Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko Profile Banner
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko Profile
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko

@mbonimpaye_n

8,607
Followers
5,633
Following
1,352
Media
27,731
Statuses

| A Leader | Seventh Day Adventist | A Friend | Politician & Public Figure | “In liFe No One is Ignoring you. There just Waiting For you to have Money”

Tanzania| 🇹🇿
Joined July 2015
Don't wanna be here? Send us removal request.
Pinned Tweet
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
4 years
. Naitwa #MBONIMPAYE #NTIYONZA #NKORONKO , ni mtia NIA wa #UBUNGE jimbo la #SUMBAWANGA #MJINI , Mkoa wa Rukwa kupitia Cha cha Mapinduzi katika Nchi ya Tanzania, Nchi ya #UCHUMI wa Kati. 🔥🔥 NATANGAZA RASMI NIA YA KUGOMBEA UBUNGE jimbo la SUMBAWANGA MJINI leo tarehe 09/7/2020.
Tweet media one
73
48
519
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Usipojituma katika Mambo yako wewe mwenyewe, Basi Utatumwa na wanaojituma katika mambo yao. 📍
Tweet media one
104
99
2K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Ikianza kuchange from “Goodnight Babe” to “Sorry nilipitiwa na Usingizi” iyo ni Second wave. 3rd wave ni “Simu ilikuwa Silent” 4th Wave “Leo sijiskii vizuri nawahi kulalaa” 5th and Final Wave “Kwan kuna ulazima wa kuongea kila siku??”
126
224
2K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Tumsifu Yesu Kristo. ⛪️ 📍Kahama - ShinyangA |🇹🇿
Tweet media one
52
57
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Kama bado unakaa kwa Wazazi Usitoke.
99
66
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Ladies 📌. Tukiwaambia kuna michongo tunaisikilizia basi muwage wapole, Waelewa na Wavumilivu.
Tweet media one
46
37
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Msitutishe. 📍 Sisi tuna Watu. 💛💚💛💚
Tweet media one
123
53
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Kwa wale Watembezi hapa ni wapi?
Tweet media one
247
27
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Nikikutumia Text alafu ukinijibu “K” badala ya OK, Au “P” badala ya POA, au “PG” badala ya Piga. To be Honest usitegemee kupokea tena msg yangu yoyote na Number yako nafuta.
160
69
1K
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Hongera Kaka, Kimako Joseph MUNGU akawe msimamizi wenu kwa kila hatua. Wasalaaaaamu. Ni Mimi, nduguyo, Mbonimpaye. 🙋🏾‍♂️
Tweet media one
Tweet media two
43
54
975
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Yote ni kwa Neema za MUNGU. 📍
Tweet media one
39
18
899
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Watu wa Dar es salaam wanawahi sana kuamka tofauti na wa mikoani.
80
18
856
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Wakati mwingine kubali kuwa Wewe siyo chaguo lake hata kama Ulimpenda sana.
31
61
775
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
6 months
Mimi na Mama yangu tunawatakia nyote Sabato iliyo njema kwenu. ❤️❤️
Tweet media one
24
37
791
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 months
Jumanne ya leo baada ya kazi. #DayOff .
Tweet media one
63
34
788
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
R. I. P #COCO , 😭 Umeondoka Ukiwa mdogo, Pumzika kwa Amani. Tutaonana Baadae. 👁👃🏾👁
Tweet media one
137
27
732
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
10 months
Sijaoa, Nimeokoka, Nampenda Yesu. ❤️
Tweet media one
143
57
731
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Brother ’s ❤️ Usimtongoze Binti yoyoye yule na kuingia nae kwenye Mahusiano KAMA huna DHAMIRA ya Kumuoa. Dhambi hii haina tofauti na Dhambi nyingine. Asante
129
36
698
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 months
Prayer | Progress | Patience• ✌🏾
Tweet media one
31
39
714
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
7 months
Perfume Kidogo, Mtumba wako safi kabisa, Kingereza kwa mbali. Watu wanaanza kukuchukia bila sababu. Happy SABBATH ❤️❤️
Tweet media one
37
38
683
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Unajitutumua tena kwa kujibana na unamtumia vocha, ukipiga Simu hazipokelewi, Ukituma msg hujibiwi, After 3Days unaambiwa “Sorry nilikuwa naumwa” wakati kila siku yuko Online na anapost Status za whatssup na vocha yako uliyo mtumia.
106
48
665
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Swala la KUOA/KUOLEWA sio kipaombele cha Vijana walio wengi kwa sasa.
43
32
647
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
H A P P Y — S A B B A T H, Fam❤️
Tweet media one
32
23
628
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Dear Brother’s, Ukitaka kuoa usichukue kila ushauri unaopewa kuhusu huyo mwanamke wako, hakuna Mwanamke asiye kuwa na Past.
