@Mapungo2020
Mapung'o
1 year
Kitimoto inapitia vikwazo vingi sana ila cha kushangaza vikwazo ndio vinajikuta vimejikwaza.🚢🚢🀣
Tweet media one
44
5
179

Replies

@Kipanga1986
Kipanga
1 year
@Mapungo2020 Itakua Pana mbuzi hapo yupo kwenye friji 😁😁
1
0
5
@Mapungo2020
Mapung'o
1 year
@sheby_yahya 🚢🚢🀣 ndio mbuzi katoliki.
2
0
5
@Sisimizi3
Dr. Sisimizi
1 year
@Mapungo2020 πŸ˜€πŸ˜€ Vikwazo vinajikwaza
0
0
3
@AbdulYassini
ζ˜†ζ‰¬
1 year
@Mapungo2020 Sio kila anaevaa hvyo ni muislam,,,,,,,,,,,, trust me the real Muslim will never even to cross the place sold
2
0
6
@kisslaten
jimmy
1 year
@Mapungo2020 sio kila anaevaa hvyo ni muislam ndugu yangu munatuchafua tuu....
0
0
3
@nsesii
Mwambilinge
1 year
@Mapungo2020 Oyaaa watamka ohoooπŸ˜„πŸ˜„
0
0
1
@MchomvuSalym
Salym Mchomvu Mahuna
1 year
@Mapungo2020 Utasikia mke wangu pika kama Jana kilikua kinanukia na nikitamu nikitoka msikitini Nile 😁😁😁
0
0
2
@bazaziwakitaa
mshauri
1 year
@Mapungo2020 πŸ˜‚πŸ˜‚
0
0
1
@LawiChaz
Damyachuma
1 year
@Mapungo2020 πŸ˜‚πŸ˜‚
0
0
1
@mnyongesana
Umaskini #Basi
1 year
@Mapungo2020 Umeshindwa kupambana na @ChademaTz sasa umeanza kutuchikonoa na Imani zetu kwa Photoshop zako.
0
0
3
@EnockBusungu
Enock Busungu
1 year
@Mapungo2020 Huu ni utovu wa nidhamu Katika Imani za watu sio Sawa kabisa ili Jambo Yani hata aliepiga pic hii amekosea Sana maana mavazi hayatafsili Imani ya MTU Ila Kwa mtazamo wa mtoa post hii yupo upande wa Imani iliyokosea Kwa kuwa hapo buchani! For me sio Sawa kabisa haijakaa poa post
2
1
10
@lazaruspeter82
Mr_CrownπŸ”†
1 year
@Mapungo2020 OyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
0
0
1
@njaghamba85
SINGIDA
1 year
@Mapungo2020 masheikh wanaipiga sana hii kitu behind the scene, tunapiga nao sana, sheikhee bora umnyime nyama ya kuku ila sio kitimoto atakulaani
2
0
2
@CharlesMwaluka5
Charles Mwalukasa
1 year
@Mapungo2020 Hii ni cold war haiwezi kuisha leo mwendo wa robo na ndizi 5 za kubonda mwaisa
0
0
2
@RobertMuganyiz
Roby t boyπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
1 year
@Mapungo2020 🀣🀣🀣🀣 mm nakula jamani maana kila alicho kiumba mungu ni chema
0
0
2
@KinusuIbrahim
Ibrahim Kinusu
1 year
@Mapungo2020 Sheria inatawala Maneno,tu nafsi a Haitawaliwi na sheria,kinachodhibi mwili ni Roho mtakatifu tu ndani ya mtu
0
0
1
@TonestW
Tonest Wissa
1 year
0
0
1
@Samson77569623
Samson Java
1 year
@Mapungo2020 Kitimoto imepigwa sanctions kila kikicha lkn vikwazo vinawarudia wapiga vikwazo, ni kama vile walimpiga urusi vikwazo mwishoni vimewageukia
0
0
2
@WABOMA17
TaitaDON
1 year
@Mapungo2020 Jipige kifua mara 3 useme mimi ni
0
0
1