zamani nilikuwa najua uongo kmbe kweli bhn
mama mjamzito akijifngua mtoto wa kiume Mkunga aliyekuwa anamhudumia anapewa posho
๐๐oyaa wanaume kuhonga tumeanza muda
Twitter kisomo taja jina la Philosopher anatokea India alihalalisha viboko viendelee kwa wanafunzi ,kama kweli ulikiwa unasoma GS au ulikiwa unasinzia tu kwenye kipindi baada ya uji ๐ ๐
kwa uzoefu wangu ukiktana na binti mtandaoni anajiita Bad Girls ,Pisi mbovu huwa na mademu wakali balaa ๐๐ila hawa miss cjui nn ooooh hakna kituuu
nadhani kupitia Morocco tumejifnza kitu ,ukianza kupata mafanikio punguza dharau kwa wengne ,
kuna watu maombi yao yanasikilizwa haraka sana๐๐๐๐๐
hv ni utaratibu au sheria kuwa siku za sikukuu chakula cha mchana lazima kiliwe kuanzia saa 9
maana nna njaa na nilipoalikwa ndo wanamenya ndizi ๐ค๐ค๐ค
Mwanaume hakikisha una waleti hata kama una 1K weka kwenye walet ukiitoa kumlipia mtu wako anafurahi sio unatoa 5k imejikunja kunja kama sigala๐๐๐
hii nchi uhuru umepitiliza imagine kuna mdada hapa kisa anatako kubwa hajapanga foleni kanyoosha moja kwa moja kwenye huduma na kahudumiwa ,nimemwambia dada 1 wa kichaga aende aisee kasema yy anafuata utaratibu ๐๐
enzi hzo school tmeshiba sasa makande jion tunaanza kubishana kuwa ndizi ni tunda au chakula huu mjadala ulikuwa haushi mpaka tunalala๐๐๐๐๐