38
57
616
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Dear Brother’s Mwanamke wako akikuomba pesa usiseme huna, Usimpe visingizio ambavyo havimuhusu, mara sina, Mara nimetuma kwa wazazi, mara nimenunua Gesi, mara nimetoka kumuazima rafiki angu kapata ajali ya Boda, mara hivi mara vile Tafuta HELA umpatie hayo mambo yako hayamuhusu
251
71
621
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Hello #Dear #Ladies , ❤️ Husband #Material ndo natoka kanisani kumshukuru #MUNGU hapa. 🙊
Tweet media one
52
13
586
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
7 months
Mercy, Grace & Favor. ❤️
Tweet media one
37
35
616
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Dear Ladies ❤️ Kama Mwanaume wako AU uliye nae kwenye mahusiano hakupi hela, Tambua fika HAKUPENDI na wala hakufai.
126
16
587
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Finaly Masters of Arts in Governance & Leadership [MAGL] 🔥🔥🔥🔥🔥😂😅
Tweet media one
51
4
580
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
The BLUE MONDAY. 💪🏾
Tweet media one
48
12
611
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Tulikutanishwa na @masoudkipanya mwaka 2014 kwenye shindano la Maisha Plus, ukitokea Nchi ya Rwanda, tukawa ndugu na Marafiki. Leo Ajali imeondoa Uhai wako, R. I. P Brother, tuonane Asubuhi iliyo njema. Asante MUNGU kwa maisha yako ya hapa Duniani, Lala Salama Chief.😭😭😭
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
72
36
600
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Kama HujaOa/KuOlewa jipige pige Kifuani na Useme sasa Imetosha, 😂😂 Na kama bado unakaa kwenu nenda kajitegemee. 😂😂
Tweet media one
63
35
587
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Hakuna UBUSY kwenye Mapenzi, “HUPENDWI” 📌
41
37
581
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Kaka niamini mimi, 2M ni hela ndogo sana.
Tweet media one
35
17
567
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Mtu Akishindwa Kukusaidia usimgeuze kuwa Adui Yako. Kuna Wengine Wanatamani Kusaidia Ila unapohitaji Msaada wao, nao wanakuwa katika Changamoto Nzito Usizozijua!
27
78
546
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Dear Ladies, ……….…… Kuna utaratibu na namna ya kumuomba mwanaume Hela/Pesa, Either awe Mumeo, Rafiki, au Danga. Sio unaomba ombaaa hela kama umeweka kwake. 🚶‍♂️
37
44
557
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Pamoja na Dhambi tulizo nazo bado MUNGU wetu ni mwema sana na ametuamsha tena.
17
27
539
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Make Sure kabla Hujaoa/Hujaolewa uwe na Uwezo wa kupanga Budjet yako ya Mwezi mzima.
31
38
517
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Happy Sabbath Fam, ❤️ — From Karatu, Arusha|🇹🇿
Tweet media one
22
12
535
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
7 months
Kuongea na Mama Mzazi inapunguza Stress, na sauti yake inaleta matumaini Mapya.❤️
Tweet media one
15
44
531
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Quote this with a picture of you smiling 😁
Tweet media one
17
6
500
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Brother ’s ❤️ Kabla HujaOA hakikisha una uwezo wa Kuacha home #200K /300K iwepo tu Home kama #Emergence mbali na mambo mengine. Thanks Me Latter, 🙋🏾‍♂️
83
34
486
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Asubuhi Hii nimepoteza Tsh 2000/= moyo wangu umejaa simanzi, Maumivu niliyo nayo ni makubwa sana. 😭
41
9
474
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Sabato ya leo nimefarijika kusali na Wazazi wangu, Baba na MaMa yangu. Hakika MUNGU ni mwema.❤️ — HAPPY SA BB A TH from US ❤️❤️
Tweet media one
41
28
494
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Balloons day, It is what it is! +1 🤞Happy #Birthday to ME.❤️
Tweet media one
153
56
490
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
4 months
Please say hello to my Mom & Dad ❤️ Happy SABBATH from Us. ❤️❤️❤️❤️
Tweet media one
31
31
486
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Mkifika Kahama - Shinyanga msiache kupita kwa Mama Ntilie @FatmahShokat mpate chakula cha kujenga mwili.
Tweet media one
29
29
479
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Mimi na Mama yangu tunawatakia nyote Sabato iliyo njema. #HappySabbathFam . ❤️
Tweet media one
33
27
470
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 months
🚦Dodoma tO Katavi VIA Tabora 793KM.
Tweet media one
49
25
467
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Usisahau kusamehe, Kusamehe kunafungua milango mipya ya furaha na Amani. Samehe, Jifunze Kusahau pamoja na Kusamehe.
