Willfred zaha na rafiki ake ambaye ni mfanyabiashara mashuhuli nchini uingeleza wamenunua club moja inayoshiriki ligi darana la 9 nchini uingeleza...... ๐คฃ๐คฃ Kibongo bongo ligi daraja la 9 ni chandimu๐คฃ๐คฃ
Mwaka 2017 pep guardiola alimuita kijana hamilton na kumfundisha jinsi ya kuokota mipila kwa haraka na kuirushia uwanjani.... Mwaka huu 2023 kijana huyo akiwa na miaka 20. Amefanikiwa kuanza mchezo wake wa kwanza katika uefa champions ligi.... ๐ช๐ช๐
Nimeachwa juzi ila sina stresss maaana hili gemu lina play part kubwa sana kwenye moyo wangu.... Nifollow njoo dm nkupe link mdau ukainjoy soccer ๐๐๐๐
Baadhi ya watu katika nchi za ulaya wanaamini kuwa pyramids zimejengwa na alliens na wanaamini HAKUNA binadamu anaweza Jenga vitu Kama hivyo ๐ค๐ค. Hivi upi ni ukweli??????? Hapa