Kipindi hiki chote ambacho timu kubwa wenzetu hawapo nchini, kocha wetu ataitwa Profesa Makata mpaka pale Profesa atakaporudi na kiungo wetu Shabani Msala ndo mzee wa kazi chafu💪
Pingamizi lolote liletwe hapa Jamhuri🏟️ ukiambatanisha na timu yako kwa ajili ya mechi ya kipimo