Dr. Naitwa Kiokote PhD
3 years
GHARAMA ZA KUOA (je ni kweli?)
1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijin alikozaliwa mkeo mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama Mfano Mkeo Anatokea Mwanza, Na Mnaishi Dar, Andaa nauli Ya Watu Wawili, Malazi kwa siku Mbili, Na Utagharamia Shughuli hiyo Ya Utambulisho