Ukimfanya mwanaume kitega uchumi lazima utaona anakuboa, lakin ukimfanya ni mpenzi anaetafuta kwa shida ambae anahitaji Pole na kuhurumiwa katika kazi zake kamwe hutoona kama anakukera. 🤝
Ko alienda kwa baba jose akaichezea mwezi mzima?? Kwenye vipimo mbona wamekausha au ndo ulikua mpango wa kututoa kwenye wazo la DP world?? Afu hilo ziwa au bas😳😳😳
Unaweza sema mtu katajirika anatupa chakula kumbe alihifadhi nyama kwenye friji ili aendlee na biashara yake tanesco wakaona maskin hatakiwi kupata kabisa wanakata umeme na kuku zimeharibika !!umbwaaaaaa😭😭😭😭
Kuna ile raha babe anapiga simu anasema sorry mama nmekwama hapa unaweza nitumia 150k muda huu afu jioni nikirudi nitakurejeshea, aarrrgh kummqe unamtumia afu anajibu asante nimeipata mama, tobaaaa nakojoaaaa🏋🤸⛹️
"Nimekuja kugundua kuna watu mkipost biashara zenu or posters huwa sizipiti bila ku retweet lakini nyie mkiona zangu hamnaga time. Acha nibalance shobo niishi na wanaoishigi na mimi" 🤝