@datius_tz
Homeboy Tz
1 month
Wenye Akili za biashara kwa Pesa hio mwamba afanye biashara gani hapo?πŸ‘‡
Tweet media one
165
53
618

Replies

@HamadKivuyo
Dizgaaa
1 month
@datius_tz Hiyo Hela haitoshi kwa biashara zote hizo labda kama anayo eneo au frame ya kufanyia hiyo biashara bila Kodi! Kuhusu car wash ndo haitoshi kabisa mkuu!
15
0
31
@datius_tz
Homeboy Tz
1 month
@HamadKivuyo Biashara zote hapo pesa inatosha inategemea na unataka uanze vp acha kupotosha umati,2milion Tu inatosha kufungua car wash Tatizo unataka uanze kwa ukubwa…unafeli na nidhahiri huna akili ya biashara
5
0
70
@rasoulHK
DanielHK🍁
1 month
@datius_tz PS ndo mpango mzima ila mwambie anunue na jenereta au Electricity Storage battery ambayo inaenda hata masaa nane.
1
0
4
@EngJubel
Eng. Jubel
1 month
@datius_tz Car wash
0
0
0
@nyondothegun0
Nyondo vitunguu
1 month
@datius_tz Car wash will connect na watu wa maana na amabo wana weza kukupa new skill na new idea Ps will connect na watoto na vijana wasio jitambua Banda la mpila will connect na watu wanao penda kubet Mradi wa kuku ni kaz za zinazo taka ushinde sehem moja like women so will block…
17
4
124
@_mshamba
Mshamba
1 month
@datius_tz Kuku kama anaanza atalia afe labda kawoshi
1
0
7
@madukwapeter
Peter Madukwa
1 month
@datius_tz Mradi mzuri ktk hiyo ni ufugaji Vinginevyo Akalime bustani ya vitunguu au nyanya au mbogamboga... Aachane na hiyo miradi uchwara itakayonyonya fedha yake polepole na hatimaye kwisha.
7
0
28
@gibhuta
G'M Africana
1 month
@datius_tz Kawoshi itamlipa au hilo banda ka mpila awe na usimamizi mzuri+eneo anunue tv zuri awe organise na vijana wa kushoot mara nyingi shughuli za kileo lazima zifungwe tv ukumbini (kukodisha)
1
0
21
@AllyAsiad
$ing€rn0
1 month
@datius_tz Kufanikiwa au kufeli kwa Biashara yoyote inategema sana eneo unalotaka kuanzisha biashara hiyo so kwa biashara izo alizo taja zote ni nzuri inategemea tu na eneo lazm ujiulize je watu wanahitaji nini kati ya hivyo na kama kuna ambao tayr wanafnya wewe uwebora kias gani?then fany.
2
1
49
@Ezekielpeter_
α—©πš•πš˜πš’πšŒπšŽβœοΈ
1 month
@datius_tz Atafute location nzuri kwa ps na library movies
0
0
9
@mar3kani
π™ˆπ˜Όπ™Eπ™†π˜Όπ™‰π™„πŸ‘³πŸΌβ€β™‚οΈ
1 month
@datius_tz Mradi wa kuku wa nyama/mayai upo vizuri nina experience nao ila kama unataka kuanzisha hakikisha unambobezi(mtu mwenye experience karibu yako) otherwise utalia,maana huwa wakiumwa usipo wawahi kuwatibia ni balaa...Mbobezi akiona tu dalili za Mwanzoni anajua kuwa wanaumwa!
1
0
17
@range_97
Range_97
1 month
1
0
8
@range_97
Range_97
1 month
@datius_tz @CharlieAMou Yaani narudia tena car wash ni uhakika zaid ukipata site nzuri utafurah mwenyew
1
0
19
@range_97
Range_97
1 month
@datius_tz @CharlieAMou Kuku na band la video sikushauri
1
0
3
@scottyKimmich
π™¬π˜Όπ™ π™ͺπ˜½π™€π™©π™ž
1 month
@datius_tz Kama anauhakika wa kuwa na banda kubwa la mpira bas hapo anaweza weka na PS maana kitakacho ongezeka hapo n ving'amuzi ambayo itamcost almost lak 2, , maana ake atachezesha PS muda wote siku zote zisizo na mech mfano mon- sat kukiwa n mpira aoneshe mpira
6
5
67
@Silmacus1
RemoteπŸ–±
1 month
@datius_tz Aangalie kama kuna duka la vipodozi marneo aforce atanishukuru baadae ni biashara ambazo watu wengi hawafatilii ila kuna hela
2
0
9
@Tyche777s
TYCOONπŸ‘‘
1 month
1
0
2
@DanielMode36570
π™³πšŠπš—πš’ π™²πš˜πš˜πš™πšŽπš› πŸ’₯
1 month
@datius_tz Chukua million 3 zitafutie odd 5 uchukue hela chapu
1
0
3
@msemakweli129
Msemakweli
1 month
@datius_tz Kuhusu mradi wa kuku utoe kabisa hapo utakufirisi
4
0
2
@jungukuusana
jungukuu
1 month
@datius_tz Akabeti tuu nimeona hana akili na milioni tano si yake
1
0
2