Tuache mazoea ya kutiana hasara eti mgeni akija uchinje kuku wakija week mzima je?? Mimi nina wazo tubadili mboga ya wageni, vipi tukifanya DAGAA iwe mboga ya wageni wakija majumbani mwetu , Mbona zuri tu. Mimi naanza najua
@abdulazackabdul
yupo pamoja na mimi, vipi
@mpambazi_
.