Hizi saloon za dar 🙌🙌🙌Kama huwezi kusema sitaki unaweza kuacha 200,000 mezani🤣🤣🤣🤣🙌
Unaulizwa maswali nyonyo zipo mdomoni kila kitu unaitikia Kama fala tu 🤣🤣🤣
Wadada wa Barbershop wakiitaka Hela yako utasikia "Kaka tuhamie chumbani nikakuoshe na nikufanyie scrub ya...