Tunaishi kwenye dunia ambayo unaweza kumwongezea mtu damu ili asife ila akiishi anatafuta namna gani akuuwe, unamwinua aliye anguka akisimama anatafuta namna ya kukuangusha, unamfundisha mtu biashara akishaelewa anatafuta namna ya kuuwa yako ili biashara yake ishamiri 🙌🙌😎