15
55
447
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Twitter kuna ndugu wa Kweli, Imagine unamuomba 10K anakutumia na hamjawahi kuonana, huu nao ni Upendo wa Hali ya juu.
28
21
435
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
365/365 Hata sasa ni MUNGU tu. ❤️
Tweet media one
28
24
467
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
11 months
“Kuna baadhi wa Wanawake kwenye mahusiano yao “PESA” sio kipaombele chao”
62
48
464
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Sio kwa ubaya ndugu zangu, mwaka 2024 kama kuna shortcut we katisha tu, Umaskini hauvumiliki. GoodMorning ❤️
41
72
456
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Usijione wewe tu ndio una stress za MAISHA na mitihani yake. Kila mtu ana pambana na zake, tofauti ni kuwa wengine tunajifunza kuziacha ndani tunapotoka nje. Tunajifunza kucheka kwa sauti baada ya kutoka kulia, Tunajifunza kubeba tabasamu hata kama tuna Maumivu.
24
87
452
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Nimekuja kugundua sisi Vijana ambao maisha ndo kwanza tunapambana nayo kuyaweka sawa tunahitaji #Wanawake wenye uelewa wa hali ya juu sana, ili waweze kutuvumilia. kwasababu Akili na nguvu zetu zote zipo kwenye kufanikiwa na sio Mahusiano.
43
90
446
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Mnasema Mnapendana, Mkipigiana Simu mnaongea nusu Dakika (15 to 30 seconds), wallah nakuapia hamuwezi kufika mbali. Mapenzi ya kweli watu wanazungumza zaidi ya 30Minutes to 1hour.😎
78
13
419
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 months
Jumapili ya leo, Pichani kushoto ni Mh Mkuu wa Mkoa wa Katavi pamoja na Baba Askofu wa Jimbo la Mpanda katika picha ya pamoja na mimi baada ya misa takatifu ya leo.
Tweet media one
19
17
448
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
7 months
God! I just wanna say THANK YOU. ❤️
Tweet media one
16
25
438
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Happy #SABBATH from Us, ❤️ Location ;— Moshi, Kilimanjaro 🇹🇿
Tweet media one
20
12
410
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 months
Alhamisi ya leo. #DayOFF We are back from site 🙌🏾
Tweet media one
Tweet media two
22
25
425
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Its Friday, “Huniwezi kiserikali, huniwezi kihela, huniwezi Kiuchawi, nipe mkono tushindane”. Maneno Mazito sana sana.
27
18
389
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Hili Tunda kikwenu mnaliitaje. Sumbawanga tunayaita #Matonga . 😂
Tweet media one
Tweet media two
125
10
394
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
10 months
Nyanya ikiwa gengeni ina bei yake, ikiwa shambani ina bei yake, ikiwa 'supermarket' ina bei yake. Klichoibadili bei ni mazingira. Kuna wakati kubadili mazingira kunaweza ifikisha thamani yako stahiki. GdMorning? ❤️
23
94
403
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Ukiwa hauna msimamo kwenye maisha yako, utachaguliwa Maisha ya kuishi.
11
34
386
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 months
Tumsifu Yesu Kristo. Amani ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. ❤️
Tweet media one
20
28
406
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
8 months
Tumsifu Yesu Kristo, ❤️
Tweet media one
30
30
403
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Dear Brother’s Kazi kubwa ya mwanaume ni kuhakikisha mwanamke wake haitaji tena mwanaume mwingine.
57
27
391
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
10 months
Jumapili ya Leo nilipata Mwaliko wa kushiriki Misa maalumu takatifu iliyo salishwa na Mhasham Baba Askofu Mkuu Mwandamizi wa Jimbo kuu la Tabora na Kardinali mteule Baba Protaz Rugambwa katika Kanisa Kuu la Jimbo la Mpanda. Imekuwa Ibada yenye mibaraka tele.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
24
23
393
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
— Happy SA BB A TH Fam ❤️❤️—
Tweet media one
19
12
382
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Jioni hii mitaa ya Sumbawanga niko na Bimkubwa tunapiga Stori mbili tatu. Amesema niwasalimie sana wana Twitter.
Tweet media one
36
22
384
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
6 months
Sabato ya leo imekuwa nzuri sana. Nilipendeza mno mnoooooo………..
Tweet media one
26
23
376
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Kuwa na wanawake wengi ni Gharama.🚶🏾‍♂️
36
20
352
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Ladies ❤️ Nakupigia Simu Unakata, Message’s zangu unaziona lakini hutaki kunijibu. Kama hunipendi its #BETTER ukanambia kuliko kupotezeana Muda, muda ni Mali, Period.
