US Embassy Tanzania Profile Banner
US Embassy Tanzania Profile
US Embassy Tanzania

@usembassytz

304,014
Followers
400
Following
4,527
Media
8,150
Statuses

The U.S. partners with Tanzanians to build & sustain a healthier, more prosperous & secure nation. Terms of Use: . #UbaloziniLeo

Dar es Salaam, Tanzania
Joined April 2010
Don't wanna be here? Send us removal request.
@usembassytz
US Embassy Tanzania
2 hours
Tuko mubashara sasa @FmClouds 98.5
Tweet media one
2
1
20
@usembassytz
US Embassy Tanzania
14 hours
Tuna furaha kutangaza kipindi kijacho cha MentorTalks! Jiunge nasi kwenye Instagram Live Jumanne, Juni 4 saa 3:00 usiku EAT kumsikiliza Mkurugenzi Mtendaji na Mhitimu wa Mpango wa Kubadilishana Vijana wa Kennedy-Lugar (YES), Yasmine El Baggari! Tutazungumza na Yasmine kuhusu
Tweet media one
0
2
9
@usembassytz
US Embassy Tanzania
14 hours
We’re excited to announce the next episode of MentorTalks! Join us on Instagram Live on Tuesday, June 4 at 9:00 p.m. EAT to hear from CEO and Kennedy-Lugar Youth Exchange and Study (YES) ExchangeAlumni Yasmine El Baggari! We’ll chat with Yasmine about how she founded her
Tweet media one
0
0
2
@usembassytz
US Embassy Tanzania
17 hours
“Ilikuwa furaha kubwa kwangu kukutana na Nathan Belete, Mkuu wa Benki ya Dunia nchini Tanzania kwa mazungumzo kuhusu dhamira yetu ya pamoja katika ukuaji wa uchumi na maendeleo ya Tanzania. Katika mkutano huo tuliungana na timu kutoka USAID na kitengo chetu cha uchumi. Benki ya
Tweet media one
Tweet media two
1
1
20
@usembassytz
US Embassy Tanzania
2 days
Vijana wanawezaje kuathiri mustakabali wa sekta ya kilimo ya Tanzania? Sikiliza kipindi cha @FmClouds Power Breakfast asubuhi ya Jumanne ili kusikia jinsi Marekani inavyoshirikiana na Tanzania.
Tweet media one
0
1
7
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
Wikiendi iliyopita, Balozi Battle alishiriki uzinduzi wa Kampeni ya Kupanda Mlima Kilimanjaro 2024 ili kuchangisha fedha za kupambana na UKIMWI iliyoandaliwa na Geita Gold Mining Ltd. Kampeni hii inalenga kukusanya dola milioni moja. Hotuba yake kamili →
Tweet media one
0
3
22
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
Last weekend, @USAmbTanzania had the honor of participating in the launch of the 2024 Kilimanjaro Challenge Against HIV & AIDS hosted by Geita Gold Mining Ltd. which aims to raise one million dollars to support HIV response in 🇹🇿. Read his full remarks:
Tweet media one
0
1
9
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
Tunatazama kwa furaha tukio la Jumanne iliyopita ambapo Watanzania na Wamarekani, wakiwakilisha sekta binafsi na maafisa wa serikali walijitoa kikamilifu kujadili jinsi ya kuimarisha biashara katika maeneo manne ya kipaumbele: uchumi wa kidijitali; upatikanaji na jinsi ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
3
10
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
0
0
2
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
Ungana nasi Alhamisi hii kuanzia saa 7 hadi 8 Mchana kwa majadiliano mubashara (live chat) ili kufahamu kuhusu ruzuku ndogo zinazotolewa na PEPFAR! Una maswali yoyote kuhusu Ruzuku ya Balozi ya Kupambana na VVU na UKIMWI? Andika maswali yako kwenye sehemu ya maoni hapo chini na
1
2
7
@usembassytz
US Embassy Tanzania
5 days
Balozi Michael, Battle, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia Omari Juma Kipanga na Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania Dk. Mboni Ruzegea, wamezindua rasmi Kituo cha Kimarekani katika Maktaba ya Mkoa wa Dodoma, jijini Dodoma, mji mkuu wa Tanzania.
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
1
12
53
@usembassytz
US Embassy Tanzania
6 days
Ungana nasi Alhamisi hii kuanzia saa 7 hadi 8 Mchana kwa majadiliano mubashara (live chat) ili kufahamu kuhusu ruzuku ndogo zinazotolewa na PEPFAR! Una maswali yoyote kuhusu Ruzuku ya Balozi ya Kupambana na VVU na UKIMWI? Andika maswali yako kwenye sehemu ya maoni hapo chini na
1
0
3