora wa mwezi Mei wa ligi kuu ya #NBCPremierLeague
Tweet media one
11
35
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Wananitumia majini kwenye taulo😂😂
Tweet media one
51
47
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
Aliowaambia Yanga Wakitufunga Wanakuwa Mabingwa Ametukosea Sana
Tweet media one
Tweet media two
16
33
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mchezo wetu unaofuata wa #NBCPremierLeague tutacheza dhidi ya Azam Fc kwenye dimba la Azam Complex. #NextMatch AZAM FC 🆚 MASHUJAA FC 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️17.04.2024 🕒 Saa mbili na nusu usiku 🏟️Azam Complex Nb: Usi-left group, Shujaa hasaliti chama.
Tweet media one
48
47
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Watanganyika mmepata usingizi kweli au na nyinyi mnawaza magoli ya @adamadam_07 hii leo? 🤔⚽ Usi-left group, Furaha kubwa inakuja 🦍💪 #mapigonamwendo #mashujaawalaketanganyika #lekadutigite #fahariyakigoma
Tweet media one
24
56
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
HODI HODI MAKAO MAKUU, TUNAKUJA WALIMA ZABIBU 🦍😍 Watanganyika wote tunakuja kumaliza hasira zetu kwa walima zabibu😡. #NextMatch Dodoma Jiji fc 🆚 Mashujaa fc 🏆 #NBCPremierLeague 🗓️11.02.2024 🕓Saa 1 Usiku 🏟️Jamhuri Stadium
Tweet media one
62
67
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Timu yetu leo inapenda kufungua milango na kuwakaribisha mashabiki wote ambao wanaona wanateseka kwenye timu zao wakaribie mashujaa waje kupata furaha kwasababu tunapenda kuwapa furaha mashabiki zetu😂💪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
19
52
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
1 month
🚨 USI-LEFT GROUP HESABU ZINAKUBALI 😍🦍 Watanganyika ni wakati wa kuonesha ushujaa wetu kwa kuisapoti timu yetu kwenye michezo mitatu iliyobaki ili tuvuke pamoja 24/25. NB: Hesabu zinakubali, Ikumbatie Mashujaa fc tuvuke pamoja 24/25.
Tweet media one
32
67
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Tumepoteza kwenye mikwaju ya penati⚽️🦍 "MAPIGO NA MWENDO"
Tweet media one
23
32
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Bado ujasema😂😂
@SimbaSCTanzania
Simba Sports Club
2 months
33’ | Mashujaa FC 1-0 Simba SC. #WenyeNchi #NguvuMoja
Tweet media one
68
15
613
54
44
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
2 months
Mbona nasikia kelele huko kuna nini🤔
Tweet media one
18
36
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 NEVER TURN BACK, SHUJAA HARUDI NYUMA 🦍💪 Asanteni sana walima Zabibu wa Dodoma kwa sapoti yenu kipindi chote tulichokuwepo Makao Makuu ya Nchi🙏 Macho na masikio yetu tunaelekeza Kagera kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar siku ya Ijumaa Tarehe 16.02.2024
Tweet media one
37
44
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Refa maliza mpira giza linaingia😂
Tweet media one
5
20
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Visit Kigoma 😜
Tweet media one
29
39
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
9 months
Bado mechi ngapi mashujaa tutangazwe mabingwa wa Ligi kuu? 🤔
Tweet media one
66
27
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Mchezo umekwisha.
Tweet media one
20
21
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
11 months
Kwa huu uzi ligi ianzie tu amanini?
Tweet media one
Tweet media two
35
37
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
21 days
NI MUDA WA KUFUNGA HESABU 🦍💪 Mashujaa Fc 🆚 Dodoma Jiji Fc 🏆 #NBCPremierLeague 🕒 Saa 10:00, Jioni 🗓️ 28.05.2024 🏟️ Lake Tanganyika Nb: TUKUTANE LAKE TANGANYIKA KUZIFUNGA HESABU PAMOJA. UNATUMIA BILIONI TATU USAJILI ILI KUGOMBEA NAFASI YA TATU😂
Tweet media one
55
44
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
🚨 Watanganyika wote wa Jiji la Dar es salaam siku ya Alhamisi, Saa 1 usiku makutano yetu ni Azam Complex kuonesha Ushujaa wetu. Chura anapenda maji ila siyo ya moto wa mashujaa💪 NB: Picha haina uhusiano wowote na mchezo wa tarehe 08.02.2024 😎
Tweet media one
80
75
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
4 months
Pumzika kwa amani Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi 🕯️🙏
Tweet media one
10
34
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
SportsXtra | - Meja Abdul Tika “Wakati tunaanza tulifanya makongamano kuwaambia wananchi kwamba hii timu ni yenu ,Jeshi la ulinzi la wananchi la Tanzania JWTZ ni la wananchi maana yake na timu pia ni ya wananchi” Maneno ya Mwenyekiti wa Mashujaa kwenye SportsXtra
Tweet media one
19
40
1K
@MASHUJAA_FC
MASHUJAA FC
3 months
Tizi la kisasi hili wajiandae watoto wadogo wale💪
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
13
35
998