62
20
356
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Sentesi ya kinafiki kwenye Mahusiano mapya. “Sijui kwanini ulichelewa kuja kwenye maisha yangu, Sijui ulikuwa wapi siku zote hizo” 🙌🏾
35
24
357
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 month
Tumsifu Yesu Kristo. ⛪️ 📍GeitA — Tanzania |🇹🇿
Tweet media one
23
26
372
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Ladies , ❤️ Hakuna Mwanaume Anaye #KUPENDA direct, bila #KUKUTAMANI kwanza. Tamaa kwa Mwanaume ndiyo Source ya Upendo wake kwako. 🥂 Niongeze Mwanga AU Unatosha. 📌
50
25
352
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Not everyone is your friend.
15
23
337
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Kuna wakati uvumilivu unaweza kukupa vitu sahihi, matokeo sahihi, watu sahihi, maisha sahihi na majibu sahihi. Jifunze kuvumilia.
12
102
356
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
+1, Happy B I R T H D A Y tO #ME . ❤️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
89
9
338
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
6 months
Happy BIRTHDAY mama, NAKUPENDA. ❤️
Tweet media one
32
30
354
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
S A B B A T H, spent Well.❤️
Tweet media one
17
11
346
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
11 months
Ukimuona mtu amejenga kajumba kake, anamiliki kausafiri kake ka kumpeleka hapa na pale, ana familia yake hata kama hawali milo mitatu yapaswa aheshimiwe na apewe maua yake. Huku kwa ground mambo ni magumu.
16
41
352
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Jumamosi ya leo nimepata heshma ya kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya Shule ya Sekondary Kashaulili iliyoko Manisapaa ya Mpanda, Mkoa wa Katavi. Tumezungumza mambo mengi sambamba na kutoa maelekezo ya Serikali pamoja na salamu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 📍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
16
335
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
29 days
Leo katika Historia……. 2011• VS 2024•
Tweet media one
Tweet media two
49
24
342
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
7 months
Happy SABBATH ❤️ from Sumbawanga
Tweet media one
12
15
338
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Dear Future Wife, ❤️ Sitarajii maisha ya kitajiri, Bali natarajia upendo wa kweli mpaka mwisho wa maisha yetu. Amini kuwa NAKUPENDA tena sana.
Tweet media one
29
16
326
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Dear Ladies ❤️ Hata kama Hajakuoa, hakikisha ana wajibu wa kukupa PESA, mengine mtavumuliana ila Umaskini hauvumiliki.
78
23
325
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
11 months
“MUNGU akikubariki mapema usizani wengine hawana akili za maisha, ni swala la muda tu” GoodMorning to EveryOne, 🥂
23
43
334
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
“Shemeji hajambo?, Is a polite way of Tanzanians to ask” Hivi hamjaachana tu?😂
25
34
325
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Naitwa Mbonimpaye, Nimeokoka na ninampenda Yesu, sabato ya leo nitachangia mifuko 300 ya Cement na Cash 1Million katika ujenzi wa kanisa letu. 😂
Tweet media one
27
21
330
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
5 months
Kuna umri ukifika stress zako zinatakiwa ziwe kuhusu kutimiza ndoto zako, majukumu ya familia yako, kazi na pesa na sio kwa ajili ya nani anakupenda na nani hakupendi au nani anaongea na nani haongei na wewe. Angalia na zingatia maendeleo na ukuaji wa maisha yako. GoodMorning ❤️
20
98
333
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Tweet media one
Tweet media two
39
7
312
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
Home Sweet Home. “Ma❤️Ma and I”
Tweet media one
Tweet media two
10
13
318
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
“Usilishe kila mbwa unayemuona anateseka, Wengine wanatafuta tu nguvu ya kukuuma, Kuwa mwangalifu wakati wa kusaidia watu” Good Morning 🖐🏾
26
68
322
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Dear #Ladies . ❤️ Hakuna Mwanaume Anaye Ridhika na Mwanamke Mmoja. Ukiona katulia na mwanamke mmoja basi kuna mawili, Ana Matatizo AU Uchumi wake uko Vibaya.
50
17
311
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
4 months
@ayubu_madenge Je wajua mpigaji wa Picha hiyo ni @mbonimpaye_n na hapo ni Kanisa Katoliki Kahama, Shinyanga.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
16
317
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
1 year
Nimeona Post kadhaa zikisema “Inawezekana kutimiza ndoto zako na kuwa mtu unaye taka kuwa” my take safari ya kuipambania ndoto yako sio rahis hata kidogo hasa kwa watoto wa Familia za hali ya chini, wengi wao ndoto zao hazijatimia kwasababu nyingi na tofauti kama Umaskini.
Tweet media one
42
48
320
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
2 years
YANGA kamfunga tena SIMBA huko Arusha.
9
14
306
@mbonimpaye_n
Mbonimpaye Ntiyonza Nkoronko
3 years
Tumekutana Twitter, Tunachati Kama ndugu, tunao Fahamiana/Kujuana vile. Huu nao ni UPENDO usio kuwa na Kikomo.
22
19
292