@KhethiweAS
Hugger-In-Chief| Chidinma| Zora the Explorer|
2 years
Cha muhimu ikutoe point A to B na usinyeshewe na mvua.
Tweet media one
13
4
206

Replies

@McinikaWaLamar
Daktari Wa Manesi 💉💊
2 years
@EASarakikya Haka Kagari ukikanyaga BiG G barabarani kanakwama 😂
3
1
113
@thomaskelvinee
LELLOO 😎
2 years
@EASarakikya Ukishukaa umu unatakiwa uwe ume drip washangae gari na wee piaa😂
0
0
1
@NesiMkunga
NesiMkunga
2 years
@EASarakikya hiki niki toolbox cha scania au yutong sema siku hizi wameboresha sana ma-toolbox
0
0
2
@tanganyika_m
ɱTαɳɠαɳყιƙα❄
2 years
@EASarakikya kikikutana na magari mengine kitathubutu kukatiza kweli au hadi kishikwe mkono🤣
1
0
5
@Baracah_a_B
DIEGO 
2 years
@EASarakikya Hii ndo ile gari ya kufanya exchange na I phone 6 😂😂😂
0
0
0
@BarackOkombo
Baracks.
2 years
@EASarakikya I know it's only me,but the wetness I get while am being rained on..I like the feeling.
0
0
0
@muhabengah
🚀Spea Used Dubai/Japan
2 years
@EASarakikya Haunyeshew na mvua ila utasombwa na mvua na ww ukiwa ndan na hutaamini
0
0
0
@charlemgaya
le grand Mgosi👴🏿
2 years
@EASarakikya 😄😄 haka unamuachia beki tara anakachanya na vyombo akaoshe...
0
0
0
@MushyGundelinda
Gundelinda Mushy
2 years
@EASarakikya Nisikutane na hii gari nikiwa na watoto. Wanalilia wanadhan n kakuchezea
0
0
0
@6xtus
hurryGun🔫
2 years
@EASarakikya Mbona kinae port ya Usb C.. how mini is This car??
0
0
0
@bway_de
MMAREKANI
2 years
@EASarakikya Hiki kinaruhusiwa kutembea barabarani
0
0
0
@bady______
MzeeWaMiba📌
2 years
@EASarakikya Mbana kama kichwa cha treni mbele ni wapi
0
0
0